Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 802
      Rep Power : 712
      Likes Received
      368
      Likes Given
      32

      Default Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Tulimlaumu sana Mkapa kwa kukiuka maadili ya uongozi na kujiuzia mgodi wa Kiwira. Aliitwa fisadi na kuzomewa hadi na watoto wadogo, na wengi hata tukitaka afikishwe mahakamani, na moto wa madai haya ukizimika pale tu JK alipoibuka na kumtetea.

      Lakini je, tumesahau kwamba Sea Cliff Hotel ilijengwa kwa kukiuka sheria zile zile zilizofanya nyumba za vigogo kuvunjwa hivi karibuni? Je, tumesahau kwamba Sea Cliff Hotel ilijengwa kwa mgongo wa Mwinyi ambaye naye alikiuka maadili ya uongozi kwa kutoa kibali kinyume na sheria za mazingira ili Sea Cliff ijengwe, ikisemekana kwa familia yake kupewa share katika hii hoteli?

      Kwa hiyo swali ni kwamba, Sea Cliff Hotel itavunjwa kama zilivyovunjwa nyumba nyingine kwa kutumia sheria ile ile ya ujenzi unaokiuka sheria za kulinda fukwe?

    2. Miaka 50

    3. #2
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Sea Cliff ipo zaidi ya mita 30.

      Nnayoiwaza mimi ni Malaika Beach Resort kule Mwanza. Lile jengo lake la reception na Restaurant, Kasheshe!


      Source: http://3.bp.blogspot.com/-2lsBAR-dS6...0/SAM_0576.JPG
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #3
      19don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2011
      Posts : 441
      Rep Power : 494
      Likes Received
      67
      Likes Given
      198

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      golden tulip je?

    5. #4
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 14,979
      Rep Power : 31268
      Likes Received
      7412
      Likes Given
      7402

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Bongo hapa asilimia kubwa ya majengo yaliyokaribu na barabara au fukwe ujenzi wake umekiuka sheria ya umbali kutoka ukingo wa maji ya bahari au barabara
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    6. #5
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Quote By 19don
      golden tulip je?
      Nayo pia ipo zaidi ya mita 30:

      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    7. Study Abroad

    8. #6
      Mundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2008
      Posts : 1,680
      Rep Power : 879
      Likes Received
      228
      Likes Given
      22

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Ana Tiba alisema hivi katika moja ya maelezo yake kuhusu nyumba ama majumba yaliyojengwa ufukweni mwa bahari..."haiwezekani mtu na mkeo na watoto wako mujikatie eneo la bahari na kujenga nyumba, mkiwanyima watanzania wengine kupata madhari na upepo mzuri wa bahari..." na akawa na exception kwa mahoteli yenye kujengwa maeneo hayo kwa kuwa yenyewe ni public utilities...yaani, mimi na wewe na yeyote mwenye kuhitaji anaweza kwenda, kununua Soda na kufurahia mandhari na kupata upepo mwanana wa bahari.

      May be ilikuwa ni kauli ya kulinda miradi ya vigogo kama hotel ya Sea Cliff kuingia katika mkumbo wa kuporomoshwa.. Hivi ni nani anamiliki Sea Cliff Hotel?
      Mswahili jambo la kipumbavu likisemwa kizungu, anaona sawasawa kabisa!! J.K.Nyerere

    9. #7
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 802
      Rep Power : 712
      Likes Received
      368
      Likes Given
      32

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Quote By zomba
      Sea Cliff ipo zaidi ya mita 30. Nnayoiwaza mimi ni Malaika Beach Resort kule Mwanza. Lile jengo lake la reception na Restaurant, Kasheshe!
      Mkuu Zomba, naona labda unaongea "kilometre" na sio "meta"! Zote hizi ziko ndani. Mie nadhani ili kuepusha aibu angalau Tibaijuka anabomoe sehemu yeyote ya hoteli ndani ya meter 30, kwa mfano swimming pool au vibanda. La sivyo ataleta chuki sizizo na msingi kuona kuna watu wanapendelewa.

    10. #8
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      kwa hili l ahoteli wakuu.si sawa kabisa..hat huko majuu mbona watu wanajenga tu mahoteli kando mwa bahari..ni hatari lakini ujenzi wa hoteli kando mwa bahari ni vivutio kwa watalii, sasa tukiziondoa , tunaondoa biashara tofauti na nyumba binafsi..tuzungumze facts...

    11. #9
      19don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2011
      Posts : 441
      Rep Power : 494
      Likes Received
      67
      Likes Given
      198

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Quote By zomba
      Sea Cliff ipo zaidi ya mita 30.

      Nnayoiwaza mimi ni Malaika Beach Resort kule Mwanza. Lile jengo lake la reception na Restaurant, Kasheshe!


      Source: http://3.bp.blogspot.com/-2lsBAR-dS6...0/SAM_0576.JPG
      hii reception ya malaika wakisema ipo zaidi ya mt30 ntawakubali labda kwa ajili ya yale maji yanayopita chini na vioo ilikututisha walevi

    12. #10
      sinafungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2010
      Posts : 469
      Rep Power : 564
      Likes Received
      63
      Likes Given
      8

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      hili nalo neno. kuna GIRAFFE OCEAN VIEW pia, lkn ukirudi nyuuuma miaka ile enzi ya mwl kuna ile inaitwa KUNDUCHI BEACH HOTEL kuna wakati huko nyuma ilikaribia kumezwa na bahari, hata BAHARI BEACH HOTEL hizi ni tangu enzi ya Mwl. nafikiri huenda kuna sheria inayotofautiana kati ya makazi ya watu na hotel .ngoja tusubiri

    13. #11
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      Quote By zomba
      Sea Cliff ipo zaidi ya mita 30.

      Nnayoiwaza mimi ni Malaika Beach Resort kule Mwanza. Lile jengo lake la reception na Restaurant, Kasheshe!


      Source: http://3.bp.blogspot.com/-2lsBAR-dS6...0/SAM_0576.JPG
      Mkuu ni mita sitini sio therasini mbali na ufukwe, tusubiri tuone kama itavunjwa!!!!


    14. #12
      Mmwaminifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 885
      Rep Power : 720
      Likes Received
      134
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By zomba
      Nayo pia ipo zaidi ya mita 30:

      Mkuu ni mita 30 au 60?

    15. #13
      NusuMutu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Mpulungu
      Posts : 421
      Rep Power : 470
      Likes Received
      74
      Likes Given
      20

      Default

      Sea cliff ivunjwe!?? Thubutuu..

    16. #14
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 717
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      sheria yenyewe nadhani in mapungufu...mimi sioni kutojenga sehemu hizi kunavo hifadha zaidi ya kuachia erosion kuvamia kwa nguvu..
      Pale oysterbay coco beach bahari ilikua mbali zaid ya mita 500 miaka 15 iliyopita sasa ipo chini ya mita 100 kuja barabarani..
      Hizi sehemu ni nyeti zinaweza kuendelezwa bila ya kuaharibu mazingizra na zikachangia sana katika uchumi wa nchi
      sio sahihi ya kwamba tusiendeleze sehemu zetu za ufukweli kwa kisingizio hichi..ukweli watu wanatucheka sana..wakati nchi nyengine zina reclai bahari ili kuendeleza ujenzi ndani ya fukwe
      kinachotakiwa ni mchakato wa uwazi na business plan ya uhakika ambayo investor anapewa jukumu la kuendeleza lazima ayatelkeleze.
      Golden tulip na sea cliff ni moja ya sehemu nzuri na kuvutia ndani ya dar es salaam.
      Hii ni pamoja na kunduchi( wet an worls), bahari beach, nk
      pia tuna tatizo kubwa la uchoyo na roho mbaya ambazo zinakwaza maendeleo kwa visingizio vya hapa na pale
      Quote By 19don
      hii reception ya malaika wakisema ipo zaidi ya mt30 ntawakubali labda kwa ajili ya yale maji yanayopita chini na vioo ilikututisha walevi

    17. #15
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 717
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Sea Cliff itabomolewa kwa kukiuka sheria za kulinda fukwe?

      sheria yenyewe nadhani in mapungufu...mimi sioni kutojenga sehemu hizi kunavo hifadha zaidi ya kuachia erosion kuvamia kwa nguvu..
      Pale oysterbay coco beach bahari ilikua mbali zaid ya mita 500 miaka 15 iliyopita sasa ipo chini ya mita 100 kuja barabarani..
      Hizi sehemu ni nyeti zinaweza kuendelezwa bila ya kuaharibu mazingizra na zikachangia sana katika uchumi wa nchi
      sio sahihi ya kwamba tusiendeleze sehemu zetu za ufukweli kwa kisingizio hichi..ukweli watu wanatucheka sana..wakati nchi nyengine zina reclai bahari ili kuendeleza ujenzi ndani ya fukwe
      kinachotakiwa ni mchakato wa uwazi na business plan ya uhakika ambayo investor anapewa jukumu la kuendeleza lazima ayatelkeleze.
      Golden tulip na sea cliff ni moja ya sehemu nzuri na kuvutia ndani ya dar es salaam.
      Hii ni pamoja na kunduchi( wet an worls), bahari beach, nk
      pia tuna tatizo kubwa la uchoyo na roho mbaya ambazo zinakwaza maendeleo kwa visingizio vya hapa na pale
      [
      Quote By zomba
      sea cliff ipo zaidi ya mita 30.

      nnayoiwaza mimi ni malaika beach resort kule mwanza. Lile jengo lake la reception na restaurant, kasheshe!


      source: http://3.bp.blogspot.com/-2lsbar-ds6...0/sam_0576.jpg
      zomba likes this.

    18. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...