Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuhusu kuingiza trekta Tanzania

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Ndamwe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th June 2008
      Posts : 71
      Rep Power : 572
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Question Kuhusu kuingiza trekta Tanzania

      Jamani wana JF heshima kwenu wote. Mimi naomba kuuliza kuhusu uingizaji wa zana za kilimo Tanzania hususani trekta na viambatisho vyake (jembe na harrow) kutoka Ulaya. Kuna gharama ya ushuru wowote? au kuna gharama gani kuhusiana na TRA au bandarini? Naomba mwenye taarifa na ushauri wa kunisaidia ili nione katika kujibana kwangu naweza kufanikisha hitaji langu.
      Natanguliza shukrani za dhati kwenu.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Malila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2007
      Posts : 2,605
      Rep Power : 10971
      Likes Received
      828
      Likes Given
      445

      Thumbs down Re: Kuhusu kuingiza trekta Tanzania

      Tangazo la mwisho la serikali baada ya kikao cha bunge la budget 2008/2009 lilisomeka kwamba zana za kilimo hasa trekta na vikorokoro vyake havitalipiwa ushuru.

    4. #3
      Ndamwe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th June 2008
      Posts : 71
      Rep Power : 572
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu kuingiza trekta Tanzania

      Asante sana mkuu wangu kwa taarifa hii, ubarikiwe!
      Salute!

    5. #4
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,173
      Rep Power : 5034
      Likes Received
      2412
      Likes Given
      2224

      Default Re: Kuhusu kuingiza trekta Tanzania

      Check hapa http://www.tra.go.tz/documents/new%20tax%20rates.pdf utaona kuwa tractors ziko exempted annual registration fees, lakini haiko explicit juu ya VAT,customs na excise duty. Otherwise check hapa Welcome to The Tanzania Revenue Authority Website kwa taarifa zaidi na contacts za wahusika.
      "To greed, all nature is insufficient"

    6. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Natafuta trekta
      By TIMING in forum Business & Economic Forum
      Replies: 27
      Last Post: 27th October 2011, 11:40
    2. Iran yaipa Tanzania trekta 100
      By mdau wetu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 14th October 2011, 21:43
    3. Nauza Trekta
      By Uled in forum Matangazo madogo
      Replies: 2
      Last Post: 16th September 2011, 08:14
    4. Gharama mpya za kuingiza gari Tanzania
      By Speedo in forum Business & Economic Forum
      Replies: 2
      Last Post: 25th August 2011, 02:25
    5. Replies: 25
      Last Post: 23rd September 2009, 10:24

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...