Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Habari wanajamvi.

      Katika pitapita zangu nimekutana na hili tangazo kutoka Jeshi la Ulinzi na Usalama Tanzania (TPDF) na limeniacha na maswali kadhaa. Naombeni mwenye fikira kama zangu aungane name au mwenye fikira tofauti atupe mwanga wa ni nini kinahusiana na tangazo hili.
      1. Je yewezekana jeshi la polisi limeshindwa kazi?
      2. Je, nchi inaweza kuingia katika hali ya hatari wakati wowote kuanzia sasa?
      3. Je, yawezekana utawala wa demokrasia Tanzania umeshindwa?
      4. Au tutegemea nini kama nchi!!

      Kwa heshima na taadhima nawasilisha
      Attached Thumbnails  
      dry likes this.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,837
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Maswali yako yana logic, inaelekea kuna kamkakati ka kuliingiza jeshi kwenye baadhi ya mambo hasa kufanya kazi ambazo ni za kipolisi. Na hivyo wanataka justification ya hilo, ili wananchi wakiwaona huko wajue kwamba linatimiza wajibu lilioutangaza.

      Maana sioni kabisa mantiki ya hilo tangazo.

      Inawezekana wanataka kumkamata Dr. Slaa na wanataka kuwatisha wananchi ili wasiandamane, kwa kuhofia kwamba jeshi litainvene.

      Anyway hili halishangazi sana, maana hadi hivi sasa nchi haina kiongozi bali ina vivuli tu vya viongozi ambao kiujumla hawajui wanafanya nini na kwanini wapo pale walipo.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    4. #3
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,435
      Rep Power : 974
      Likes Received
      366
      Likes Given
      1804

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Nimelipenda sana hil Tangazo; kwani bila shaka hawataishia hapo tu bali kwa shughuli zote ambazo Jeshi la Polisi linaonekana kushindwa kuwajibika. Mfano vita vya Majambazi, vita ya Ufisadi, wabadhirifu wa mali ya Umma, matumizi yasiyo na lazima ya nguvu za silaha ya moto yanayofanywa na Polisi, Tume zinazoundwa na Jeshi la Polisi kwa nia ya kula pesa za Walalahoi.

      Hongera sana Jeshi la Ulinzi tunaomba mchukue majukumu yote ya jeshi la Polisi kwani wameshindwa kazi na wapo kisiasa zaidi.



      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      lukindo likes this.
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    5. #4
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,304
      Rep Power : 2017
      Likes Received
      589
      Likes Given
      76

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Nitawa-appreciate pale tu watakapompindua JKilaza madarakani.

    6. #5
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      490
      Likes Given
      173

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Kweli kazi imeanza,

    7. Miaka 50

    8. #6
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 14,978
      Rep Power : 31268
      Likes Received
      7410
      Likes Given
      7402

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Tanzania bila shaka tuna majeshi matano kwa sasa(kama sipo sahihi unaweza nisahihisha).
      Jeshi la Wananchi.
      Jeshi la Polisi.
      Jeshi la Kujenga Taifa
      Jeshi la Uhamiaji (Mwanzoni ilikua ni idara ndani ya jeshi la Polisi)
      Jeshi la Magereza

      Jeshi la Wananchi - lipo ili kulinda mipaka ya nchi na usalama wa Taifa kwa ujumla n.k.
      Jeshi la Polisi - kulinda raia ndani ya mipaka ya nchi n.k.

      Inapotokea vurugu kubwa ambayo inaweza kuhatarisha amani ya nchi au usalama wa Amri Jeshi mkuu, moja kwa moja JWTZ wanaingia kazini pasipo mjadala wowote na hicho ndio kinachomaanishwa katika hilo tangazo lao.
      mizambwa likes this.
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    9. #7
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Hamjui kuwa jeshi lilisaidia kwenye mgomo wa madaktari uchwara?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    10. #8
      Mshuza2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,290
      Rep Power : 683
      Likes Received
      195
      Likes Given
      17

      Default

      Proud to be Tanzanian!

    11. #9
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Hongera Jeshi la Ulinzi Tanzania.

    12. #10
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,411
      Rep Power : 5037
      Likes Received
      780
      Likes Given
      1781

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      JW walishaona hali inazidi kuwa tete!! EL mwaka huu atawatoa jasho CCM pamoja na serikali yao.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    13. #11
      Ngoromiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 437
      Likes Received
      85
      Likes Given
      114

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Na bado, mtaweweseka sana mwaka huu. Kukimbia kivuli chako hakusaidii.

    14. #12
      siemens c25's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 106
      Rep Power : 404
      Likes Received
      10
      Likes Given
      1

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Jamani mimi bado sijaliona limetangazwa wapi?

    15. #13
      Bandabichi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 396
      Likes Received
      40
      Likes Given
      25

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Acheni mambo yenu. mi siishi Dar ila naamini Jeshi walikuwa na Banda pale Sabasaba kama hilo tangazo linavyosema tena imesisitizwa "SABASABA 2012" mbona mnapenda kugusa mambo na pia hizo ni kazi ambazo jeshi linafanya.

      Better be a greater thinker.
      "WHEN U GO PLACES, GO PLACES IN STYLE"

    16. #14
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,102
      Rep Power : 13052
      Likes Received
      14066
      Likes Given
      14838

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      mmmh!!!!!!

    17. #15
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,837
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Quote By watu8
      Tanzania bila shaka tuna majeshi matano kwa sasa(kama sipo sahihi unaweza nisahihisha).
      Jeshi la Wananchi.
      Jeshi la Polisi.
      Jeshi la Kujenga Taifa
      Jeshi la Uhamiaji (Mwanzoni ilikua ni idara ndani ya jeshi la Polisi)
      Jeshi la Magereza

      Jeshi la Wananchi - lipo ili kulinda mipaka ya nchi na usalama wa Taifa kwa ujumla n.k.
      Jeshi la Polisi - kulinda raia ndani ya mipaka ya nchi n.k.

      Inapotokea vurugu kubwa ambayo inaweza kuhatarisha amani ya nchi au usalama wa Amri Jeshi mkuu, moja kwa moja JWTZ wanaingia kazini pasipo mjadala wowote na hicho ndio kinachomaanishwa katika hilo tangazo lao.
      Kilichowatuma kutangaza leo ni nini? Kwani wameona kuna tatizo gani hadi wajipendekeze kutoa tangazo la aina hii?
      lukindo likes this.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    18. #16
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Quote By zomba
      Hamjui kuwa jeshi lilisaidia kwenye mgomo wa madaktari uchwara?
      kwa juu inaonekana hivyo lakini mimi naona katangazo haka kanaweza kuwa kamebeba 'makubwa' nyuma yake.
      Ni kwa nini kalipiwe, japo ni ujumbe wa sabasaba!
      Quote By Lukolo
      Kilichowatuma kutangaza leo ni nini? Kwani wameona kuna tatizo gani hadi wajipendekeze kutoa tangazo la aina hii?
      mkuu, ndio wanaoishi mijini wanasema sio kila unachokiona kinamaanisha maana ya juu ..."hata ukimuona ngedere ujue ana mwenyewe"



    19. #17
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Quote By Bandabichi
      Acheni mambo yenu. mi siishi Dar ila naamini Jeshi walikuwa na Banda pale Sabasaba kama hilo tangazo linavyosema tena imesisitizwa "SABASABA 2012" mbona mnapenda kugusa mambo na pia hizo ni kazi ambazo jeshi linafanya.

      Better be a greater thinker.
      ukifikiria sana unaweza kugundua tofauti na ulichoandika lakini mbali na hapo usisumbuke sana bali muda utakuja kutueleza ukweli wa hili 'tangazo' mkuu

      Lukolo likes this.

    20. #18
      Lugeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2011
      Posts : 294
      Rep Power : 467
      Likes Received
      39
      Likes Given
      43

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      hawawezi kushindana na nguvu ya umma wakaulize misri,libya,tunisia nini kilitokea

    21. #19
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,649
      Rep Power : 13619
      Likes Received
      835
      Likes Given
      318

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Quote By zomba
      Hamjui kuwa jeshi lilisaidia kwenye mgomo wa madaktari uchwara?

      Hawahawa mbumbumbu walioshindwa kutumia zana za Muhi2? Au unamaanisha wanajeshi wengine nje ya JWTZ
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    22. #20
      Malipo kwamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 417
      Likes Received
      41
      Likes Given
      68

      Default Re: Tanzania kutangaza hali ya hatari!?

      Quote By zomba
      Hamjui kuwa jeshi lilisaidia kwenye mgomo wa madaktari uchwara?
      Unafikia kutukashifu kwa mapenzi yako na watawala unakumbuka 1987/1988 tulichofanya MMC kuwashughulikia polisi uchwara waliotumwa kutupiga virungu kwa kudai haki zetu, Madaktari askari waliokuja kutibu kipindi cha mgomo waliunga mkono asilimia 500% matokea wanayajua waliokuwa na ndugu zao pale mmc tafadhali soma hati ya kiapo cha madaktari ujue Hoja yako haiendani na tangazo changia hoja, ninyi mtalipwa hapa duniani utaomba kufa hautakufa Mungu anajua mema na mabaya ya kila mmoja wetu

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...