Nchemba anasema ameuza vx v8 lake kununua motor za maji kwenye vijiji kama kumi hivi! Then anasema leo
'sijapandisha jazba maana naongea mambo ya msingi'. Kisha anamkumbusha spika kuwa 'siku saba' zimepita kwa
ule ushahidi wa Mnyika!
Kumbe,
1. Kama Vx V8 moja linanunua motor kwa zaidi ya vijiji kumi, je yakiuzwa mia?
2. Kumbe Mwigulu kwa akili zake huwa anaamua kupandisha jabza akiwa anaongea mambo yasiyo ya msingi.
Hii ndio akili ya CCM!

Reply With Quote


Follow Us Here