Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 69
    1. #1
      Ronn M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Location : Moshi~Arusha
      Posts : 1,283
      Rep Power : 612
      Likes Received
      660
      Likes Given
      403

      Default Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

      Nchemba anasema ameuza vx v8 lake kununua motor za maji kwenye vijiji kama kumi hivi! Then anasema leo

      'sijapandisha jazba maana naongea mambo ya msingi'. Kisha anamkumbusha spika kuwa 'siku saba' zimepita kwa

      ule ushahidi wa Mnyika!

      Kumbe,

      1. Kama Vx V8 moja linanunua motor kwa zaidi ya vijiji kumi, je yakiuzwa mia?

      2. Kumbe Mwigulu kwa akili zake huwa anaamua kupandisha jabza akiwa anaongea mambo yasiyo ya msingi.

      Hii ndio akili ya CCM!
      Uswe, Sting and Lynix like this.
      'Whoever sheds the blood of a man, by man shall his blood be shed; for in image of God has God made man. (Gen 9:6)'

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,686
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default Re: Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

      Quote By Ronn M
      Nchemba anasema ameuza vx v8 lake kununua motor za maji kwenye vijiji kama kumi hivi! Then anasema leo

      'sijapandisha jazba maana naongea mambo ya msingi'. Kisha anamkumbusha spika kuwa 'siku saba' zimepita kwa

      ule ushahidi wa Mnyika!

      Kumbe,

      1. Kama Vx V8 moja linanunua motor kwa zaidi ya vijiji kumi, je yakiuzwa mia?

      2. Kumbe Mwigulu kwa akili zake huwa anaamua kupandisha jabza akiwa anaongea mambo yasiyo ya msingi.

      Hii ndio akili ya CCM!
      Alikopa ya nini kwanini mpaka apoteze muda wa kuiuza kwasababu lazima itakuwa ime depreciate
      KUN and Lynix like this.

    4. #3
      Yangtze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Post Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.

      Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.

      Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!

    5. #4
      Careboy wamuntere's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Posts : 160
      Rep Power : 378
      Likes Received
      30
      Likes Given
      95

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      anastahili pongezi, kwani wenye moyo wa uzalendo wa kweli wapo wachache, wengi wanatumikia matumbo tu.
      Yangtze likes this.

    6. #5
      Kibagata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 522
      Rep Power : 464
      Likes Received
      71
      Likes Given
      16

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      huyu ameshakiwa kubwa jinga hata umpambe vipi ameshachafuka. NI GAMBA TU

    7. Miaka 50

    8. #6
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,798
      Rep Power : 776
      Likes Received
      416
      Likes Given
      121

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Je, ni kweli kwamba Mbunge anapaswa kuleta maendeleo ya wananchi wake kwa kutumia pesa yake binafsi ?
      English Learner and Yangtze like this.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    9. #7
      Yangtze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Careboy wamuntere
      anastahili pongezi, kwani wenye moyo wa uzalendo wa kweli wapo wachache, wengi wanatumikia matumbo tu.
      Ni kweli mkuu. Ifike sehemu waTz tujenge culture ya kupongeza wenzetu wanapofanya jambo la kujenga regardless of our political ideology.

    10. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Kibagata
      huyu ameshakiwa kubwa jinga hata umpambe vipi ameshachafuka. NI GAMBA TU
      taken
      as opinion,,,,,,kuuza vx v8??????mmmh,,,,,au alikua na mambo mengine ndo kaungia humohumo????

    11. #9
      Yangtze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By sawabho
      Je, ni kweli kwamba Mbunge anapaswa kuleta maendeleo ya wananchi wake kwa kutumia pesa yake binafsi ?
      Mkuu mbunge halazimiki kutumia fedha zake kwa maendeleo ya wananchi kwa sababu serikali ipo. Lkn kama serikali inachelewa kuleta hayo maendeleo na mbunge anaona hilo jambo liko ndani ya uwezo wake, basi ni vyema kama ameguswa afanye...sii dhambi bali ni mfano wa kuigwa

    12. #10
      Ronn M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Location : Moshi~Arusha
      Posts : 1,283
      Rep Power : 612
      Likes Received
      660
      Likes Given
      403

      Default Re: Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

      Naona kuna thread nyingine kama hii, mods unganisheni pls
      'Whoever sheds the blood of a man, by man shall his blood be shed; for in image of God has God made man. (Gen 9:6)'

    13. #11
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,629
      Rep Power : 5718
      Likes Received
      1058
      Likes Given
      2481

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By sawabho
      Je, ni kweli kwamba Mbunge anapaswa kuleta maendeleo ya wananchi wake kwa kutumia pesa yake binafsi ?
      Naamini kuwa kazi ya Mbunge ni kuwasilisha matatizo ya jimbo lake kwa serikali na kuwawasilisha na kamwe si kuchangia katika miradi mbalimbali ambayo serikali inatakiwa kimsingi kuitekeleza.

      Kuchangia huko kwa wabunge ni kukaribisha rushwa hasa wakati wa uchaguzi, ili yule ambaye anayeweza kuchangia zaidi aweze kuchaguliwa.

      Vilevile kitendo hicho kinachangia kwa wabunge kushiriki jatika mambo ya rushwa ili wapate pesa za kuchangia na vilevile kuwahonga wananchi.
      FJM and Yangtze like this.
      Semper fi!

    14. FJM
      #12
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,172
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5321
      Likes Given
      4587

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao. Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
      Bila kuremba maneno naomba nimwambie Mwigulu Mchemba kuwa ameuza gari yake kwa sababu ya upuuzi wake. Kazi ya mbunge ni kuisamamia serikali kwa niaba ya wananchi wake. Na kama sio upuuzi wa Nchemba na ushabiki wa kijinga wabunge wangeibana serikali ili itenge 35% ya bajeti kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Sasa wameicha na kilichobaki ni ngonjera bungeni.

      Na bado, itafika siku huyu mchumi daraja la kwanza atauza hiyo scarf anayofunga shingoni kununua dawa kwa wananchi wa jimboni kwake. Waombe mungu sana ukame usitokee mwaka huu kama ilivyotangazwa, kama tutakumbwa na ukame wabunge wa CCM will go down the drain.
      Yangtze likes this.

    15. #13
      maswi d's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th July 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 348
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

      hawa jamaa kumbe wanajua wanachokifanya huwa ni upuuzi?

    16. #14
      Yangtze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Mzalendo JR
      Mdomo haulipiwi KODI , na Nchemba hata domo lake halina pazia kama akili yake ilivyokaa kushoto ka inamatege. Atakua alizaliwa NJITI (Kabla ya siku zake). Katika kauli zake zote cha kweli hua ni VIUNGANISHI VYA SENTESI TU kana "na, wa, ndio"
      Aaaaaaaaaahhhh Kiongozi....the guy is not of that character....baniani mbaya lkn kiatu chake dawa!

    17. #15
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      592
      Likes Given
      413

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Inapendeza ni mfano wa kuigwa.

      Binadamu hawezi kuwa mbaya kwa kila jambo

    18. #16
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      ​si kwa sababu ana zile pesa za epa kwa nini hasimamii pesa za bajeti kama ni mzalendo serikali dhaifu huzaa wabunge dhaifu kama huyu
      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao. Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!

    19. #17
      Yangtze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      23

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Dingswayo
      Naamini kuwa kazi ya Mbunge ni kuwasilisha matatizo ya jimbo lake kwa serikali na kuwawasilisha na kamwe si kuchangia katika miradi mbalimbali ambayo serikali inatakiwa kimsingi kuitekeleza. Kuchangia huko kwa wabunge ni kukaribisha rushwa hasa wakati wa uchaguzi, ili yule ambaye anayeweza kuchangia zaidi aweze kuchaguliwa. Vilevile kitendo hicho kinachangia kwa wabunge kushiriki jatika mambo ya rushwa ili wapate pesa za kuchangia na vilevile kuwahonga wananchi.
      Sasa mkuu kama serikali hairespond na jambo linalotesa mamia ya watu unaona liko ndani ya uwezo wako na wewe ni kiongozi wao unafanyaje?

    20. #18
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 407
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao. Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
      Nina mashaka!!.
      Yangtze likes this.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    21. #19
      ChaterMaster's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2009
      Posts : 372
      Rep Power : 571
      Likes Received
      57
      Likes Given
      112

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu



      swala ni kwamba Je ni kweli au n hadisi za BUNUASI maneno ming tu ili aonekane anjitoa kwa wanainch kumbe SIasa mingi TU
      .

      NA KAMA ALIFANYA HIVYO BASI N KTK ZLE CHENJI ZA EPA ZILIZOBAKI NDO ALIFANYIA HIVYO NA C KWA KUUZA VX-V8 KWA UZALENDO GAN WA MAGAMBA HAWA TUNAOWAJUA!!!!!???????????????
      Mchaka Mchaka likes this.
      HAMA ANALOGY(CCM) HAMIA DIGITAL(CDM)

    22. #20
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,629
      Rep Power : 5718
      Likes Received
      1058
      Likes Given
      2481

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Sasa mkuu kama serikali hairespond na jambo linalotesa mamia ya watu unaona liko ndani ya uwezo wako na wewe ni kiongozi wao unafanyaje?
      Mwenye macho haambiwi tazama! Haichukui akili nyingi kutambua kipi ni rushwa na kipi ni uzalendo.
      Yangtze likes this.
      Semper fi!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...