Re: Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)
1. Ameuza hiyo V8 shilingi ngapi?
2. Hiyo pampu ya maji amenunua shilingi ngapi?
3. Je kuna ushahidi mwingine wa kuunga mkono maneno yake kuwa ameuza VX V8 kwa ajili ya kununua pampu?
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
1. Ameuza hiyo V8 shilingi ngapi?
2. Hiyo pampu ya maji amenunua shilingi ngapi?
3. Je kuna ushahidi mwingine wa kuunga mkono maneno yake kuwa ameuza VX V8 kwa ajili ya kununua pampu?
ALIMUUZIA NANI??LINI??SHILINGI NGAPI??WEKA REGISTRATION NUMBER YA HILO VX G8 HAPA NA KADI YA UMILIKI??ALILINUNUA WAPI LINI KWA MAPATO GANI???NANI ALINUNUA HILO GARI
PUMP ILINUNULIWA KWA SHILINGI NGAPI WAPI NA LINI??WEKA RISIT HAPA
Re: Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)
By mka
1. Ameuza hiyo V8 shilingi ngapi?
2. Hiyo pampu ya maji amenunua shilingi ngapi?
3. Je kuna ushahidi mwingine wa kuunga mkono maneno yake kuwa ameuza VX V8 kwa ajili ya kununua pampu?
Kwa hiyo anataka kutuaminisha, ukiacha leo, siku nyingine zooote alikuwa anaongea Upuuzi tu bungeni? Kweli kazi bado tunayo.
Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
By Prisoner 46664
Ni udhaifu wake wa kushindwa kushawishi serikali ipeleke pampu jimboni..hana haja ya kujisifia
Umenikumbusha ule msemo wa John F. Kennedy! Issue hapa ni kwamba tusisubiri serikali itufanyie baadhi ya mambo bali kama yako ndani ya uwezo wetu tuyafanye!
Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.
Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.
Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
Wabunge wanao fanya vitu vya maana wako wengi lakini huwa hawajisifu na na wazuri kuliko hata yeye hapa anajishauwa tu.hiyo pampu aliyo lazimika kuuza hiyo gari yenye thamani ya tsh90,000,000/=inathamani ya sh ngapi?.au aliuza kwa ajili ya mambo yake na mabaki ndio akanunulia pampu na kujitangaza ili aonekane amefanya kitu cha maana kuliko wengine wakati kumbe kuna wabunge wamefanya vitu vya maana kuliko hilo lakini huwezi ukawasikia wakiweweseka.wametulia tuli.
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
alitaka nani auze gari lake ndo akawawekee pump kwao? tatizo ni serikali yake haiwajali wananchi...mi ninaamini angesema amerudisha gamba ameamua kujiunga na makamanda wa cdm ili adai maji mpaka kieleweke angeeleweka zaidi...lakini kuuza gari lake hilo ni shauri yake na magamba. Hapo hastahili pongezi yeyote kwa sababu kwanza yeye ni gamba gumu sana linalohifadhi kodi zetu kwa msingi wa uchumi wa chama tawala
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
By MKALIKENYA
Huo ni upuuzi mtupu ............
This is unfair.....Kada wa CCM Sabodo akichimba visima kwa ajili ya wananchi hua tunampongeza...sasa iweje mbunge wa Iramba anunue pampu za maji kwa wananchi wake halafu tuite hicho kitendo ni upuuzi? Sidhani kama wale wanaofaidika na pampu hii watakua na mawazo kayo yako ktk hili kwani amewaokolea muda mwingi uliokua unapotea. Isitoshe mbona Rostam Aziz alikua anatumia sehemu ya fedha zake kupeleka maendeleo Igunga lkn hatukuona ni upuuzi?
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
By Yangtze
Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.
Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.
Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
hapana mtu huyu hana moyo wala nini anatafuta ujiko huyu. bila shaka hii atakuwa amefadhiliwa na Kikwete kuzuga watu siamini. hii ni danganya toto. magamba hawana asili hiyo . HUYU ANATAFUTA SIFA. TUMEDANGANYWA MIAKA YOTE ETI RA ALICHIMBA MALAMBO @ KIJIJI HUKO IGUNGA SISI, LAKINI JANA TUMESHANGAZWA NA KILIO CHA DR. KAFUMU. TUANGALIE SANA ASIJE AKAANZA KUSEMA AMECHIMBA VISIMA @ kijiji TAKE FROM ME MAGAMBA WANAPWAYA HIVI SASA WANATAFUTA KILA NJIA KUPATA PA KUSINGIZIA
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
Basi auze vyote alivyo navyo awagawie maskini kwa vile serikali yake inadhani watu wataendelezwa kwa hisani itokayo mifukoni mwao hata kama hisani hiyo inatokana na pesa zetu hizi hizi nwalizoiba. Crazy fools.
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
By Yangtze
Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.
Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.
Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
kwani za EPA zimeisha au anatuzuga tu...juzi Arumeru alikuwa nagawa pesa kama hana akili iweje ameishiwa mpaka auze Vx V8...
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Bila kuremba maneno naomba nimwambie Mwigulu Mchemba kuwa ameuza gari yake kwa sababu ya upuuzi wake. Kazi ya mbunge ni kuisamamia serikali kwa niaba ya wananchi wake. Na kama sio upuuzi wa Nchemba na ushabiki wa kijinga wabunge wangeibana serikali ili itenge 35% ya bajeti kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Sasa wameicha na kilichobaki ni ngonjera bungeni.
Na bado, itafika siku huyu mchumi daraja la kwanza atauza hiyo scarf anayofunga shingoni kununua dawa kwa wananchi wa jimboni kwake. Waombe mungu sana ukame usitokee mwaka huu kama ilivyotangazwa, kama tutakumbwa na ukame wabunge wa CCM will go down the drain.
FJM,
Hivi mzee Ndesamburo anavyojenga visima kwa pesa yake binafsi unaweza kweli kusema ni upuuzi?
Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu
By Yangtze
Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.
Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.
Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
Hajawahi kumiliki VX V8!!alikuwa na VX 6Cylinder na siyo 8Cylinder na hana lolote Mchemba 2015 mwaka wake wa mwisho...kama amekutuma kamwambie tuna sema hivyo!!
Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!
Follow Us Here