Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 69
    1. #1
      Ronn M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Location : Moshi~Arusha
      Posts : 1,283
      Rep Power : 611
      Likes Received
      660
      Likes Given
      403

      Default Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

      Nchemba anasema ameuza vx v8 lake kununua motor za maji kwenye vijiji kama kumi hivi! Then anasema leo

      'sijapandisha jazba maana naongea mambo ya msingi'. Kisha anamkumbusha spika kuwa 'siku saba' zimepita kwa

      ule ushahidi wa Mnyika!

      Kumbe,

      1. Kama Vx V8 moja linanunua motor kwa zaidi ya vijiji kumi, je yakiuzwa mia?

      2. Kumbe Mwigulu kwa akili zake huwa anaamua kupandisha jabza akiwa anaongea mambo yasiyo ya msingi.

      Hii ndio akili ya CCM!
      Uswe, Sting and Lynix like this.
      'Whoever sheds the blood of a man, by man shall his blood be shed; for in image of God has God made man. (Gen 9:6)'

    2. Miaka 50

    3. #21
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      ​hilo ni jizi la epa uza vx na mpaka utauza familia yako 2015
      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao. Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!

    4. #22
      Kiherehere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,074
      Rep Power : 648
      Likes Received
      71
      Likes Given
      132

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao. Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
      Kulikuwa hakuna tatizo au hakuliona wakati ananunua gari hilo?? au gari hilo alilinunua kabla ya ubunge??
      CONFIDENCE IS WHAT AM LOOKING FOR.... NOT HAPPINESS

    5. #23
      Arvin sloane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 885
      Rep Power : 574
      Likes Received
      130
      Likes Given
      40

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Kama ni kweli anastahili pongozi kwa hilo.
      Yangtze likes this.

    6. #24
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      ​wenzake akina ndesamburo hawatangazi sababu wanafanya kutoka moyoni hilo chemba linataka masifa tu,mtoa sadaka hajigambi.bakhresa,mengi

    7. #25
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,536
      Rep Power : 1473
      Likes Received
      879
      Likes Given
      521

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Mwishowe mtasifia akitokea Mbunge anafanya Uchangudoa awapo Dodoma na mapato ayapatayo kwa kazi hiyo anapeleka jimboni kwake kununulia Madawati.
      Mtasema hongera Mbunge (CCM) jimbo la ........... kwa kujitoa kuuza uchumi wake binafsi kwa ajili ya maendeleo ya jimbo lake. Hapo ndio mwisho wa akili zenu, Mbunge anatakiwa kuja na mikakati ya Maendeleo katika jimbo sio kutoa mali zake maana atatoa ngapi?
      Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 672
      Rep Power : 568
      Likes Received
      76
      Likes Given
      114

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Mmechelewa. Tumeshajua akili yake ni mbovu na elimu haijamsaidia

    10. #27
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 508
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Careboy wamuntere
      anastahili pongezi, kwani wenye moyo wa uzalendo wa kweli wapo wachache, wengi wanatumikia matumbo tu.
      Kwani kuna shida gani akiuza hilo wakati alilipata kifisadi tu. Hapo mbona kama anawalaghai wananchi wake? Kwa ufisadi aliofanya alistahili kuuza zaidi ya hilo gari kuhudumia wananchi wake achen propaganda za kizamani.

      Sasa anataka kusema wabunge ndio wenye wajibu wa kutoa huduma ya maji au. Failure CCM Gov.
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    11. #28
      masabo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 357
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Hata EL atasema hivo hivo lakini wote ni magamba tu.Mulize alivo uza hiyo gari sasa hivi anatembelea nini?Je haikiwa wakato wa uchaguzi alivyofanya hivo?Hakuna la maana.

    12. #29
      Makyomwango's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 232
      Rep Power : 457
      Likes Received
      42
      Likes Given
      14

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.

      Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.

      Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
      Mwigulu alikopeshwa fedha za walipakodi ili awe na gali litakalomrahishia kukutana na wananchi wa iramba kwa urahisi.


      • Je anaweza kutuhakikishia kuwa amemaliza kulipa mkopo huo?
      • Kama hajamaliza kulipa, je mkataba wa mkopo na selikali unamruhusu kuliuza gali hilo kabla hajamaliza kuulipa?
      • Kodi aliyosamehewawakati ananunua gali hilo ameilipa?

    13. #30
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Hivi huyu anadhani propaganda kama hizo zitamsafisha? Ni mchafu tu, hata afanyeje ataendelea kuwa mchafu!!

    14. #31
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,916
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      481
      Likes Given
      334

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Dingswayo
      Mwenye macho haambiwi tazama! Haichukui akili nyingi kutambua kipi ni rushwa na kipi ni uzalendo.

      Tangu lini mla rushwa akafanya jambo la uzalendo!!!!!!!!

      Mkuu hebu nisaidie maana ya Signature yako...

      Venceremos. Nchi au kifo!
      Dingswayo likes this.
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    15. #32
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,792
      Rep Power : 775
      Likes Received
      416
      Likes Given
      121

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Mkuu mbunge halazimiki kutumia fedha zake kwa maendeleo ya wananchi kwa sababu serikali ipo. Lkn kama serikali inachelewa kuleta hayo maendeleo na mbunge anaona hilo jambo liko ndani ya uwezo wake, basi ni vyema kama ameguswa afanye...sii dhambi bali ni mfano wa kuigwa
      Mkuu huo sio mfano wa kuigwa, bali mimi naichukulia kama anapotumia mali yake binafsi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wake anatoa rushwa ili achaguliwe tena. Ingeniingia akilini kama Serikali imechelewa kuleta maendeleo, angeshauri Wadau wa maendeleo kufanya hiyo kazi na ahakikishe sustainability ya huo Mradi hata kama yeye hatachaguliwa tena, lakini mtu anapotoa pesa yake mfukoni, halafu asipochaguliwa anaondoka na mradi husika !!!
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    16. #33
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Hivi mnaamini maneno yake moja kwa moja hivihivi tu? "kwamba kauza gari"? anyway pamoja na yote sidhani Mbuneg anatakiwa kutumia pesa yake binafsi kununulia pump wananchi na akasimama kujitangaza tena bungeni,,wapiganie mfumo

    17. #34
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 388
      Likes Received
      61
      Likes Given
      96

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.

      Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.

      Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
      ila alimalizia kwa kuunga mkono hoja mia kwa mia.........

    18. #35
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 949
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.

      Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.

      Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
      ALIMUUZIA NANI??LINI??SHILINGI NGAPI??WEKA REGISTRATION NUMBER YA HILO VX G8 HAPA NA KADI YA UMILIKI??ALILINUNUA WAPI LINI KWA MAPATO GANI???NANI ALINUNUA HILO GARI

      PUMP ILINUNULIWA KWA SHILINGI NGAPI WAPI NA LINI??WEKA RISIT HAPA

      USISAHAU TAREHE KWENYE KILA ITEM MENTIONeD
      omujubi likes this.
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    19. #36
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,619
      Rep Power : 5716
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      2473

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu


      Mkuu hebu nisaidie maana ya Signature yako...

      Venceremos. Nchi au kifo!
      Naona umetafsiri maneno na sio ujumbe! Haya yalikuwa maneno ya mwanapinduzi wa Cuba, Commandante Ernesto Che Guevara. Alimaanisha Ushindi daima, na alikuwa tayari kuifia nchi yake katika harakati za ukombozi!!
      Semper fi!

    20. #37
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,700
      Rep Power : 3255
      Likes Received
      980
      Likes Given
      754

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Kwa hiyo Mungulu naunga mkono hoja ya serikali kuuza mashangingi ili kununua vifaa vitakavyowasaidia wananchi kutatua matizo waliyo nayo?
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    21. #38
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 708
      Rep Power : 501
      Likes Received
      282
      Likes Given
      407

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Huo ni upuuzi mtupu ok amenunua PAMPU za maji kwa kuuza V8 alilokopeshwa kama mbunge je baada ya hapo matatizo ya JIMBO lake yameisha na madawati shuleni,ukosefu wa pembejeo,ukosefu wa ajira,ubovu wa barabara izo kero nazo atazitatua kwa kuuza nini? huyu ni mpuuzi kabisa kazi yake ni kuisimamia serikali ipeleke maendeleo kwa watu wake kwa kutumia kodi tunazolipa kama ni kuuza vitu atauza hadi chupi za mke wake lakini kero za jimboni kwake zitabaki pale pale.

    22. #39
      Jiwe la Ukara's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 40
      Rep Power : 405
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimeuza gari langu v8 kwa ajili ya kununua pampu - mh.mwigulu

      Shida ya maji ipo tangu uhuru.wakati analinunua shida ya maji haikuwako. SIASA UCHWARA!

    23. #40
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 651
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default

      Quote By Yangtze
      Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake.

      Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji.
      Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na kuhudumia wananchi wao.

      Hakika ni wachache tena sana na kwa hili mwigulu unastahili pongezi. Wana iramba tumepata jembe.!!!!!!!!!!!!!
      Ni udhaifu wake wa kushindwa kushawishi serikali ipeleke pampu jimboni..hana haja ya kujisifia

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...