Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      Mlosi K. Mtulutumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 604
      Rep Power : 611
      Likes Received
      187
      Likes Given
      195

      Default Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Madaktari kila siku wanashuhudia vifo.
      vya aina mbili:

      Moja:Kuna watu wanaokuja hospitalini wakikaribia kufa,lakini si lazima wafe kwa sababunkuwepo kwa basic medicines na utaalamu wa daktari watunhao hupona, lakini kama hakuna basic medicine kama kwa mgonjwa wa pressure au anayepoteza damu, mgonjwa huyo hufa.

      Mbili: Kuna wanaokuja wazima kabisa, wala hawako katika hali ya kufa, lakini kutokana na kukosekana kwa vifaa na dawa za kutoa matibabu sahihi watu hawa hufa

      Madaktari wanashuhudia vifo hivi, ni kama injinia anayeona daraja au jengo linataka kuanguka na ana uwezo wa kuzuia lisianguke, lakini hana vifaa.
      Madaktari wamekuwa ni mashahidi, wa kushuhudia vifo vya ndugu zetu, uwezo wa kuvizuia wanao, Ila hawana nyenzo.
      Nani atawasemea hawa marehemu?

      Madaktari wamejitahidi sana kuzuia vifo kwa kufoji nyenzo sizizostahili,ili kuzuia vifo.
      Walimwokoa mjomba wangu, wakamtengezea waya wa drip kama mrija wa chakula kupitia puani..je kwa nini mirija haikuwepo? Wajinga hawajui...
      ....Mpwa wangu akafariki ati kale kakishikio ka sindano , wanakaita 'Kipepeo' kamekosekana, hata ndugu waliporejea kutoka dukani kukanunua, dogo alishakata roho..wajinga hawajui!
      Ni wananchi wangapi wameshuhudia mtu anafariki?
      Nani amewahi kumwona mtu anayekufa anavyohangaika? taswira hizi ndizo wanazobaki nazo madaktari kila wanaporudi majumbani mwao.
      Taswira za watu wakikata roho tena wanajua kuwa wangeweza kuzuia vifo hivyo!
      Nani atawasemea hao marehemu wanaokufa kila siku?
      Ninyi ndugu si mwawaachia madaktari ndo wawe mashahidi wa vifo?

      Hata ukienda hospitali una bima ya afya lakini unaambiwa hakuna dawa..
      Unaenda kununua wadhani ni wajibu wako kufanya hivyo?
      Hujiulizi kodi yako kuanzia kwenye mshahara mpaka bidhaa zote inaenda wapi?

      Yes, watu wasioelewa madaktari wanadai nini ni 'wajinga' Mojawapo ya sifa ya mjinga ni uwezo mdogo wa kuelewa mambo hata aeleweshwe namna gani.
      Madaktari wameeleza kuwa, japo mshahara ni mojawapo ya hoja, hoja kuu ni mazingira ya kufanyia kazi na vitendea kazi!
      Hawa wajinga wamerubuniwa na serikali inayoongelea mishahara tu huku hoja kuu ya mazingira ya kazi na vitendea kazi haiguswi wajinga hawa , wameingia ktk mtego wa propaganda za serikali,

      Wanaharakati wameihoji Serikali, 'Madaktari wametaja 3.5 milioni, je ninyi mtalipa shilingi ngapi? Serikali haijajibu kwanusahihi, wajinga wanashabikia tu!
      Hawa wajinga, hawajui kuwa misamaha ya kodi ya hovyohovyo, matumizi ya anasa na mabovu ya serikali, ubadhilifu wa fedha za umma kama ungethibitiwa hiyo milioni 3.5 angekuwa analipwa dereva....
      Wajinga hawajui...
      Last edited by Mlosi K. Mtulutumbi; 9th July 2012 at 22:22. Reason: Typical error
      Kiwi, genekai, LOWE89 and 2 others like this.
      Kufanya Jambo Baya ni Dhambi, twafahamu hilo, Ukiwa na nia ya Kutenda au kuamua jema badala yake ukatenda jambo baya kwa Kuogopa kukaripiwa na wafanya Mabaya ni Unafiki na Ufukara wa Fikra!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4294
      Likes Given
      1229

      Default re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Kweli kabisa

    4. #3
      Kiwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 366
      Rep Power : 563
      Likes Received
      229
      Likes Given
      1170

      Default re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Asante sana mkuu kwa kuyaweka niliyokuwa nayo moyoni kwenye maandishi yenye ufasaha. Asiyeelewa hili basi tena!

    5. #4
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,209
      Rep Power : 1271
      Likes Received
      531
      Likes Given
      404

      Default

      Quote By Kiwi
      Asante sana mkuu kwa kuyaweka
      niliyokuwa nayo moyoni kwenye maandishi yenye ufasaha. Asiyeelewa hili
      basi tena!
      Subiri yaje mashudu ya magamba uone pumba zao! Hayaelewi!
      Kiwi likes this.

    6. #5
      MIGNON's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2009
      Posts : 561
      Rep Power : 656
      Likes Received
      171
      Likes Given
      128

      Default re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      MJINGA NI WEWE.

      Tumewauliza hapa mara nyingi tuelezeni miiko ya kazi yenu inasemaje kuhusu wakati mnapoona mnadhulumiwa au mna mgogoro na mwajiri,hakuna nayetufahamisha.
      Tumewauliza ya kuwa mnatambua taratibu za kufuata kabla ya kugoma,hakuna nayeeleza kitu.
      Wakati nyumba yako inataka kuuzwa nawe hukuridhika huwa unakimbilia mahakamani na kuomba zuio na likitolewa nyumba haiwezi kuuzwa tena mpaka shauri lifanyike na hiki ndicho serikali ilifanya lakini kwa kuwa mmesoma lakini hamtaki kujifunza zaidi mnabishana mpaka na mahakama ambayo kesho itakuwa upande wenu.
      Huwezi kuondoa ufisadi na wizi kwa kuacha watu maskini wafe,totally unaaceptable and two mistakes will never make one right.
      Mnapoteza credibility katika jamii.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mlosi K. Mtulutumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 604
      Rep Power : 611
      Likes Received
      187
      Likes Given
      195

      Default re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      The topic speaks for itself
      Nishasema tuna watu 'wajinga' Sana nchi hii!



      Quote By MIGNON
      MJINGA NI WEWE.
      Tumewauliza hapa mara nyingi tuelezeni miiko ya kazi yenu inasemaje kuhusu wakati mnapoona mnadhulumiwa au mna mgogoro na mwajiri,hakuna nayetufahamisha.
      Tumewauliza ya kuwa mnatambua taratibu za kufuata kabla ya kugoma,hakuna nayeeleza kitu.
      Wakati nyumba yako inataka kuuzwa nawe hukuridhika huwa unakimbilia mahakamani na kuomba zuio na likitolewa nyumba haiwezi kuuzwa tena mpaka shauri lifanyike na hiki ndicho serikali ilifanya lakini kwa kuwa mmesoma lakini hamtaki kujifunza zaidi mnabishana mpaka na mahakama ambayo kesho itakuwa upande wenu.
      Huwezi kuondoa ufisadi na wizi kwa kuacha watu maskini wafe,totally unaaceptable and two mistakes will never make one right.
      Mnapoteza credibility katika jamii.
      Kiwi and Electron like this.
      Kufanya Jambo Baya ni Dhambi, twafahamu hilo, Ukiwa na nia ya Kutenda au kuamua jema badala yake ukatenda jambo baya kwa Kuogopa kukaripiwa na wafanya Mabaya ni Unafiki na Ufukara wa Fikra!

    9. #7
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,509
      Rep Power : 2081
      Likes Received
      1069
      Likes Given
      1569

      Default re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Funguka mkuu!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    10. #8
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4671
      Likes Given
      2295

      Default re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Nyerere alipelekwa hospitali ya hadhi lakini bado alikufa.
      Wacheni kulalamika, shaurini serikali wakatatue matatizo ya madaktari.
      Tatizo tulifundishwa kuwa udaktari ni wito.



      Ila kwenye harakati kama hizi ndipo tunapokuja kujua vipaji vya watu.

    11. #9
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4671
      Likes Given
      2295

      Default

      Quote By Mlosi K. Mtulutumbi
      The topic speaks for itself
      Nishasema tuna watu 'wajinga' Sana nchi hii!
      baadhi au wote mkuu?
      Heri ya mjinga kuliko wapumbavu..................

    12. #10
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 431
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      kung'oa meno bila ganzi!

    13. #11
      SANING'O LOSHILU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 144
      Rep Power : 381
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Acha mawazo ya kizamani kama hao watu ni wajinga basi wewe ni pumbavu manake wewe unafuata mkumbo maana mpaka sasa hujui ni watz wangapi wamepoteza maisha kuanzia ugomo wa madaktari uanzishwe acha upumbavu mjinga wewe

    14. #12
      Mlosi K. Mtulutumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 604
      Rep Power : 611
      Likes Received
      187
      Likes Given
      195

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Quote By SANING'O LOSHILU
      Acha mawazo ya kizamani kama hao watu ni wajinga basi wewe ni pumbavu manake wewe unafuata mkumbo maana mpaka sasa hujui ni watz wangapi wamepoteza maisha kuanzia ugomo wa madaktari uanzishwe acha upumbavu mjinga wewe
      Hongera sana kwa kuwa na mawazo ya kisasa!
      Kufanya Jambo Baya ni Dhambi, twafahamu hilo, Ukiwa na nia ya Kutenda au kuamua jema badala yake ukatenda jambo baya kwa Kuogopa kukaripiwa na wafanya Mabaya ni Unafiki na Ufukara wa Fikra!

    15. #13
      MIGNON's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2009
      Posts : 561
      Rep Power : 656
      Likes Received
      171
      Likes Given
      128

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Quote By Mlosi K. Mtulutumbi
      The topic speaks for itself
      Nishasema tuna watu 'wajinga' Sana nchi hii!
      kimya nacho nijibu.ngoja nikae kimya.

    16. #14
      xzoss's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 7th July 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      21

      Thumbs up

      Quote By Mlosi K. Mtulutumbi
      Madaktari kila siku wanashuhudia vifo.
      vya aina mbili:

      Moja:Kuna watu wanaokuja hospitalini wakikaribia kufa,lakini si lazima wafe kwa sababunkuwepo kwa basic medicines na utaalamu wa daktari watunhao hupona, lakini kama hakuna basic medicine kama kwa mgonjwa wa pressure au anayepoteza damu, mgonjwa huyo hufa.

      Mbili: Kuna wanaokuja wazima kabisa, wala hawako katika hali ya kufa, lakini kutokana na kukosekana kwa vifaa na dawa za kutoa matibabu sahihi watu hawa hufa

      Madaktari wanashuhudia vifo hivi, ni kama injinia anayeona daraja au jengo linataka kuanguka na ana uwezo wa kuzuia lisianguke, lakini hana vifaa.
      Madaktari wamekuwa ni mashahidi, wa kushuhudia vifo vya ndugu zetu, uwezo wa kuvizuia wanao, Ila hawana nyenzo.
      Nani atawasemea hawa marehemu?

      Madaktari wamejitahidi sana kuzuia vifo kwa kufoji nyenzo sizizostahili,ili kuzuia vifo.
      Walimwokoa mjomba wangu, wakamtengezea waya wa drip kama mrija wa chakula kupitia puani..je kwa nini mirija haikuwepo? Wajinga hawajui...
      ....Mpwa wangu akafariki ati kale kakishikio ka sindano , wanakaita 'Kipepeo' kamekosekana, hata ndugu waliporejea kutoka dukani kukanunua, dogo alishakata roho..wajinga hawajui!
      Ni wananchi wangapi wameshuhudia mtu anafariki?
      Nani amewahi kumwona mtu anayekufa anavyohangaika? taswira hizi ndizo wanazobaki nazo madaktari kila wanaporudi majumbani mwao.
      Taswira za watu wakikata roho tena wanajua kuwa wangeweza kuzuia vifo hivyo!
      Nani atawasemea hao marehemu wanaokufa kila siku?
      Ninyi ndugu si mwawaachia madaktari ndo wawe mashahidi wa vifo?

      Hata ukienda hospitali una bima ya afya lakini unaambiwa hakuna dawa..
      Unaenda kununua wadhani ni wajibu wako kufanya hivyo?
      Hujiulizi kodi yako kuanzia kwenye mshahara mpaka bidhaa zote inaenda wapi?

      Yes, watu wasioelewa madaktari wanadai nini ni 'wajinga' Mojawapo ya sifa ya mjinga ni uwezo mdogo wa kuelewa mambo hata aeleweshwe namna gani.
      Madaktari wameeleza kuwa, japo mshahara ni mojawapo ya hoja, hoja kuu ni mazingira ya kufanyia kazi na vitendea kazi!
      Hawa wajinga wamerubuniwa na serikali inayoongelea mishahara tu huku hoja kuu ya mazingira ya kazi na vitendea kazi haiguswi wajinga hawa , wameingia ktk mtego wa propaganda za serikali,

      Wanaharakati wameihoji Serikali, 'Madaktari wametaja 3.5 milioni, je ninyi mtalipa shilingi ngapi? Serikali haijajibu kwanusahihi, wajinga wanashabikia tu!
      Hawa wajinga, hawajui kuwa misamaha ya kodi ya hovyohovyo, matumizi ya anasa na mabovu ya serikali, ubadhilifu wa fedha za umma kama ungethibitiwa hiyo milioni 3.5 angekuwa analipwa dereva....
      Wajinga hawajui...







      mkuu i wish i could hug you right now,this has been the trend in this hopeless country...people who dont know their own rights and its still the same people complaining that madaktari wauwaji...watanzania ndo chanzo cha matatizo yetu wenyewe so dont point the fingers at the doctors wao nawashukuru wamewafumbua macho tu but as u said above kuna mijitu mijinga imeshaanza kuicrash hii post already.... by definition the govt is made up of the people them selves... too bad vyombo vya habari vinapotosha ukweli,bt hakijaaribika kitu kama mungu alivyosema mwenye macho na ataona tu time will tell

    17. #15
      xzoss's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 7th July 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      21

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      mkuu think before you talk....sorry b4 you write. wewe hukuwepo au hukusoma kwenye vyombo vya habari ama magazeti ama internet kipindi kile mgomo wa kwanza,madaktari wali present to the public madai yao almost 7 of them, waziri mkuu alipoitisha mkutano wa madaktari na vyombo vya habari that time hakuyasoma yote aloud and all people heard them sasa ulitaka this time wayarudie tena ama? hata hao wapenda sheria mwanasheria mkuu hakuusishwa in the beginning na huyo pinda na serikali yake before hajafungua shitaka mahakamani? two wrongs can never make its right but dont forget its still the same wrong as u claim its is...since march to this time it hasnt changed.

    18. #16
      KAPONGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Location : Madongo kuinama
      Posts : 599
      Rep Power : 627
      Likes Received
      70
      Likes Given
      216

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Quote By MIGNON
      MJINGA NI WEWE.

      Tumewauliza hapa mara nyingi tuelezeni miiko ya kazi yenu inasemaje kuhusu wakati mnapoona mnadhulumiwa au mna mgogoro na mwajiri,hakuna nayetufahamisha.
      Tumewauliza ya kuwa mnatambua taratibu za kufuata kabla ya kugoma,hakuna nayeeleza kitu.
      Wakati nyumba yako inataka kuuzwa nawe hukuridhika huwa unakimbilia mahakamani na kuomba zuio na likitolewa nyumba haiwezi kuuzwa tena mpaka shauri lifanyike na hiki ndicho serikali ilifanya lakini kwa kuwa mmesoma lakini hamtaki kujifunza zaidi mnabishana mpaka na mahakama ambayo kesho itakuwa upande wenu.
      Huwezi kuondoa ufisadi na wizi kwa kuacha watu maskini wafe,totally unaaceptable and two mistakes will never make one right.
      Mnapoteza credibility katika jamii.
      Maelezo yako ni sawia kabisa. Lakini hawa madaktari wanafunzi walishajazwa pepo na wanaharakati na wanasiasa uchwara basi wakawa hawasikii la muadhini wala .... na kilichokuwa katika akili zao ni mafao zaidi na posho zaidi...kuhusu ukosefu wa vifaa tiba na madawa ni unafiki na geresha tu ya kutaka kuungwa mkono na wananchi jambo ambalo wamelikosa! Wataungaje mkono madaktari waliowaacha kwa maksudi wagonjwa wakifa mawodini eti kwa sababu ya madai ya posho na mishahara mikubwa zaidi..km upungufu wa vitendea kazi hakuna kada inayoweza kujinadi kuwa inajitosheleza..na kama mishahara ndio usiseme na kima cha chini si kinajulikana... Lets fight for equitable distribution of our resources and not otherwise!

    19. #17
      Nyanya mbichi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2011
      Location : libobe
      Posts : 314
      Rep Power : 442
      Likes Received
      41
      Likes Given
      3

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      matumizi bilioni tatu kwa makamu wa rais
      nini umuhimu wake

      mh rais ametumia pesa kiasi gani kwa safari za nje


      je? safari hizo na pesa zilizotumika

      zinawiana na faida iliopatikana/anayopatikana

    20. #18
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Wametufanya wengi wetu tuwe wajinga ili watunyonye, watuibie, wapore raslimali zetu, watuue kwa kutunyima huduma za msingi, wasiboreshe huduma za afya kwakuwa wao wanatibiwa nje ya Tanzania, sasa wanatesa na kutisha madoctor na wanasiasa wanaowaondolea ujinga wananchi, hakika hatutakubali, na Tanzania bila ccm umefika sasa

    21. #19
      mwakaboko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 633
      Rep Power : 566
      Likes Received
      140
      Likes Given
      858

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      uko sawa, ila madai ya milioni tatu unusu mshahara huo ulikuwa mkakati wa hovyo kabisa, mmejipendelea sana kwenye mshahara kwani yule anayepokea 135,000/ hamkumfikiria kabisa

    22. #20
      majonzi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th September 2007
      Posts : 165
      Rep Power : 629
      Likes Received
      21
      Likes Given
      36

      Default Re: Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

      Bravo madadaktari tunajua mnapambana ili sekta ya afya iboreshwe, komaeni tu sisi uku mtaani tumeisha zoea kutumia muarubaini

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...