Hivi mnajiona sawa.Mpaka tv inayoendeshwa kwa kodi zetu tuilipie? Eti airtime ikiisha wanakata mpaka TBC1.Kwahiyo nayenyewe tuite chanel ya kulipia.Kweli hii ni TEKNOBANIA
Hivi mnajiona sawa.Mpaka tv inayoendeshwa kwa kodi zetu tuilipie? Eti airtime ikiisha wanakata mpaka TBC1.Kwahiyo nayenyewe tuite chanel ya kulipia.Kweli hii ni TEKNOBANIA
cha ajabu ni kwamba, pale kwangu kimara mwisho haikamati, nimejaribu kuelekeza kiantena kisarawe weee haikamati, nikakirusha kabatini nikanunua kingámuzi kingine....kwasababu nilishakinunua, naomba waweke mitambo ya kusambaza network yao dsm nzima...kuna maeneo mengi tu dsm hayakamati..hasa kimara huku.
Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!
"Smile though your heart is aching"...Me says
mbona mimi sijalipia na ninangalia tbc1 hawajaikata, na ninaishi kimara stop ninapata stesheni zote kwa ile antena ya ndogo ya ndani.
i am sure the creator of the universe is the perfect mathematician
Ingetakiwaga isinunuliwe kamwe hala tuone wangepeka wapi!
Kale kadeki chao nimeweka hapa ndani tu!
Haikamataki!
Wizi mtupu!
Nafikiri hili ni mradi wa mtu fulani fisadi
Bw.Hute suala la kukamata au kutokamata signal linatokana na eneo ulipo mfano Kimara kuna mabonde na milima yakutosha inategemea wapi ulipo. ama sio?
Inabidi tupeane maujanja jinsi ya kukichakachua uwe ulipii na unakamata stesheni zote.
Hata mimi startimes hapa kimara niwazimu mtupu!
Inakera zaidi pale unapangalia kitu / habari nzuri mara ina stuck.......utasubiri hapo na ikirudi ule uhondo umeshapita. Yaani ni balaa. Nimemulizia mtu wa hapo kwao anadai ninunue antenna ya nje coz mm natumia antenna ndogo ya ndani.
pia walisema sabasaba waweka geographical mbona hatuioni,ubc wameireplace na emanuel tv hu ni wizi manina zao startym
awa jamaa uozo kweli,tena matapeli wasiojua kusoma nyakati
Ukitaka mateso nunua star times! Mara imekata, mara imeganda, kama antena ya nje ndo kabisa. Utaenda kuzungusha mpaka miguu iume! Ila ukikamata free channels ndio raha tupu. Ziko clear full mamuvie halafu bure!
Mkuu, kusema kweli hakuna sababu ya kulipia channels za humu nchini, hata na zile za Kenya mbona DSTV tuna angalia bila kulipiaTBC1,CITIZEN,KBC,CCTV na nyingine za kidini. Kwa maoni yangu STARTIMES isilipishe Channel zote za TBC, ITV(wakikubaliana),Channel10, MlimaniTV, ATN, CCTV, CITIZEN, KBC na za Uganda.
Ukitaka mateso nunua star times! Mara imekata, mara imeganda, kama antena ya nje ndo kabisa. Utaenda kuzungusha mpaka miguu iume! Ila ukikamata free channels ndio raha tupu. Ziko clear full mamuvie halafu bure!
Hamieni DSTV, angalia mfuko wako!
Follow Us Here