Hivi mnajiona sawa.Mpaka tv inayoendeshwa kwa kodi zetu tuilipie? Eti airtime ikiisha wanakata mpaka TBC1.Kwahiyo nayenyewe tuite chanel ya kulipia.Hii yenu ni TEKNOBANIA.Mnaboa
Hivi mnajiona sawa.Mpaka tv inayoendeshwa kwa kodi zetu tuilipie? Eti airtime ikiisha wanakata mpaka TBC1.Kwahiyo nayenyewe tuite chanel ya kulipia.Hii yenu ni TEKNOBANIA.Mnaboa
Last edited by Eraldius; 6th July 2012 at 23:23.
Hawa wachina wamenikera mno kwanza huduma zao ni za ovyo waliahidi ikifika tarehe 20/6/2012 wataanza kuonyesha channel zote za ndani bure mpaka leo hakuna Star,Itv, chanel 5, capital c2c ctn dtv, pia wanaweza ondoa chanel bila hata notes, kimsingi wanakera kama tbccm
maeneo mengi ya kimara star time haioneshi, tunaomba mitambo bora ili tupate manake sisi wengine huku ndo kwetuuuuuuuuuuuu
Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!
Hizi lawama zenu TBC, kwani hamjui kama wananchi wanalipishwa chaneli yao.Je wabunge hili mbona hamliongelei Bungeni.Au kwa kuwa nyie mna Dstv.
Follow Us Here