Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: polisi waliopo kwa ulinzi wa raia,wamezidishiwa madaraka au???!!!

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 431
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default polisi waliopo kwa ulinzi wa raia,wamezidishiwa madaraka au???!!!

      wanakamatakamata ovyo boda boda na kuwahoji leseni usajili wa piki piki na ulipiaji kodi!!!!
      wanakula rushwa za ovyo ovyo mpaka inakuwa karaha!!
      siku nimetoka na pikipiki nipo maeneo ya posta mara naskia kelele"simamaaaaaaaa"kugeuka askari wawili wameacha benki ambayo ndiyo sehemu yao ya ulinzi wanasogea nilipo,nikageuza nikawafuata,baada ya mahojiano niliwaambia kutovaa helment nikosa sasa andikeni faini,hapo waliingiza vidole mpaka kwenye viatu hawakupata karatasi za fine.......nikasepa bila kuwapa hata mia tano.....
      imekuwa karaha.
      swali ni kwamba kama polisi wa kawaida kazi yao ndio hiyo kwa sasa kuna maana gani kuwa na matrafiki(askari wa barabarani)???!!!
      askari wengi wanatumia madaraka yao kinyume na sheria!sijui kwa kuwa askari wengi kwa sasa ni vijana na kwa kuvaa kwao magwanda ya polisi wanaona wapo juu ya kila mtu??!!!
      kama unatukio lolote baina yako na maaskari liandike kwa kirefu tufaidike!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kibwebwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 403
      Likes Received
      30
      Likes Given
      11

      Default Re: polisi waliopo kwa ulinzi wa raia,wamezidishiwa madaraka au???!!!

      Mkuu hawa vijana wananjaa sana hasa hawa wageni wa kampuni hiyo mimi ninafikiri wanaamuatu kufanya haya mambo kwa ihari yao na si kwamba ni majukumu walio pangiwa wanaboa sana wanajifanya wakaguzi wa kila kitu wananyanyasa sana vijana wa bodaboda. Kwa upande wapili mi nafikiri wanacheza kibati huu ni mradi labda wanapeleka hesabu kwa wakuu wao.

    4. #3
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 431
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Kibwebwe
      Mkuu hawa vijana wananjaa sana hasa hawa wageni wa kampuni hiyo mimi ninafikiri wanaamuatu kufanya haya mambo kwa ihari yao na si kwamba ni majukumu walio pangiwa wanaboa sana wanajifanya wakaguzi wa kila kitu wananyanyasa sana vijana wa bodaboda. Kwa upande wapili mi nafikiri wanacheza kibati huu ni mradi labda wanapeleka hesabu kwa wakuu wao.
      ni kweli kibwebwe

    5. #4
      sinafungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2010
      Posts : 470
      Rep Power : 565
      Likes Received
      63
      Likes Given
      8

      Default Re: polisi waliopo kwa ulinzi wa raia,wamezidishiwa madaraka au???!!!

      nakuunga mkono hao jamaa ni kero kubwa. hata hasa wale wanaoyembea na pikipiki.

    6. #5
      Focas Kamali's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th June 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 351
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: polisi waliopo kwa ulinzi wa raia,wamezidishiwa madaraka au???!!!

      Na sisi raia tujaribu kufuata sheria na taratibu za nchi uone kama utahojiwa ovyo ovyo.

    7. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...