Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wakuu kimenuka wapi!???,FFU kibaoo!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 27 of 27
    1. #1
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,958
      Rep Power : 30233
      Likes Received
      4720
      Likes Given
      3477

      Default Wakuu kimenuka wapi!???,FFU kibaoo!

      Wamepita hapa Tazara na defender zaidi ya sita na lile la maji ya kuwasha, wenye taarifa tujuzane kwani naona kamekuwa kamtindo nchini mwetu!

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,958
      Rep Power : 30233
      Likes Received
      4720
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Mwanaharakatihuru
      Kaka asante kwa uzalendo wako nina imani wewe ni FFU lakini mzalendo hivyo unatupa taarifa ili tujiweke sawa asante sana kwani mara zote umekuwa unatupa taarifa kuwa mko njiani asante sana. Ombi langu kwako siku ukisikia Dr Ulimboka kafa usije kazini tunakutaarifu tu in advance kwani huo utakuwa mwanzo wa mwisho
      Nimeipenda hii mkuu! mi natokea njia hii na ni mara ya pili nikiwa njiani kwenda job wananipita njiani!

    4. #22
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,705
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1483
      Likes Given
      574

      Default

      Quote By Manyanza
      hao FFU wameamua kuchezea rasilimali za nchi hii

      Hata Mi nimehisi hili!

    5. #23
      grafani11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Location : Omnipotent Street
      Posts : 2,797
      Rep Power : 964
      Likes Received
      894
      Likes Given
      1363

      Default Re: Wakuu kimenuka wapi!???,FFU kibaoo!

      Hao FFU wameridhika na maisha wanayoishi kule ukonga, nyumba full suit "juu bati, kando bati", vyumba viwili vya kulala, familia kubwaaa mpaka sebuleni malazi. Asubuhi wakitoka ndani ya nyumba utafikiri watu wanatoka semina/uwanja wa taifa hivi.

      Hata Dr. Lyatonga Mrema wakati ule anatetea maslahi yao pia walimpiga vita, ikabidi awape vidonge vyao. Hao dawa yao wananchi wawape serikali iliyochini ya M4C tuone nao kama watagoma.

    6. #24
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,580
      Rep Power : 2553
      Likes Received
      2142
      Likes Given
      1862

      Default Re: Wakuu kimenuka wapi!???,FFU kibaoo!

      wakimaliaza kuwapiga hao wanaoenda kuwapiga basi waende Ikulu na bungeni kwa wale wanaoongea ***** kutwa nzima
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    7. #25
      Asante's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2009
      Posts : 443
      Rep Power : 756
      Likes Received
      112
      Likes Given
      124

      Default Re: Wakuu kimenuka wapi!???,FFU kibaoo!

      Wanaenda kituo chao kipya cha kazi. Kituo kipya kipo ndani ya viwanja vya zima moto, barabara ya Morogoro na United Nation.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,659
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Wakuu kimenuka wapi!???,FFU kibaoo!

      ccm imechanganyikiwa ina haha kutisha watu, Nguruwe hatishiwi shamba la viazi

    10. #27
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,391
      Rep Power : 665
      Likes Received
      448
      Likes Given
      262

      Default Re: Wakuu kimenuka wapi!???,FFU kibaoo!

      Siku FFU wakgoma ntamwambia mwajiri wangu asinilipe mshahara wangu wa mwezi huo
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...