Wamepita hapa Tazara na defender zaidi ya sita na lile la maji ya kuwasha, wenye taarifa tujuzane kwani naona kamekuwa kamtindo nchini mwetu!
Wamepita hapa Tazara na defender zaidi ya sita na lile la maji ya kuwasha, wenye taarifa tujuzane kwani naona kamekuwa kamtindo nchini mwetu!
Hao FFU wameridhika na maisha wanayoishi kule ukonga, nyumba full suit "juu bati, kando bati", vyumba viwili vya kulala, familia kubwaaa mpaka sebuleni malazi. Asubuhi wakitoka ndani ya nyumba utafikiri watu wanatoka semina/uwanja wa taifa hivi.
Hata Dr. Lyatonga Mrema wakati ule anatetea maslahi yao pia walimpiga vita, ikabidi awape vidonge vyao. Hao dawa yao wananchi wawape serikali iliyochini ya M4C tuone nao kama watagoma.
wakimaliaza kuwapiga hao wanaoenda kuwapiga basi waende Ikulu na bungeni kwa wale wanaoongea ***** kutwa nzima
...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???
Wanaenda kituo chao kipya cha kazi. Kituo kipya kipo ndani ya viwanja vya zima moto, barabara ya Morogoro na United Nation.
ccm imechanganyikiwa ina haha kutisha watu, Nguruwe hatishiwi shamba la viazi
Siku FFU wakgoma ntamwambia mwajiri wangu asinilipe mshahara wangu wa mwezi huo
Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA
Follow Us Here