Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale - Anatumikia vyama viwili?

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale - Anatumikia vyama viwili?

      Mwenyekiti wa mtaa wa kwa mkunduge huko tandale amekataliwa na wananchi kwa sababu anatumikia vyama viwili yaani CUF na ADC,mwenyekiti huyu imebainika kuwa anagawa kadi na bendera za ADC ili-hali alichaguliwa kuwa mwenyekiti kwa tiketi ya CUF,pia anatuhumiwa kwa matumizi mabaya ya SERIKALI,ameuza baadhi ya vitu kisha hajaweka wazi matumizi ya pesa,alipoulizwa alisema kuwa ana wake wawili,,,,,mmoja mbagara mmoja tandale,kwahiyo pesa nyingine zipo kwa mke mdogo mbagara.
      Sosi:habari clouds tv

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 898
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default Re: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale -Kwa mKunduge akataliwa na wananchi kwa sababu anatumikia vyama vi

      Tunamkaribisha kwenye chama kipya kinachoitwa CHAUMWA
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    4. FJM
      #3
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,170
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale -Kwa mKunduge akataliwa na wananchi kwa sababu anatumikia vyama vi

      Tume ya Katiba, hebu rekebisha hili.

    5. #4
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,677
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale -Kwa mKunduge akataliwa na wananchi kwa sababu anatumikia vyama vi

      Quote By FJM
      Tume ya Katiba, hebu rekebisha hili.
      Huyu mwenyekiti mkuu mbona anachafua chama chetu?

    6. FJM
      #5
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,170
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale -Kwa mKunduge akataliwa na wananchi kwa sababu anatumikia vyama vi

      Quote By Tume ya Katiba
      Huyu mwenyekiti mkuu mbona anachafua chama chetu?
      Mwenyekiti ana tamaa huyu inaelekea.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale -Kwa mKunduge akataliwa na wananchi kwa sababu anatumikia vyama vi

      Mwenyekiti anasoma alama za nyakat je atumikie chama kipi???anasoma upepo unavyopita

    9. #7
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By FJM
      Mwenyekiti ana tamaa huyu inaelekea.
      ni kweli,,,,ADC si ndo cha hr????

    10. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Tume ya Katiba
      Huyu mwenyekiti mkuu mbona anachafua chama chetu?
      halafu alivaa t-shirt ya CUF

    11. #9
      Sema Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 309
      Rep Power : 422
      Likes Received
      21
      Likes Given
      20

      Default Re: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale -Kwa mKunduge akataliwa na wananchi kwa sababu anatumikia vyama vi

      haina tabu kwani hicho alichochaguliwa kinakufa hivyo anajiandaa na maisha mapya

    12. #10
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 672
      Rep Power : 534
      Likes Received
      131
      Likes Given
      45

      Default Re: Mwenyekiti wa mtaa wa Tandale - sababu anatumikia vyama viwili

      Mtaa wa MKUNDUGE!!!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...