Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Kimla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2008
      Posts : 119
      Rep Power : 582
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

      Ndugu zangu nimefanya mahesabu yangu kwa assumption kwamba nimechangia miezi 180 na umri wangu wa miaka 55.Monthly Gross salary yangu ni sh 402,500, Gross Annual salary ni sh 44,300,000Tsh na average monthly Salary kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita ni sh 3,309,570.67. Nimefanya hesabu ya Monthly pension na lumpsum ya kupew kw mifuko ya NSSF,PSPF na LAGF na nimegungua NSSF wanapunja sana. Kwa mapato niliyoyasema hapo juu nimepata ifuatavyo

      NSSF: Monthly pension ni 615,871Tsh na lumpsum/kiinua mgongo unapewa sh 23,828,908
      PsPF na LAGF; Monthly pension 615,277;Lumpsum/Kiinua mgongo unapewa 114,441,661

      Nimetumia formula zilizoko mtandaoni kwa mashirika husika kukokotoa na kugundua kuwa mifuko ya PPF na NSSF wanalipa kidogo sana ile Lampsum na monthly pension.

      Je kwa nini wanachama na NSSF na PPF tulipwe kidogo hivyo ukilinganisha na PSPF na LAGF? Naomba ufafanuzi kwa yeyote anayejua juu ya hili suala.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Kimla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2008
      Posts : 119
      Rep Power : 582
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

      Jamani hakuna wa zoefu wa namba ili watufafanulie juu ya hilo hapo juu

    4. #3
      Kimla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2008
      Posts : 119
      Rep Power : 582
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

      Wadau hakuna mzoefu wa mahesabu haya ya pension atujuze kwani nahisi kufa mie nilioko nssf

    5. #4
      kibai's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 160
      Rep Power : 401
      Likes Received
      34
      Likes Given
      27

      Default Re: kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

      Japokuwa amekosea kukokotoalakini ukweli ndiyo huo kwamba NSSF na PPF wanatoa kidogo kulio LAPF siyo LAGF na PSPF, kule LAPF hakuna averaging kwanza unatumia mshahara wa mwisho, averaging tafsiri yake ndogo ni bring down the value kwenye hii context kwasababu mshahara kawaida huwa unaongezeka. Kule PPF wao pesheni ni kidogo sana wanatumia factors mbili 600 na900 kugawa, wakati LAPF wanatumi 540, sasa kimahesabu ukigawanya kwa namba ndogo kama LAPF unapata zaidi. NSSF wao wana idadi kubwa ya vifao vidogo vodogo kama ukikatwa kidole 3000(elfu tatu) lakini wanajifanya wanalipa sana, ila hakuna kitu. Cha zaidi hapa ni mtu kuamua kujiunga na mfuko unaofaa, nahisi LAPF maana hawa nasikia wanaruhusu hata sekata binafsi ila PSPF nasikia ni ya walimu tu wengine hawaruhusiwi. Pole wale ambao tayari mpo ila saidieni wengine wasitumbukie, waambieni waende LAPF.

    6. #5
      grafani11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Location : Omnipotent Street
      Posts : 2,796
      Rep Power : 964
      Likes Received
      888
      Likes Given
      1363

      Default Re: kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

      Mkuu Kibai inavyooekana una uzoefu katika hili, hivi ukitaka kujua kama michango yako inapelekwa PPF kila mwezi na mwajiri wako kwa kutumia mtandao unafanyaje. Pls msaada tutani.

    7. Miaka 50

    8. #6
      GIUSEPE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2011
      Posts : 177
      Rep Power : 503
      Likes Received
      57
      Likes Given
      74

      Default Re: kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

      Umekosea katika calculation zako. Hata hivyo sheria ya mifuko ya hifadhi za jamii ijayo, itaweka usawa katika ulipaji wa pensheni kwa mifuko yote.

    9. #7
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 702
      Likes Received
      149
      Likes Given
      75

      Default Re: kwa nini mafao kidogo NSSF,PPF kuliko PSPF na LAGF??

      Quote By kibai
      Japokuwa amekosea kukokotoalakini ukweli ndiyo huo kwamba NSSF na PPF wanatoa kidogo kulio LAPF siyo LAGF na PSPF, kule LAPF hakuna averaging kwanza unatumia mshahara wa mwisho, averaging tafsiri yake ndogo ni bring down the value kwenye hii context kwasababu mshahara kawaida huwa unaongezeka. Kule PPF wao pesheni ni kidogo sana wanatumia factors mbili 600 na900 kugawa, wakati LAPF wanatumi 540, sasa kimahesabu ukigawanya kwa namba ndogo kama LAPF unapata zaidi. NSSF wao wana idadi kubwa ya vifao vidogo vodogo kama ukikatwa kidole 3000(elfu tatu) lakini wanajifanya wanalipa sana, ila hakuna kitu. Cha zaidi hapa ni mtu kuamua kujiunga na mfuko unaofaa, nahisi LAPF maana hawa nasikia wanaruhusu hata sekata binafsi ila PSPF nasikia ni ya walimu tu wengine hawaruhusiwi. Pole wale ambao tayari mpo ila saidieni wengine wasitumbukie, waambieni waende LAPF.
      PSPF siyo kwa ajili ya walimu tu, ni kwa wafanyakzi wote na wewe kama ni mtumishi wa umma na bado haujasajiliwa unaruhusiwa kujiunga.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...