Japokuwa amekosea kukokotoalakini ukweli ndiyo huo kwamba NSSF na PPF wanatoa kidogo kulio LAPF siyo LAGF na PSPF, kule LAPF hakuna averaging kwanza unatumia mshahara wa mwisho, averaging tafsiri yake ndogo ni bring down the value kwenye hii context kwasababu mshahara kawaida huwa unaongezeka. Kule PPF wao pesheni ni kidogo sana wanatumia factors mbili 600 na900 kugawa, wakati LAPF wanatumi 540, sasa kimahesabu ukigawanya kwa namba ndogo kama LAPF unapata zaidi. NSSF wao wana idadi kubwa ya vifao vidogo vodogo kama ukikatwa kidole 3000(elfu tatu) lakini wanajifanya wanalipa sana, ila hakuna kitu. Cha zaidi hapa ni mtu kuamua kujiunga na mfuko unaofaa, nahisi LAPF maana hawa nasikia wanaruhusu hata sekata binafsi ila PSPF nasikia ni ya walimu tu wengine hawaruhusiwi. Pole wale ambao tayari mpo ila saidieni wengine wasitumbukie, waambieni waende LAPF.
Follow Us Here