Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Tanzania tumesherekea miaka 50 ya uhuru mwaka jana,Rwanda wamesherehekea mwaka huu.kwa taarifa serikali ya Rwanda kupitia shirika lake la usafiri wa anga wanandege 18 wakati sisi vikogwe waTZ hatuna hata ndege moja ila tuna uniform za mamilioni

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Bogus leaders bogus economy!
      Jasusi and Mkurabitambo like this.

    4. #3
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      218
      Likes Given
      684

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      kupeperusha bendera ya nchi yako katika vyombo vyenye umiliki wa nje haina maana halisi kuwa vyombo vile ni vyako.....!
      Otherwise na sisi tu-claim kuwa tuna MELI KUBWA NA ZA KISASA WAKATI UHALISIA NI ZA IRAN
      Kila kilichopo ndani ya kapeti kikifunuliwa tutajicheka ujanja

    5. #4
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Nakumbuka usemi wa babu yangu kwamba "Mbwa wengi hawakamati sungura",na pia "Panya wengi hawachimbi shimo".

    6. #5
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12250

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Enzi za Mwalimu tulikuwa na ndege 13. Zilikwenda wapi?

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Quote By Mahesabu
      kupeperusha bendera ya nchi yako katika vyombo vyenye umiliki wa nje haina maana halisi kuwa vyombo vile ni vyako.....!
      Otherwise na sisi tu-claim kuwa tuna MELI KUBWA NA ZA KISASA WAKATI UHALISIA NI ZA IRAN
      Kila kilichopo ndani ya kapeti kikifunuliwa tutajicheka ujanja
      haa!!!!! kumbe

    9. #7
      Ngigana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2010
      Posts : 331
      Rep Power : 529
      Likes Received
      55
      Likes Given
      164

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Shauri ya Dhaifu dhaifu dhaifu dhaifuuuuuuuuuuuu ktk nyanja zote
      A life that influences no one is not worth living! By B B Shonga

    10. #8
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      tatizo hao unaowaita watu million 45 wa tanzania umehesabia na kina LUSINDE..ila nafikiri ukitoa baadhi ya watu utakuta idadi ni kama million 12 hivi.......
      Mkurabitambo likes this.

    11. #9
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,204
      Rep Power : 610
      Likes Received
      328
      Likes Given
      32

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Dukomeze Imihigo
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    12. #10
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      iko 1 bana, ile tuliambiwa tule majani kama mbuzi ili inunuliwe.

    13. #11
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Quote By asigwa
      tatizo hao unaowaita watu million 45 wa tanzania umehesabia na kina LUSINDE..ila nafikiri ukitoa baadhi ya watu utakuta idadi ni kama million 12 hivi.......
      umemsahau Nchemba
      asigwa likes this.

    14. #12
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,804
      Rep Power : 954
      Likes Received
      814
      Likes Given
      526

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      sasa ndege ya rais unataka tuisabu wakati anapanda yeye tu

    15. #13
      BASIASI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2010
      Posts : 1,400
      Rep Power : 781
      Likes Received
      201
      Likes Given
      172

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Ujamalizia bajeti ya miaka 50 wametumia millioni 378 wakati tanzania tumetumia billion 27 bila aibu

    16. #14
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 469
      Likes Received
      98
      Likes Given
      48

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Kama ni mbongo hutakiwi kushangaa kwa bongo mbona kawaida mno.Kikubwa eti tunajivunia amani hiyo amani sijui ni ipi nakati kila kukicha matukia ya ajabu mpaka Sugu ana ita janjaweel

    17. #15
      mtzedi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2011
      Posts : 397
      Rep Power : 455
      Likes Received
      48
      Likes Given
      141

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      sasa hizo sare wamenunua wavae wapi? shame on them si bora pesa hizo wangenunua madawati kwa wanafunzi shule zetu hizi za kayumba. yote yana ipo siku watanzania watachoka kuuzunguka mlima huu waliouzunguka kwa takribani miaka 50
      Mkurabitambo likes this.

    18. #16
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Hivi huwa tuna angaliwa kwa mtazamo gani tunapojitambulisha kwa watu wa mataifa mengine?? Aibu sana,magamba walaaniwe.
      charminglady likes this.

    19. #17
      zedlyn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 62
      Rep Power : 375
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      i like rwanda jaman dispite of its past political instability

    20. #18
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,562
      Rep Power : 806
      Likes Received
      523
      Likes Given
      408

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      Bajeti ya miaka hamsini ilikuwa billion 64 na si 27, coz ilijadiliwa sana humu jamvin enzi zile. Hizi ni laana.

    21. #19
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Rwanda kuna watu milion 11,kuna ndege 18,Tanzania watu milion 45 hakuna hata ndege moja

      hizo ndege zetu zipo lakini ziko in monetary form..ukizitaka nenda kwenye mabenki ya uswiss,US,UK utazikuta huko
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    22. #20
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 577
      Rep Power : 484
      Likes Received
      74
      Likes Given
      72

      Default

      Quote By Jasusi
      Enzi za Mwalimu tulikuwa na ndege 13. Zilikwenda wapi?
      Tumbo street!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...