Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      BJEVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 755
      Rep Power : 574
      Likes Received
      165
      Likes Given
      140

      Default Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi, tanzania daima na mengine watuhumiwa wa matumizi mabaya ya ofisi na fedha za umma tshs.3,853,629,517.90 (billion) ni hawa hapa.



      1.kanali ayub mwakang’ata-mkurugenzi mkuu suma


      2.kanali lukohi kichogo



      3.kanali paul mayavi



      4.meja peter lushika



      5.sajenti john laiezer



      6.meja yohana nyichi



      7.luteni kanali felix samilan-mkurugenzi wa miradi ya matrekta ya suma jkt



      hawa wote walifikishwa mahakamani jana tar 02/07/2012 ili kusomewa mashitaka 7 yanayowakabili.kama kweli wanahusika na matumizi haya mabaya ya fedha za umma!!!!????
      Je! Tutafika!!!!?????

    2. Miaka 50

    3. #2
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,415
      Rep Power : 994
      Likes Received
      776
      Likes Given
      261

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Hatutaki kutajiwa tajiwa hawa maafande, tunataka tutajiwe bila kigugumizi majina ya wamiliki wa kagoda pamoja na wale vigogo wa ccm walioweka mabilioni yetu benki za uswisi na wafikishwe mahakamani mara moja.
      Last edited by Power G; 3rd July 2012 at 13:32.
      Mtumishi Wetu and Mafie PM like this.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    4. #3
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,805
      Rep Power : 955
      Likes Received
      814
      Likes Given
      527

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      hao mafisadi wasiachwe,wakat wananchi wengine wanataabika,wengine wanajichotea mabilioni!

    5. #4
      Godwishes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 464
      Rep Power : 484
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Mi nashukur kunitajia.Kufika tutafika ila tutakua hoiehea

    6. #5
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Quote By BJEVI
      Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi, tanzania daima na mengine watuhumiwa wa matumizi mabaya ya ofisi na fedha za umma tshs.3,853,629,517.90 (billion) ni hawa hapa.



      1.kanali ayub mwakang’ata-mkurugenzi mkuu suma


      2.kanali lukohi kichogo

      huyu ni mkurugenzi idara ya manunuzi SUMA JKT

      3.kanali paul mayavi

      huyu ni mkurugenzi wa fedha SUMA JKT

      4.meja peter lushika

      huyu alikua afisa manunuzi kama sijasahau

      5.sajenti john laiezer

      huyu alikua mtunza stoo,na aliamishiwa toka arusha kuja dar kwa lengo hili

      6.meja yohana nyichi

      huyu sikumbuki vizuri

      7.luteni kanali felix samilan-mkurugenzi wa miradi ya matrekta ya suma jkt



      hawa wote walifikishwa mahakamani jana tar 02/07/2012 ili kusomewa mashitaka 7 yanayowakabili.kama kweli wanahusika na matumizi haya mabaya ya fedha za umma!!!!????
      Je! Tutafika!!!!?????
      habari ndio hiyo na kwa taarifa tu SUMA imeoza kuna mengi yanafichwa


    7. #6
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 577
      Rep Power : 484
      Likes Received
      74
      Likes Given
      72

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Tatizo mahakama, sheria zetu na mfumo mzima wa uendeshaji wa kesi km hizi ni dhaifu mno kiasi kwamba mtu hawezi kuogopa kushtakiwa, kwa mfano kesi km hii mpaka mtu iamuriwe kuwa anakosa la kujibu inaweza kuchukua hata miaka mitatu, chukulia mfano kesi ya mramba na yona, hii ni danganya toto,

    8. #7
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Wanajesh nao wanapenda maisha kama ya wanasiasa,,,huenda ikawa hata silaha wanauza,,,,,leo tumejua haya ya kilimo maana si mazito,honestly sijashtushwa na huu wizi,hivi ni vijisent tu,maana kwa sasa uswiz kuna za mafuta na madini

    9. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Wanajesh nao wanapenda maisha kama ya wanasiasa,,,huenda ikawa hata silaha wanauza,,,,,leo tumejua haya ya kilimo maana si mazito,honestly sijashtushwa na huu wizi,hivi ni vijisent tu,maana kwa sasa uswiz kuna za mafuta na madini
      hawa maafande bado wapo kwenye kundi la VIDAGAA,kwa mujibu wa Hoseah

    10. #9
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By kivyako
      Tatizo mahakama, sheria zetu na mfumo mzima wa uendeshaji wa kesi km hizi ni dhaifu mno kiasi kwamba mtu hawezi kuogopa kushtakiwa, kwa mfano kesi km hii mpaka mtu iamuriwe kuwa anakosa la kujibu inaweza kuchukua hata miaka mitatu, chukulia mfano kesi ya mramba na yona, hii ni danganya toto ,
      kula kande mbichiiiii

    11. #10
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4738
      Likes Given
      2652

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Mbona Luteni Jenerali Abdulrahman Mgonja SHIMBO hayumo?
      MZALAMO likes this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    12. #11
      bigcell's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 110
      Rep Power : 460
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      brrrrrrrriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiih! tekenya......! , tekenya! mchakamchaka chiinja alimselema adija.....x2 wera, wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaah!

    13. #12
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Safari_ni_Safari
      Mbona Luteni Jenerali Abdulrahman Mgonja SHIMBO hayumo?
      kama hagus maslah ya wateule,tutamtaja sisi tu HAPA

    14. #13
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,321
      Rep Power : 12955
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2500

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      wakipatikana na hatia, mali zao zipigwe tanji

    15. #14
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4738
      Likes Given
      2652

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Quote By Bajabiri
      kama hagus maslah ya wateule,tutamtaja sisi tu HAPA
      Tuliambiwa amekutwa na 3trl/= kwenye account:

      Shimbo na wizi wa Trilioni 3: Apata mshtuko na kuzirai!


      Hali ilivyokuwa:


      JK alienda AFRICA YA KUSINI majuzi na alikuwa anajaribu kuomba msaada kuisaidia TZ, wakamwambia hatutaweza kukusaidia maana una watu wana hela ambazo ni zaidi ya ambazo tungekusaidia. Ndipo wakamfahamisha juu ya Mnadhimu wetu kuwa na account huko yenye zaidi ya TZS zaidi ya trilioni 3. Habari hii ilimshtua JK naye akataka ufanyike uchunguzi ambao uliibuka na usahihi wa taarifa toka SA kwani ilikutwa kweli jamaa ana hela hizo.Inasemekana Interpol wamempatia Afande Shimbo ukweli wa Account zake nje ya nchi zenye pesa nyingi sana na amechukuliwa chini ya Ulinzi wa Interpol kwenda Africa ya kusini kwa matibabu.
      Amekuwa akiwakata posho wanajeshi wanaoenda kujitolea kusaidia mataifa ya nje na wa ndani.


      Hela nyingi zaidi ni pale alipokata fungu kubwa sana toka fedha za shukrani toka Comoro baada ya Tanzania kuisaidia nchi hiyo. Fedha hizo zilitakiwa kugawiwa kwa wanajeshi kwa kuisaidia nchi hiyo lakini mkuu huyu alizipiga panga na hawakujua kuwa alikuwa kafungua akaunti nje ya nchi na kuzihamishia kule.Ameshindwa kueleza kwa undani alizipataje pesa hizi kwenye akaunti na aliishiwa nguvu na kudondoka!


      Si Shimbo pekee...


      Kuna kijana mdogo sana anaitwa PTE Gwilla, huyu yupo Kurugenzi ya DPA ana-deal na salaries za wanajeshi... Kinachoshtua ni askari mdogo sana lakini alikuwa ana maghorofa mawili makubwa, magari aina ya Coaster mawili na benki alikutwa na zaidi ya 73mil TZS (kwa mshahara wake asingeweza kuwa na vitu hivi)


      Uchunguzi umeonyesha Gwilla alikuwa anacheza na mishahara ya wanajeshi kwa muda mrefu (4yrs) kwa aidha mishahara hewa, kukata 500 kwa kila mwanajeshi (4yrs) na zaidi akawa anakula hela za likizo za wanajeshi kwa zaidi ya miaka 3 (2009-2011).


      Huyu naye kakamatwa na anashikiliwa Mgulani.


      Kuna mwingine...


      Ni Mkurugenzi wa malipo jeshini, Brigedia (CC) Zakayo, naye kalamba mabilioni ya hela (kiasi sijakinasa vema bado lakini ni zaidi ya EPA) naye anashughulikiwa kwa karibu.

      Source: http://darusi2008.blogspot.com/2011/...u-wa-jwtz.html
      Mafie PM likes this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    16. #15
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 577
      Rep Power : 484
      Likes Received
      74
      Likes Given
      72

      Default

      Quote By Bajabiri
      kula kande mbichiiiii
      Sijakusoma!!!

    17. #16
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 720
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      naona afande ndomba ameamua kusafisha jkt,

      Shimbo anatakiwa kustaafu mwezi wa tisa kwa mujibu wa umri, ameandika barua ya kuomba kuongezwa muda wa utumishi lakn sidhani kama ataongezewa

    18. #17
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Kazi ya vigango si ndio yenyewe hapo! Mafisadiii tuacheni tupumue!

    19. #18
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 994
      Rep Power : 632
      Likes Received
      114
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By kivyako
      Sijakusoma!!!
      Ni kamsemo tu, danganya toto kula kunde mbichi.

    20. #19
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      Quote By Power G
      Hatutaki kutajiwa tajiwa hawa maafande, tunataka tutajiwe bila kigugumizi majina ya wamiliki wa kagoda pamoja na wale vigogo wa ccm walioweka mabilioni yetu benki za uswisi na wafikishwe mahakamani mara moja.
      Umesahau Trilion tatu kule South Africa zilisemwa kisha ziii!!!!!


    21. #20
      Rubesha Kipesha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 379
      Likes Received
      12
      Likes Given
      29

      Default Re: Watuhumiwa wa ufisadi wa 3.8 billion -suma jkt hawa hapa.....

      kwa style hii ya kuchota fedha ukata ndio unazidi kuongezeka katika taasisi za umma!
      Mmmh yawezekana kabisa ndio maana huduma zinakuwa chini ya kiwango mfano katika hospitali nk.

      Mafisadi hao ni walafi na wa binafsi mnooooooooo kaah!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...