Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi, tanzania daima na mengine watuhumiwa wa matumizi mabaya ya ofisi na fedha za umma tshs.3,853,629,517.90 (billion) ni hawa hapa.
1.kanali ayub mwakang’ata-mkurugenzi mkuu suma
2.kanali lukohi kichogo
3.kanali paul mayavi
4.meja peter lushika
5.sajenti john laiezer
6.meja yohana nyichi
7.luteni kanali felix samilan-mkurugenzi wa miradi ya matrekta ya suma jkt
hawa wote walifikishwa mahakamani jana tar 02/07/2012 ili kusomewa mashitaka 7 yanayowakabili.kama kweli wanahusika na matumizi haya mabaya ya fedha za umma!!!!????
Je! Tutafika!!!!?????

Reply With Quote



Follow Us Here