Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waalimu kufanya kazi ya sensa badala ya waliomaliza form 6 walioko nyumbani wakisubiri kwenda chuo

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Inanambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 613
      Rep Power : 522
      Likes Received
      97
      Likes Given
      20

      Default Waalimu kufanya kazi ya sensa badala ya waliomaliza form 6 walioko nyumbani wakisubiri kwenda chuo

      Nimesikitika sana baada ya kukosa hata kibarua cha muda mfupi cha kusaidia serikali kufanya sensa mwaka huu. Nilimaliza form 6 mwaka jana niko tu home na wazazi wangu nawategemea kwa kila kitu from chakula, mavazi kunyoa na kusuka nywele, nauli ya kwenda na kurudi. Nimetafuta tempo kila pahala hata ya kuuza duka sijapata angalau na mimi nizoea kidogo kupata kwa jasho langu. Nikasikia kuna watu wanatafutwa wa kufanya sensa. Nikaenda kwa serikali za mitaa kuulizia nikaambiwa eti lazima uwe mwalimu ndio utapewa kazi hiyo. Nikajaribu kwenda wilayani nikapewa jibu hilo hilo. Nauliza hivi sisi tuliomaliza form 6 hatuwezi kusaidia serikali kufanya kazi hiyo? Waalimu tayari wana ajira yao na wanapata mshahara. Wao kila ikija sensa, uchaguzi ndio huwa wanapewa nafasi tuu. Watu wengine hata kama tuna identity zinazojulikana hutupewagi hizo nafasi. Ni bora waalimu wafunge shule wanafunzi wakose masomo ili wao wapewe kazi hizi. Mimi nimeona ingekuwa bora kwa kipindi hiki cha sensa na kuandikisha vitambulisho serikali ikawatumia vijana tuliomaliza sekondari tunaosubiri kwenda chuo
      ili tusiendelee kuwa jobless wakati kuna shughuli tunaweza saidia serikali kufanya tena kwa ujira kidogo tu wa kununulia hata boxaa.

    2. Miaka 50

    3. #2
      dedam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 598
      Rep Power : 603
      Likes Received
      102
      Likes Given
      35

      Default Re: Waalimu kufanya kazi ya sensa badala ya waliomaliza form 6 walioko nyumbani wakisubiri kwenda ch

      dogo subiri tangazo litoke utume maombi sensa kila raia anaruhusiwa kutuma maombi. sifa ni za kawaida uwe unajua kusoma na kuandika tatizo mnazidiwa kwenye sifa za ziada kama kuwa professional , kuwa mvumilivu na uzoefu sasa we na njaa yako utakuwa mvumilivu? walimu ni wavumilivu na wazoefu wa kazi za serikali. kuna uchaguzi mmoja wa raisi na wabunge walichukua wanajeshi mbona serikali ilijuta kuzaliwa!

    4. #3
      Inanambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 613
      Rep Power : 522
      Likes Received
      97
      Likes Given
      20

      Default Re: Waalimu kufanya kazi ya sensa badala ya waliomaliza form 6 walioko nyumbani wakisubiri kwenda ch

      Hayo matangazo yamepita chini kwa chini ndio sababu mimi na wenzangu tuliamua ya kuyatafuta hata huko serikali za mitaa tukakosa tukaambiwa ni nafasi ya waalimu tu. Bro kwa njaa hii na mimi nimejifunza uvumilivu hata nikiambiwa niende huko masaini nitaenda ili mradi nipate kidogo tu changu na mimi.

    5. #4
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,012
      Rep Power : 8379
      Likes Received
      833
      Likes Given
      695

      Default Re: Waalimu kufanya kazi ya sensa badala ya waliomaliza form 6 walioko nyumbani wakisubiri kwenda ch

      Usikate tamaa, safari ya maisha huwa inachangamoto sana, ulijaribu kutafuta hata kibarua cha kufundisha?Maana kuna hizi shule za kata bado zinaupungufu sana wa walimu, ungejaribu hata kusafiri kutoka hapo ulipo.Maisha ni kupambana kabisa usikae tu sehemu moja, ulizia hata rafiki zako uliosoma nao wanaweza kukupa wazo la kupata kibarua cha mda kabla ya kwenda chuo.Yangu ni hayo tu.

    6. #5
      Miya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 194
      Rep Power : 451
      Likes Received
      28
      Likes Given
      11

      Default Re: Waalimu kufanya kazi ya sensa badala ya waliomaliza form 6 walioko nyumbani wakisubiri kwenda ch

      Wamepewa walimu ili wasigome
      Helios likes this.

    7. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...