Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 59
    1. #1
      magwepande's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 348
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Exclamation Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      Mfanyabishara fisadi aneibia seriakali milioni mia tatu (300,000,000) tra kila mwezi aliyeifirisi wizara ya afya kwa kuuza nguo za madaktari za kiwango cha chini kwa gharama kubwa ya bilioni tatu

      fisadi huyo anayemiliki maduka makubwa jijini dsm ya nguo, vipodozi na furniture. Pia ndie mmiliki wa kampuni ya mariedo ltd anafahamika kwa jina la mary amri

      amekuwa akitakiwa kulipa milioni mia tatu(300,000,000/=) mpaka mia nne(400,000,000) tra kila mwezi kama malipo ya kodi. Badala yake analipa milioni hamsini(50,000,000) hadi milioni 45 (45,000,000) hii inatokana na kwamba mara nyingi anatumia risiti ambazo zimekuwa hazionyeshi vat. Na katika kila duka lake kuna mashine za tra za kuonyesha malipo ya vat lakini zimekuwa hazitumiki ili kukwepa kulipa kodi.badala yake amekuwa akiuza kwa kutumia risiti za kuandika kwa mkono ambazo hazina vat

      pia amekuwa akifanya vikao na macashier wake wote kila jumanne anawafundisha jinsi ya kuiibia tra. Kwa hapa mjini ana jumla ya maduka 8 ambayo yote halipi vat ipasavyo.

      Maduka hayo ni pamoja na
      1.mkapa tower maduka mawili pamoja bureu
      2.ips building maduka mawili
      3. Mary rose cosmetics lilipo mtaa wa jamhuri
      4. Homedecor furmiture lilipo namanga

      mama huyo pia alishirikiana na mama blandina nyoni kuifirisi wizara ya afya kusaini mkataba wa tender ya uniform za madaktari na wauguzi wote wa muhimbiri ambapo zilisambazwa uniform na makoti ya madaktari yasiyokuwa na kiwango na kuuzwa kwa bei kubwa sana wakati nchini china yameshonwa kwa gharama za chini mno kwa sababu ni ya grade ya mwisho kabisa.

      Jamani watanzania tuamke mafisadi sio mawaziri na wabunge tu hata wafanyabiashara wanaiibia sana serikali na kupoteza pato la taifa. Wanashirikiana na wafanyakazi wachache serikalini wasiokuwa waaminifu kwa kusaini mikataba hewa.

      Pia mama huyo amekuwa hawalipii nssf wafanyakazi wake kama ipasavyo, wafanyakazi wake hawana mikataba ya kazi inayotambulika,amewatumikisha wafanyakazi wake kwa muda mrefu bila kuawapa mikataba, wengine wafanya kazi kwa muda miaka kumi bila kuajiriwa wala kuwa na mikataba.

      Pia mama huyo amekuwa angiiza mizigo yake nchini bila kutumia jina la kampuni badala yake anawatumia majina ya wafanyakazi wake ilikukwepa kulipa kodi. Na mizigo mingi inapitia kia na anahonga wafanyakazi wa kia na mizigo inapita bila kulipa hata senti ya ushuru. Na majina ambayo huwa anatumia kwa kuingiza mizigo nchini ni pamoja na

      1. wema kaseba – 0754 907020
      2. dora olutu – 0715 500008
      3. haidi nyange – 0754 579622
      4. josephine kissima – 0712 769792
      5. edwina barongo – 0712 827777


      majina hayo ndiyo yanatumika kupitishia mizigo air port na bandarini ili kukwepa kulipa kodi.na hatumii jina lake wala la kampuni yake ambayo ni mariedo limited.

      Hata mizigo ya wizara ya afya iliyochakachuliwa na fisadi mwenzake mama nyoni iliingia kwa jina la haidi nyange ambayo ilitoka turkey na china na haikulipiwa hata sh mia na badala yake huwa anahonga kwa wafanyakazi wa air port na bandari na kutoa mizigo.


      Tunaomba serikali muamke sana kwa wafanyabiashara wadanganyifu kama mary amri harafu anajiita mama mchungaji. Msiwabane mawaziri na wabunge tu kwa ufisadi. Tuna imani wapo wengi sana kama huyu.

      Mungu ibariki tanzania .

    2. Miaka 50

    3. #2
      promiseme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2010
      Posts : 1,083
      Rep Power : 683
      Likes Received
      306
      Likes Given
      12

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      MMMMMMMMh inaelekea umejipanga vizuri na unayo yasema, sio kama hawajui wanajua lakini kila mtu anachumia tumbo lake, mtu anafikiria ana watoto na msharaha laki 4 au 5 kwa mwezi unadhani akipewa mil 5 achie mzigo utadhani ataufanyaje?
      "It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."

    4. #3
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4736
      Likes Given
      2652

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      Hoja nzuri........ila sio ya SIASA bali INTELLIGENCE

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    5. #4
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1793

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      Tatizo ni la hao wanaohongwa. Tra ni wa kulalamikiwa sana. Nilipe kodi wakajaze bank uswiswi? Hata mi ningekwepa.

    6. #5
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1191
      Likes Received
      1120
      Likes Given
      649

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      Si M mama ni M dada tu FISADI wa kufa mtu, alisaidiwa sana na Liyumba, kilichosemwa ni ukweli mtupu
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Babu Ubwete's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th January 2008
      Location : Nangulukuru,Newala
      Posts : 146
      Rep Power : 607
      Likes Received
      18
      Likes Given
      17

      Default Re: Huu ndio ufisadi wa mariedo limited

      Based on My knowledege umemaliza kila kitu. Lakini huyu mama ni mtu asiyekuwa na elimu, mjanja mjanja wa siku nyingi, ana contact kubwa za wazee kwa hiyo ni sawa na kujisumbua kumuanika. Yasemekana Mama B. Nyoni ana share katika Mariedo. Ndio maana alipata tenda ya kushona shati za njano zile za afya kwa bei kubwa. Kama TRA wakifuatilia maelezo yako watafahamu jinsi watu wanavyoingiza mizigo airport na kuitoa Swissport kiulaini.
      Pdidy and KOMBESANA like this.
      If you can imagine it, you can achieve it; if you can dream it, you can become it.

    9. #7
      Emanuel Makofia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : B.O.T
      Posts : 3,434
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      487
      Likes Given
      286

      Default Re: Huu ndio ufisadi wa mariedo limited

      wako wengi wakwepaji mkuu serikali legelege!
      .....Chuma cha reli hakishiki kutu...

    10. #8
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3443
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Re: Huu ndio ufisadi wa mariedo limited

      Mi nafikiringoja nimjulishe aanze kutumia jina lako na wewe ufaidike na umate mate kwa kweli....
      Nionavyo ushukuru mungu hata kama hiyo 45 million kweli inafika serikalini ukinihakikishia hilo narudi kwenye mada yako

    11. #9
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,242
      Rep Power : 1295
      Likes Received
      1374
      Likes Given
      2668

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      huwa nashangaa mavx kuendeshwa na watu binafsi katika nchi inayosemwa ni masikini,..mafuta ya kuweka kwenye spacio yangu ndogo ni mbinde..
      Dingswayo and Jodoki Kalimilo like this.
      Every nation in every region now has a decision to make: Either you are with us, or you are with the terrorists.George W. Bush


    12. #10
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 864
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: Huu ndio ufisadi wa mariedo limited

      Yaani umeamaliza kila kitu mkuu!
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    13. #11
      GRILL's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th November 2007
      Posts : 101
      Rep Power : 607
      Likes Received
      11
      Likes Given
      2

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      Wanaohusika nadhani kama wanaitakia mema nchi hii watapata pa kuanzia

    14. #12
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      Mbona Mishahara ya wafanyakazi India, china, ni midogo lakini hakuna ufisadi kama Tanzania.??????????? Hata wanawake wemejiingiza kwenye ufisadi?. Hii awamu ya nne ni "Baraaaa"

    15. #13
      Majala Kimolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Posts : 316
      Rep Power : 667
      Likes Received
      26
      Likes Given
      31

      Default Re: Huu ndio ufisadi wa mariedo limited

      Sio jipya hili, linajulikana ila hutaona Hosea na team yake kuchukua hatua.

      Viva Tanzania

    16. #14
      magwepande's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 348
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default Re: Huu ndio ufisadi wa mariedo limited

      Sasa kaka kwa staili hii watanzania tunakwenda wapi

    17. #15
      WALIMWEUSI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : DSM
      Posts : 950
      Rep Power : 571
      Likes Received
      276
      Likes Given
      354

      Default Re: Huu ndio ufisadi wa mariedo limited

      'Nchi ya kitu kidogoo, nchi ya watu wadogoo,.........
      The best mind-ultering drug is truth.

    18. #16
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,702
      Rep Power : 1916
      Likes Received
      1596
      Likes Given
      678

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      Ngoja nipite kwanza namtafuta thread zinazo mhusu dr ulimboka

    19. #17
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 632
      Rep Power : 699
      Likes Received
      129
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Safari_ni_Safari
      Hoja nzuri........ila sio ya SIASA bali INTELLIGENCE
      Hapa ndio mahali pale Mkuu, maana ni suala la kisera. Watunga sheria wanapaswa kuliangalia tena eneo la wakwepa kodi kuliko kuendelea kukusanya kodi kiduchu kutoka kwa watumishi Wa serikali wanaokamuliwa kama ng'ombe wa maziwa ilhali wafanyabiashara wakubwa wanakwepa kodi.

      Kodi ingekusanywa ipasavyo madai ya madaktari leo hii yasingekuwa issue!

    20. #18
      Ndekirhepva's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Lubumbash
      Posts : 304
      Rep Power : 414
      Likes Received
      27
      Likes Given
      77

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      duh, tatizo hii nchi ni ya watu wachache, hiyo serikali yenyewe inalitambua hili swala, hata hizo mashine za TRA walizonazo serikali inatambua, issue ni huu 'ushkaji' wa m.kwere ndio tabu mkuu

    21. #19
      Wanitakiani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2008
      Posts : 632
      Rep Power : 699
      Likes Received
      129
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By POMPO
      Si M mama ni M dada tu FISADI wa kufa mtu, alisaidiwa sana na Liyumba, kilichosemwa ni ukweli mtupu
      Ni m-mama bwana! Over 45yrs si m-dada tena!

    22. #20
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,232
      Rep Power : 670
      Likes Received
      253
      Likes Given
      45

      Default Re: Ufisadi mkubwa Mariedo Limited

      nasikia konyagi inaondoa msongo wa mawazo? Naenda grosari siku imeishakuwa mbaya! Maskini nchi yangu.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...