Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ..kwa mama rahel muhando...tbc

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      kalamata's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Posts : 43
      Rep Power : 418
      Likes Received
      7
      Likes Given
      4

      Default ..kwa mama rahel muhando...tbc

      ...Wakati anaendesha kipindi cha jambo Tanzania leo tarehe 02.jul.12 pale Dodoma kwa kweli Dada yangu huyu hakua katika vazi la sitara kwa mujibu wa silka na desturi zetu watanzania na hata katika tasnia ya habari,nasema hivyo kwa sababu gani?kwa sisi watanzania tuliolelewa katika maadili mazuri,na ninaamini pia dada Rahel yumo,ni vibaya sana mwanamke anapovaa nguo fupi hadi MAGOTI yake kuonekana waziwazi,haswa anapokua mbele ya wanaume watu wazima.Kwa alie tazama Jambo Tanzania ya leo atathibitisha hayo,dada Rahel alivaa gauni fupi mno kiasi cha kuonyesha miguu yake hadi magoti kua wazi mno kiasi cha kuonyesha mapaja yake,jamani wanaotetea haki za wanawake wapo wapi?samahani dada Rahel kama nitakua nimekukwaza.Nyie waandishi wa habari mjue mnaheshimika sana katika jamii.naomba muwe mfano mzuri,nyinyi sio ma-miss.jiheshimuni haswa kwenye mavazi.
      patience96 and mhalisi like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      FADHILIEJ's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : TANZANIA
      Posts : 91
      Rep Power : 452
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      kazi ipo kweli....

    4. #3
      Zemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 427
      Rep Power : 645
      Likes Received
      45
      Likes Given
      18

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Labda yuko kibiashara zaidi huwezi jua ndugu yangu maana hao wabunge ni dhaifu kweli kwa wanawake.

    5. #4
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,231
      Rep Power : 670
      Likes Received
      251
      Likes Given
      45

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      mapaja, magoti, kwapa ni sehemu tu ya mwili, MAWAZO yako juu ya sehemu hizo ndilo tatizo kubwa. Kwa wengine hata midomo hasa minene ni tatizo lao hata vidole vya miguu pia 'huwakwaza'sasa je, tufunike wapi tuache wapi? Kama huwezi kujifunza kusitiri mawazo yako visingizio vitakuwa vingi.

      Mzee Mtambuzi hebu mfundishe mtu huyu jinsi ya kuratibu kila kitu kinachopita mawazoni mwake kabla hakijafika kwenye mawazo ya kina(subconscious mind)
      Mponella likes this.

    6. #5
      Anold's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 727
      Rep Power : 608
      Likes Received
      74
      Likes Given
      26

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Quote By kalamata
      ...Wakati anaendesha kipindi cha jambo Tanzania leo tarehe 02.jul.12 pale Dodoma kwa kweli Dada yangu huyu hakua katika vazi la sitara kwa mujibu wa silka na desturi zetu watanzania na hata katika tasnia ya habari,nasema hivyo kwa sababu gani?kwa sisi watanzania tuliolelewa katika maadili mazuri,na ninaamini pia dada Rahel yumo,ni vibaya sana mwanamke anapovaa nguo fupi hadi MAGOTI yake kuonekana waziwazi,haswa anapokua mbele ya wanaume watu wazima.Kwa alie tazama Jambo Tanzania ya leo atathibitisha hayo,dada Rahel alivaa gauni fupi mno kiasi cha kuonyesha miguu yake hadi magoti kua wazi mno kiasi cha kuonyesha mapaja yake,jamani wanaotetea haki za wanawake wapo wapi?samahani dada Rahel kama nitakua nimekukwaza.Nyie waandishi wa habari mjue mnaheshimika sana katika jamii.naomba muwe mfano mzuri,nyinyi sio ma-miss.jiheshimuni haswa kwenye mavazi.
      Ukiona hivyo ujue bidhaa ipo sokoni!!! Si unajua siku hizi ushindani wa kibiashara ulivyo mkubwa? hapo Dodoma kipindi hiki ndiyo mavazi yanayolipa ukijitanda manguo hapo unaweza kujikuta unakosa ATM (Waheshimiwa), athari zake ni kulipa mwenyewe posho zako Hotelini!! Hata hivyo Dada Rahel huna sababu ya kuvaa nguo hizo ukiwa TBC kama vipi hamia East Africa TV

    7. Miaka 50

    8. #6
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 601
      Likes Received
      140
      Likes Given
      121

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      mwingine anayevaa nguo fupi ni Jane Shirima.

    9. #7
      grafani11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Location : Omnipotent Street
      Posts : 2,797
      Rep Power : 964
      Likes Received
      894
      Likes Given
      1363

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Kuvaa nguo fupi sio ishu kama wewe unayetazama mawazo yako swafi, mbona zamani tulikuwa tunakaa without kabisa, mwanamke hapa mwanaume/wanaume pale lakini hatukuwa tunashangaa?

      Wapendwa kukaa uchi kupo ndani ya mawazo ya mtu, mbona wengine wanavaa minguo mrefuuu lakini usiku wanauza sukari na tunawajua bana...... mbona alipendeza tu.

      Big up Dada Rahel Muhando.

    10. #8
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Boko Haram + Uamsho+ Taleban = ALSHABAB
      Emanuel Makofia likes this.

    11. #9
      Chapa Nalo Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 1,014
      Rep Power : 631
      Likes Received
      97
      Likes Given
      59

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Nadhani maendeleo ya mwanamke kwa sasa ni kurudi kule enzi ya manyani, maana si mmeona wamepata watetezi hapo juu, hawasikiii wala hawaambiliki.
      Wapambanaji

    12. #10
      Inanambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 616
      Rep Power : 523
      Likes Received
      97
      Likes Given
      20

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Ulikuwa unasikiliza jambo leo au kumwagalia rahel mhando alivyovaa. Pole yako unayetazama mapaja badala ya kipindi.

    13. #11
      Joshamto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Posts : 269
      Rep Power : 480
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kalamata
      ...Wakati anaendesha kipindi cha jambo Tanzania leo tarehe 02.jul.12 pale Dodoma kwa kweli Dada yangu huyu hakua katika vazi la sitara kwa mujibu wa silka na desturi zetu watanzania na hata katika tasnia ya habari,nasema hivyo kwa sababu gani?kwa sisi watanzania tuliolelewa katika maadili mazuri,na ninaamini pia dada Rahel yumo,ni vibaya sana mwanamke anapovaa nguo fupi hadi MAGOTI yake kuonekana waziwazi,haswa anapokua mbele ya wanaume watu wazima.Kwa alie tazama Jambo Tanzania ya leo atathibitisha hayo,dada Rahel alivaa gauni fupi mno kiasi cha kuonyesha miguu yake hadi magoti kua wazi mno kiasi cha kuonyesha mapaja yake,jamani wanaotetea haki za wanawake wapo wapi?samahani dada Rahel kama nitakua nimekukwaza.Nyie waandishi wa habari mjue mnaheshimika sana katika jamii.naomba muwe mfano mzuri,nyinyi sio ma-miss.jiheshimuni haswa kwenye mavazi.
      Acha uzushi wewe! Desturi za watanzania unazoongelea ndo zipi? Kwani mababu/mabibi zetu wa kale walikuwa wanavaaje? Mboona mavazi yao yalikuwa ni ya kufunika sehemu za siri tu? Acha kuwa na mawazo ya ajabu ajabu. Mbona ma bushmen hawavai nguo na hawana tatizo?

    14. #12
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,635
      Rep Power : 3342
      Likes Received
      1235
      Likes Given
      466

      Default

      Quote By grafani11
      Kuvaa nguo fupi sio ishu kama wewe unayetazama mawazo yako swafi, mbona zamani tulikuwa tunakaa without kabisa, mwanamke hapa mwanaume/wanaume pale lakini hatukuwa tunashangaa?

      Wapendwa kukaa uchi kupo ndani ya mawazo ya mtu, mbona wengine wanavaa minguo mrefuuu lakini usiku wanauza sukari na tunawajua bana...... mbona alipendeza tu.

      Big up Dada Rahel Muhando.
      sasa kama alivaa vizuri mapaja alibana ya nini siangeachia tu, alihisi ameharibu ndio maana alikua amekaa kama kalio moja linaupele... mama huwa namheshimu sana lakini anapoharibu lazima aambiwe

    15. #13
      CHABURUMA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 373
      Likes Received
      13
      Likes Given
      8

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Janjaweed@work hongera dada Rahel
      Mponella likes this.

    16. #14
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 577
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      kazi na dawa mkuu

    17. #15
      katalina's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 249
      Rep Power : 409
      Likes Received
      49
      Likes Given
      2

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Quote By idawa
      sasa kama alivaa vizuri mapaja alibana ya nini siangeachia tu, alihisi ameharibu ndio maana alikua amekaa kama kalio moja linaupele... mama huwa namheshimu sana lakini anapoharibu lazima aambiwe
      Huyo si leo tu, amezoea kuvaa vinguo vya namna, nadhani anatafuta soko......

    18. #16
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,799
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      546

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      so ulifanikiwa kuuona moyo!

    19. #17
      Lord K's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 203
      Rep Power : 407
      Likes Received
      27
      Likes Given
      25

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      tamaa zako tu.

    20. #18
      keyjey's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 350
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Acha ajimwage,maisha yenyewe mafupi leo upo kesho haupo.

    21. #19
      Kiziza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 435
      Rep Power : 541
      Likes Received
      73
      Likes Given
      0

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      Kwa maadili ya Kitanzania unayodai,hata wewe hukutakiwa kuendelea kumuangalia ungeangalia pembeni au ungechange channel, kama ulitazama mpaka mwisho na wewe umeshavunja hayo maadili unayodai.
      Mponella likes this.

    22. #20
      Triple G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Posts : 316
      Rep Power : 1182
      Likes Received
      65
      Likes Given
      6

      Default Re: ..kwa mama rahel muhando...tbc

      weka picha mkuu.Unapozungumzia nguo fupi kila mtu ana kipimo chake.weka picha nithaminishe,

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...