Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,744
      Rep Power : 30189
      Likes Received
      4621
      Likes Given
      3477

      Default Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Mk.wer.e anahutubia taifa kama anaongea na wanawe au familia yake,it is disgusting!, sijui kama wenzangu mnamuelewa!

    2. Study Abroad

    3. #2
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Anasema serikali ni mmoja kati ya watuhumiwa kati ya orodha ya watuhumiwa katika jaribio la kumuua ulimboka.
      Sasa ni je nani mwingine ambaye katuhumiwa?

    4. #3
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,744
      Rep Power : 30189
      Likes Received
      4621
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Sigma
      Anasema serikali ni mmoja kati ya watuhumiwa kati ya orodha ya watuhumiwa katika jaribio la kumuua ulimboka.
      Sasa ni je nani mwingine ambaye katuhumiwa?
      Mkuu ukweli huwa haufichiki kamwe!!? anajua jinsi wa Tz walivyolichukulia hili! shame on him
      nshungu likes this.

    5. #4
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,785
      Rep Power : 726
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Simwelewi nona kama hajiamin anachoongea,. Atwambie huyo mtu wa ikulu ni nani?

    6. #5
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,744
      Rep Power : 30189
      Likes Received
      4621
      Likes Given
      3477

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Hataweza kuongea sana,dhambi ya uuaji inammaliza

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Chenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 485
      Rep Power : 482
      Likes Received
      183
      Likes Given
      47

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Nilitegemea akanushe kuwa yeye ni dhaifu hakukanusha, kwa hiyo anajikubali kuwa ni dhaifu

    9. #7
      mwaJ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Location : Nowhere
      Posts : 3,442
      Rep Power : 14606
      Likes Received
      2277
      Likes Given
      1497

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Eti anasema kama kuna mtu wa serikali amehusika kumtendea hivyo Dr. Ulimboka basi yeye hakumtuma na atakuwa amefanya hivyo kwa maslahi yake binafsi.
      Cool Gentleman likes this.
      “Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” -
      Albert Einstein

    10. #8
      fige's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2010
      Posts : 357
      Rep Power : 521
      Likes Received
      51
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Pombekali
      Mk.wer.e anahutubia taifa kama anaongea na wanawe au familia yake,it is disgusting!, sijui kama wenzangu mnamuelewa!
      Kinachonishangaza ni kuongelea kwa kirefu juu ya suala la mgomo wa madaktari ambalo liko mahakani.Au yeye ndiyo mahakama kama sikosei hata wabunge wamekuwa wakikatazwa kulizungumzia hilo!

    11. #9
      KIBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Posts : 674
      Rep Power : 570
      Likes Received
      101
      Likes Given
      8

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      imekula kwenu..jk si dhaifu.. kasha waambia kama mmeshindwa fanya kazi serikali muache kazi nende kwa mwajiri mwingine anayeweza walipa salary m3.5.... . na kaongea kwa kujiamini kwa sababu hamna sehemu ya kukimbilia ninyi ...yani mnatutumia si wagonjwa maskini tufe kwa migome yenu ili mpate madai yenu.. big up jkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk kkkkkkkkkkkkkkkk

    12. #10
      robert josephat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 600
      Rep Power : 471
      Likes Received
      74
      Likes Given
      278

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Ametosha vizuri kwenye kiti chake ingawa hakikuwepo,kwani hata pilato aliwaambia wayahudi...............
      ............kisha akanawa mikono yake.

    13. #11
      mama D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,501
      Rep Power : 734
      Likes Received
      395
      Likes Given
      1310

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      hajielewi huyu
      Daily News halisomwi tandale kwa mtogole - MPOKI

    14. #12
      robert josephat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 600
      Rep Power : 471
      Likes Received
      74
      Likes Given
      278

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Quote By mama d
      hajielewi huyu
      anajielewa sana kwamba yeye ni prdnt wa jmt na si dhaifu kama wanavyofikiri wachache.

    15. #13
      Henry Philip's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2008
      Posts : 108
      Rep Power : 572
      Likes Received
      31
      Likes Given
      15

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Quote By fige
      Kinachonishangaza ni kuongelea kwa kirefu juu ya suala la mgomo wa madaktari ambalo liko mahakani.Au yeye ndiyo mahakama kama sikosei hata wabunge wamekuwa wakikatazwa kulizungumzia hilo!
      Rais wa bwaga moyo na vitongoji vyake, TZ haiwezi

    16. #14
      nshungu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Thumbs down Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Quote By Sigma
      Anasema serikali ni mmoja kati ya watuhumiwa kati ya orodha ya watuhumiwa katika jaribio la kumuua ulimboka.
      Sasa ni je nani mwingine ambaye katuhumiwa?
      Mwingine atakuwa ni serikali, pili ni wale wafuasi wake, tatu wanaojipendekeza kwa serikali, nne, wanaomlindia heshima... duuh!!

    17. #15
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,575
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      425
      Likes Given
      621

      Default

      Quote By fige
      Kinachonishangaza ni kuongelea kwa kirefu juu ya suala la mgomo wa madaktari ambalo liko mahakani.Au yeye ndiyo mahakama kama sikosei hata wabunge wamekuwa wakikatazwa kulizungumzia hilo!
      sijui kwanini mahakama haijalalamika kwa serikali(mlalamikaji) kuendelea kutotii hukumu ya mahakama. BTW؛‎ nadhani ni wakati muafaka kwa kiongozi wa nchi kuomba radhi

    18. #16
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,800
      Rep Power : 11185
      Likes Received
      6989
      Likes Given
      5168

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Quote By robert josephat
      anajielewa sana kwamba yeye ni prdnt wa jmt na si dhaifu kama wanavyofikiri wachache.
      Uko wapi uimara wake?
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    19. #17
      Big One's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 741
      Rep Power : 558
      Likes Received
      43
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      da watu dhaifu hawa

    20. #19
      majany's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2008
      Location : IKULU
      Posts : 1,029
      Rep Power : 1693
      Likes Received
      418
      Likes Given
      820

      Default

      Quotestyle="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/buttons/viewpost-right.png" alt="View Post" />
      Acheni uongo nani hajamuelewa kasema sh 7.7m halipwi Dr
      Ndio mwajiri, lazima aabgalie watumishi wote, mipaka yetu ipo hatarini Kenya mabomu Kanisani je kuna Dr au Mwanaharakati au Mbunge atazuia TNT kwa sindano au Bango la barabarani?
      Haya
      kwani kuna TNT inayoweza kutibu TB???magamba bwana......

    21. #20
      GANGSTAR's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 351
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuhusu hotuba ya Raisi wa JMT

      Quote By Pombekali
      Mk.wer.e anahutubia taifa kama anaongea na wanawe au familia yake,it is disgusting!, sijui kama wenzangu mnamuelewa!
      Ameeleweka vizuri tu ...................big up JK.....kuwa na msimamo usirudishwe nyuma na maneno ya watu

    22. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...