Mk.wer.e anahutubia taifa kama anaongea na wanawe au familia yake,it is disgusting!, sijui kama wenzangu mnamuelewa!
Mk.wer.e anahutubia taifa kama anaongea na wanawe au familia yake,it is disgusting!, sijui kama wenzangu mnamuelewa!
Anasema serikali ni mmoja kati ya watuhumiwa kati ya orodha ya watuhumiwa katika jaribio la kumuua ulimboka.
Sasa ni je nani mwingine ambaye katuhumiwa?
Simwelewi nona kama hajiamin anachoongea,. Atwambie huyo mtu wa ikulu ni nani?
Hataweza kuongea sana,dhambi ya uuaji inammaliza
Nilitegemea akanushe kuwa yeye ni dhaifu hakukanusha, kwa hiyo anajikubali kuwa ni dhaifu
Eti anasema kama kuna mtu wa serikali amehusika kumtendea hivyo Dr. Ulimboka basi yeye hakumtuma na atakuwa amefanya hivyo kwa maslahi yake binafsi.
“Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” -
Albert Einstein
imekula kwenu..jk si dhaifu.. kasha waambia kama mmeshindwa fanya kazi serikali muache kazi nende kwa mwajiri mwingine anayeweza walipa salary m3.5.... . na kaongea kwa kujiamini kwa sababu hamna sehemu ya kukimbilia ninyi ...yani mnatutumia si wagonjwa maskini tufe kwa migome yenu ili mpate madai yenu.. big up jkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk kkkkkkkkkkkkkkkk
Ametosha vizuri kwenye kiti chake ingawa hakikuwepo,kwani hata pilato aliwaambia wayahudi...............
............kisha akanawa mikono yake.
hajielewi huyu
Daily News halisomwi tandale kwa mtogole - MPOKI
da watu dhaifu hawa
kwani kuna TNT inayoweza kutibu TB???magamba bwana......style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/buttons/viewpost-right.png" alt="View Post" />
Follow Us Here