Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
      NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B

    2. Miaka 50

    3. #2
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 677
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      Afadhali waje, tupunguze kutoa rushwa!
      georgeallen likes this.

    4. #3
      nyaucho's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th April 2011
      Posts : 39
      Rep Power : 416
      Likes Received
      8
      Likes Given
      11

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      Jomba ckubaliani na hayo mawazo yako kbsa coz unatakiwa uwe mzalendo, fikiria hawa madaktari wakibongo watafanya nn kama wataletwa madktar kuktoka nje kuja kuwa replace. pia hizo ela za kuwalipa hao madaktar pamoja na madereva, kuwapangishia nyumba, na hao wakalimani unaodai zingetosha kumaliza kero ya hawa madaktar waliogoma.

    5. #4
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,514
      Rep Power : 1794
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      Natamani ingekuwa Jan 2015!kueleekea uchaguzi......

    6. #5
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By nyaucho
      Jomba ckubaliani na hayo mawazo yako kbsa coz unatakiwa uwe mzalendo, fikiria hawa madaktari wakibongo watafanya nn kama wataletwa madktar kuktoka nje kuja kuwa replace. pia hizo ela za kuwalipa hao madaktar pamoja na madereva, kuwapangishia nyumba, na hao wakalimani unaodai zingetosha kumaliza kero ya hawa madaktar waliogoma.
      mdau umeuelewa uzi unavotiririka???hebu rudia

    7. Study Abroad

    8. #6
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Free World
      Afadhali waje, tupunguze kutoa rushwa!
      utatoa kwa wakalimani

    9. #7
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Free World
      Afadhali waje, tupunguze kutoa rushwa!
      utatoa kwa wakalimaniiii
      Bujibuji likes this.

    10. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Skills4Ever
      Natamani ingekuwa Jan 2015!kueleekea uchaguzi......
      unanidhihirishia kua wepes wa kusahau????

    11. #9
      Black Bat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Abbottabad
      Posts : 2,479
      Rep Power : 9580
      Likes Received
      682
      Likes Given
      575

      Default

      Quote By nyaucho
      Jomba ckubaliani na hayo mawazo yako kbsa coz unatakiwa uwe mzalendo, fikiria hawa madaktari wakibongo watafanya nn kama wataletwa madktar kuktoka nje kuja kuwa replace. pia hizo ela za kuwalipa hao madaktar pamoja na madereva, kuwapangishia nyumba, na hao wakalimani unaodai zingetosha kumaliza kero ya hawa madaktar waliogoma.
      Waliogoma itabidi wachangamkie hizo ajira zingine kama udereva ulinzi etc
      Bujibuji likes this.

    12. #10
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Black Bat
      Waliogoma itabidi wachangamkie hizo ajira zingine kama udereva ulinzi etc
      madereva watatoka nit-mabiboooo

    13. #11
      Kinyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Posts : 1,883
      Rep Power : 944
      Likes Received
      236
      Likes Given
      378

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      Quote By Bajabiri
      Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
      NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B

      Ngoja mikarabati nyumba yangu niipangishe kwa dola!
      Together in Poverty Apart in Riches

    14. #12
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 953
      Likes Received
      812
      Likes Given
      520

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      tunaojua kichina ngoja tuanze kujifua kuwa wakalimani,inaweza ikawa fursa kwa sababu tutawapangisha nyumba

    15. #13
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      259

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      Quote By Free World
      Afadhali waje, tupunguze kutoa rushwa!
      Afadhali mkuu uliona hili. Naamini hao madaktari wakija pia tutapata huduma nzuri, bila nyodo, bila ubabaishaji kama ilivyo sasa. Ukitaka kuhakikisha ninayosema nenda Sewa Haji hata leo uongee/uwaulize wagonjwa wenyewe.

    16. #14
      Chal's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 113
      Rep Power : 459
      Likes Received
      45
      Likes Given
      4

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      Quote By Bajabiri
      Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
      NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B
      Ujio wa madaktari wapya "kama wataletwa" utatoa sura mpya kabisa ya mgomo kwani na hao wapya watatangaza mgomo wao wakidai kuboreshewa vifaa vya kutolea tiba...kwani huko kwao mazingira ya kazi ni mazuri zaidi

    17. #15
      kigogo2011's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Posts : 12
      Rep Power : 406
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

      watanzania wanateseka kwa sababu ya mgomo! ila walikuwa wanateseka zaidi bila mgomo kwa sababu mahospitalini hamna vifaa vya uchunguzi! wagonjwa wengi wanakufa bila hata ya kugundua tatizo/ugonjwa anaoumwa na pengine hata kama tatizo/ugonjwa ukijulikana dawa hamna! kwa hiyo ni taabu kweli kweli! hali kwenye sekta ya afya ni mbaya! heri yako ambaye haujawahi kuugua au kuuguza maana ungebeba bango na kuanza kuamdamana njiani!
      Jiulize tu kanda ya ziwa yenye population isiyopungua 10m, hamna mashine ya kuosha damu kwa wagonjwa wenye matatizo ya figo! ni wagonjwa wangapi wanakufa kila siku kwa kukosa hiyo huduma.

    18. #16
      Doctorbeat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 350
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      PLAN B= zero

    19. #17
      Doctorbeat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 350
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bajabiri
      Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
      NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B
      Plan B = Zero result

    20. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...