Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 36 of 36
    1. #1
      Mwanamayu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Location : Manzese
      Posts : 3,049
      Rep Power : 1072
      Likes Received
      240
      Likes Given
      112

      Angry "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      Hii inaweza kuwa ni clue nzuri ya kumfahamu mwenye mkono kwenye masahibu yaliyompata Dr. Ulimboka. Hivi ni nani anayekihofia Chadema hapa Tanzania? Chadema ni taasisi gani? Jibu la swali la pili ni chama cha siasa, chama cha upinzani rasmi bungeni, chama tishio kwa CCM.

      Source: Mtanzania, 29 Juni 2012.


    2. #21
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,620
      Rep Power : 1372
      Likes Received
      435
      Likes Given
      717

      Default

      Quote By Mabelana View Post
      Mimi kinachonishangaza ni hiki, kwanini CHADEMA wanashangilia sana huu mgomo wa madaktari? kuna nini hapa jamani.
      Mi nilidhani ungesema kwanini viongozi wa ccm hawaoneshi kuupinga huu mgomo bali wanaushadadia?!

    3. #22
      Iron Lady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 2,377
      Rep Power : 5551
      Likes Received
      589
      Likes Given
      280

      Default Re: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      sisiemu wameshaanza propaganda zao haya sasa wameangukia pua

    4. #23
      Mr Suggestion's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Location : Juba
      Posts : 324
      Rep Power : 476
      Likes Received
      61
      Likes Given
      49

      Default Re: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      Nashindwa kuelewa ni kwa nini waunde tume wakati wangeweza kuifuatilia namba ya simu ya mwisho kuongea na Dr uli. Siungi mkono mgomo wa madaktari kwa namna yeyote ile, ila wasiwasi wangu Dr anaweza kuja kulipa kisasa pindi atakapo pona kama watumishi wa mungu wasipomuombea mapema kwani kwa jinsi walivyompiga hata kama ningekuwa mimi lazima ningelipa kisasi na hapo ndio wasiwasi wangu hili taifa linaelekea wapi! mungu ibariki Tanzania ila usiwabariki viongozi wake kwani ndio wanaiharibu nchi hii
      "Gravitation is not responsible for people falling in love."

    5. #24
      Eric.D's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Ukiona mwenzio ananyolewa Zako Tia maji

    6. #25
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 1,001
      Rep Power : 637
      Likes Received
      116
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By Mr Suggestion View Post
      Nashindwa kuelewa ni kwa nini waunde tume wakati wangeweza kuifuatilia namba ya simu ya mwisho kuongea na Dr uli. Siungi mkono mgomo wa madaktari kwa namna yeyote ile, ila wasiwasi wangu Dr anaweza kuja kulipa kisasa pindi atakapo pona kama watumishi wa mungu wasipomuombea mapema kwani kwa jinsi walivyompiga hata kama ningekuwa mimi lazima ningelipa kisasi na hapo ndio wasiwasi wangu hili taifa linaelekea wapi! mungu ibariki Tanzania ila usiwabariki viongozi wake kwani ndio wanaiharibu nchi hii
      Hiyo sara ya hapo chini nimeipenda.


    7. #26
      Doctorbeat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 354
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Yeah man, jibu liko wazi....hahahaaaaa. I just pray for God to intervane.

    8. #27
      Doctorbeat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 354
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Naumia sana nikisikia " dr. Ulimboka kapigwa na watu wasiojulikana". Jamani hata kama watanzania ni wajinga sana, lakini si kwa kiasi hiki. Wakuu acheni kutubeza. Aliyefanya haya anajulikana. Mnatupeleka wapi Watanzania ? Plz plz plz hatutaki siasa za mitindo hii. Tunataka ukweli!

    9. #28
      Doctorbeat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 354
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      CHADEMA mpo ?? Haya MADUDU yanayotokea kwa mpinzani wako naomba yawe njia rahisi ya ninyi kuzoa kura 2015. Mwakyembe's NOW Dr. Ulimboka PLUS ufisadi, kagoda, EPA , meremeta, report ya CAG 2012, nk nk nk haviwatoshi tu ?

    10. #29
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 483
      Rep Power : 468
      Likes Received
      99
      Likes Given
      18

      Default Re: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      Quote By Kiraka View Post
      Hili laweza kuwa kweli, wamejitahidi sana kuunganisha mgomo wa hawa madaktari na siasa,lakini imeshindikana. Ndio maana hata mimi napinga kabisa viongozi wa CDM kutaka kujihusisha na madaktari kwa faida za kisiasa, waacheni wagome kama professionals na sio kisiasa!
      nakubaliana na wewe mkuu kwa asilimia mia moja kwamba professional ya madokta isichanganywe na wanasiasa na wanasiasa wasiingilie moja kwa moja mgomo huu ili kuondoa fikra na sababu za watawala kwamba mgomo huu una mkono wa wanasiasa na hasa CDM. Lakini vilevile si rahisi kutenganisha sababu za msingi za mgomo huu toka kwa haya makundi mawili. Yote yamekuwa yakizungumzia kwa kina uboreshaji wa sekta ya afya kwa miaka kadhaa sasa huku serikali ikitekeleza kwa kiasi kidogo baadhi ya maeneo na maeneo mengine mengi kutotekelezwa kabisa huku yakiwepo malalamiko ya maliasili za Taifa kuwanufaisha wenye nchi na wananchi wakibaki hoi

    11. #30
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,907
      Rep Power : 22568
      Likes Received
      6520
      Likes Given
      2929

      Default

      Quote By Kiraka View Post
      Hili laweza kuwa kweli, wamejitahidi sana kuunganisha mgomo wa hawa madaktari na siasa,lakini imeshindikana. Ndio maana hata mimi napinga kabisa viongozi wa CDM kutaka kujihusisha na madaktari kwa faida za kisiasa, waacheni wagome kama professionals na sio kisiasa!
      Useful post. Thank you buddy.

    12. #31
      Doctorbeat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 354
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Magazeti na radio acheni kutumia neno " Dr. Ulimboka kapigwa na watu wasiojulikana".
      Inatuuma saaaanaaaa kusikia tamko hilo linavyopotosha. MNATUMIKA ??

    13. #32
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      665
      Likes Given
      0

      Default Re: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      Nasikia kina Msangi walikuwa wanamlazimisha akubali kuwa CDM wako nyuma yao..."Sema nani?tuaambie...."Ndiyo yalikuwa maswali yao ndio maana wakammaliza kucha zote na meno ili aseme!hawakupata kitu!

      Pia nimepata mpya kuwa walimpitisha kwenye kota za polisi(DR Uli akirudi)ataelezea zaidi!tumuombee apone haraka!

      Hawana pa kujificha ukweli uko wazi"liwalo na liwe"tafsiri tata yenye maana baada Uli kutokufa kama mpango mkakati ulivyotaka!aibu!

    14. #33
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,620
      Rep Power : 1372
      Likes Received
      435
      Likes Given
      717

      Default

      Quote By PakaJimmy View Post
      Useful post. Thank you buddy.
      mimi nashauri kiongozi wa nchi wa sasa aombe radhi mapema kwani watanzania wana roho ya kusamehe.

    15. #34
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 825
      Rep Power : 722
      Likes Received
      378
      Likes Given
      32

      Default Re: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      Quote By Mabelana View Post
      Mimi kinachonishangaza ni hiki, kwanini CHADEMA wanashangilia sana huu mgomo wa madaktari? kuna nini hapa jamani.
      Sidhani kama Chadema wanashangilia mgomo kwa namna unavyofikiri, wao kama chama cha siasa wanachoshangilia ni kuonyesha kwamba serikali ya CCM ina uongozi mbaya na ufisadi unaoeletelea matatizo kama haya. Serikali makini inakuwa na hela za kutosha na busara za kuzuia migogoro kama hii. Kutojua jinsi ya kushughulikia matatizo ya wananchi ndicho kililetelea kuangushwa kwa serikali kama ya Tunisia.

      Angalia kwamba kwa mara ya kwanza kutokana na ukosefu wa busara wa viongozi walioko madarakani tuna dalili za migogoro katika kila sehemu; muungano, udini, wafanyakazi, ufisadi, tatizo na Wamerekani, bungeni, uwajibikaji wa viongozi kama mawaziri, kupeana sumu na kuuana nk

    16. #35
      Snitch's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd October 2011
      Posts : 163
      Rep Power : 419
      Likes Received
      36
      Likes Given
      6

      Default Re: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      Quote By Mr Suggestion View Post
      Nashindwa kuelewa ni kwa nini waunde tume wakati wangeweza kuifuatilia namba ya simu ya mwisho kuongea na Dr uli. Siungi mkono mgomo wa madaktari kwa namna yeyote ile, ila wasiwasi wangu Dr anaweza kuja kulipa kisasa pindi atakapo pona kama watumishi wa mungu wasipomuombea mapema kwani kwa jinsi walivyompiga hata kama ningekuwa mimi lazima ningelipa kisasi na hapo ndio wasiwasi wangu hili taifa linaelekea wapi! mungu ibariki Tanzania ila usiwabariki viongozi wake kwani ndio wanaiharibu nchi hii
      Wewe nawe unaongea uharo tu na matapishi.dunia mzima hii system ni Hiyohiyo lazima tumescent iundwe.nahisi Hauna uelewa wa kutosha,ndio Nyie mnagoma kufuata mkumbo huku roho haitaki.

    17. #36
      NTIKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th April 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 363
      Likes Received
      3
      Likes Given
      11

      Default Re: "Watesaji walimhoji kama CHADEMA inahusika"

      Tufike mahali watanzania tukatae kwa nguvu moja wimbi jipya la kutekana na ikiwezekana kuuwana,tukikumbuka mbunge wa ilemela ndg kiwia alinusurika kutolewa uhai,usariva arusha yule mwanachadema mbwambo alichinjwa kama mbuzi,kwa hali hii inaonyesha ni jinsi gani watawala wanaogopa mabadiliko,kama kweli tunavyombo mahususi vya kipelelezi, vilipaswa kutumia njia makini za kujua nyuma ya mgomo wa madaktari kama kuna mtu au watu wanao chochea sio kutumia njia dhahifu na za kinyama kama zilizotumika kwa dr ulimboka

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...