Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 63
    1. #1
      Nyahende Thomas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Chabugheche
      Posts : 187
      Rep Power : 470
      Likes Received
      83
      Likes Given
      28

      Default Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Katika taarifa ya habari Itv usiku huu, saa 2 wametangaza habari ya mwanamke mmoja aliyeporwa mtoto wake wa miezi minne na ndugu wa mume wake aliyepo nje ya nchi kwa sasa.
      Uporaji wa mtoto huyo umefanywa na ndugu wa mume wa mwanamke huyo kupitia hukumu ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa kile kinachodaiwa kwamba mama wa mtoto ni mgonjwa sana kiasi ambacho hawezi kumnyonyesha mwanae.
      Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu wa mke ni kwamba upande wa mume waliidanganya mahakama kwakuwa hawamtaki mke wa kijana wao.
      Akihojiwa na Itv hakimu huyo amekiri kutoa amri hiyo lakini akadai kwamba ombi hilo lilipelekwa kwake chini ya hati ya dharura.

      MY TAKE:
      Kitendo cha hakimu kuwa mwepesi kumtenganisha na mama yake, mtoto mdogo kiasi kile bila kumuita mahakamani ama kuwa na uhakika wa hali ya afya ya mama yake kinaidhalilisha mahakama na kutia shaka weledi wa mahakimu wetu.
      Dingswayo, terabojo and Kamkuki like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,588
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Mahakama Tanzania ni kichaka cha rushwa na dhuluma ya haki, wanaangalia upande wenye chapaa na kuhamia huko na kusahau sheria zao
      bemg, Mboko and Kamkuki like this.

    4. #3
      Safety last's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 2,680
      Rep Power : 949
      Likes Received
      519
      Likes Given
      6

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Wametumia SHERIA ZA KIISLAM,kuamua hiyo kesi mkuu!si unajua zilivyonamagumashi
      Kamkuki likes this.

    5. #4
      ThinkPad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2008
      Posts : 1,448
      Rep Power : 856
      Likes Received
      88
      Likes Given
      83

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Dah Mahakama,

    6. #5
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Ana miez 3 si mi 4, inaonekana hakimu kahongwa pesa mingi kiasi cha kuona ni haki kumtenganisha na mama yake kiumbe huyo anayehtaji mapenzi ya mama yake, ROHO MBAYA NA UKATILI WA HALI YA JUU

    7. Miaka 50

    8. #6
      Nyahende Thomas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Chabugheche
      Posts : 187
      Rep Power : 470
      Likes Received
      83
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Ulukolokwitanga
      Mahakama Tanzania ni kichaka cha rushwa na dhuluma ya haki, wanaangalia upande wenye chapaa na kuhamia huko na kusahau sheria zao
      Katika mazingira kama ya kesi hii sina shaka kabisa kwamba hakimu atakuwa amelambishwa chochote kitu.

    9. #7
      Nyahende Thomas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Chabugheche
      Posts : 187
      Rep Power : 470
      Likes Received
      83
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Safety last
      Wametumia SHERIA ZA KIISLAM,kuamua hiyo kesi mkuu!si unajua zilivyonamagumashi
      Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu si mahakama ya kiislamu (mahakama ya kadhi) ndugu yangu, sasa hizo sheria za kiislamu zinatoka wapi?

      Ndugu wa mume amedai kwamba anataka kuongea na mwanamme mwenzake hamtaki mama kwa kuwa yale ni mambo ya wanaume kwa mujibu wa sheria za kiislamu.
      Sina uhakika kama sheria za kiislamu ndivyo zilivyo, kama kuna anayeifahamu vizuri sheria hiyo nitaomba afafanue hapa.

    10. #8
      Nyahende Thomas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Chabugheche
      Posts : 187
      Rep Power : 470
      Likes Received
      83
      Likes Given
      28

      Default

      Quote By Angel Msoffe
      Ana miez 3 si mi 4, inaonekana hakimu kahongwa pesa mingi kiasi cha kuona ni haki kumtenganisha na mama yake kiumbe huyo anayehtaji mapenzi ya mama yake, ROHO MBAYA NA UKATILI WA HALI YA JUU
      Kilichonisikitisha zaidi ni kwamba hakimu mwenyewe ni mwanamke lakini katika hili haonekani kutambua umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto.

    11. FJM
      #9
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,172
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5321
      Likes Given
      4587

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Huyo Jaji alijiridhisha kuwa mama wa mtoto kweli ni mgonjwa kiasi cha kutoweza kumlea mwanae?
      Wabunge wa viti maalum wanawake -hasa wale wa UWT wanasemaji?

    12. #10
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Safety last
      Wametumia SHERIA ZA KIISLAM,kuamua hiyo kesi mkuu!si unajua zilivyonamagumashi
      uislam unasemaje hapo mdau,,,,,kwani mahakama hiyo ni ya kiislam????

    13. #11
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By FJM
      Huyo [blue=red]Jaji[/color] alijiridhisha kuwa mama wa mtoto kweli ni mgonjwa kiasi cha kutoweza kumlea mwanae?
      Wabunge wa viti maalum wanawake -hasa wale wa UWT wanasemaji?
      hapana si jaji huyo alotoa hukumu mdau,,,,,,,

    14. #12
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,168
      Rep Power : 2425
      Likes Received
      941
      Likes Given
      377

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Kilichonichosha zaidi hakim mwenyewe ni mwanamke mwenzake pia mtoto ni wa miezi miwili. Tz tumekwisha kwa sasa hakuna shm ya haki wala usalama!

    15. FJM
      #13
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,172
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5321
      Likes Given
      4587

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Bajabiri
      hapana si jaji huyo alotoa hukumu mdau,,,,,,,
      Nani katoa hukumu? hebu soma tena mada.

    16. #14
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,265
      Rep Power : 891
      Likes Received
      775
      Likes Given
      1461

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By FJM
      Huyo Jaji alijiridhisha kuwa mama wa mtoto kweli ni mgonjwa kiasi cha kutoweza kumlea mwanae?
      Wabunge wa viti maalum wanawake -hasa wale wa UWT wanasemaji?
      Siyo Jaji ni hakimu ila kiukweli inauma maamuzi mengine kwani hati ya dharula ndio inamwongoza hakimu? hapa amekurupuka huyu hakimu

    17. #15
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,260
      Rep Power : 12577
      Likes Received
      5806
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By Safety last
      Wametumia SHERIA ZA KIISLAM,kuamua hiyo kesi mkuu!si unajua zilivyonamagumashi
      Wakati mwingine basi ficha Upumbavu wako kidogo, sasa Uislam umeingiaje apo nyie ndio mnaipa picha mbaya JF wewe JF kwako ni uwanja wa kejeli dhidi ya Uislam wakati sie wengine JF ni shule.

    18. #16
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,265
      Rep Power : 891
      Likes Received
      775
      Likes Given
      1461

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Bajabiri
      uislam unasemaje hapo mdau,,,,,kwani mahakama hiyo ni ya kiislam????
      Kuna mbaba ndugu wa mwanaume alionekana akisema kwenye camera ya ITV kwamba kwa sheria ya kiislamu mwanamume ndio mwenye sauti katika jambo hilo, sasa nikajiuliza mbona hilo suala wamelipeleka kwa mahakama ya serikali (Kisutu)

    19. #17
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Ndo mahakama za kadhi zijianza sijui itakuwaje kwa haki za wakina mama

    20. #18
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By FJM
      Nani katoa hukumu? hebu soma tena mada.
      mdau fjm,nimeangalia habar huyo mama alohojiwa ni HAKIMU si jaji,,,,,,,

    21. #19
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Jodoki Kalimilo
      Kuna mbaba ndugu wa mwanaume alionekana akisema kwenye camera ya ITV kwamba kwa sheria ya kiislamu mwanamume ndio mwenye sauti katika jambo hilo, sasa nikajiuliza mbona hilo suala wamelipeleka kwa mahakama ya serikali (Kisutu)
      ngoja tuangalie gol la barotel

    22. #20
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,681
      Rep Power : 11279
      Likes Received
      1473
      Likes Given
      570

      Default

      Quote By Ulukolokwitanga
      Mahakama Tanzania ni kichaka cha rushwa na dhuluma ya haki, wanaangalia upande wenye chapaa na kuhamia huko na kusahau sheria zao

      Hili liko wazi Mkuu!

      Tanzania yetu ndio hii!

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...