Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 63
    1. #1
      Nyahende Thomas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Chabugheche
      Posts : 187
      Rep Power : 471
      Likes Received
      83
      Likes Given
      28

      Default Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Katika taarifa ya habari Itv usiku huu, saa 2 wametangaza habari ya mwanamke mmoja aliyeporwa mtoto wake wa miezi minne na ndugu wa mume wake aliyepo nje ya nchi kwa sasa.
      Uporaji wa mtoto huyo umefanywa na ndugu wa mume wa mwanamke huyo kupitia hukumu ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa kile kinachodaiwa kwamba mama wa mtoto ni mgonjwa sana kiasi ambacho hawezi kumnyonyesha mwanae.
      Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu wa mke ni kwamba upande wa mume waliidanganya mahakama kwakuwa hawamtaki mke wa kijana wao.
      Akihojiwa na Itv hakimu huyo amekiri kutoa amri hiyo lakini akadai kwamba ombi hilo lilipelekwa kwake chini ya hati ya dharura.

      MY TAKE:
      Kitendo cha hakimu kuwa mwepesi kumtenganisha na mama yake, mtoto mdogo kiasi kile bila kumuita mahakamani ama kuwa na uhakika wa hali ya afya ya mama yake kinaidhalilisha mahakama na kutia shaka weledi wa mahakimu wetu.
      Dingswayo, terabojo and Kamkuki like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,220
      Rep Power : 28910
      Likes Received
      11711
      Likes Given
      4819

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By FJM
      Huyo Jaji alijiridhisha kuwa mama wa mtoto kweli ni mgonjwa kiasi cha kutoweza kumlea mwanae?
      Wabunge wa viti maalum wanawake -hasa wale wa UWT wanasemaji?
      Hugo haiku Hana taaluma ya kufanya maamuzi hayo. Ustawi wa jammy na drs walipaswa kuhusika, lakini mama alipaswa kuhojiwa na kujiridhisha na kufanya maamuzi. Rushwa ya wazi kabisa
      FJM likes this.
      I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou


    4. #42
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,989
      Rep Power : 12010
      Likes Received
      5319
      Likes Given
      5144

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Zion Daughter
      mlungula huo
      Una ushahidi?
      Ila kwa jinsi yule muhindi alivyokuwa anaongea ameonyesha dharau kubwa sana kwa wazazi wa binti na mahakama yenyewe.

      btw, hujambo lakini? umeoptea!!
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    5. #43
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,989
      Rep Power : 12010
      Likes Received
      5319
      Likes Given
      5144

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By King'asti
      Hugo haiku Hana taaluma ya kufanya maamuzi hayo. Ustawi wa jammy na drs walipaswa kuhusika, lakini mama alipaswa kuhojiwa na kujiridhisha na kufanya maamuzi. Rushwa ya wazi kabisa
      King'asti yule hakimu lazima atakuwa na taaluma ya kufanya maamuzi na ndio maana ameaminiwa na kukabidhiwa ofisi ya umma ili awatumikie wananchi.

      Kinachoonekana hapa ni kwamba amekengeuka tu labda kutokana na kupewa bahasha, kwani hata mtu asiye na taaluma ya sheria alitakiwa ajiridhishe bila shaka yoyote kwamba ni kweli mama wa mtoto hana uwezo wa kumnyonyesha mwanae, na uthibitisho huo ulipaswa kuwa wa kitabibu (kutoka kwa daktari).
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    6. #44
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,989
      Rep Power : 12010
      Likes Received
      5319
      Likes Given
      5144

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By BornTown
      Kusema ukweli jana niliangalia hiyo taarifa ya habari kweli niliuzunika sana yaani mtoto wa miezi mnne anatenganishwa na mama yake sababu ya pesa mbaya zaidi hakimu aliehukumu hiyo kesi ni mwanamke kweli kweli jamani! MWANAMKE unamnyanganya mwwenzio mtoto kisa pesa za wahindi nimejiuliza mambo mengi sana, kwanza inamaana huyu hakimu hajawai kuzaa hajui uchungu wa mwana.

      Je! hii rushwa itakaa ije kuisha?
      Je! hakimu kama huyu atachukuliwaje mbele ya jamii hususani majirani zake pale nyumbani kwake?

      huyu hakimu ameidhalilisha tasnia yake kwahela za wahindi tumchukulie hatua gani.
      kingine hakimu anatoaje hukumu bila vielelezo vya daktari kuthibitisha kuwa mama ni mgonjwa na haruhusiwi kumnyonyesha mtoto?
      kwani hakimu ndio anayeamua mtoto anyonyeshwe au asinyonyeshwe? Nilikuw sijajua kama sikuhizi mahakimu nao pia ni madaktari??
      BornTown Kuna baadhi ya watu huwa wanasema kwamba adui wa mwanamke ni mwanamke.
      Kwa mazingira kama haya kauli hii inaweza kuwa na ukweli kiasi kikubwa, kwa hakimu mwanamke kutoa hukumu ya kikatili dhidi ya mwanamke mwenzake.
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    7. #45
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Hakimu mtata hafikiri hata kigogo yaani ye angekuwa ndio kile kichanga agejisikiaje kuwa mbali na mama yake !

    8. Miaka 50

    9. #46
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,594
      Rep Power : 817
      Likes Received
      498
      Likes Given
      539

      Default

      Quote By Nyahende Thomas
      Mahakama ya hakimu
      mkazi Kisutu si mahakama ya kiislamu (mahakama ya kadhi) ndugu yangu,
      sasa hizo sheria za kiislamu zinatoka wapi?

      Ndugu wa mume amedai kwamba anataka kuongea na mwanamme mwenzake hamtaki
      mama kwa kuwa yale ni mambo ya wanaume kwa mujibu wa sheria za
      kiislamu.
      Sina uhakika kama sheria za kiislamu ndivyo zilivyo, kama kuna
      anayeifahamu vizuri sheria hiyo nitaomba afafanue hapa.
      Kwa sheria za kiislamu hata mtoto huyo angekuwa 10 yrs asingepelekwa kwa baba maana hawakufunga ndoa.

    10. #47
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Jodoki Kalimilo
      Analau tu-balance work and other social issues maana unaweza kuwa chizi kwa haya mambo ya ajabu ajabu yanavyotendeka
      huyo pind.a anasahau cheo chake,,,,,,,,,kisa cha kuumia nin????

    11. #48
      Emma.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 521
      Likes Received
      111
      Likes Given
      0

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Inauma sana unatoka nyumbani unaenda mahakamani ukitarajia unapata haki yako badala yake ndo mahakama inakunyima haki yako inauma sana ..pesa inanyima mtu haki jaman tunaelekea wapi ...nimehuzunishwa xana hicho kitendo

    12. #49
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Mwita Maranya
      Una ushahidi?
      Ila kwa jinsi yule muhindi alivyokuwa anaongea ameonyesha dharau kubwa sana kwa wazazi wa binti na mahakama yenyewe.

      btw, hujambo lakini? umeoptea!!
      ushahid wa kimazingira,,,,,,mahakama ilipaswa walau kujiridhisha na taarifa ya daktari basi,au kwa sababu wamegoma????

    13. #50
      terabojo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd August 2010
      Posts : 164
      Rep Power : 479
      Likes Received
      19
      Likes Given
      86

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Ninashauri na kupendekeza mahakama ngazi ya juu iitishe faili la kesi hiyo na kiliptia.Pia weneye weledi wa kisheria kama chama cha sheri cha wanamwake waingilie na kuomba utekelezaji wa hukumu ile usimamishwe kwanza. Nawakilisha.

    14. #51
      mirindimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2009
      Posts : 251
      Rep Power : 536
      Likes Received
      57
      Likes Given
      12

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Nyahende Thomas
      Katika taarifa ya habari Itv usiku huu, saa 2 wametangaza habari ya mwanamke mmoja aliyeporwa mtoto wake wa miezi minne na ndugu wa mume wake aliyepo nje ya nchi kwa sasa.
      Uporaji wa mtoto huyo umefanywa na ndugu wa mume wa mwanamke huyo kupitia hukumu ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa kile kinachodaiwa kwamba mama wa mtoto ni mgonjwa sana kiasi ambacho hawezi kumnyonyesha mwanae.
      Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu wa mke ni kwamba upande wa mume waliidanganya mahakama kwakuwa hawamtaki mke wa kijana wao.
      Akihojiwa na Itv hakimu huyo amekiri kutoa amri hiyo lakini akadai kwamba ombi hilo lilipelekwa kwake chini ya hati ya dharura.

      MY TAKE:
      Kitendo cha hakimu kuwa mwepesi kumtenganisha na mama yake, mtoto mdogo kiasi kile bila kumuita mahakamani ama kuwa na uhakika wa hali ya afya ya mama yake kinaidhalilisha mahakama na kutia shaka weledi wa mahakimu wetu.
      Huyo mwanamke ni mzima wa akili na afya na hakuna kipimo chochote hata cha kucha walichomfanyia....huyo MWANAMKE (HAKIMU) kashakunja zake.....waswahili tunasema LIWALO NA LIWE.......

    15. #52
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 675
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Nyahende Thomas
      Katika taarifa ya habari Itv usiku huu, saa 2 wametangaza habari ya mwanamke mmoja aliyeporwa mtoto wake wa miezi minne na ndugu wa mume wake aliyepo nje ya nchi kwa sasa.
      Uporaji wa mtoto huyo umefanywa na ndugu wa mume wa mwanamke huyo kupitia hukumu ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa kile kinachodaiwa kwamba mama wa mtoto ni mgonjwa sana kiasi ambacho hawezi kumnyonyesha mwanae.
      Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu wa mke ni kwamba upande wa mume waliidanganya mahakama kwakuwa hawamtaki mke wa kijana wao.
      Akihojiwa na Itv hakimu huyo amekiri kutoa amri hiyo lakini akadai kwamba ombi hilo lilipelekwa kwake chini ya hati ya dharura.

      MY TAKE:
      Kitendo cha hakimu kuwa mwepesi kumtenganisha na mama yake, mtoto mdogo kiasi kile bila kumuita mahakamani ama kuwa na uhakika wa hali ya afya ya mama yake kinaidhalilisha mahakama na kutia shaka weledi wa mahakimu wetu.
      kula chako usepe ndio iliyotumika hapo.....

    16. #53
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,232
      Rep Power : 670
      Likes Received
      253
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Shine
      Kilichonichosha zaidi hakim mwenyewe ni mwanamke mwenzake pia mtoto ni wa miezi miwili. Tz tumekwisha kwa sasa hakuna shm ya haki wala usalama!
      Namuomba huyo mama aende Sumbawanga! Mbona wengine tulishaachana hizi mahakama za mafisi! Ukinidhulumu naenda Mpanda au Sumbawanga, radi inakupiga mchana bila kuwepo hata wingu, lol.

    17. #54
      Peter Kabelelo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th August 2009
      Posts : 13
      Rep Power : 500
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Alicho fanyiwa mama huyo ni kitendo kisichovumilika hata kidogo! Kuna kila sababu mashirika ya kutetea haki za binadamu kuingilia kati, ndugu zangu watanzania kama kweli imefikia hali hii katika mahakama zetu tumekwisha sisi walalahoi. mama ambebe mwenyewe tumboni miezi 9, leo sababu tu ya pesa akose haki ya kumlea mwanae! Kama ni mgonjwa na kwa kuwa kila mzazi anamatamani mwanaye awe na afya njema angeelezwa akashauriwa na wataalamu wa kada hiyo angeelewa. Ndugu zangu watanzania kuna mambo ambayo atuyafanyi sasa tukiona hayana umuhimu lakini baadaye tutatamani tungeyafanya hayo kuliko tunayo yafanya sasa.

    18. #55
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bajabiri
      ushahid wa kimazingira,,,,,,mahakama ilipaswa walau kujiridhisha na taarifa ya daktari basi,au kwa sababu wamegoma????
      chezea pesa wewe
      Kamkuki likes this.

    19. #56
      Makanyagio's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th June 2009
      Location : Nyakato Mwanza
      Posts : 82
      Rep Power : 521
      Likes Received
      8
      Likes Given
      2

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      MY TAKE:
      Kitendo cha hakimu kuwa mwepesi kumtenganisha na mama yake, mtoto mdogo kiasi kile bila kumuita mahakamani ama kuwa na uhakika wa hali ya afya ya mama yake kinaidhalilisha mahakama na kutia shaka weledi wa mahakimu wetu.[/QUOTE]

      Kwa mahakama za bongo si ajabu. mimi nawashaangaa mnaoshangaa haya maanuzi ya hakimu. Nchi hii ukitanguliza rupia hukumu unapanga wewe.
      Kamkuki likes this.
      'There is no fair in this world'

    20. #57
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 538
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Bajabiri
      mdau fjm,nimeangalia habar huyo mama alohojiwa ni HAKIMU si jaji,,,,,,,
      Nini tofauti ya jaji na hakimu?

    21. #58
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 538
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Nyahende Thomas
      Katika taarifa ya habari Itv usiku huu, saa 2 wametangaza habari ya mwanamke mmoja aliyeporwa mtoto wake wa miezi minne na ndugu wa mume wake aliyepo nje ya nchi kwa sasa.
      Uporaji wa mtoto huyo umefanywa na ndugu wa mume wa mwanamke huyo kupitia hukumu ya mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa kile kinachodaiwa kwamba mama wa mtoto ni mgonjwa sana kiasi ambacho hawezi kumnyonyesha mwanae.
      Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu wa mke ni kwamba upande wa mume waliidanganya mahakama kwakuwa hawamtaki mke wa kijana wao.
      Akihojiwa na Itv hakimu huyo amekiri kutoa amri hiyo lakini akadai kwamba ombi hilo lilipelekwa kwake chini ya hati ya dharura.

      MY TAKE:
      Kitendo cha hakimu kuwa mwepesi kumtenganisha na mama yake, mtoto mdogo kiasi kile bila kumuita mahakamani ama kuwa na uhakika wa hali ya afya ya mama yake kinaidhalilisha mahakama na kutia shaka weledi wa mahakimu wetu.
      Mimi nasema kila siku kuwa serikali ndiyo inayohamasisha watu kujichukulia sheria mkononi watu wanabisha na kuuliza kivipi? mimi ningekuwa ndio mjomba wa huyo mtoto baada ya maamuzi yale ningempasua na kitu kati ya Hakimu au huyo aliyemchukua mtoto.

      cha ajabu zaidi yule Kama mama akigoma kumnyonyesha mtoto wake mchanga,anashitakiwa na jamhuri kwa kuhatarisha haki ya msingi ya kuishi ya mtoto. Jiulize hapo kichanga hakijahatarishiwa haki yake ya msingi ya kuishi na huyo hakimu anayenuka rushwa? dawa yao ni kuwapasua kabla ya kwenda mahakamani ukijua wanapesa zaidi yako.

    22. #59
      kamili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2011
      Posts : 241
      Rep Power : 468
      Likes Received
      58
      Likes Given
      181

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Safety last
      Wametumia SHERIA ZA KIISLAM,kuamua hiyo kesi mkuu!si unajua zilivyonamagumashi
      Haaa una maana waislamu huwa hawalelewi na mama zao? Na hawa wanaolelewa na mama zao inakuwaje? Mahakama ya kisutu ni ya kiislamu?

    23. #60
      Kamkuki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 690
      Rep Power : 559
      Likes Received
      60
      Likes Given
      460

      Default Re: Hukumu ya Mwanamke aliyeporwa mtoto, Mahakama imejiaibisha...!!

      Quote By Nyahende Thomas
      Kilichonisikitisha zaidi ni kwamba hakimu mwenyewe ni mwanamke lakini katika hili haonekani kutambua umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto.
      Si kwamba vyote ving'aavyo ni Dhahabu mkuu

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...