Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,788
      Rep Power : 13847
      Likes Received
      430
      Likes Given
      569

      Default Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?


    2. #2
      Mrimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 1,268
      Rep Power : 4611
      Likes Received
      334
      Likes Given
      320

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      MH, I am a Guest!
      Wenyewe watakujibu, maana mimi sijaelewa unataka ujibiwe nini.

    3. #3
      Kimbito nyama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 156
      Rep Power : 394
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Quote By Ecoli View Post
      Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?
      Unaelewa maana ya emergence? wewe Umepelekwa Muhimbili ukiwa na emergence ukaacha kutibiwa? majeruhi wa ajali wakifika Muhimbili hawatibiwi? jitahidi kujiuliza masawali kabla ya kuweka umasaburi hapa.
      Mariatu and Mrimi like this.

    4. #4
      gilguy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 356
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      jiulize kwanini walitaka kumuulia mabwepande?then ukipata jibu litakuwa ndilo jibu la swalilako

    5. #5
      Starn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2011
      Posts : 377
      Rep Power : 528
      Likes Received
      51
      Likes Given
      44

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Quote By Ecoli View Post
      Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?
      Yeye ni daktari madokta wenzake hawawezi kumuacha afe


    6. #6
      Wile GAMBA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Posts : 711
      Rep Power : 535
      Likes Received
      212
      Likes Given
      754

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      ingawa ni swali la kijinga sana lakini acha tu nikujibu, hao wanao fanya mgomo ndiyo wenye uhamuzi wa kutoa huduma, hivo waliamua. acha kuendekeza ujinga utakuwa mjinga

    7. #7
      Dr.Chichi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : Arusha
      Posts : 1,629
      Rep Power : 893
      Likes Received
      280
      Likes Given
      6

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      professional code......
      Chichi the Don

    8. #8
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,916
      Rep Power : 981
      Likes Received
      840
      Likes Given
      564

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      maswali mengine! alipelekwa muhimbili kwa sababu muhimbili ni hospital kubwa na kuna madaktari bingwa

    9. #9
      blackpepper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 377
      Rep Power : 554
      Likes Received
      6
      Likes Given
      3

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Quote By Starn View Post
      Yeye ni daktari madokta wenzake hawawezi kumuacha afe
      kwa hiyo unataka kutuambia mgomo wa madaktari ni kutowatibu watu wasio madaktari tu??

    10. #10
      Starn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2011
      Posts : 377
      Rep Power : 528
      Likes Received
      51
      Likes Given
      44

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Quote By blackpepper View Post
      kwa hiyo unataka kutuambia mgomo wa madaktari ni kutowatibu watu wasio madaktari tu??
      Ndio maana yake, jana Ulimboka alivyofika hospitali asilimia kubwa ya madokta walienda kumpokea na kuacha wagonjwa wegnine wak

    11. #11
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,365
      Rep Power : 5155
      Likes Received
      3336
      Likes Given
      2738

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Mkuu unauliza swali la kijnga kwa gt na kutegema majibu ya welevu?

    12. #12
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 494
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Quote By Ecoli View Post
      Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?
      Ulitaka apelekwe India?

    13. #13
      AK-47's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,365
      Rep Power : 761
      Likes Received
      149
      Likes Given
      80

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Labda hujafuatilia vyombo ya habari kwani taarifa ya MOI iliyotolewa na Afisa Habari wao Jumaa Almasi siku moja kabla ya unyama aliofanyiwa Dk. Ulimboka ilisema wanapokea wagonjwa wa dharura tu kwa sasa.......na ya Dk. Ulimboka ilikuwa ni dharura licha ya pia kuwa ni jemedari wao katika kudai haki zao na za kwetu wananchi tusioweza kwenda India.
      An Eye for an Eye Makes the whole World Blind

    14. #14
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,271
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      732
      Likes Given
      1170

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      We ulitaka Apelekwe India?
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    15. #15
      monyaichi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 358
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      sasa kwani mwananyamala na muhimbili ni ipi hosp kubwa?India ni maandalizi ya baaadaye

    16. #16
      Xidian's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 131
      Rep Power : 381
      Likes Received
      24
      Likes Given
      34

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Watu wengine huwa sio wakuwajibu , usije pata barn burn bureeee

    17. ARV is offline
      ARV
      #17
      ARV's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2011
      Posts : 448
      Rep Power : 483
      Likes Received
      68
      Likes Given
      4

      Default Re: Kwa nini Dr Ulimboka alipelekwa Muhimbili?

      Watu wamejitahidi kumponda muuliza swali lakini wameshindwa kumjibu, ye anataka tu mumjibu kwa nini alipelekwa muhimbili wakati kuna mgomo? Jibuni swali la msingi, acheni kubwabwaja.

      Wote mnaotetea hawa madaktari kwa kipindi hiki cha mgomo hamkuugua au hamkuwa na ndugu zenu walio mahututi, Msingetetea huu ujinga wa hawa madokta.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...