Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?
Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?
MH, I am a Guest!
Wenyewe watakujibu, maana mimi sijaelewa unataka ujibiwe nini.
jiulize kwanini walitaka kumuulia mabwepande?then ukipata jibu litakuwa ndilo jibu la swalilako
ingawa ni swali la kijinga sana lakini acha tu nikujibu, hao wanao fanya mgomo ndiyo wenye uhamuzi wa kutoa huduma, hivo waliamua. acha kuendekeza ujinga utakuwa mjinga
professional code......
Chichi the Don
maswali mengine! alipelekwa muhimbili kwa sababu muhimbili ni hospital kubwa na kuna madaktari bingwa
Mkuu unauliza swali la kijnga kwa gt na kutegema majibu ya welevu?
Labda hujafuatilia vyombo ya habari kwani taarifa ya MOI iliyotolewa na Afisa Habari wao Jumaa Almasi siku moja kabla ya unyama aliofanyiwa Dk. Ulimboka ilisema wanapokea wagonjwa wa dharura tu kwa sasa.......na ya Dk. Ulimboka ilikuwa ni dharura licha ya pia kuwa ni jemedari wao katika kudai haki zao na za kwetu wananchi tusioweza kwenda India.
An Eye for an Eye Makes the whole World Blind
We ulitaka Apelekwe India?
''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda
sasa kwani mwananyamala na muhimbili ni ipi hosp kubwa?India ni maandalizi ya baaadaye
Watu wengine huwa sio wakuwajibu , usije pata barn burn bureeee
Watu wamejitahidi kumponda muuliza swali lakini wameshindwa kumjibu, ye anataka tu mumjibu kwa nini alipelekwa muhimbili wakati kuna mgomo? Jibuni swali la msingi, acheni kubwabwaja.
Wote mnaotetea hawa madaktari kwa kipindi hiki cha mgomo hamkuugua au hamkuwa na ndugu zenu walio mahututi, Msingetetea huu ujinga wa hawa madokta.
Follow Us Here