Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22273

      Default Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Wanabodi

      Kwanza tuungane wote kumpa pole Dr. Stephen Ulimboka na kulaani kitendo kile.

      Mimi ndiye nilyeanzisha ule uzi wa "mazuri ya JK", na miongoni mwa mazuri ya rais wetu, ni "mtu wa watu", hujitoa na kushiriki katika matukio mbalimbali ya shida na raha za raia wake, ikiwemo kujitoa sana kushiriki misiba na kuwafariji wagonjwa mbalimbali kwa kuwatembelea mahospitalini, hivyo japo mimi sina nasaba yoyote na Sheikh Yahya Hussein (RIP), lakini natabiri rais JK kutinga Moi, kumpa pole Dr. Stephen Ulimboka kwa maswahibu yaliyomfika!, hivyo natoa wito kwa sisi wana jf, katika umoja wetu, au mtu mmoja mmoja mmoja, kuungana na Watanzania katika kumfariji Dr. Stephen Ulimboka.

      Japo mimi siungi mkono mgomo wa madaktari, lakini nalaani vikali kitendo alichofanyiwa Dr. Stephen Ulimboka!.

      Kupigwa kwa Dr. Ulimboka, kumepelekea kutengenezwa kwa "conspiracy theories" mbalimbali kuhusu tukio hilo, na wengi ambao sio deep thinkers, wamesha reach conclusion kuwa hiyo ni "inside job" na imefanywa na vijana wa 'sehemu' wajulikanao kama "the oparatives" ndani ya 'sehemu'!, hivyo ni muhimu sana rais JK kama Amiri Jeshi Mkuu, kwenda kumfariji Dr. Ulimboka, with "genuine heart felt feelings za pole" katika move ya kuuthibitishia umma kuwa uvamizi ule is not "inside" job, bali umefanywa na wahalifu, kama uvamizi mwingine wowote!.

      Nawaombeni wana jf wenzangu, "please don't assume or insinuate any rush conclusions", tuwe wavumilivu na wastahimilivu kusubiri majibu ya ukweli ambayo its only "time will tell"!.

      Kilichomtokea Dr. Ulimboka sio kitu kigeni, na sio mara ya kwanza kutokea kama alivyodai kamanda Kova, bali Dr. Ulimboka is such lucky guy who will "live to tell"!, wenzake kama kina Bazigiza, wale wafanya biashara wa madini, Wakili fulani, Prof. Jwani Mwaikusa na wengine wengi, they were not so lucky!.

      Huu pia ndio wakati muafaka wa kujadili, hawa "oparatives" what are they capable of and what they are not, ili tupate "clear conscious" what is "inside job" and what is "isolated events"!.

      Lets, wish Dr. Stephen Ulimboka, a speedy recovery!

      God Bless him!.

      Get well Soon!.

      Pasco.

    2. Miaka 50

    3. #2
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      JK kwa unafiki wake lazima ataenda tu. I hate JK FOREVER.
      Pasco likes this.

    4. FJM
      #3
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5327
      Likes Given
      4587

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Kwa heshma ya Dr Ulimboka na familia yake naomba nisichangie hii thread, a very disingenuous thread!
      Ndahani and Pasco like this.

    5. #4
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,762
      Rep Power : 15108
      Likes Received
      7226
      Likes Given
      6902

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Get well soon dr.....
      sijui kwa nini habari hii imenijengea kinyongo kibaya namna hii na serikali yangu.......
      Ndahani and Pasco like this.

    6. #5
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22273

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By Preta
      Get well soon dr.....
      sijui kwa nini habari hii imenijengea kinyongo kibaya namna hii na serikali yangu.......
      Pole Preta, nimesisitiza sio lazima iwe ni inside job!, it migh be an "amaizing coincidence"!. Nijuavyo mimi, wale vijana wa kazi!, They never do incomplete job!. They have 1001 ways to do "mission complete" za vanish without trace!, kuliko hii "mission imposible" iliyotokea!.

      Utaifa "patriotism" ni kupenda nchi yako na watu wake wakiwemo ...!.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Yegomasika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2009
      Location : Mwanza
      Posts : 1,909
      Rep Power : 899
      Likes Received
      441
      Likes Given
      307

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By Preta
      Get well soon dr.....
      sijui kwa nini habari hii imenijengea kinyongo kibaya namna hii na serikali yangu.......
      Unakumbuka thread yako moja uloanzisha humu ya "Mungu anakuona?". Basi hata hao walomfanyia huyu bwana kitu mbaya, Mungu anawaona tena vizuri sana!.
      Ndahani, Pasco, Preta and 1 others like this.
      Happiness Begins With Facing Life With A Smile And A Wink.

    9. #7
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22273

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By Mpungati
      JK kwa unafiki wake lazima ataenda tu. I hate JK FOREVER.
      Mkuu Mpungati, kuchukia watu ni dhambi!, kwani ndio yeye?. Hiyo si ni itakuwa ni kazi ya "wale vijana"!.

    10. #8
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,985
      Rep Power : 8271
      Likes Received
      2687
      Likes Given
      3665

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Nimeielewa thread yako..very tricky! only "strangers" can understand
      Jobjob2 and Pasco like this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    11. #9
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      pole zangu za dhati ziende kwa watz wavuja-jasho na masikini wasioweza kukwepa kimbunga kilichoanzishwa na akina Ulimboka na wenzake..hawa hawana wa kuwatetea na wameachwa wafe a slow, hopeless and painful death.
      Ndahani, Pasco and bombu like this.
      Moola's the motive

    12. #10
      mwandiga's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 277
      Rep Power : 0
      Likes Received
      41
      Likes Given
      68

      Default

      Quote By Pasco
      Pole Preta, nimesisitiza sio lazima iwe ni inside job!, it migh be an "amaizing coincidence"!. Nijuavyo mimi, wale vijana wa kazi!, They never do incomplete job!. They have 1001 ways to do "mission complete" za vanish without trace!, kuliko hii "mission imposible" iliyotokea!.

      Utaifa "patriotism" ni kupenda nchi yako na watu wake wakiwemo ...!.
      Pasco thanks kwa thread Nzuri. Dr Ulimboka pole sana, my prayers zipo nawe hadi upone. Pasco nakubaliana na wewe kwa upande mmoja, kwamba ni inside job. The way ulivyosisitiza kuwa inawezekana sio inside job pia sisitiza kuwa ni inside job.

      Vyote vinawezekana. Those operatives wanaweza kuwa walikwamisha na kitu. They are not God. Mipango ya Mungu ni tofauti na binadamu no matter how good they are. Mara ngapi mission za CIA, SEAL zinakwama?

      Huu mgomo mpya mawziri, katibu mkuu wanaogopa kumwaga unga, serikali dhaifu inaogopa kuaibika nchi za nje hivyo uwt ama wauaji wakapewa kazi. Sins inanimate na serikali ya tz kwani imekuwa ikiuwa wananchi wake ambao katiba inawapa haki ya Kuishi. Kombe, na wengine
      Pasco likes this.

    13. #11
      Mtu Mzima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Loliondo
      Posts : 360
      Rep Power : 667
      Likes Received
      70
      Likes Given
      29

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Kazi nzuri ila umechelewa. Mambo yote sasa hadharani. Dola zote kandamizi huvaa ngozi ya kondoo lakini ndani ni mumiani na mikono yao imejaa damu na vilio vya watu
      Pasco likes this.
      Connect the dots...

    14. #12
      Mtu Mzima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Loliondo
      Posts : 360
      Rep Power : 667
      Likes Received
      70
      Likes Given
      29

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Nafikiri Nyuzi nyingine zinaanzishwa makusudi kupima public opinion.

      Wambie tu kwamba Kitendo hicho walichokifanya kimezidi kuwatenga na wananchi na hakitawasaidia na hata kama wangefanikiwa kummaliza isingewasaidia.

      Kinachotakiwa ni kutatua kiini cha matatizo na sio mabavu
      Ndahani and Pasco like this.
      Connect the dots...

    15. #13
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22273

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By Abdulhalim
      pole zangu za dhati ziende kwa watz wavuja-jasho na masikini wasioweza kukwepa kimbunga kilichoanzishwa na akina Ulimboka na wenzake..hawa hawana wa kuwatetea na wameachwa wafe a slow, hopeless and painful death.
      Death zote za sickness ni slow, na painfull na zote hutokea at the stage of hopelessness ila no matter how much hope is there, at the end of the day, wa kufa watakufa tuu kwa mgomo au bila mgomo, saa ikifika ni safari tuu!.
      Abdulhalim likes this.

    16. #14
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Hii ni kabisa waziwazi inaonesha kuwa si Serikali ilyofanya haya, nasema tutayajuwa tu.

      Nimesema posts zingine na nasema sasa hivi, hawa watu waliofanya haya hawaitakii mema Serikali inayoongozwa na Kikwete.

      Ukweli utajulikana.
      Pasco likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    17. #15
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,650
      Rep Power : 32147
      Likes Received
      5003
      Likes Given
      5174

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Pasco ni mnafki. Uzeeni kwake atakuwa mchawi.
      Pasco and The Magnificent like this.

    18. #16
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,514
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5444
      Likes Given
      3640

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Pasco kwahiyo hapa unatuaminisha wale vijana wa Inside job huwa hawaachi viporo, it means hata kwa Mwakyembe watakuwa hawahusiki!?

      Anyway kwa ukuta uliowekwa badala ya daraja kati ya watawala na wananchi, mioyo ya Watanzania waliowengi imevimba kwa chuki dhidi ya huu utawala dhalimu, nadhani Pinda hilo Tamko lake la kipuuzi analotaka kuritoa leo Bungeni aachane nalo, maana ataamsha hasira zaidi za watu.
      Pasco likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    19. #17
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By Pasco
      Death zote za sickness ni slow, na painfull na zote hutokea at the stage of hopelessness ila no matter how much hope is there, at the end of the day, wa kufa watakufa tuu kwa mgomo au bila mgomo, saa ikifika ni safari tuu!.
      hii ni oversimplification yenye nia ya kuplay-down madhila ya mgomo wa akina Ulimboka katika utoaji huduma za afya na kunusuru maisha. maana kama hoja ni 'saa kufika' basi tufunge huduma zote za afya tusubiri 'saa ifike'..mimi na wewe tunajua ukweli kuwa kuna maradhi mengi tu yanayozuilika, hakuna mtoto mdogo wa kudanganyishia pipi.
      Pasco likes this.
      Moola's the motive

    20. #18
      JATELO1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 1,015
      Rep Power : 901
      Likes Received
      81
      Likes Given
      39

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By Pasco
      Nawaombeni wana jf wenzangu, "please don't assume or insinuate any rush conclusions", tuwe wavumilivu na wastahimilivu kusubiri majibu ya ukweli ambayo its only "time will tell"!.

      Kilichomtokea Dr. Ulimboka sio kitu kigeni, na sio mara ya kwanza kutokea kama alivyodai kamanda Kova, bali Dr. Ulimboka is such lucky guy who will "live to tell"!, wenzake kama kina Bazigiza, wale wafanya biashara wa madini, Wakili fulani, Prof. Jwani Mwaikusa na wengine wengi, they were not so lucky!
      Pasco,
      Naheshimu mawazo yako kama ulivyoandika, lkn hayo mawazo yako hayawezi kuondoa ukweli kwa kuanza kuandaa mazingira kama wewe na wengine mnavyofanya. Pia, hapo pekundu unalenga kutuaminisha kwamba kuna ukweli utapatikana kutoka wapi? Jeshi la Polisi? Usalama wa Taifa? huo ukweli unaouongelea utapatikana kupitia njia gani?

      Pasco, kwa yaliyotokea watnzania hawahitaji sana theory zako ndipo waamini uhalisia wa tukio lililotokea. Hizo coincidence unazozipigia debe hapa wewe unajua ni kwanini umeamua kujitokeza na kuanza kutetea watu hapa kwa kisingizio cha ukweli kupatikana, toka wapi?
      Pasco likes this.

    21. #19
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,514
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5444
      Likes Given
      3640

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By zomba
      Hii ni kabisa waziwazi inaonesha kuwa si Serikali ilyofanya haya, nasema tutayajuwa tu.

      Nimesema posts zingine na nasema sasa hivi, hawa watu waliofanya haya hawaitakii mema Serikali inayoongozwa na Kikwete.

      Ukweli utajulikana.
      Unachokifanya wewe ni kukimbiza upepo au kwenda kuikausha bahari, sidhani kama utafanikiwa kwa hilo. wewe endelea tu kunufaika na huu mfumo kandamizi wa CCM lakini note it kwenye Ubongo wako kwamba ur days are numbered.
      Ni CCM peke yake ndio imebakia madarakani katika vyama vyote vilivyokuwa tawala barani Afrika. unapaswa kujiandaa kisaikolojia kuanzia sasa.
      Pasco likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    22. #20
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default Re: Wito: Tumpe Pole Dr. Ulimboka!. "Hata JK, Atakwenda Kumpa Pole!.

      Quote By Pasco
      Pole Preta, nimesisitiza sio lazima iwe ni inside job!, it migh be an "amaizing coincidence"!. Nijuavyo mimi, wale vijana wa kazi!, They never do incomplete job!. They have 1001 ways to do "mission complete" za vanish without trace!, kuliko hii "mission imposible" iliyotokea!.

      Utaifa "patriotism" ni kupenda nchi yako na watu wake wakiwemo ...!.
      You sound like an expert in such operations comrade!
      Pasco likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...