Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tbc tbc tbc!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 575
      Rep Power : 484
      Likes Received
      74
      Likes Given
      71

      Default Tbc tbc tbc!

      Hakuna taarifa yoyote kuhusu taarifa za uharamia aliofanyiwa dr. Ulimboka, hii inamaanisha nini wadau? nafikiri ni majibu tosha kuwa hii serikali dhaifu na ya kidhalimu inahusika moja kwa moja, Mungu mbariki dr. apone.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 442
      Likes Received
      152
      Likes Given
      173

      Default TBC wameonyesha habari ya Dr Ulimboka!

      Hili ni jambo la kushangaza sana hv kweli TBC mnashindwa kurusha habari hii badala yake mnaonyesha ngonjera za bungeni?ss wananchi sasa imefika mahala tunasema basi maana mnapotosha uma watu tuwafikirie vipi??

      UPDATES
      Jamaa wameonyesha hii habari ya Dr Ulimboka!
      Last edited by cement; 27th June 2012 at 20:55.
      Dark City likes this.

    4. #3
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,568
      Rep Power : 23554
      Likes Received
      6989
      Likes Given
      11340

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    5. #4
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,659
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      TBC wajifunze yaliyowakuta kitua cha TV Siria kilichokuwa kikirusha matangazo ya kuipendelea Serikali, kimepigwa mabomu na watu 3 wameuwawa, Tbc ni mali ya Umma si mali Ya ccm na Serikali yake Dhaifu,
      Quote By cement
      Hili ni jambo la kushangaza sana hv kweli TBC mnashindwa kurusha habari hii badala yake mnaonyesha ngonjera za bungeni?ss wananchi sasa imefika mahala tunasema basi maana mnapotosha uma watu tuwafikirie vipi??

    6. #5
      PayGod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Posts : 1,158
      Rep Power : 804
      Likes Received
      42
      Likes Given
      22

      Default

      Quote By Dark City
      Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
      Itv wameonyesha ndio ilikuwa habari ya kwanza
      Dark City and saimon111 like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      DCONSCIOUS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 300
      Rep Power : 498
      Likes Received
      85
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Dark City
      Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
      Itv wamerusha vizuri tena mda mrefu
      Dark City likes this.

    9. #7
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 603
      Rep Power : 497
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Quote By Dark City
      Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
      itv na star tv mbona wamerusha, ni hawa wauaji tu ndio hawajarusha F--c them
      Dark City likes this.
      "hata uwe na bahati vipi HUWEZI KUOKOTA NYUMBA"

    10. #8
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 442
      Likes Received
      152
      Likes Given
      173

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Kwa kweli tutaanza kuamini kisicho aminika!!!!

    11. #9
      Dr Kingu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 419
      Likes Received
      17
      Likes Given
      6

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Star tv imerusha mkuu. Tbc a.k.a tb magamba/mafisadi/maghaidi /majambazi hawawezi kurusha. Waliohojiwa star tv wanasema dr ulimboka alikuwa anawasiliana na mtu kutoka ikulu aitwaye abedi. Unadhani kwenye tbc ambayo imejaa uozo na upotoshaji watatangaza?

    12. #10
      RICARDO KAKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 399
      Likes Received
      72
      Likes Given
      39

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Tangu aondoke TIDO MUHANDO, hii imekuwa sio television tena ya kuangalia, huyu mkurungezi mpya MSHANA, yaani ni full gamba. mimi huwa siangaliagi hii television. naangalia ITV, STAR TV & CHANEL TEN.

    13. #11
      kifuruko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 20
      Rep Power : 391
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Habari ya kutekwa kwa dr. Ulimboka siyo habari kwa tbc?

      Jamani nimeangalia televisheni yetu hii ya serikali, kwani inachukua ruzuku kutoka serikalini, fedha ya kila mwananchi mlipa kodi. Cha kushangaza! Habari iliyovuta watu wengi, umma kwa ujumla ya kutekwa kwa dr. Na kukutwa mahututi katika msitu wa magwe pande. Haikuwa ni issue. Hivi wanahabari na umma kwa ujumla mnalionaje hili? Wangeitoa tuu kwani kwani ingekuwaje..............basi tu.

    14. #12
      IGUDUNG'WA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd October 2011
      Location : iborogero
      Posts : 535
      Rep Power : 490
      Likes Received
      114
      Likes Given
      85

      Unhappy Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      TBC inatumika kupotosha watanzania ili waendelee kuibiwa kwa ufisadi. ndio maana mimi hata taarifa yao siangalii maana hakuna waledi wa habari ila ni ukanjanja tu ndio umetawala

    15. #13
      Asterisk's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 215
      Rep Power : 395
      Likes Received
      49
      Likes Given
      107

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      na mim nilishaacha siku nyingi kuangalia taarifa ya habari ya TBC,,, join the boat

    16. #14
      KIBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Posts : 696
      Rep Power : 576
      Likes Received
      120
      Likes Given
      8

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Ni lazima kurasha hiyo habari ya dr.ulimbuka ziko habari za msingi hiyo si kipaumbele... Tunamuombea apone ili aje ahadithie kifo kikojo ,,kwani wao wanaona utamu ndugu zetu kufa kwa migomo yao ya kishenzi tu.

    17. #15
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 442
      Likes Received
      152
      Likes Given
      173

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Hii ni aibu kubwa sana kweli pengine selikari imehusika katika hili!

    18. #16
      buhange's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd October 2011
      Posts : 208
      Rep Power : 424
      Likes Received
      15
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Dark City
      Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
      ITV wameonyesha mkuu, labda ukiwa unamaanisha mchana kama breaking news
      Dark City likes this.

    19. #17
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 575
      Rep Power : 484
      Likes Received
      74
      Likes Given
      71

      Default

      Quote By Dark City
      Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
      ITV, startv, channel wameonyesha kwa kina
      Dark City likes this.

    20. #18
      kifuruko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 20
      Rep Power : 391
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Wewe uko wapi? Itv wameonyesha mkanda wote.........no research no right to comment.

    21. #19
      Mtumpole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : Dreamland
      Posts : 522
      Rep Power : 547
      Likes Received
      93
      Likes Given
      327

      Default Re: TBC tumewavumilia sasa tumechoka mnashindwa kurusha habari ya Dk Ulimboka???

      Mbona TBC1 wameonyesha
      Mwenye dhambi hana raha

    22. #20
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 575
      Rep Power : 484
      Likes Received
      74
      Likes Given
      71

      Default

      Quote By KIBE
      Ni lazima kurasha hiyo habari ya dr.ulimbuka ziko habari za msingi hiyo si kipaumbele... Tunamuombea apone ili aje ahadithie kifo kikojo ,,kwani wao wanaona utamu ndugu zetu kufa kwa migomo yao ya kishenzi tu.
      habari muhimu ni kumuonyesha pinda akitema pumba bungeni, yana mwisho!?.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...