Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      Nimetazama Star TV leo asubuhi, Mtangazaji Baruhani Muhuza aling'ang'ania kuuliza "Hivi hakuna njia nyingine ya kuchukua zaidi ya hii ya Mgomo?" hata baada ya kuelezwa kwa ufasaha hatua zilizochukuliwa.

      Kwa kweli nilikereka sana na swali hili la mtangazaji, nikamuuliza nikiisemesha TV yangu kwa hakika nikijua kabisa hanisikii "Hebu toa njia nyingine uliyonayo ili Madaktari wachukue, toa basi" sikupendezwa na namna alivyokuwa king'ang'anizi bila kutoa ufumbuzi kama anao.
      Asprin, MziziMkavu and Kikarara78 like this.
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      nawashangaa wana habari ni kwa nini hawakufuatilia mwenendo wa mazungumzo kati ya pande hizi mbili kwa kipindi chote cha siku tisini.wao husubiri madaktari wagome na kuanza kuuliza maswali ya kitoto au kusema ''wananchi ndio wanaoumia''
      waandishi makini walitakiwa kufuatilia nini kinaendelea baada ya migomo ya kwanza.
      MziziMkavu and Kimox Kimokole like this.
      You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko

    4. #3
      Kikarara78's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 323
      Rep Power : 495
      Likes Received
      64
      Likes Given
      518

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      Kimokole na Wana JF,
      Umefika wakati wa hawa watu wachache kupewa darasa atleast waushughulishe Ubongo kwenye suala la Kufikiri.
      Unazi na kujali matumbo na upande fualani umepitwa na wakati. Inaonyesha jinsi mwandishi ambavyo hakufikiri pamoja na kuelimishwa.
      My Take: Issue kama hii ya Madaktari inapakiwa iangaliwe kwa umakini na pande zote mbili, sio upande wa madaktari tu, kluna Waalimu, Polisi na wengine.
      Nawakilisha

      Quote By Kimokole
      Nimetazama Star TV leo asubuhi, Mtangazaji Baruhani Muhuza aling'ang'ania kuuliza "Hivi hakuna njia nyingine ya kuchukua zaidi ya hii ya Mgomo?" hata baada ya kuelezwa kwa ufasaha hatua zilizochukuliwa.

      Kwa kweli nilikereka sana na swali hili la mtangazaji, nikamuuliza nikiisemesha TV yangu kwa hakika nikijua kabisa hanisikii "Hebu toa njia nyingine uliyonayo ili Madaktari wachukue, toa basi" sikupendezwa na namna alivyokuwa king'ang'anizi bila kutoa ufumbuzi kama anao.
      Kimox Kimokole likes this.

    5. #4
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,189
      Rep Power : 19210
      Likes Received
      8147
      Likes Given
      26620

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      Ngoja huyo Mtangazaji Baruhani Muhuza apate na kuumwa ndipo atakapojuwa umuhimu wa Ma Daktari kwanini Wanagoma?

      Mtangazaji Mzima anazungumza maneno ya Pumba ahhh? Nchi yetu inakwenda kinyume nyume. huyo mtangazaji atakuwa ni

      mamluki aliyetumwa na Viongozi wake Wakubwa huyo hafai kutangaza habari kwenye TV. Mshamba mzima Mtangazi gani

      hajuwi Umuhimu wa Ma Daktari hapo nchini kwetu?Pasipo na Madaktari nchi yetu kweli hao Wagonjwa si Watakufa kama nzi

      tu? Huyo Mtangaji
      Baruhani Muhuza aache Pumba zake kwenye TV.Mkuu Kimokole
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    6. #5
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      Quote By Kikarara78
      Kimokole na Wana JF,
      Umefika wakati wa hawa watu wachache kupewa darasa atleast waushughulishe Ubongo kwenye suala la Kufikiri.
      Unazi na kujali matumbo na upande fualani umepitwa na wakati. Inaonyesha jinsi mwandishi ambavyo hakufikiri pamoja na kuelimishwa.
      My Take: Issue kama hii ya Madaktari inapakiwa iangaliwe kwa umakini na pande zote mbili, sio upande wa madaktari tu, kluna Waalimu, Polisi na wengine.
      Nawakilisha
      Kuna haja ya hawa wanaHabari kujitathmini upya kwa kweli. Wanaweka hisia zao zaidi kwenye mambo ya msingi tena wakitazama upande mmoja tu bila kufungua bongo zao
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    7. Miaka 50

    8. #6
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      Quote By MziziMkavu
      Ngoja huyo Mtangazaji Baruhani Muhuza apate na kuumwa ndipo atakapojuwa umuhimu wa Ma Daktari kwanini Wanagoma?

      Mtangazaji Mzima anazungumza maneno ya Pumba ahhh? Nchi yetu inakwenda kinyume nyume. huyo mtangazaji atakuwa ni

      mamluki aliyetumwa na Viongozi wake Wakubwa huyo hafai kutangaza habari kwenye TV. Mshamba mzima Mtangazi gani

      hajuwi Umuhimu wa Ma Daktari hapo nchini kwetu?Pasipo na Madaktari nchi yetu kweli hao Wagonjwa si Watakufa kama nzi

      tu? Huyo Mtangaji
      Baruhani Muhuza aache Pumba zake kwenye TV.Mkuu Kimokole
      MziziMkavu kuna watangazaji wanakera kwa kweli, hata sijui ilikuwaje wakawa watangazaji
      MziziMkavu likes this.
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    9. #7
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,189
      Rep Power : 19210
      Likes Received
      8147
      Likes Given
      26620

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      Quote By Kimokole
      MziziMkavu kuna watangazaji wanakera kwa kweli, hata sijui ilikuwaje wakawa watangazaji
      Sifa za Mtangazaji inatakikana awe Mkweli wa Habari na asipendelee katika kueleza habari zake.

      Akiwa anapendelea chama fulani au au Serikali basi huyo sio Mtangazaji hafai kuwa Mtangazaji lakini Wengi Watangazaji ni Waongo na ni Watu wa Serikali haswa ukizingatia nchi zetu za ulimwengu wa 3 hakuna haki za KiBinadamu Mtangazaji

      akisema ukweli basi anaweza hata kupoteza maisha yake. Lazima Watangazaji katika nchi zetu za Ulimwengu wa 3 wawe

      hao Watangazaji wanapendelea Serikali hata kama hiyo Serikali ni ya Kidickteta ndio wataweza kuishi salama Wengi wa hao Watangazaji ni Waongo na wanaotoa habari za uongo kuipendelea Serikali iliyoko Madarakani.Mkuu Kimokole
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    10. #8
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      Shilingi wengi tunajua ina pande mbili ila iko ya tatu hatuijui, hawa watangazaji mawazo yao ni finyu kwenye Tasnia ya habari. Kazi kweli tunayo...
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    11. #9
      ellyjr8's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 429
      Likes Received
      47
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari, hamjaona njia nyingine zaidi ya MGOMO?

      FRESH NEWS: UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI.
      Leo ningependa turudijamvini kujadili kidogo kuhusu huu mgomo wetu, awali katika sehemu ya kwanza yamada hii, nilijaribu kuainisha madaiyetu, makubaliano na kuacha kwako mwanya wa kufikiri utendaji wa serikali yetu“SIKIVU” ilivyo na inavyofanya hadi sasa (kamahukubahatika kusoma hebu itafute facebook na Jamii forum ili upitishe machoKIDOGO TU ikiwa na thread title UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI)..leonilifikiri si vibaya tukijadili kuhusu madhara ya mgomo huu.
      HALI HALISI HOSPITALINI:
      Hospitali ya Taifa Muhimbili, Ocean Road Institute, Temeke,Mwananyamala, Amana, Bugando, Mbeya, KCMC, ST.Francis, Haydom, Dodoma n.k. huku kote hakuna kinachoendelea..madakatarikwa maana ya General practitioner na Specialist, sio Assistant Medical Officer,AMO(KWANI KUNA UTOFAUTI KATI YA NGAZI ZAUDAKTARI KUTOKANA NA KISOMO/ELIMU-nisingependa kwenda katika hili) .. Hii ni TOTAL TOOLS DOWN,(TTD), episode III..
      Kama tulivyosema awali hatudai posho, na ongezeko la mishaharatu(hii si priority hata katika madai), ila eti kulingana na majibu ya serikali,tutegemee madai hayo katika next next fiscal year(2013/2014) lakini hebu jiulize
      1. Madai ya madaktari yalianza lini?
      2. Madiwani waligoma ama kudai mshahara/posho lini??!
      3. Priority ya Taifa ni wananchi(kupitia madai ya madaktari) au viongozi(kupitia poshompya za madiwani zilizotangazwa Bungeni)?
      4. Nyongeza ya posho ya madiwani imetokea wapi?? ilipangwakatika bajeti?
      5. Viongozi au wananchi hamuoni haya??

      SISEMI TUNAHITAJI MISHAHARA YETU ILINGANE NA WABUNGE, MAWAZIRI, WAFANYAKAZI WATRA, BOT, n.k..LA HASHA!! ILA UNAPODAI MAZINGIRA BORA YA KAZI, NYONGEZA YAMSHAHARA,POSHO NA UNAPEWA MAJIBU YA DHARAU,.. NA WENGINE KAMA VIONGOZIKUJIONGEZEA(duringthe same period of our claims), HAPO NDIPO COMPARISON INAPOTOKEA, NAKULAZIMISHA TUFANANE NA NYIE!!
      Katika hospitali tajwa hapo juu, Wakurugenzi, wakuu wa idarawamekuwa wakifanya vikao na kulipwa 50,000/=TSHS@SIKU toka mgomo kuanza23.06.2012.., Je, wananchi mnayajua haya? Jiulize kuna idara ngapi katikahospitali hizi? Nani anayetoa pesa hizi? Zitatoka hadi lini? Lengo kuu nikushawishi, kushurutisha madaktari turudi kazini… !!

      VYOMBO VYA HABARI:
      Katika “episode” mbili za “series” yetu hii ya Mgomo waMadaktari, vyombo vya habari vilianza kuripoti kuwa hakuna migomo, hadi palewatu wa HAKI ZA BINADAMU walipoingilia kati!!
      Nasikititishwa sana na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC),kutotoa taarifa halisi wakati watu wanazidi kupoteza maisha, kweli hawaoni? Hawajuiau wanapuuzia?
      Halafu mnatuitamadaktari si wazalendo? KWELI?? Napata shida sana kuelewa inakuwaje watanzaniawanaumia na viongozi kutotilia maanani madai yetu, ni kweli uhai wa mtuhauwekwi rehani lakini hatukuingiakatika mgomo huu kwa kuweka maisha ya watanzania wenzetu katika mizani, na ndiomaana muda wa mazungumzo ulikuwepo nahata kabla ya mgomo, muda wa wiki mbili ulitosha kujipanga, kwamba kama Serikaliikishindwa kutekeleza madai, AU kuonyesha njia mbadala ya kuyatatua basiijipange kuhudumia wananchi.
      Kama leo hii tunaangalia luninga(TV-mfano Mh. W/Afya paleStar TV kukimbia), tunasikiliza redio lakini mambo yanayofanya na serikali nihaya, umekwisha jiuliza ingekuwaje, ama Serikali yetu ingetutendea nini kamatungekuwa hatuwaoni wanachofanya pale Bungeni(Mfano Takwimu za uongo), nakwingineko? Hali hii itaendelea hadi lini?
      MKAKATI:
      Usalama wa taifa wako kila hospitali, swali ni hili
      1. Ni usalama wa Taifa au wa chama tawala?
      2. Wanatumia pesa ya nani?
      3. Last‘episode” walileta wanajeshi,
      KAMA MADAI YAMADAKTARI SI YA MSINGI NA SERIKALI IKOSAHIHI KWANINI WANAJESHI HAWAJATOA HUDUMA KAMA WALIVYOTOA HAPO MWANZO??
      KWANINI HAWAKUWA TAYARI HATA WALIPOOMBWA KUFANYA KAZIMNAYYOIITA KAZI YA WITO????

      MAKOLIGI (colleague)??
      Ni lini wananchi waliingia mkataba na sisi juu ya afyazao??sasa mbona wanatulalamikia na kutushambulia??..nadhani wananchi mnakoseakidogo, dhamana ya afya zenu ni kwa hiyo serikali “sikivu”, hivyo lawama, maombi, na hisia zotepelekeni huko….ila sisi kurudi ni hadi pale madai yataposikilizwa, this time sikwenda kazini halafu yafanyiwe kazi? HAPANA..HII IELEWEKEVIZURI..HATUDANGANYIKI … hadi yafanyiwe kazi na kuthibitishwa au njia mbadala.
      Najua wanasema when you get in a fight you should dig, twograves but I guess you should not fightwith someone who has NOTHING to loose,..We either overestimated the power of Government’s responsibility orThey(Government) underestimated our power, and I really doubt of the latter because they KNOW they cant stopus.. you cant stop what you cant catch,because the more they will push us the worse this is going to get…
      ..Solidarityforever..

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...