Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 79
    1. #1
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 540
      Rep Power : 532
      Likes Received
      87
      Likes Given
      21

      Default Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      WADAU. Nimekuwamsikilizaji wa kipindi cha asubuhi cha Clouds FM cha Power Breakfast, ambachoni maarufu sana siku hizi, siku za karibuni GERALD HANDO kupitia segment yakeya Jicho la Ng’ombe amedhihirisha dhamira yake hasi kwa taifa letu, dhamirailiyojaa unafiki mkubwa.
      HakikaGerald amejivika kuwa mtetezi wa maovu ya serikali, hususan bajeti hii ambayohata serikali yenyewe imekiri kuwa ni mbovu ikifanya mkakati wa kuiboresha.Ndugu zangu wenye nia thabiti ya kuleta mabadiliko katika mfumo mbovu wa serikalihii, nawaomba tuungane kwa nguvu zetu zote kukataa propaganda chafu za GeraldHando (siamini kama ni msimamo wa Clouds Fm kama ndivyo wawathibitishiewananchi).

      Leo asubuhiamewakejeli wabunge wetu wote wanaoikosoa bajeti hii, akidai wanatafutaattention kwa wananchi, tena akienda mbali kwa kudai ni watovu wa nidhamu kwababa yao (Rais), tena hawafanyi kilichowapeleka bungeni. Hivi yeye ni nanimpaka atoe kashfa zote hizo? Au kwa kuwa amepewa jukwaa la kubwabwaja. Hakikanimemshusha thamani kwa hoja zake dhaifu!
      Wadau,naandika kwa urefu nikiwa very disappointed na hawa wana habari uchwara (kamaGerald Hando) ambao wanaweka maslahi yao badala ya umma. Sielewi kwa mtazamo waGerald Hando wabunge kazi yako bungeni ni ipi kama sio kuihoji na kuibanaserikali, yawezekana hawafahamu hata majukumu ya mbunge (inataka elimu ilikujua hilo sijui kama anayo), anataka waende kusinzia kama baadhiwalivyochukuliwa na picha?.
      Iwapoameamua kuwa msemaji wa serikali ya CCM, basi tujulishwe kwani hatuna tatizo naRadio Uhuru amabyo ni propaganda machine ya CCM, kila mtu anajua hilo na hatuna tatizao nalo, ilawapigania ukombozi wa kweli tutaendelea kuibana serikali, tukiwatumia wabungewetu kama Mnyika kueleza umma uozo wa serikali hii, asitukatishe tama kwanihatofanikiwa kamwe. Hongera Mnyika tuko nyuma yako katika hili.
      Aluta Kontinua mpakaserikali itambue haki ya wananchi. Ole wao wanafiki siku zao zinahesabika
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    2. Miaka 50

    3. #2
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      nilishaacha kusikiliza hicho kipindi na hiyo redio toka masudi kipanya aondoke hapo....siku hizi kimekuwa maarufu hicho kipindi?!!
      ChescoMatunda likes this.
      I'm Naturaly Evasive..

    4. #3
      UPOPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 343
      Rep Power : 455
      Likes Received
      104
      Likes Given
      45

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Mimi naona huo ndio mtazamo wao .Kila mtu anatakiwa kuwa huru na anachofikiria.Pia elewa huyo kijana ni mwajiriwa wa hicho chombo lazma alinde sera za mwajiri wake hata kama huo sio mtazamo wake binafsi.
      Nafikiri ungemweleza mmiliki wa hiyo radio ndio ingeleta maana

    5. #4
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 540
      Rep Power : 532
      Likes Received
      87
      Likes Given
      21

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Mkuu ni kweli na kinawapotosha maelfu ya watanzania hatuwezi kukaa kimya hakika wanaboa jamaa hawa kwa kupotosha makusudi
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    6. #5
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 540
      Rep Power : 532
      Likes Received
      87
      Likes Given
      21

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Quote By UPOPO
      Mimi naona huo ndio mtazamo wao .Kila mtu anatakiwa kuwa huru na anachofikiria.Pia elewa huyo kijana ni mwajiriwa wa hicho chombo lazma alinde sera za mwajiri wake hata kama huo sio mtazamo wake binafsi.
      Nafikiri ungemweleza mmiliki wa hiyo radio ndio ingeleta maana
      Heading yangu imelenga mmiliki na pia kuweka msisitizo nimemtaja yeye mtangazaji
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    7. FemaTV & Radio

    8. PPM
      #6
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 403
      Rep Power : 474
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Quote By Ernesto Che
      WADAU. Nimekuwamsikilizaji wa kipindi cha asubuhi cha Clouds FM cha Power Breakfast, ambachoni maarufu sana siku hizi, siku za karibuni GERALD HANDO kupitia segment yakeya Jicho la Ng’ombe amedhihirisha dhamira yake hasi kwa taifa letu, dhamirailiyojaa unafiki mkubwa.
      HakikaGerald amejivika kuwa mtetezi wa maovu ya serikali, hususan bajeti hii ambayohata serikali yenyewe imekiri kuwa ni mbovu ikifanya mkakati wa kuiboresha.Ndugu zangu wenye nia thabiti ya kuleta mabadiliko katika mfumo mbovu wa serikalihii, nawaomba tuungane kwa nguvu zetu zote kukataa propaganda chafu za GeraldHando (siamini kama ni msimamo wa Clouds Fm kama ndivyo wawathibitishiewananchi).

      Leo asubuhiamewakejeli wabunge wetu wote wanaoikosoa bajeti hii, akidai wanatafutaattention kwa wananchi, tena akienda mbali kwa kudai ni watovu wa nidhamu kwababa yao (Rais), tena hawafanyi kilichowapeleka bungeni. Hivi yeye ni nanimpaka atoe kashfa zote hizo? Au kwa kuwa amepewa jukwaa la kubwabwaja. Hakikanimemshusha thamani kwa hoja zake dhaifu!
      Wadau,naandika kwa urefu nikiwa very disappointed na hawa wana habari uchwara (kamaGerald Hando) ambao wanaweka maslahi yao badala ya umma. Sielewi kwa mtazamo waGerald Hando wabunge kazi yako bungeni ni ipi kama sio kuihoji na kuibanaserikali, yawezekana hawafahamu hata majukumu ya mbunge (inataka elimu ilikujua hilo sijui kama anayo), anataka waende kusinzia kama baadhiwalivyochukuliwa na picha?.
      Iwapoameamua kuwa msemaji wa serikali ya CCM, basi tujulishwe kwani hatuna tatizo naRadio Uhuru amabyo ni propaganda machine ya CCM, kila mtu anajua hilo na hatuna tatizao nalo, ilawapigania ukombozi wa kweli tutaendelea kuibana serikali, tukiwatumia wabungewetu kama Mnyika kueleza umma uozo wa serikali hii, asitukatishe tama kwanihatofanikiwa kamwe. Hongera Mnyika tuko nyuma yako katika hili.
      Aluta Kontinua mpakaserikali itambue haki ya wananchi. Ole wao wanafiki siku zao zinahesabika
      Kwani lazima usikilize Clouds FM. Mbona kuna Redio nyingi.

    9. #7
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      I have never seen a ............... person like him in my entire life! yaani kama yule ndio mume wangu NAOMBA TALAKA! mwanaume unatakiwa kujiamini na kutoa HOJA zinazoeleweka!

      Binafsi yangu AMENIKERA, mpaka hubby aliweka cd akaona radio imejaa upuuzi! i hate that radio, coz ipo ki-ccm zaidi, haiongeo ukweli, ni wanafiki wakubwa sijui wanafikiria kwa vichwa au masaburi! ni aibu kubwa mnoooo! kwani kwa kuitete a ccm hata katika maujinga yake ndio utaonekana mwema!

      Nimemdharau sana huyo sijui Gerald, kaka yangu anaitwa gerald, amesema kuanzia leo tumuite jina la nyumbani 'mogovano' hilo halitaki tena asije ambukizwa uhandolism wa kujikomba kwa wanaume wenzio uonekane we mwema na kidume!

      We Gerald jisonyooooooo lako hili, straight from me! mods kama nimewakwaza nisameheni,nna hasira sana na Geraldito mhandolism!
      angedizzle, Endangered and Nivea like this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    10. #8
      samstevie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 195
      Rep Power : 419
      Likes Received
      31
      Likes Given
      14

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Mdau bado uko na hii radio,ama kweli unajipotezea muda kwa hao wachumia tumbo.
      '' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly

    11. #9
      MAKAWANI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 374
      Likes Received
      27
      Likes Given
      21

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Kazi yao ni kujipendekeza kwa rais kwa kwenda kumfanyia birthday Ikulu. Clouds kila mtu pale ni mjuaji!!!!

    12. #10
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Quote By UPOPO
      Mimi naona huo ndio mtazamo wao .Kila mtu anatakiwa kuwa huru na anachofikiria.Pia elewa huyo kijana ni mwajiriwa wa hicho chombo lazma alinde sera za mwajiri wake hata kama huo sio mtazamo wake binafsi.
      Nafikiri ungemweleza mmiliki wa hiyo radio ndio ingeleta maana
      dada UPOPO heshima yako asubuhi ya leo, kwa kulinda sera za bosi ndio uongee UJINGA?? ina maana WEWE ungekuwa chini ya David cameron, ungeipitisha na kuisuport sera ya ushoga sababu tu ni sera ya bosi wako,?? au ungepitisha abortions sababu ni sera y abosi wako. ndio maana tukatofautishwa na wanyama, coz cc ni we have brains, TUNAJUA JEMA NA BAYA! aache unafiki na kujikomba! hakutamsaidia zaidi ya kujichoresha! anaonekana so s.t.u.p.i.d! na uandishi wake wa kusoma darasa moja na wafanyakazi wa GPL veta! pathetic!
      rodrick alexander likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    13. #11
      Mwalimu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 1,171
      Rep Power : 782
      Likes Received
      249
      Likes Given
      669

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Radio Uhuru B
      I'm teaching fools some basic rules...

    14. #12
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,237
      Rep Power : 12572
      Likes Received
      5793
      Likes Given
      758

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Gerald Hando kasema ukweli.

    15. #13
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,865
      Rep Power : 5952
      Likes Received
      800
      Likes Given
      227

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Kama Mkurugenzi wa Kituo hicho asipochukua hatua dhabiti za kuwa elimisha kama siyo kuwakanya watangazaji wake kutojiingiza katika ushabiki wa mambo mbali mbali itawakocost na ikichukuliwa kuwa yeye ndiye atakuwa muhanga mkuu. Watangazaji wengi sana wa hii redio wamekuwa wakilalamikiwa katika mambo mbali mbali kuanzia Siasa,Elimu,Michezo na Udaku.Tatizo lao ni Kuingiza ushabiki na Ujuaji wa mambo ambayo kimsingi hawayajui. Haya Mambo yanawaondolea umakini na uwepo wao katika masikio ya watanzani kwakuoneka waropokaji na wakipaga kelele. Hawa wote ni watangazaji ambao wamelalamikiwa kwa nyakati tofauti:
      1. Kibonde
      2. Hando
      3. Shafii
      4. MaestrO
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    16. #14
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 479
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Amedumazwa na enzi za chama kimoja. Kukaa kimya bungeni na kusubiri kuafiki kwa 100% chochote kiletwacho humo kwa maamuzi.
      Wabunge wakae kimya halafu iweje? Kazi ya wabunge itakuwa ni nn sasa?
      Kuna sababu ya kuipeleka bajeti bungeni kujadiliwa kama mchango wa wabunge hautakiwi?
      Gerald Hando hajui anasimamia wapi. Inategemea siku hiyo ameamka vipi? sometimes anaongea point na wakati mwingine anatapika pumba tu!
      Kwanza mara nyingi nimewasikia wakidai kuwa hawapendi mambo ya siasa kujadili ktk kipindi chao. Wasamehewe tu.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    17. #15
      Mkiliman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 500
      Rep Power : 506
      Likes Received
      73
      Likes Given
      4

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Clouds fm, uhuru fm & magazeti yake, oftenly tbc tv and fm, govt newspapers are blacklisted radio stations that i dont listen to! Vyombo vya habari au wanahabari <baadhi> huchangia uovu ktk nchi.

    18. #16
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Hii radio ni Kama shamba la bibi,sijui hawana sheria za kuwabana wafanyakazi wao!!!.Unapotoa maoni Kama mwandishi wa habari lazima utie msisitizo kuwa maoni hayo ni kwa kampuni(Clauds fm)au ni msimamo wako.Ni ngumu kufika kule tunataka kwa watu aina ya Gerald Hando,elimu zao wanazipata wapi?

    19. #17
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Quote By PPM
      Kwani lazima usikilize Clouds FM. Mbona kuna Redio nyingi.
      Wana JF nimepata wazo , kwanini tusianzishe radio JF..Tujimwageeeeee humooooo siku nzima na TV yetu...kwa raha zetuuu
      Nyleptha likes this.

    20. #18
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,221
      Rep Power : 958
      Likes Received
      604
      Likes Given
      0

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Mkuu che,kwani umesahau huyo geradi na pj kipindi cha uchaguzi mdogo pale mwaloni walikuwa wanapiga kampeni live kwa yule masamaki tuliyempiga chini.clouds na full magamba!!

    21. #19
      Turbulence's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 81
      Rep Power : 373
      Likes Received
      10
      Likes Given
      12

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Hii redio ina watangazaji mabogas sana. Kipindi kama hicho cha power breakfast kilitakiwa kufanywa na watu wenye akili zao na upeo wa kuelewa na kuchambua issues. Kipanya na Fina were good. Huyo Gerald Hando hana upeo, sijui darasa dogo au immarture brains. Kama mtu una mambo mengine ya kufanya huwezi kusikiliza hao jamaa. Imagine redio ina Hando, Kibonde.

    22. #20
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

      Quote By ciril
      hii radio ni kama shamba la bibi,sijui hawana sheria za kuwabana wafanyakazi wao!!!.unapotoa maoni kama mwandishi wa habari lazima utie msisitizo kuwa maoni hayo ni kwa kampuni(clauds fm)au ni msimamo wako.ni ngumu kufika kule tunataka kwa watu aina ya gerald hando,elimu zao wanazipata wapi?
      veta my broda! Veta! No proffesionalism there! Typical nonsense!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...