Kundi la majambazi wamevamia hoteli iitwayo Ikoma Bush Camp na kuwapora wageni wote mali zao then wakamuua mzungu mmoja na meneja wa hiyo lodge ambaye ni mtanzania, imetokea usiku wa kuamkia leo.
Kundi la majambazi wamevamia hoteli iitwayo Ikoma Bush Camp na kuwapora wageni wote mali zao then wakamuua mzungu mmoja na meneja wa hiyo lodge ambaye ni mtanzania, imetokea usiku wa kuamkia leo.
Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer
Toka wamewasimanisha kazi askari wa hifadhi ya serengeti kupisha uchunguzi wa nani iliua faru matukio ya kuvamiwa watalii ndani ya hifadhi hiyo yameshamiri kwa kasi.huwezi kuwasimamisha kazi askari 28 bila kiziba nafasi zao then kusitokee ujambazi
Mheshimiwa Balozi Kagasheki hakujua athari za kumsimamisha Mhifadhi wa Serengeti na askari 28. Hata hivyo, askari wasingeweza kuwazuia majambazi kwa kuwa walishindwa kuwazuia majangili waliowaua wale faru.
Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer
RIP mzungu mmoja na meneja
Wakuu.
Fahamuni kwamba Ikoma bush camp yalikotokea mauaji ni nje ya Hifadhi ya serengeti.Ikoma bush camp iko katika kijiji cha ujamaa Robanda na kuna uangalizi wao wa hizo campsites kupitia Wildlife Management Areas (WMA)
Hivyo wachangiaji ambao mnazungumzia kusimamishwa askari waliolinda faru mnakosea mazima.Maoni yenu si sahihi hata kidogo.
Campsite ilovamiwa yaitwa Moivaro na si Ikoma
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tungalie tunavyo ripoti habari hizi cause zina haribu biashara yetu ya utalii Tanzania. Kesho utaona nchi jirani lazima taharifa hii waipe heard line. Tuviache vyombo usika vifanye kazi yake.
Hii ni habari mbaya sana kwa Taifa letu!
Wote wale waliopatwa na msiba nawapa pole nyingi na MUNGU akawalaze marehemu mahala pema peponi.
NB
Ile camp hawakuwa na ulinzi wowote ule?
Unatakiwa kufahamu hao unaowaita nchi jirani kuwa wako open sana ndio maana wanasonga mbele. Kwa vile ufahamu tu ni kwamba tukio kama hilo likitokea kwa wageni balozi zao huwa za kwanza kuwa na taarifa hata kabla ya askari wetu wa landrover. Nadhani ulitaka vyombo husika viripoti labda waseme wamekufa kwa malaria? Pole sana unafiki kamwe hautaisaidia nchi yetu kusonga mbele...
IT CAN BE DONE - PLAY YOUR PART!!
mbaya sana hii kitu..ila cha ajabu serikali inahaha ku solve ishu ya mzungu kufa kuliko ya mbongo
Hii ndo njia pekee ya kurudisha jasho letu linalo liwa na mafisadi
Mwisho wa Ubaya Aibu.
wamemaliza faru sasa wanaua binadamu! R.i.p marehemu wote
Follow Us Here