Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ufisadi wa Mengi ni huu hapa

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 35 of 35
    1. #1
      muzachai's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th April 2009
      Posts : 42
      Rep Power : 521
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Ufisadi wa Mengi ni huu hapa

      Mheshimiwa , babu aka kijana wa zamani reginald mengi nani asiejua ufisadi wako. ufisadi wa mengi ni huu hapa.

      1: kampuni yake ya vinjwaji hailipi kodi

      2: mishahara yake ya ipp media ipo ya ina mbili
      a: kuna watu wanaochukua pesa dirishani kila mwezi kwenye baasha tu na wana zaidi ya miaka kumi ya kazi. hawana PAYE wala NSSF

      b: kuna watu wanaochukulia mshahara benki na kukatwa shahiri zote yaani PAYE and NSSF ambao hawazidi hata mia ukilinganisha na wafanyakazi ambao kampuni inao

      3: TRA hawa audit wala kufatilia mambo ya mengi

      mfano halisi mwaka jana alipowachisha kazi watu ilikuwa balaa tupu.

      JAMANI SINA NIA MBAYA NA LAKINI HIZI NI TATU KATI TA MATENDO 1000 YA UFISADI YA MENGI NITAENDELEA WIKI IJAYO WIKI END NJEMA

      ROSTAM, SOMAIA, MANJI, PATEL, JEETU HAWA NDIO SOURCE YA UMASKINI BONGO BILA KUWASAHAU WENGINE.

      UNAPOMNYOOSHEA MWENZIO KIDOLE KIMOJA AMBALIA KWAKO VINGAPI VINAKUNYOOSHEA WEWE

      NANI WA KUMFUNGA PAKA KENGELE

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,742
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1202
      Likes Given
      560

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By Ndege ya Uchumi
      Kuuza Chai Ni Kupiga Soga na Kuzungumza yale usiyo na Uhakika nayo (Waulize Vijana wa Mlimani). Inaonekana Mkuu Umekurupuka hata hujapiga mswaki ukaweka hilo Tundiko Lako.

      Note:JF ni mahali pa watu wanaopenda kufikiri kabla hawajatundika lolote.

      BTW Karibu Jamvini kata ishu na siyo Story wala Matukio Mkuu!

      Asante
      Naam kijana naona anaosha kinywa hadi kitakate asubuhi, anataka kukata bajeti ya kutumia whitedent kutoka kwa mzee mengi..

      Kwi kwi kwi..
      Moola's the motive

    4. #22
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,742
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1202
      Likes Given
      560

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By Sikonge
      Huyu ndiyo Muzachai wetu.
      lol..sasa hiyo sarawili atapata wateja kweli?
      Moola's the motive

    5. #23
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Wacheni kumsulubu MuuzaChai,hivi kosa lake ni lipi ? Au kwa kuwa tu hali yake na umasikini wake ndio mnaoutumilia kumdharaulisha ,si kila mtu anaweza kupata source za habari na ushahidi wa maandishi ,ila hata tetesi zinatosha kabisa kuwa anachokizungumza kina ukweli flani flani,kushindwa kwake kuweka ushaidi isiwe wala isionekane kuwa hakuna tatizo ambalo amekusudia kuliwakilisha.

      Kama imeamuliwa kuwa JF ni jukwaa la Jamii ,hivyo yeye kama mwanajamii anayohaki ya kuandika kile anachokiona kimetokea na huenda pengine yaliomkuta hayo aliyokusudia kuyaeleza yametokea kwa ndugu,jamaa au rafiki yake ,sasa kama kuna watu wameamua kufanya haki kwa kila mtu na wana uwezo wa kuyafuatilia mambu ,hao itakuwa jukumu lao kuzamia na kutoa yalioko huko kulikoshutumiwa.

      Ila kama wengi mliomtisha na kumdharau Muuza Chai ni wa kabila la Mengi ,ni watu wa karibu na Mengi,mnafaidika na mapato ya Mengi hapo mtakuwa hamtendi wema kwa kumvurumishia maneno Muuza Chai , mnaonyesha ni watu mliojaa dharau kwaq wengine kwa kuwa tu ni masikini na hawana wa kumsikitikia na kueleza shida zao ,kama kujiunga kwa Muuza Chai hapa JF ni katika kuona kuwa JF ni sehemu ya kupeleka kilio Chake na kuona wahusika wanafuatilia malalamiko yake bila ya upendeleo ,kwa nini hutimizi wajibu wako katika kumsaidia Muuza Chai na hoja zake na kumpa kilicho na uhakika ambacho huenda hana uelewa kuliko kuzidi kumtia unyonge ,mwenyewe ametoka huko kwa furaha kuelekea JF na kujipa matumaini kuwa hata Mengi ni fisadi na kueleza kile anachokijua akitumaini haki anayoililia itapigiwa makelele hapa JF ,wacheni kulinda manyang'anyi.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    6. #24
      wajinga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th June 2008
      Posts : 152
      Rep Power : 587
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Mnajua hawa watu wanatucheka sana. Wao wameshiba nchi ikiharibika watakimbilia kwenye visiwa walivyopeleka hela zetu na familia zao haziwezi kupata shida watakaopata shida ni walalahoi kama muuzachai ambae hana pakwenda ila akitupiwa mfupa anaropoka mambo ya kudhalilisha Mengi. Mengi tangu leo namheshimu kwa ujasiri wake .

    7. #25
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,742
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1202
      Likes Given
      560

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By Mwiba
      Wacheni kumsulubu MuuzaChai,hivi kosa lake ni lipi ? Au kwa kuwa tu hali yake na umasikini wake ndio mnaoutumilia kumdharaulisha ,si kila mtu anaweza kupata source za habari na ushahidi wa maandishi ,ila hata tetesi zinatosha kabisa kuwa anachokizungumza kina ukweli flani flani,kushindwa kwake kuweka ushaidi isiwe wala isionekane kuwa hakuna tatizo ambalo amekusudia kuliwakilisha.
      Mwiba, unapaswa kubadilisha jina lako kuwa mkalia mwiba ..maana huishi kutuvunja mbavu tulonuna

      Hivi mleta thread amekwambia kuwa ni muuza chai na maskini? au alikutumia PM?

      Halafu kama mleta thread haleti taarifa yenye uhakika sasa unataka tujadili maono binafsi ya mtu amelala zake huko anakuja kutuletea pumba zake hapa jamvini?
      Moola's the motive

    8. Miaka 50

    9. #26
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,569
      Rep Power : 23555
      Likes Received
      6991
      Likes Given
      11342

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By muzachai
      nimesema hivi mengi, rostamu. sonia, manji, patel. jeetu, hawa wote ni mafisadi
      Wewe kijana wakiume (labda wa kike) una akili nzuri kweli? Kati ya uliyoyataja, ni wapi Mengi kachota pesa za umma kama vile EPA? Hebu nenda kwanza ukakepewe kwa sababu unaonesha hata bei yako ni ndogo kuliko dadapoa. Sina hakika kama umepewa hata chai na vitumbua kabla ya kuja kuweka ----- wako hapa. Mwaka huu haya mapapa (na mbwa wao) yatawaoa wengi tu, labda na wewe harusi yako imefungwa kabla ya sala ya adhuhuri!

    10. #27
      Kuntakinte's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2007
      Location : Matombo, Morogoro
      Posts : 796
      Rep Power : 773
      Likes Received
      4
      Likes Given
      4

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By Kaniki1974
      Muzachai, you just registered to put this!?
      Mkuu naona kama sentensi yako haijaisha ...to put this ----!?
      "Mwisho wa ubaya Aibu"

    11. #28
      NGULI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2008
      Location : HOME
      Posts : 4,441
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      214
      Likes Given
      1

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By muzachai
      Mheshimiwa , babu aka kijana wa zamani reginald mengi nani asiejua ufisadi wako. ufisadi wa mengi ni huu hapa.

      1: kampuni yake ya vinjwaji hailipi kodi

      2: mishahara yake ya ipp media ipo ya ina mbili
      a: kuna watu wanaochukua pesa dirishani kila mwezi kwenye baasha tu na wana zaidi ya miaka kumi ya kazi. hawana PAYE wala NSSF

      b: kuna watu wanaochukulia mshahara benki na kukatwa shahiri zote yaani PAYE and NSSF ambao hawazidi hata mia ukilinganisha na wafanyakazi ambao kampuni inao

      3: TRA hawa audit wala kufatilia mambo ya mengi

      mfano halisi mwaka jana alipowachisha kazi watu ilikuwa balaa tupu.

      JAMANI SINA NIA MBAYA NA LAKINI HIZI NI TATU KATI TA MATENDO 1000 YA UFISADI YA MENGI NITAENDELEA WIKI IJAYO WIKI END NJEMA

      ROSTAM, SOMAIA, MANJI, PATEL, JEETU HAWA NDIO SOURCE YA UMASKINI BONGO BILA KUWASAHAU WENGINE.

      UNAPOMNYOOSHEA MWENZIO KIDOLE KIMOJA AMBALIA KWAKO VINGAPI VINAKUNYOOSHEA WEWE

      NANI WA KUMFUNGA PAKA KENGELE
      Da! we kwanini hukusema mabaya ya MENGI kabla ya kutaja haya mapapa ya UFISADI? hata kama anamabya yake nampongeza kwa UJASIRI wake wa kuwataja na kama kweli wanataka kukimbilia mahakamani kila kitu kitawekwa wazi, zaidi ya dr. Slaa nani mwingine ameweza kukemea maovu ya UFISADI kwenye hili taifa ambalo linameguliwa kwa kasi kubwa hivi??
      hapa kuna moja au mawili either umetumwa na hao mapapa pamoja na mtetezi wao mkubwa mama LION(SIMBA) pamoja na yule anayegeuza hili swala ni la ubaguzi wa rangi-Li-PUMBA. na ndio maana hii nchi tunazidi kurudi nyuma we need people who dare for changes not for coruption.
      Some sweet hearts are bitter than chloroquine packed in a sweet paper

    12. #29
      Tumsifu Samwel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2007
      Posts : 257
      Rep Power : 655
      Likes Received
      77
      Likes Given
      38

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By muzachai
      nimesema hivi mengi, rostamu. sonia, manji, patel. jeetu, hawa wote ni mafisadi
      Quote By Mwiba
      Wacheni kumsulubu MuuzaChai,hivi kosa lake ni lipi ? Au kwa kuwa tu hali yake na umasikini wake ndio mnaoutumilia kumdharaulisha ,si kila mtu anaweza kupata source za habari na ushahidi wa maandishi ,ila hata tetesi zinatosha kabisa kuwa anachokizungumza kina ukweli flani flani,kushindwa kwake kuweka ushaidi isiwe wala isionekane kuwa hakuna tatizo ambalo amekusudia kuliwakilisha.

      Kama imeamuliwa kuwa JF ni jukwaa la Jamii ,hivyo yeye kama mwanajamii anayohaki ya kuandika kile anachokiona kimetokea na huenda pengine yaliomkuta hayo aliyokusudia kuyaeleza yametokea kwa ndugu,jamaa au rafiki yake ,sasa kama kuna watu wameamua kufanya haki kwa kila mtu na wana uwezo wa kuyafuatilia mambu ,hao itakuwa jukumu lao kuzamia na kutoa yalioko huko kulikoshutumiwa.

      Ila kama wengi mliomtisha na kumdharau Muuza Chai ni wa kabila la Mengi ,ni watu wa karibu na Mengi,mnafaidika na mapato ya Mengi hapo mtakuwa hamtendi wema kwa kumvurumishia maneno Muuza Chai , mnaonyesha ni watu mliojaa dharau kwaq wengine kwa kuwa tu ni masikini na hawana wa kumsikitikia na kueleza shida zao ,kama kujiunga kwa Muuza Chai hapa JF ni katika kuona kuwa JF ni sehemu ya kupeleka kilio Chake na kuona wahusika wanafuatilia malalamiko yake bila ya upendeleo ,kwa nini hutimizi wajibu wako katika kumsaidia Muuza Chai na hoja zake na kumpa kilicho na uhakika ambacho huenda hana uelewa kuliko kuzidi kumtia unyonge ,mwenyewe ametoka huko kwa furaha kuelekea JF na kujipa matumaini kuwa hata Mengi ni fisadi na kueleza kile anachokijua akitumaini haki anayoililia itapigiwa makelele hapa JF ,wacheni kulinda manyang'anyi.
      ha!ha!ha!,Mkuu inamaana karibu wana JF wote waliochangia hapa ni wakabila la Mengi? kama ndio hivyo basi inaonekana huyu bw.Mengi anamtandao mkubwa sana!.
      Big up sana wanaJF inaonekana ni jinsi gani mlivyo makini.

    13. #30
      The Farmer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2009
      Location : At the middle of the Farm Yard
      Posts : 1,030
      Rep Power : 735
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Tupe facts, sio kusema tu bla bla humu ndani, hatuwezi ku-discus majungu humu ndani.
      Be not afraid of growing slowly, be afraid only of standing still. -- Chinese Proverb

    14. #31
      Teamo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,162
      Rep Power : 11898
      Likes Received
      805
      Likes Given
      631

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By Obe


      Muzachai tuambie hivi kweli rost am anataka kulipwa shi'ng moja


      MAPAPA YA UFISADI YANA RANGI ZOTE RANGI
      sio rostitamu,ni manji anaetaka kulipwa sh 1
      '!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'

    15. #32
      Teamo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,162
      Rep Power : 11898
      Likes Received
      805
      Likes Given
      631

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By Mwiba
      Ila kama wengi mliomtisha na kumdharau Muuza Chai ni wa kabila la Mengi ,ni watu wa karibu na Mengi,mnafaidika na mapato ya Mengi hapo mtakuwa hamtendi wema .
      NAUNGA MKONO HOJA!
      ikumbukwe kwamba muuzachai hajasimama upande wa kina SUBASH.Ameweka bayana hawa wahindi na huyu mu-iran NDIO CHANZO CHA UMASKINI!

      bravo muuza chai!I AM CONVINCED THAT YOU HAVE SEEN THE OTHER SIDE OF LIFE
      '!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'

    16. #33
      MohamedSalum200's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th February 2009
      Location : Temeke
      Posts : 9
      Rep Power : 524
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By Obe
      Inawezekana Mengi si safi lakini wachafu ukiwapanga pamoja ataonekana aliyezidi. Mengi japo hajafanya kitu kipya kuwataja hawa jamaa ambao humu tunawafahamu kwa mapana, amekuwa ni mtu wa pekee toka kada ya wafanyabiashara kusema hadharani.

      Muzachai tuambie hivi kweli rost am anataka kulipwa shi'ng moja


      MAPAPA YA UFISADI YANA RANGI ZOTE RANGI
      acha uhuni wewe umetumwa na manji kama wanaccm wa Tabora wakawa hawajui wanachoongea wakatoka nduki.

    17. #34
      The Farmer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2009
      Location : At the middle of the Farm Yard
      Posts : 1,030
      Rep Power : 735
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Quote By mohamedsalum200
      acha uhuni wewe umetumwa na manji kama wanaccm wa Tabora wakawa hawajui wanachoongea wakatoka nduki.
      Walionunuliwa ni wengi sana, Nakuunga mkono kabisa MohamedSalum200 nchi yetu kuna watu wa kiala aina ila kundi kubwa zaidi wamelala. Muzachai rudi Jamvini uombe radhi kw Wana JF kwa hicho ulichokiandika kuhusu Mengi. Kama Unauhakika wa ulicho kiandika tupe more details ili tuweze kulizungumza Jambo hili kwa ufasaha zaidi.

      Ok Muzachai karibu ndani ya JF, The Home of Great thinkers. Where We Dare to Talk Openly.
      Be not afraid of growing slowly, be afraid only of standing still. -- Chinese Proverb

    18. #35
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,347
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      344
      Likes Given
      73

      Default Re: Ufisadi wa mengi ni huu

      Msidanganyike, huyo anaejiita MUZACHAI is none other than our own GT by another name!!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    Similar Topics

    1. Twamuomba Mengi arudi kwenye mapambano dhidi ya ufisadi
      By Zak Malang in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 19
      Last Post: 13th October 2010, 09:10
    2. Je ufisadi utaisha tukiwa wazi kama Ndugu Mengi?
      By Mhache in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 28th April 2009, 16:45
    3. Raza amuunga mkono Mengi kukemea ufisadi
      By Ochu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 15th September 2008, 09:43
    4. Replies: 13
      Last Post: 10th March 2008, 09:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...