Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      maju's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 117
      Rep Power : 407
      Likes Received
      25
      Likes Given
      4

      Default Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Watanzania wenzangu kuna wizi mpya unaotumiwa na kampuni inayotoa huduma kushirikiana na makampuni yetu ya simu za mnkononi inayojitangaza kupitia radio ya clouds FM, kwamba wanauza magari, viwanja , kupangisha nyumba na kutafutia watu kazi.Utafiti uliofanyika umeonesha dhairi hii kampuni ni ya kitapeli na haina uwezo huo technically.

      Hawa wahuni wanachofanya ni kumiliki namba ya SHORT CODE mfano; 155xx ect, ambayo hutolewa ana TCRA kisha kuisajili kwenye makampuni ya simu ili wagawane mapato kwa kila sms zipitiazo kwenye SHORT CODE hiyo (kila sms Tshs. 500). Kisha huitangaza kwa nguvu zote kwenye Radio station husika.

      Mtanzania anayetuma sms huliwa pesa zake wakati hawa jamaa hawana hata database ya huduma husika, hata ofisi zao hawana hata miundombinu zaidi ya komputa ya muhudumu wa ofisi. Mwisho wa siku hawa jamaa hupitia kwenye makampuni ya simu kufuatilia sms zilizoingia ili wapate mgawo wao.

      Nawasihi watanzania tuwe makini na hizi promosheni za wizi zinazopitia short code zitolewazo na tcra kwenye simu za mkononi. Na TCRA wawe makini na watu wanaowapatia hizi short code kwani watanzania wanazidi kuibiwa na hawa matapeli.
      Msongoru, Dingswayo, MAKAH and 1 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Udaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 397
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Hivi TZ itakuwa kichwa mwendawazimu mpaka lini?HIVI YULE MCHUMIA TUMBO WA BUMBULI ANAHABARI HII,maana hv sasa kapewa unaibu wawizara inayohusika na mawasiliano.
      Inkoskaz likes this.

    4. #3
      KeiEd's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 79
      Rep Power : 383
      Likes Received
      20
      Likes Given
      19

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      kaaaaazi kweli kweli tutaliwa mpaka lini wabongo jamani!!!!!!!!!!!!!!! hopefully huyo mchumia tumbo wa bumbuli kwa vile huwa anapita anga hizi anaweza kuipata hii taarifa

    5. #4
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,638
      Rep Power : 2008
      Likes Received
      1655
      Likes Given
      1634

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Hapa ninavyoona tusiwalaumu Clouds fm kwani wao kazi yao ni kufanya biashara ya matangazo tuu.
      Wa kulaumiwa ni TCRA tuu.
      mizambwa likes this.

    6. #5
      bhikola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 264
      Rep Power : 412
      Likes Received
      147
      Likes Given
      181

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Jamani ninyi nanyiiiiii heeeeeee
      Mwl Nyerere alipata kusmema hivi, "mtu mwenye akili akikwambia jambo la kipuuzi kabisa, akiwa anaamini kuwa ni la kipuuzi, na anjua kuwa unaakili, lakini ukalikubali! atakudharau sana"
      sasa wewe unajua kabisa kuwa hakuna kazi inayopatikana katika sms, wala hakuna kiwanja ndani ya sms, na wewe ukatumia ubongo wako na ukatuma huo ujumbe unategemea nini hapo!???
      "to be a great thinker is to think critically" and "to think critically is to think differently from other thoughts"

    7. Miaka 50

    8. #6
      vipik2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 373
      Rep Power : 453
      Likes Received
      82
      Likes Given
      76

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Quote By maju
      Watanzania wenzangu kuna wizi mpya unaotumiwa na kampuni inayotoa huduma kushirikiana na makampuni yetu ya simu za mnkononi inayojitangaza kupitia radio ya clouds FM, kwamba wanauza magari, viwanja , kupangisha nyumba na kutafutia watu kazi.Utafiti uliofanyika umeonesha dhairi hii kampuni ni ya kitapeli na haina uwezo huo technically.

      Hawa wahuni wanachofanya ni kumiliki namba ya SHORT CODE mfano; 155xx ect, ambayo hutolewa ana TCRA kisha kuisajili kwenye makampuni ya simu ili wagawane mapato kwa kila sms zipitiazo kwenye SHORT CODE hiyo (kila sms Tshs. 500). Kisha huitangaza kwa nguvu zote kwenye Radio station husika.

      Mtanzania anayetuma sms huliwa pesa zake wakati hawa jamaa hawana hata database ya huduma husika, hata ofisi zao hawana hata miundombinu zaidi ya komputa ya muhudumu wa ofisi. Mwisho wa siku hawa jamaa hupitia kwenye makampuni ya simu kufuatilia sms zilizoingia ili wapate mgawo wao.

      Nawasihi watanzania tuwe makini na hizi promosheni za wizi zinazopitia short code zitolewazo na tcra kwenye simu za mkononi. Na TCRA wawe makini na watu wanaowapatia hizi short code kwani watanzania wanazidi kuibiwa na hawa matapeli.
      Ni kweli na hii naona Clouds wanashirikiana nao kwani wameipigia debe sana kampuni hiyo, mie nilisikiliza kwa makini sana na nikajaribu kama mtangazaji wa Clouds alivyoelezea baada ya kutuma SMS yangu nilishangaa kuona kuwa hakuna kitu nilichoulizia na badala yake nikaambiwa kuwa hivi sasa wana huduma ya mashamba na nyumba tu, then nikajaribu kuulizia huduma ya hayo mashamba napo nikajibiwa kuwa huduma hiyo hawana ila wana huduma ya magari tu,

      TUWE MAKINI SANA NA MATANGAZO YA CLOUDS, NAKUMBUKA CLOUDS WALIWAHI KUTANGAZA SANA AGENT WA KAMPUNI YA KUUZA MAGARI YA SBT DAR ES SALAAM, NA NILIPOWAULIZIA WAHUSIKA KULE JAPAN WAKANITAHADHARISHA KUWA MAKINI NA MTU HUYO AMBAYE KAMPUNI YAO HAIMTAMBUI, MKIMSIKILIZA KIBONDE MTAJIKUTA BONDENI JANGWANI
      Tunasikitika kutangaza kifo cha ndugu CCM, Mazishi yatakuwa 2015 na habari ziwafikie ndugu wote mafisadi na shost wake CUF

    9. #7
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 432
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      kila kukicha mbinu mpya za wizi na utapeli hubuniwa,kutibu hili tatizo ni kuwa vyombo vya dola vinatakiwa kwenda na wakati kwa kuwatibulia hawa matapeli njama zao kwa kuzianika hadharani na kuwakamata wahusika,wana jf mupo juu karibuni itabidi tuwakabidhi magwanda!
      jaribu kufanya hesabu ndogo tu
      500 kwa sms 1 mara watumaji 40000/= kwa siku=20000000/= ni milioni ishirini na watumaji huwa ni zaidi ya idadi hiyo mara dufu kwa maana hiyo hawa jamaa wamejipanga na kama ni mtu wa kawaida tu ukiwaandama wanakuuwa bila kusita ili mpango wao uendelee.

    10. #8
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 432
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      toka yule mbunge wetu wa ubungo aandamwe na mtangazaji wa clouds jana lazma kieleweke!

    11. #9
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,067
      Rep Power : 9501
      Likes Received
      3186
      Likes Given
      1237

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      January inabidi alifanyie kazi hili sio kuuza sura tu kwenye makampuni hayo ya simu
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    12. #10
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,429
      Rep Power : 7354
      Likes Received
      1080
      Likes Given
      1105

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      aisee...hata mimi nilijaribu na sikupata response.imagine watu laki moja wakituma sms......500x100,000=50,000,00 0/=Cash
      MAKAH likes this.
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    13. #11
      toghocho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Location : here here
      Posts : 1,000
      Rep Power : 615
      Likes Received
      138
      Likes Given
      29

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      ohoooooooooo, bora mi sijawahi kujaribu

    14. #12
      mmary's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 79
      Rep Power : 373
      Likes Received
      61
      Likes Given
      2

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Na sasa hivi wanatangaza ilo tangazo kwenye Jahazi

    15. #13
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 958
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      679

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Quote By maju
      Watanzania wenzangu kuna wizi mpya unaotumiwa na kampuni inayotoa huduma kushirikiana na makampuni yetu ya simu za mnkononi inayojitangaza kupitia radio ya clouds FM, kwamba wanauza magari, viwanja , kupangisha nyumba na kutafutia watu kazi.Utafiti uliofanyika umeonesha dhairi hii kampuni ni ya kitapeli na haina uwezo huo technically.

      Hawa wahuni wanachofanya ni kumiliki namba ya SHORT CODE mfano; 155xx ect, ambayo hutolewa ana TCRA kisha kuisajili kwenye makampuni ya simu ili wagawane mapato kwa kila sms zipitiazo kwenye SHORT CODE hiyo (kila sms Tshs. 500). Kisha huitangaza kwa nguvu zote kwenye Radio station husika.

      Mtanzania anayetuma sms huliwa pesa zake wakati hawa jamaa hawana hata database ya huduma husika, hata ofisi zao hawana hata miundombinu zaidi ya komputa ya muhudumu wa ofisi. Mwisho wa siku hawa jamaa hupitia kwenye makampuni ya simu kufuatilia sms zilizoingia ili wapate mgawo wao.

      Nawasihi watanzania tuwe makini na hizi promosheni za wizi zinazopitia short code zitolewazo na tcra kwenye simu za mkononi. Na TCRA wawe makini na watu wanaowapatia hizi short code kwani watanzania wanazidi kuibiwa na hawa matapeli.
      Mkuu umenena kweli. Mie nilituma kudadisi kazi fulani wakanilletea web address ya Zoomtanzania - na kweli kule siku hiyo kulikuwa na nafasi hiyo. Lakini hiy web inatembelewa sana. Lakini je ambao hawana accessibility ya internet je. hata hivyo wao walitakiwa watoe digested information ili mtu awasiliane na watoa kazi moja kwa moja sio kuishia kukata 300/=.
      Clouds wanawapromote hawa ma TP ni juu yao kuwa question baada ya kupata malalamiko haya - sio kuchukua kila hela hata ile yenye taint ya damu.
      kuna mchango wa mwanahabari mmoja - clouds wakatangazqa na kusambaza namaba ya simu ya kutuma hela MPESA zikawa zinaingia kwa one ELIZABETH. baada ya kudadisi mbona hela inaiingia kwa huyu badala ya jina la Mwanahabari aliepata ajali miaka iliyopita hakuna jibu lililopatikana.

      Ulaya wananunua hizi short codes kuweka miguno - si ajabu na kwetu ikaja hiyo kama TCRA hawataamka usingizini

    16. #14
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,256
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Udaa
      Hivi TZ itakuwa kichwa mwendawazimu mpaka lini?HIVI YULE MCHUMIA TUMBO WA BUMBULI ANAHABARI HII,maana hv sasa kapewa unaibu wawizara inayohusika na mawasiliano.
      aaaha! Yule muuza sura?

    17. #15
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,454
      Rep Power : 1126
      Likes Received
      639
      Likes Given
      829

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Jamani nimeamini wizi upo kwenye hii mitandao hata tiGo wanadai piga *148*01# utapata internet kwa 450/ data siku au 700/ standard au Vodacom 250/ nimenunua zote hamna kitu hela inaliwa
      Kuja wauliza mm natumia BlackBerry wakaniambia hao B/Berry wanatumia mitandao yao hawahusiki na Internet na hela wameipokea hairudishwi
      Ushahidi ni facebook ukiwabana huko wanakiri hawahusiki
      Nimewaambia kwa nini wanatangaza uongo? Afadhali watumiaji watahadharishwe

    18. #16
      maju's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 117
      Rep Power : 407
      Likes Received
      25
      Likes Given
      4

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Tatizo hawa jamaa BR Solution Waliiba hiyo idea kwa mtaalam moja ila wakashindwa kui implement ni vilaza watupu. sasa wameishia kuwaibia watanzania. system yao iko empty haina database yoyote ya huduma wanazotoa. sasa wanadirect watu kazi website ya zoomtanzania.com. kwani kuna gharama gani kufungua website ya zootanzania.com. ni wezi ambao hawajajipanga.

    19. #17
      amkawewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 748
      Rep Power : 526
      Likes Received
      121
      Likes Given
      535

      Default Re: Wizi mpya simu za mikononi waingia kwa sms

      Hiyo kitu ni uwizi, jana nilituma sms 15450 kufanya testing ya system yao.
      Warudisha message eti samahani hawana huduma hiyo kwa sasa jaribu huduma nyingi.

    20. #18
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By KeiEd
      kaaaaazi kweli kweli tutaliwa mpaka lini wabongo jamani!!!!!!!!!!!!!!! hopefully huyo mchumia tumbo wa bumbuli kwa vile huwa anapita anga hizi anaweza kuipata hii taarifa
      Mpaka siku tutakayoamka na kuamua kuitumia kura yetu kwa pamoja kuipinga hii serikali legelege isiyokuwa na msimamo wa maendeleo bali wa wizi tu!
      KeiEd likes this.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...