Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Take Care People!!!Men at Work.

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 59
    1. #1
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 733
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default Take Care People!!!Men at Work.

      Leo majira ya saa 8 mchana nimeshuhudia mwanamume mtu mzima(kama miaka 30 hivi) akiwa amekaa kitako kwenye mchanga huku akimwaga machozi kama vile mtoto mdogo aliyekosa kutimiziwa ahadi ya kununuliwa pipi na wazazi wake.
      Baada ya kusogea kidogo na kuuliza nini kimemsibu nikasikia akitamka kwa majonzi kwamba ''laptop ya kazini(akionyesha begi tupu),simu yangu na pesa taslimu Tsh.600,000 vyote vimekwenda na matapeli'' huku akisisitiza:''Jamaa wameniharibia kazi,jamaa wameniharibia kazi'', akirejelea laptop ya kazini ndiyo inayomtia mawazo zaidi.
      Kabla sijatafakari vizuri walinzi wa Supermarket ya TSN pale kona ya kuingia hospitali kuu ya Mhimbili wakanionyesha mabaki ya vitu vyenye mng'ao kama wa dhahabu huku wakiniambia kwamba jamaa ameingizwa mjini na wajanja wa mjini kwa kuuziwa kanyaboya.
      Lakini baada ya kumuuliza vizuri yule mtu aliyetapeliwa akijitambulisha kwa jina moja tu 'Josiah' na anafanya kazi kama Tax Consultant kwenye firm fulani mjini na akasema hakumbuki chochote kuhusu majadiliano yoyote ya kuuziana mali yoyote bali anachokumbuka ni kushikwa bega na kuitwa na sauti iliyosema:''Oya mkuu nakuomba tuongee kidogo'' kisha akaingia kwenye gari na kukuta vijana wawili na msichana mmoja waliovalia vizuri kisha wakamwambia ''Tuna dhahabu hapa tunaiuza kwa bei poa'' baada ya hapo hakumbuki kitu zaidi ya kujikuta hapo alipo bila ya vitu tajwa hapo juu.Jasho lilikuwa likimtoka sana huku ameinamisha kichwa kwa masikitiko baada ya kumaliza kujieleza.
      Baada ya muda kidogo kwa tukio zuri gari ya polisi ikakatiza na ikabidi tuisimamishe ili jamaa aliyetapeliwa akatoe maelezo polisi na pia tukamchangia kama Tsh.10,000 ya kwenda kokote atakapoelekea baada ya kutoka kituo cha polisi pale Mhimbili.
      Tahadhari kwa wote tuwe makini katika kuongea na watu tusio wafahamu kwa kuwa hili jambo la utapeli wa kiajabu-ajabu limeshamiri sana sehemu za katikati ya mji.Nadhani watu wameongeza speed ya kazi baada ya kusomewa bajeti ya 2012-2013.Men at work people..Watch Out!!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,682
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6338
      Likes Given
      2831

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      Aksante sana kwa tahadhari, SILLY SEASON, MEN @WORK.
      Ambitious likes this.

    4. #3
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      639
      Likes Given
      4

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      Asante kwa taarifa mkuu. Tunaahidi tutajitahidi kuwa macho kwa moyo wetu wote.

    5. #4
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 953
      Likes Received
      812
      Likes Given
      520

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      asante kwa taharifa,zamani matapeli walikuwa wanavaa vibaya siku hizi wanapiga bling bling uwezi jua adi wadada warembo

    6. #5
      tizo1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 699
      Rep Power : 559
      Likes Received
      52
      Likes Given
      0

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      Hakuna cha sababu za kumcheka!hawa jamb ni noma siku hiz wanatumia mazingambwe....

    7. Miaka 50

    8. #6
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      639
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By tizo1
      Hakuna cha sababu za kumcheka!hawa jamb ni noma siku hiz wanatumia mazingambwe....
      Kuna mtu amecheka hapa?
      Ambitious likes this.

    9. #7
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 1,710
      Rep Power : 710
      Likes Received
      554
      Likes Given
      265

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      Me sina hamu na hao watu. Ila ipo siku..watachambia chupa akiyanani
      Bigirita and Ambitious like this.

    10. #8
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 733
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By Money stunna
      asante kwa taharifa,zamani matapeli walikuwa wanavaa vibaya siku hizi wanapiga bling bling uwezi jua adi wadada warembo
      Tena akiwepo mdada unaweza kupata imani kidogo ukidhani hamna baya, kumbe inawezekana ndiye mkuu wa kikosi.

    11. #9
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 733
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By tizo1
      Hakuna cha sababu za kumcheka!hawa jamb ni noma siku hiz wanatumia mazingambwe....
      Mkuu hajachekwa mtu hapo imetumika lugha ya kitamathali katika kueleza hali aliyo kuwa nayo huyo mtu aliyetapeliwa...

    12. #10
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 733
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By Swts
      Me sina hamu na hao watu. Ila ipo siku..watachambia chupa akiyanani
      Za mwizi arobaini....siku ya kufa nyani miti itateleza sana.

    13. HP1
      #11
      HP1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 1,342
      Rep Power : 636
      Likes Received
      257
      Likes Given
      16

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      Pole kijana aliyeibiwa
      Ambitious likes this.
      Use what you get to get what you want

    14. #12
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 733
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By HP1
      Pole kijana aliyeibiwa
      Matumaini yangu ataeleweka huko ofisini kwao manaake waajiri wengine hawakawii kumchukulia mwajiriwa wao RB kisa amepoteza mali za kampuni.

    15. #13
      denim kagaika's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 229
      Rep Power : 637
      Likes Received
      27
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Swts
      Me sina hamu na hao watu. Ila ipo siku..watachambia chupa akiyanani
      Ulishang'atwa na nyoka nini?

    16. #14
      denim kagaika's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 229
      Rep Power : 637
      Likes Received
      27
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Ambitious
      Leo majira ya saa 8 mchana nimeshuhudia mwanamume mtu mzima(kama miaka 30 hivi) akiwa amekaa kitako kwenye mchanga huku akimwaga machozi kama vile mtoto mdogo aliyekosa kutimiziwa ahadi ya kununuliwa pipi na wazazi wake.
      Baada ya kusogea kidogo na kuuliza nini kimemsibu nikasikia akitamka kwa majonzi kwamba ''laptop ya kazini(akionyesha begi tupu),simu yangu na pesa taslimu Tsh.600,000 vyote vimekwenda na matapeli'' huku akisisitiza:''Jamaa wameniharibia kazi,jamaa wameniharibia kazi'', akirejelea laptop ya kazini ndiyo inayomtia mawazo zaidi.
      Kabla sijatafakari vizuri walinzi wa Supermarket ya TSN pale kona ya kuingia hospitali kuu ya Mhimbili wakanionyesha mabaki ya vitu vyenye mng'ao kama wa dhahabu huku wakiniambia kwamba jamaa ameingizwa mjini na wajanja wa mjini kwa kuuziwa kanyaboya.
      Lakini baada ya kumuuliza vizuri yule mtu aliyetapeliwa akijitambulisha kwa jina moja tu 'Josiah' na anafanya kazi kama Tax Consultant kwenye firm fulani mjini na akasema hakumbuki chochote kuhusu majadiliano yoyote ya kuuziana mali yoyote bali anachokumbuka ni kushikwa bega na kuitwa na sauti iliyosema:''Oya mkuu nakuomba tuongee kidogo'' kisha akaingia kwenye gari na kukuta vijana wawili na msichana mmoja waliovalia vizuri kisha wakamwambia ''Tuna dhahabu hapa tunaiuza kwa bei poa'' baada ya hapo hakumbuki kitu zaidi ya kujikuta hapo alipo bila ya vitu tajwa hapo juu.Jasho lilikuwa likimtoka sana huku ameinamisha kichwa kwa masikitiko baada ya kumaliza kujieleza.
      Baada ya muda kidogo kwa tukio zuri gari ya polisi ikakatiza na ikabidi tuisimamishe ili jamaa aliyetapeliwa akatoe maelezo polisi na pia tukamchangia kama Tsh.10,000 ya kwenda kokote atakapoelekea baada ya kutoka kituo cha polisi pale Mhimbili.
      Tahadhari kwa wote tuwe makini katika kuongea na watu tusio wafahamu kwa kuwa hili jambo la utapeli wa kiajabu-ajabu limeshamiri sana sehemu za katikati ya mji.Nadhani watu wameongeza speed ya kazi baada ya kusomewa bajeti ya 2012-2013.Men at work people..Watch Out!!
      Kweli mjini mipango ukizubaa kidogo watu wanafanya uwekezaji kwenye mfuko wako.
      Ambitious likes this.

    17. #15
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,728
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7179
      Likes Given
      6846

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      Quote By PakaJimmy
      Aksante sana kwa tahadhari, SILLY SEASON, MEN @WORK.
      halafu wewe......vipi...habari za Kampuchea.....?
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    18. #16
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 1,710
      Rep Power : 710
      Likes Received
      554
      Likes Given
      265

      Default

      Quote By denim kagaika
      Ulishang'atwa na nyoka nini?
      Wacha kabisa nisije kupiga yowe apa nkaamsha watu. Anyways,they are very bad people.

    19. #17
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      DUH......
      sasa na vilaptop vyetu hivi used mbona mwaka huu kazi ipo?? mpaka mwaka huu wa bajeti uishe tutakua tushakimbia mjini..
      Ambitious likes this.

    20. #18
      Godwishes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 463
      Rep Power : 483
      Likes Received
      57
      Likes Given
      0

      Default Re: Take Care People!!!Men at Work.

      Tunashkur mkuu,cc ambao 2ko mikoani huku huwa tunaonewaga!SASA hata nikija Tz,nakuwa carefu na sampo kama izo
      Ambitious likes this.

    21. #19
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 733
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By denim kagaika
      Kweli mjini mipango ukizubaa kidogo watu wanafanya uwekezaji kwenye mfuko wako.
      Ha..ha..ha..ha Ajira millioni moja za Kikwete.

    22. #20
      Ambitious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2011
      Posts : 1,802
      Rep Power : 733
      Likes Received
      559
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By Preta
      halafu wewe......vipi...habari za Kampuchea.....?
      Wewe ulitaka fanya nini hapa?

    23. Study Abroad
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...