Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      chitalula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 427
      Rep Power : 519
      Likes Received
      88
      Likes Given
      40

      Default Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      picha hizi zikionyesha ng'ombe wa wafugaji wakiwa wamepigwa risasi na maaskari wa wanyama pori katika mbuga ya mikumi
      Baadhi ya ng'ombe walifariki baada ya muda kidogo kupita kutokana na majeraha hayo


      My Take;

      Sijapata sababu hasa ya kwa nini maaskari hao wamechukua hatua hiyo ila
      hata kama wafugaji hawa walikosea kwa kuingiza mifugo sehemu ya hifadhi, kisheria naona sio sahihi kwa askari hao kufanya walivyofanya, kwani pia ni kinyume cha haki za wanyama.
      Hata mambo yasiyohitaji fedha yanatushinda, mengine yanahitaji utashi tu wakisiasa, sitashangaa wakurugenzi wa mbuga hizi watakapowapongeza askari kwa watakao uita ushujaa waliofanya kwani hii nchi sasa inatetea ujinga mtupu.
      Nategemea watu wanaohusika na haki za mifugo wachukue hatua dhidi ya kitendo hiki cha kinyama kabisa

    2. Miaka 50

    3. #2
      cjilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Behind you
      Posts : 391
      Rep Power : 468
      Likes Received
      119
      Likes Given
      157

      Default Re: ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya mikumi

      si bora ya hao wanauwa wanyama askari hawa wengine wanatuua sisi raia
      liwalo na liwe

    4. style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/statusicon/user-offline.png" alt="Mnyamahodzo is offline" border="0" />
      #3
      Mnyamahodzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2008
      Posts : 1,430
      Rep Power : 969
      Likes Received
      345
      Likes Given
      217

      Default Re: ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya mikumi

      Tunasafari ndefu kufika barabara ya kwenda Maendeleo.

    5. #4
      Mnyamahodzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2008
      Posts : 1,430
      Rep Power : 969
      Likes Received
      345
      Likes Given
      217

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Tunasafari ndefu kufika barabara ya kwenda Maendeleo.

    6. #5
      Mnyamahodzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2008
      Posts : 1,430
      Rep Power : 969
      Likes Received
      345
      Likes Given
      217

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Tunasafari ndefu kufika barabara ya kwenda Maendeleo.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Davie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Posts : 82
      Rep Power : 538
      Likes Received
      16
      Likes Given
      208

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      wakome...wanatusumbua sana hao...jangili wasumbue na wafugaji nao wasumbue...
      haikubaliki....
      juzi hapa faru wameuwawa mmekaa kupiga kelele kuwa hakuna ulinzi,...
      askari wanauwawa na jangili mnakalisha midomo yenu chini..
      na hao jangili wengine wanaingia kwa migongo ya kuchunga ng`ombe...kiutaratibu waliopiga hao ng`ombe wamefanya kitu kizuri....

    9. #7
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,593
      Rep Power : 6851
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      131

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Inabidi sheria ikamate mkondo wake
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    10. #8
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Ng'ombe anakosa gani? Amechagua kuingia mbugani? Kwanini tunamhukumu ng'ombe kwa kosa asilolitenda? Hapana hawa Askari wamekosea, hata ng'ombe wana haki ya kuishi. Si kosa lao kuumbwa ng'ombe, lazma tuwajali na kuwatetea.

    11. #9
      Alwatan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2009
      Posts : 391
      Rep Power : 588
      Likes Received
      105
      Likes Given
      186

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Ni jambo la kusikitisha lakini vile vile ni wakati muafaka sasa jamii ya wafugaji wakaachana na ufugaji wa kijima. Yaani wao ni kuswaga wanyama tu from north to south na baadae south to north looking for greener pastures.

      Matokeo yake ni machafuko kila hawa watu wanapopita kwenye jamii za wakulima. Au kama hapa wanapokatisha kwenye mbuga au hifadhi za taifa. Wote tunajua majangili wengi wanaingia kwenye hifadhi zetu kwa disguise za kuswaga mifugo yao, hapo askari wa wanyamapori wanawekwa kwenye dilemma.

      It's high time viongozi wa jamii za wafugaji wafundishwe ufugaji wa kisasa ili nawao wawafundishe wanajamii wao. Mambo ya overgrazing yatakua ni history.

    12. #10
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By David Charles
      wakome...wanatusumbua sana hao...jangili wasumbue na wafugaji nao wasumbue...
      haikubaliki....
      juzi hapa faru wameuwawa mmekaa kupiga kelele kuwa hakuna ulinzi,...
      askari wanauwawa na jangili mnakalisha midomo yenu chini..
      na hao jangili wengine wanaingia kwa migongo ya kuchunga ng`ombe...kiutaratibu waliopiga hao ng`ombe wamefanya kitu kizuri....
      mkuu hapa ngombe kosa lake nini?tofautisha ngombe na mwenye ngombe.kama kweli walikua na hasira kwanini wasinge wakamata na kuwashtaki wenye ngombe?ok fine,baada ya kuwapiga risasi hao ngombe nini kilifuatia?

    13. #11
      Davie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Posts : 82
      Rep Power : 538
      Likes Received
      16
      Likes Given
      208

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Quote By massai
      mkuu hapa ngombe kosa lake nini?tofautisha ngombe na mwenye ngombe.kama kweli walikua na hasira kwanini wasinge wakamata na kuwashtaki wenye ngombe?ok fine,baada ya kuwapiga risasi hao ngombe nini kilifuatia?
      labda kwa taarifa tu ni kwamba hiyo kazi unavofikiria ni tofauti na hali halisi...,hao watu unakamata kesho wapo tena....ama wanaingiza wanatoka wanaenda kaa mbali...ukikamata ng`mbe...kijiji kizima kinakuja na kufanyia fujo askaripori,...na hapo hapo diwani mara mbunge ndo sehemu ya kuchukulia credit....
      sasa kwakuwa kitu chochote ambacho hakitakiwi hifadhini ni illegal...then nafikiri hii ni njia nzuri kabisa ya kuziuia...na inawork i gurantee you...
      hutaona kesho wameingiza....
      na inatupunguzia usumbufu...

    14. #12
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 602
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default

      Quote By David Charles
      labda kwa taarifa tu ni kwamba hiyo kazi unavofikiria ni tofauti na hali halisi...,hao watu unakamata kesho wapo tena....ama wanaingiza wanatoka wanaenda kaa mbali...ukikamata ng`mbe...kijiji kizima kinakuja na kufanyia fujo askaripori,...na hapo hapo diwani mara mbunge ndo sehemu ya kuchukulia credit....
      sasa kwakuwa kitu chochote ambacho hakitakiwi hifadhini ni illegal...then nafikiri hii ni njia nzuri kabisa ya kuziuia...na inawork i gurantee you...
      hutaona kesho wameingiza....
      na inatupunguzia usumbufu...
      We unafanya TANAPA! Lazima tu. Sema ukweli bwana mkubwa!

    15. #13
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 602
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Ukosefu wa akili na kufanya kazi kama maroboti, ukipewa amri hata kama ni ya kijinga we unakurupuka tu, sasa kama faru hapigwi risasi kwanini upige ng'ombe? Wachungaji wapo hao ndo wakukamata! Akili nyingine matope, hata wange-confiscate ng'ombe au wakawapa fine baada ya kukamata! Sisi ndio waafrika bwana! Nachukiaga sana kuzaliwa mwafrika!

    16. #14
      Davie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Posts : 82
      Rep Power : 538
      Likes Received
      16
      Likes Given
      208

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Quote By Bondpost
      Ukosefu wa akili na kufanya kazi kama maroboti, ukipewa amri hata kama ni ya kijinga we unakurupuka tu, sasa kama faru hapigwi risasi kwanini upige ng'ombe? Wachungaji wapo hao ndo wakukamata! Akili nyingine matope, hata wange-confiscate ng'ombe au wakawapa fine baada ya kukamata! Sisi ndio waafrika bwana! Nachukiaga sana kuzaliwa mwafrika!
      Ni kweli mkubwa..kufanya kazi kama maroboti,..
      na nyie mkiona mifugo hifadhini si ndo mnakimbilia kwa waziri kusema jamaa hawafanyi kazi kabisa..awachukulie hatua..
      mfano juzi hapa mmeshabikia siasa za kusimamisha watumishi tanapa kwa faru wawili na mmesema mmepata waziri mchapa kazi na mkaandika kweli hapa....ila mngejua hao faru wenyewe wanakotoka S/africa tangu januari mpaka june 2012 wameuwawa 245 mngeacha ushabiki..
      acheni hao tanapa wafanye kazi..,....

    17. #15
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Baadhi yao ni wafugaji ma poachers, ardhi yote hii Tanzania ni lazima waingie kwenye hifadhi kulisha mifugo yao??
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    18. #16
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,731
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Tatizo la hao askari wengi wanafoji vyetii . hawajasoma shule. sasa unampiga huyo risasi kafanya nini? amekuwa simba huyo? kha!
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    19. #17
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,731
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Quote By zomba
      Baadhi yao ni wafugaji ma poachers, ardhi yote hii Tanzania ni lazima waingie kwenye hifadhi kulisha mifugo yao??
      duh!!!!
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    20. #18
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,696
      Rep Power : 11282
      Likes Received
      1481
      Likes Given
      570

      Default

      Quote By zomba
      Baadhi yao ni wafugaji ma poachers, ardhi yote hii Tanzania ni lazima waingie kwenye hifadhi kulisha mifugo yao??


      Hata? Naenda kinyume na mawazo yako potovu!
      Lakini ni labda ni ukoo wenu!

    21. #19
      Kingmairo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 785
      Rep Power : 516
      Likes Received
      235
      Likes Given
      81

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Nawapa pole wadau wote mliotoka povu kwa tukio hili, pole yangu naitoa kwasababu mtoa mada ametoa taarifa juu juu bila kuelezea tukio lenyewe lilikuwaje na nyie bila hata kujiuliza mkaanza kuconclude na kubishana. Mngeonyesha busara kumuuliza mtoa mada tukio zima lilikuwaje hadi ikafikia kurusha risasi? Je kulikuwa na kukaidi amri au kutaka kujihami kwa wachungaji au vipi? Je hao ng'ombe walikuwa eneo gani la hifadhi? Ni katikati au huku mipakani? Wote tunafahamu sheria zipo na pia utashi huwa unatumika katika kutekeleza sheria hizo kwa hiyo ni mazingira ndo yangedetermine hao askari wawapige risasi au wawakamate na hatua zingine za kiutu zichukuliwe. Sasa nyie mmeshatoa lawama bila kufahamu mazingira ya tukio lenyewe.... Ni hayo tu!

    22. #20
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Ng'ombe wapigwa risasi na maaskari mbuga ya Mikumi

      Quote By LiverpoolFC
      Hata? Naenda kinyume na mawazo yako potovu!
      Lakini ni labda ni ukoo wenu!
      Una haki ya mawazo yako.

      Kwi kwi kwi teh teh teh!
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...