Watanzania wenzangu hivi haya magazeti ya magamba ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo 2015 endapo CCM itaangukia pua kwenye uchaguzi mkuu ujao maana kwa sasa hivi hayanunuliwi na yanaendeshwa kwa kutegemea ruzuku kutoka CCM.
Watanzania wenzangu hivi haya magazeti ya magamba ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo 2015 endapo CCM itaangukia pua kwenye uchaguzi mkuu ujao maana kwa sasa hivi hayanunuliwi na yanaendeshwa kwa kutegemea ruzuku kutoka CCM.
Yataendelea kuwepo na yatakuwa na UMUHIMU sana siku hizo kwani haya Pro-Chadema yatakuwa ni ya Mafisadi.
Uhuru yatapendwa sana kwani yatafumua siri zote za Serikali na chama cha CHADEMA.
Yatamwaga mabaya ya viongozi wote walioko madarakani kuanzia Rais hadi Waziri Mkuu.
Mie ntasoma zaidi hayo. Ila kwa sasa yanisubiri kwanza.
Mbona Al nuur lipo sembuse uhuru na mzalendo
Uhuru ni la Serikali au CCM? Nadhani ruzuku inatoka Serikalini.
TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA
Kwa sababu tanzania ni ya demokrasia kwa hiyo hayo magazeti yatafanya kazii kama kawaida.
sikumbuki mara ya mwisho niliyasoma lini??
Mkuu kwani hayo magazeti yapo? nafikiri wauza magazeti wanayakimbia kama ukoma
Magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo tu, mbona kwa sasa Mwananchi,Mwanahalisi na Tanzania daima yapo?
JK ni chaguo la MUNGU;- Askofu Kilaini (2005)
Uhuru na mzalendo, yakifa pamoja na ccm siyo mbaya.
wapo wanazi wa CCM wataendelea kuyanunua kwa hiyo yataendelea kuwepo kwani nchi nyingi kuna vyama vya watu mahafidhina(convervative parties) ambao huwa hawaachi misimamo ya kizamani mpaka wanaingia kaburini
Mhhhhhhhhh
Kwani sasa hivi magazeti ya vyama vingine yapo au?
Tushirikiane Tutafika Tuendako
Kawaulize CCM, kwanza sidhani kama CCM inaweza ikatoka madarakani.
The unseen is illustrated by the seen.
Follow Us Here