Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      Landala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 562
      Rep Power : 538
      Likes Received
      122
      Likes Given
      25

      Default Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Watanzania wenzangu hivi haya magazeti ya magamba ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo 2015 endapo CCM itaangukia pua kwenye uchaguzi mkuu ujao maana kwa sasa hivi hayanunuliwi na yanaendeshwa kwa kutegemea ruzuku kutoka CCM.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 591
      Likes Received
      32
      Likes Given
      195

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Yataendelea kuwepo na yatakuwa na UMUHIMU sana siku hizo kwani haya Pro-Chadema yatakuwa ni ya Mafisadi.

      Uhuru yatapendwa sana kwani yatafumua siri zote za Serikali na chama cha CHADEMA.

      Yatamwaga mabaya ya viongozi wote walioko madarakani kuanzia Rais hadi Waziri Mkuu.

      Mie ntasoma zaidi hayo. Ila kwa sasa yanisubiri kwanza.

    4. #3
      Makupa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 2,176
      Rep Power : 810
      Likes Received
      251
      Likes Given
      0

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Mbona Al nuur lipo sembuse uhuru na mzalendo

    5. #4
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,367
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Uhuru ni la Serikali au CCM? Nadhani ruzuku inatoka Serikalini.

    6. #5
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,412
      Rep Power : 993
      Likes Received
      775
      Likes Given
      261

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Quote By Biohazard
      Uhuru ni la Serikali au CCM? Nadhani ruzuku inatoka Serikalini.
      Mkuu, hayo magazeti ni ya magamba. Kwa mtazamo wangu naona yatakufa maana chama cha magamba hakitakuwa na pesa za kuendelea kuyapa ruzuku kwa kuwa kitakuwa kimetolewa kwenye chungu cha taifa ambako sasa wanajichotea wapendavyo.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,367
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Quote By Power
      Mkuu, hayo magazeti ni ya magamba. Kwa mtazamo wangu naona yatakufa maana chama cha magamba hakitakuwa na pesa za kuendelea kuyapa ruzuku kwa kuwa kitakuwa kimetolewa kwenye chungu cha taifa ambako sasa wanajichotea wapendavyo.
      Kweli lazima yatoweke kwa mwendo huo mkuu

    9. #7
      Landala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 562
      Rep Power : 538
      Likes Received
      122
      Likes Given
      25

      Default

      Quote By Biohazard
      Uhuru ni la Serikali au CCM? Nadhani ruzuku inatoka Serikalini.
      gazeti la uhuru linamilikiwa na chama cha mapinduzi mkuu na hujiendesha kwa ruzuku kutoka CCM mkuu.Magazeti ya serikali ni Habari leo na Daily News
      Biohazard likes this.

    10. #8
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,497
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4312
      Likes Given
      1263

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Kwa sababu tanzania ni ya demokrasia kwa hiyo hayo magazeti yatafanya kazii kama kawaida.

    11. #9
      kekuwetu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Location : home
      Posts : 120
      Rep Power : 459
      Likes Received
      16
      Likes Given
      41

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      sikumbuki mara ya mwisho niliyasoma lini??

    12. #10
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,367
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Quote By Landala
      gazeti la uhuru linamilikiwa na chama cha mapinduzi mkuu na hujiendesha kwa ruzuku kutoka CCM mkuu.Magazeti ya serikali ni Habari leo na Daily News
      Nashukuru

    13. #11
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,697
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Mkuu kwani hayo magazeti yapo? nafikiri wauza magazeti wanayakimbia kama ukoma

    14. #12
      Optic Density's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Tanganyika
      Posts : 28
      Rep Power : 361
      Likes Received
      7
      Likes Given
      7

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo tu, mbona kwa sasa Mwananchi,Mwanahalisi na Tanzania daima yapo?
      JK ni chaguo la MUNGU;- Askofu Kilaini (2005)

    15. #13
      Sheshejr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 433
      Rep Power : 457
      Likes Received
      63
      Likes Given
      1

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Uhuru na mzalendo, yakifa pamoja na ccm siyo mbaya.

    16. #14
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      wapo wanazi wa CCM wataendelea kuyanunua kwa hiyo yataendelea kuwepo kwani nchi nyingi kuna vyama vya watu mahafidhina(convervative parties) ambao huwa hawaachi misimamo ya kizamani mpaka wanaingia kaburini

    17. #15
      Felixonfellix's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Posts : 1,673
      Rep Power : 805
      Likes Received
      165
      Likes Given
      95

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Mhhhhhhhhh
      Kwani sasa hivi magazeti ya vyama vingine yapo au?
      Tushirikiane Tutafika Tuendako

    18. #16
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Je CCM ikiondolewa madarakani 2015 magazeti ya Uhuru na Mzalendo yataendelea kuwepo?

      Kawaulize CCM, kwanza sidhani kama CCM inaweza ikatoka madarakani.
      The unseen is illustrated by the seen.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...