Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dar kukosa maji

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default Dar kukosa maji

      Dar es salaam litakuwa katika wakati mgumu baada ya bomba kuu lenye ich 57 ambalo liliwekwa toka mwaka 1957 kupasuka kutokana na umri,hivyo wakazi mmeombwa kutumia maji kwa uangalifu


    2. #2
      Enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Posts : 583
      Rep Power : 629
      Likes Received
      36
      Likes Given
      7

      Default Re: Dar kukosa maji

      Asante kwa taarifa tunashukuru nchi 57 ya mwaka 57 kweli bongo

    3. #3
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 473
      Likes Received
      98
      Likes Given
      48

      Default Re: Dar kukosa maji

      Asante kwa taarifa,ila hii inawahusu zaidi watu wa Upanga,Mbezi Beach na Kimara.Sisi wa Ukonga halituhusu maana huku hakuna bomba la Dawasco huku kuna visima tuu.

    4. #4
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By kitero View Post
      Asante kwa taarifa,ila hii inawahusu zaidi watu wa Upanga,Mbezi Beach na Kimara.Sisi wa Ukonga halituhusu maana huku hakuna bomba la Dawasco huku kuna visima tuu.
      hongereni yenu, huku sinza twaumia

    5. #5
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: Dar kukosa maji

      mwaka 1957?? bila kukarabatiwa??
      ila ukipitia makarabrasha utakuta fedha zilizotengwa kwa matengenezo zilishatumika


    6. #6
      Dr. Wansegamila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : Kwetu pazuri
      Posts : 350
      Rep Power : 2086
      Likes Received
      145
      Likes Given
      88

      Default Re: Dar kukosa maji

      Mimi nakaa dar, tabata in particular since 1996........ Huwa nashangaa sana nikisikia kwenye vyombo vya habari kuwa dar itakosa maji kwa muda fulani coz i dont remember the last time nimeyaona maji ya dawasco hapa home......... So basically sisi tushazoea maji ya visima. Anywayz labda hili tangazo linawahusu zaidi watu wa upanga,osterbay,masaki kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo juu.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...