Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      vijana wengi wa miaka 26 kushuka chini ambao wengi wao ni wanavyuo au wanataaluma mbalimbali wamekuw addicted na mitandao.
      Ninaposema addiction namaanisha siku hizi mtu hapitishi siku bila kuingia katika mitandao tajwa hapo juu.
      Pia kunahili suala la earphone,wa2 wengi pia wamekuwa addicted na hii technology.tutarajie watu wengi viziwi katika miongo ijayo.
      Pia kizaz hiki kikifika maofisini tutarajie matatizo mengi kuanzia kwenye utendaji mpaka kwenye uwajibikaji .
      TAIFA LINAPOTEZA NGUVU KAZI
      GAZETI and Poriposha like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Posts : 553
      Rep Power : 619
      Likes Received
      32
      Likes Given
      7

      Default Re: kizazi cha Facebook,twitter,BBM na earphones

      Ni kweli kabisa

    4. #3
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,880
      Rep Power : 17536
      Likes Received
      4896
      Likes Given
      5322

      Default Re: kizazi cha Facebook,twitter,BBM na earphones

      ni kweli,bt umesahau jf addiction. me ni mmoja wao!

    5. #4
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By charminglady
      ni kweli,bt umesahau jf addiction. me ni mmoja wao!
      i like this

    6. #5
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 607
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: kizazi cha Facebook,twitter,BBM na earphones

      Usemayo ni kweli kabisa mkuu.
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    7. Miaka 50

    8. #6
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: kizazi cha Facebook,twitter,BBM na earphones

      mkuu angalia unatupa tope.

    9. LD
      #7
      LD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Location : Hapa
      Posts : 2,953
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      470
      Likes Given
      867

      Default Re: kizazi cha Facebook,twitter,BBM na earphones

      Kwa hiyo unashauri nini?
      Who knows what tomorrow has to offer?

    10. #8
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: kizazi cha Facebook,twitter,BBM na earphones

      mbona hujaweka addiction ya kusema WAAAAAAAAAAAAAAO.. hii nayo kila mtu siku izi aliyeenda kashule kidogo lazima awe anaisema angalau kwa siku mara moja
      Mkurabitambo likes this.

    11. #9
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      siku hizi hata matema wamepungua,namaanisha drug addict wamekuwa wachache ukilinganisha na miaka ya zamani.ninachoshauri ni self discipline tuweze kujicontol na hii mitandao.
      bora uwe addict wa JF kwani hili ni kama darasa,tena lenye maprofesa hivyo huta toka bure kuliko kuwa addict wa facebook

    12. #10
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      kuna mdudu whatsapp sasahi,hovyo kabisa kwani inatumika visivyo,sio mbaya alakinh itumike wakati muafaka na kwamadhumuni maalum

    13. #11
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,196
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6095
      Likes Given
      1065

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Unajuaje kwamba concept za work ethics na uwajibikaji zitabaki static kama zilivyo leo? Kwamba mitandao hii haita influnce hizi standards za leo, kiasi cha kufanya hii presence yao humo -kwa wenye akili- kuwa ni advantage rather than disadvantage?

      Kijana anayeitumia vizuri Twitter anapata habari -angalau headlines tu- nyingi zaidi ya asiyetumia.

      Kwa charminglady and the likes wanaokuja hapa JF, wana nafasi ya kujua mengi zaidi kuliko wasiokuja.

      Mtoa mada ulitaka watu wazamie kwenye ungwini na Encyclopaedia Brittanicca wakati kuna Wikipedia?
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    14. #12
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,345
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1799

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Kiranga
      Unajuaje kwamba concept za work ethics na uwajibikaji zitabaki static kama zilivyo leo? Kwamba mitandao hii haita influnce hizi standards za leo, kiasi cha kufanya hii presence yao humo -kwa wenye akili- kuwa ni advantage rather than disadvantage?

      Kijana anayeitumia vizuri Twitter anapata habari -angalau headlines tu- nyingi zaidi ya asiyetumia.

      Kwa charminglady and the likes wanaokuja hapa JF, wana nafasi ya kujua mengi zaidi kuliko wasiokuja.

      Mtoa mada ulitaka watu wazamie kwenye ungwini na Encyclopaedia Brittanicca wakati kuna Wikipedia?

      Mtoa mada ameongelea addiction, Na si kuingia Mara moja moja kupata hizo news. Ni kweli hii kitu inaathiri ufanisi wa Kazi, watu wako more than 6 hours mtandaoni, tena mida ya Kazi.
      Mkurabitambo likes this.

    15. #13
      Mauu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 362
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Mbako
      vijana wengi wa miaka 26 kushuka chini ambao wengi wao ni wanavyuo au wanataaluma mbalimbali wamekuw addicted na mitandao.
      Ninaposema addiction namaanisha siku hizi mtu hapitishi siku bila kuingia katika mitandao tajwa hapo juu.
      Pia kunahili suala la earphone,wa2 wengi pia wamekuwa addicted na hii technology.tutarajie watu wengi viziwi katika miongo ijayo.
      Pia kizaz hiki kikifika maofisini tutarajie matatizo mengi kuanzia kwenye utendaji mpaka kwenye uwajibikaji .
      TAIFA LINAPOTEZA NGUVU KAZI
      Ni kweli kabisa ndugu yangu, hasa haya mambo ya facebook, twitter na bbm. huwa napita pita humo ili kuona mambo yafanywayo na vijana wetu, kwa kweli ni aibu. Watoto wadogo ambao hata hawajaanza elimu ya sekondari, mambo wanayoandikiana kwenye wall zao ni aibu. Nawashauri wazazi wenzangu wawe wanapitapita humo kuona mienendo ya watoto wetu.
      Mkurabitambo likes this.

    16. #14
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3057
      Likes Given
      4144

      Default

      Viziwi???
      Really?
      Kakwambia nani??

    17. #15
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,196
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6095
      Likes Given
      1065

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Remmy
      Mtoa mada ameongelea addiction, Na si kuingia Mara moja moja kupata hizo news. Ni kweli hii kitu inaathiri ufanisi wa Kazi, watu wako more than 6 hours mtandaoni, tena mida ya Kazi.
      Unachoona wewe addiction, kwa wengine kinaweza kuwa necessity.

      Nilipokuwa chuo nilikuwa miongoni mwa hao walioonekana wana addiction na mtandao, wenzangu wakawa wanahudhuria sana darasani, mie nikawa natumia muda mwingi sana lab.

      Watu wakaniona nalost, kumbe najua ninachofanya. Nilikuwa najifunza kutengeneza Websites Geocities, this was way back in 1999.

      To cut a long story short, kwenye graduation mie niliyekuwa na addiction na mtandao nikatokea miongoni mwa watu watatu tu katika mwaka huo tuliopata highest distinction. Wenzangu wengi waliohudhuria madarasa yote hawakufanya vizuri kama mimi kwenye mtihani, na wala hawakuwa na practical skill ya kujua kutengeneza websites.

      Sasa sitetei "addiction" kwa sana. Ila ninachosema, hatuwezi kufanya sweeping statements bila kuangalia personal mission ya mtu na ability. Kila mtu yuko tofauti. Hizi habari za kuwa too formulaic ndizo nilizozikataa 1999, nikaibuka triumphant.

      You can't tell me that we do not have similar young men and women nowadays.

      Hapa swala ni mtu mwenyewe, si twitter wala facebook. Maana kama ni addiction mtu anaweza kuwa addicted hata na transistor radio.

      Mhenga mmoja alisema unaweza kutaka kuweka zulia dunia nzima ili mguu wako usikanyage mchanga, au unaweza kuamua kuvaa kiatu tu. Kipi rahisi?

      Acha kulaumu kizazi cha twitter na facebook, angalia practical needs za dunia ya leo, ikibidi hata badilisha curriculum iende kimtandao zaidi ku accommodate mabadiliko ya teknolojia duniani.
      LD and nuraj like this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    18. #16
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,345
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1799

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Kiranga
      Unachoona wewe addiction, kwa wengine kinaweza kuwa necessity.

      Nilipokuwa chuo nilikuwa miongoni mwa hao walioonekana wana addiction na mtandao, wenzangu wakawa wanahudhuria sana darasani, mie nikawa natumia muda mwingi sana lab.

      Watu wakaniona nalost, kumbe najua ninachofanya. Nilikuwa najifunza kutengeneza Websites Geocities, this was way back in 1999.




      To cut a long story short, kwenye graduation mie niliyekuwa na addiction na mtandao nikatokea miongoni mwa watu watatu tu katika mwaka huo tuliopata highest distinction. Wenzangu wengi waliohudhuria madarasa yote hawakufanya vizuri kama mimi kwenye mtihani, na wala hawakuwa na practical skill ya kujua kutengeneza websites.


      Sasa sitetei "addiction" kwa sana. Ila ninachosema, hatuwezi kufanya sweeping statements bila kuangalia personal mission ya mtu na ability. Kila mtu yuko tofauti. Hizi habari za kuwa too formulaic ndizo nilizozikataa 1999, nikaibuka triumphant.

      You can't tell me that we do not have similar young men and women nowadays

      Hapa swala ni mtu mwenyewe, si twitter wala facebook. Maana kama ni addiction mtu anaweza kuwa addicted hata na transistor radio.

      Mhenga mmoja alisema unaweza kutaka kuweka zulia dunia nzima ili mguu wako usikanyage mchanga, au unaweza kuamua kuvaa kiatu tu. Kipi rahisi?

      Acha kulaumu kizazi cha twitter na facebook, angalia practical needs za dunia ya leo, ikibidi hata badilisha curriculum iende kimtandao zaidi ku accommodate mabadiliko ya teknolojia duniani.


      Hapa silaumu ujio wa hii mitandao. Ni jinsi gani na muda gani tunatumia Mitandao hiyo. Wewe unaweza jisifia kuwa ukifanya vyema, lakini ni kwenye mitihani, pengine ulikariri tu, ila believe me kuna vitu ulivimiss Mwalimu alivyovifundisha. Kila kitu kwa time yake bana. Tuangalie huyu mtoa huduma kwa Wananchi, watu wanakuja kutoa huduma, naye yuko busy namitandao Na kuwaambia wasubiri.vipi huyu aliyepewakazi za kufanya, anakuwa addicted Na mtandao Na kushindwa kumaliza Kazi aliyopewa. Tunajua uzuri wa mitandao Kama itatumika kwa wakati.

    19. #17
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,196
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6095
      Likes Given
      1065

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Remmy
      Hapa silaumu ujio wa hii mitandao. Ni jinsi gani na muda gani tunatumia Mitandao hiyo.
      Wewe unaweza jisifia kuwa ukifanya vyema, lakini ni kwenye mitihani, pengine ulikariri tu, ila believe me kuna vitu ulivimiss Mwalimu alivyovifundisha. Kila kitu kwa time yake bana. Tuangalie huyu mtoa huduma kwa Wananchi, watu wanakuja kutoa huduma, naye yuko busy namitandao Na kuwaambia wasubiri.vipi huyu aliyepewakazi za kufanya, anakuwa addicted Na mtandao Na kushindwa kumaliza Kazi aliyopewa. Tunajua uzuri wa mitandao Kama itatumika kwa wakati.
      Hapa nilichoona ni a sweeping statement praising orthodoxy without the needed nuances and qualifications.

      Trust me, there was not much I missed in those classes, and there was so much that was practical that I gained by exercising the opportunity cost otherwise.

      Mtu anayekariri tu hawezi kutaka ku miss class, kwa sababu kashakariri kwamba kuhudhuria madarasa ni lazima bila kupima mwenyewe umuhimu wa madarasa yale.

      Mie pengine nilikuwa na miss madarasa yale lakini nilikuwa nahudhuria madarasa ya Yale online, yaliyokuwa na a more interesting input and discussion, go figure.

      Kila kitu kwa time yake, nakubali. na time ya kukalia kukariri kwamba unatakiwa kuwa darasani kwa madarasa yote, hata kama mwalimu mtupu, imeshapita katika ulimwengu huu wa Twitter.

      Mtoa huduma kwa wananchi si mwanafunzi, mwanafunzi anayefanya project za kuwatengenezea software Wamarekani akapambana na Wapakistani na wahindi wanaotoa huduma hiyo hiyo online, atajua maana ya customer service na competition mapema zaidi, na hawezi kuzembea kazini. Tusikariri formula za kusoma wakati kusoma kunabadilika jamani.

      Haya mnayoyasema yanaweza kuwa sawa kwa wanaojibwetesha, lakini haya apply blatantly kama mnavyotaka kusema. This has more to do with personal character than twitter and facebook.

      Mbona kuna ofisi zina poor customer service bila ya facebook wala twitter? Unaingia ofisini tarishi anasoma gazeti hata kukusalimia hakusalimii, sasa hapo utalaumu kizazi cha twitter?
      The Boss and Nzi like this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    20. #18
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Bigirita
      Viziwi???
      Really?
      Kakwambia nani??
      heeeh wewe,hujui madhara ya earphone? au unataka tuendelee kubishana? tatizo letu watanzania huwa hatutaki ambiwa ukweli. kama unamiaka 25 leo na upo addicted na earphones nakupa another 20 yrs huta weza sikia vizuri au kuwa kiziwi....mark my words

    21. #19
      Mkurabitambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 515
      Likes Received
      43
      Likes Given
      60

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Kiranga
      Unachoona wewe addiction, kwa wengine kinaweza kuwa necessity.

      Nilipokuwa chuo nilikuwa miongoni mwa hao walioonekana wana addiction na mtandao, wenzangu wakawa wanahudhuria sana darasani, mie nikawa natumia muda mwingi sana lab.

      Watu wakaniona nalost, kumbe najua ninachofanya. Nilikuwa najifunza kutengeneza Websites Geocities, this was way back in 1999.

      To cut a long story short, kwenye graduation mie niliyekuwa na addiction na mtandao nikatokea miongoni mwa watu watatu tu katika mwaka huo tuliopata highest distinction. Wenzangu wengi waliohudhuria madarasa yote hawakufanya vizuri kama mimi kwenye mtihani, na wala hawakuwa na practical skill ya kujua kutengeneza websites.

      Sasa sitetei "addiction" kwa sana. Ila ninachosema, hatuwezi kufanya sweeping statements bila kuangalia personal mission ya mtu na ability. Kila mtu yuko tofauti. Hizi habari za kuwa too formulaic ndizo nilizozikataa 1999, nikaibuka triumphant.

      You can't tell me that we do not have similar young men and women nowadays.

      Hapa swala ni mtu mwenyewe, si twitter wala facebook. Maana kama ni addiction mtu anaweza kuwa addicted hata na transistor radio.

      Mhenga mmoja alisema unaweza kutaka kuweka zulia dunia nzima ili mguu wako usikanyage mchanga, au unaweza kuamua kuvaa kiatu tu. Kipi rahisi?

      Acha kulaumu kizazi cha twitter na facebook, angalia practical needs za dunia ya leo, ikibidi hata badilisha curriculum iende kimtandao zaidi ku accommodate mabadiliko ya teknolojia duniani.
      "Acha kulaumu kizazi cha twitter na facebook, angalia practical needs za dunia ya leo, ikibidi hata badilisha curriculum iende kimtandao zaidi ku accommodate mabadiliko ya teknolojia duniani."? haah is there any practical need in facebook n tweeter? naomba nijuze kaka


    22. #20
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,196
      Rep Power : 41585
      Likes Received
      6095
      Likes Given
      1065

      Default Re: kizazi cha Facebook, twitter, BBM na earphones

      Quote By Mbako
      "Acha kulaumu kizazi cha twitter na facebook, angalia practical needs za dunia ya leo, ikibidi hata badilisha curriculum iende kimtandao zaidi ku accommodate mabadiliko ya teknolojia duniani."? haah is there any practical need in facebook n tweeter? naomba nijuze kaka

      Facebook and Twitter are like fire, you can choose to use fire to cook a nice meal, or burn down a house.

      Facebook and Twitter are like a knife, you can use a knife to cut meat for a meal, or you can use a knife to kill a person.

      You can use Facebook and Twitter - add JF to that- idly, or you can use these tools constructively and come up with the next best thing.

      Don't limit the potential of Facebook and Twitter to what is confined by your lack of imagination.

      Kuna watu wana forge netwoks zinazowasaidia sana maishani, wao na watu kibao. Humuhumu katika mitandao.

      At the end of the day, it is about what a person is capable of, these are just tools.Let's focus on an education that is focused on critical thinking, not just embracing outdated orthodoxy.
      Last edited by Kiranga; 13th June 2012 at 21:28.
      Nzi likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...