Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 557
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      WANAJF,leo nikiwa naingia Lushoto town nimeshtushwa na habari kwamba zaidi ya wafungwa 1o wametoroka gerezani kupitia tundu kubwa walilochimba wenyewe. NAOMBA MWENYE HABARI KAMILI ATUPIE UZI HAPA JF.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Lushoto magerezea yapo mengi, hebu muulize huyo uliemsikia akisema hilo akuambie ni gereza lipi mojawapo, la Lushoto mjini, mnazi, au wapi? Na Lushoto na wewe unafanya nini saa hizi na baridi yote hii? Unanikumbusha mbaaaaali sana sana Home sweet Home

    4. #3
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,643
      Rep Power : 10160
      Likes Received
      5647
      Likes Given
      12664

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Sobibo camp escape
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    5. #4
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 557
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Elli
      Lushoto magerezea yapo mengi, hebu muulize huyo uliemsikia akisema hilo akuambie ni gereza lipi mojawapo, la Lushoto mjini, mnazi, au wapi? Na Lushoto na wewe unafanya nini saa hizi na baridi yote hii? Unanikumbusha mbaaaaali sana sana Home sweet Home
      Mkubwa gereza la Lushoto(town).

    6. #5
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Aaaah pale very easy pale, maana halina ulinzi wowote nakumbuka wakati tukiwa wadogo tulikua tunaenda kuangalia mazingaombwe kwenye mojawapo ya Hall pale magereza, pole zao ngoja tutubirie wadau wa Lushoto watasemaje labda mohamed Mtoi na zumbemkuu watatupatia updates kama wanazo, mosie hebu fanyeni ze nidiful
      Quote By TEMILUGODA
      Mkubwa gereza la Lushoto(town).
      zumbemkuu likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,207
      Rep Power : 5358
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Prison Break Part II

    9. #7
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,643
      Rep Power : 10160
      Likes Received
      5647
      Likes Given
      12664

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Quote By PrN-kazi
      Prison Break Part II
      hapo ndio utamtaka michael scholfield, tatizo lao wanaajiri askari ambao wamefoji vyeti
      Msindima likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    10. #8
      Msindima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Location : KIVULULU
      Posts : 999
      Rep Power : 719
      Likes Received
      18
      Likes Given
      37

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Quote By Saint Ivuga
      hapo ndio utamtaka michael scholfield, tatizo lao wanaajiri askari ambao wamefoji vyeti


      NI kweli kabisa hapo kwenye green.

    11. #9
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 557
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Msindima
      [/COLOR]
      NI kweli kabisa hapo kwenye green.
      Mimi nafananisha na mpango wa Mungu kwa nchi ya Lushoto dhidi ya blanketi walilojinuka

    12. #10
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Quote By Saint Ivuga
      Sobibo camp escape

      Mkuu kuna ile move ya ESCAPE TRICK hapo ndo mahala pake make kwenye ile move wafungwa walichimba shimo linaenda kuibukia nje ya uzio wa magereza na wafungwa wakatoroka ingawa wapo walio kamatwa na kuuwawa,

    13. #11
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,906
      Rep Power : 951
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Quote By Elli
      Aaaah pale very easy pale, maana halina ulinzi wowote nakumbuka wakati tukiwa wadogo tulikua tunaenda kuangalia mazingaombwe kwenye mojawapo ya Hall pale magereza, pole zao ngoja tutubirie wadau wa Lushoto watasemaje labda mohamed Mtoi na zumbemkuu watatupatia updates kama wanazo, mosie hebu fanyeni ze nidiful
      Elli Mgoshi togoa za siku?
      zumbemkuu likes this.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    14. #12
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      639
      Likes Given
      4

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Wametorokaje

    15. #13
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 557
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Radhia Sweety
      Wametorokaje
      Wamepitia kwenye tundu walilo chinba wenyewe.USISHANGAE SANA NCHI HII IMECHAKACHULIWA KILA MAHALI.

    16. #14
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,601
      Rep Power : 818
      Likes Received
      278
      Likes Given
      51

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Quote By TEMILUGODA
      Wamepitia kwenye tundu walilo chinba wenyewe.USISHANGAE SANA NCHI HII IMECHAKACHULIWA KILA MAHALI.
      humo gerezani hayo majembe au sururu za kuchimbia hili tundu zilifikaje,na hilo gereza nalo limejengwa kwa udongo.......
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    17. #15
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,651
      Rep Power : 11272
      Likes Received
      1465
      Likes Given
      570

      Default Gereza la Lushoto Mkoani Tanga,mfungwa 1 na mahabusu 11 watoroka.

      Yaelekea ni uzembe ndani ya uongozi uliko na ndipo wahalifu hao wakapata mwanya wa kutoroka.

      Source ni ITV.
      Mzee wa Rula likes this.

    18. #16
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,361
      Rep Power : 12708
      Likes Received
      2188
      Likes Given
      1819

      Default Re: Gereza la Lushoto Mkoani Tanga,mfungwa 1 na mahabusu 11 watoroka.

      Ni rahisi kusema uzembe kama hujui gereza ni la ngome au laah.


    19. FJM
      #17
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Gereza la Lushoto Mkoani Tanga,mfungwa 1 na mahabusu 11 watoroka.

      Tukiamka kesho asubuhi tutasoma mkuu wa magereza na viongozi wenzake wanaendelea na shughuli kama kawaida! Legacy ya CCM!

    20. #18
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,694
      Rep Power : 903
      Likes Received
      432
      Likes Given
      440

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      escap frm sabibo

    21. #19
      Kifimbo Cheza's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : jupiter's north pole
      Posts : 94
      Rep Power : 398
      Likes Received
      10
      Likes Given
      25

      Default Re: Wafungwa zaidi ya 10 watoroka gereza la Lushoto.

      Napita tu.

    22. #20
      Mshuza2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,291
      Rep Power : 683
      Likes Received
      195
      Likes Given
      17

      Default

      Usanii mtupu! Hii nchi bwana..kha!
      zumbemkuu likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...