WANAJF,leo nikiwa naingia Lushoto town nimeshtushwa na habari kwamba zaidi ya wafungwa 1o wametoroka gerezani kupitia tundu kubwa walilochimba wenyewe. NAOMBA MWENYE HABARI KAMILI ATUPIE UZI HAPA JF.
WANAJF,leo nikiwa naingia Lushoto town nimeshtushwa na habari kwamba zaidi ya wafungwa 1o wametoroka gerezani kupitia tundu kubwa walilochimba wenyewe. NAOMBA MWENYE HABARI KAMILI ATUPIE UZI HAPA JF.
Lushoto magerezea yapo mengi, hebu muulize huyo uliemsikia akisema hilo akuambie ni gereza lipi mojawapo, la Lushoto mjini, mnazi, au wapi? Na Lushoto na wewe unafanya nini saa hizi na baridi yote hii? Unanikumbusha mbaaaaali sana sana Home sweet Home
Sobibo camp escape
JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.
Aaaah pale very easy pale, maana halina ulinzi wowote nakumbuka wakati tukiwa wadogo tulikua tunaenda kuangalia mazingaombwe kwenye mojawapo ya Hall pale magereza, pole zao ngoja tutubirie wadau wa Lushoto watasemaje labda mohamed Mtoi na zumbemkuu watatupatia updates kama wanazo, mosie hebu fanyeni ze nidiful
Prison Break Part II
Elli Mgoshi togoa za siku?
" TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"
Wametorokaje
Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.
Yaelekea ni uzembe ndani ya uongozi uliko na ndipo wahalifu hao wakapata mwanya wa kutoroka.
Source ni ITV.
Ni rahisi kusema uzembe kama hujui gereza ni la ngome au laah.
Tukiamka kesho asubuhi tutasoma mkuu wa magereza na viongozi wenzake wanaendelea na shughuli kama kawaida! Legacy ya CCM!
escap frm sabibo
Napita tu.
Usanii mtupu! Hii nchi bwana..kha!
Follow Us Here