Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mashirika ya mifuko ya Jamii.... Ni kupe! Mnanyonya wananchi na kujinufaisha wenyewe!!

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,037
      Rep Power : 16326
      Likes Received
      2217
      Likes Given
      1259

      Post Mashirika ya mifuko ya Jamii.... Ni kupe! Mnanyonya wananchi na kujinufaisha wenyewe!!

      Nimejaribu kuangalia haya mashirika ya mifuko ya jamii nakugundua kuwa ni wadharimu wanyonyaji wakuu wa wananchi!!
      haiwezekani mwananchi achangie pesa yake na yeye asifaidike!!
      Na wakati walumlipa unampa pesa ile ile aliyoiweka bila hata kumwongezea riba!!Wanatudanganya na kupewa masaada wa mazishi kuna mtu anahitaji kuzika??kama siyomatusi nini?Waweke utaratibu wa matibabu kwa insurance kama kweli wanataka kuwajali wanachama wao!
      SWALI:
      *Kodi mnazozipata kutokana na majengo zinafanya kazi gani??
      *Mwananchama anafaidika vipi na vitega uchumi hivi?
      *Je CAG anaenda kukagua kodi mnazokusanya kwa mwaka??
      *Kwanini mfanyakazi anapo staafu asipewe angalau riba kwa pesa yake aliyoiwekesha tangu aanze kuchangia!!

      SERA
      :
      *Sera za kukopesha wananchi zinasemaje je zinahitaji kurekebishwa??
      *Je ni lazima kuweko na ulazima wakustaafu ndo upewe pesa yako?kwanini unapoacha kazi usipewe pesa yako bila ya shariti lolote??
      *Iangaliwe upya kuwepo na ongezeko la thamani kwa kila pesa ya mwananchama.
      *Na mabenki yaanzishe akaunti za uzeeni unaweka pesa inakuwa inakuwa ila unakuwa uwezi kuitoa mpaka hapo utakapo staafu au kuacha kazi.

      hii imifuko nilazima ibadilike ili kwenda na wakati kuliko kuwa mifuko ya wakubwa pekee ndiyo wanaruhusiwa kukopa badala ya wanachama.
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Poriposha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2011
      Location : maajabuyamaji.net
      Posts : 301
      Rep Power : 5193
      Likes Received
      62
      Likes Given
      224

      Default Re: Mashirika ya mifuko ya Jamii....Nikupe!!Mnanyonya wanancha na kujinufaisha wenyewe!!

      Quote By KakaKiiza

      SERA
      :

      *Je ni lazima kuweko na ulazima wakustaafu ndo upewe pesa yako?kwanini unapoacha kazi usipewe pesa yako bila ya shariti lolote??
      si lazima mpaka ustaafu ndio ukachukue mafao yako hata unapoacha kazi from one organisation and move to another one unaweza kwenda kufuata mafao yako endapo utapata barua ya huidhinisha kuacha kazi kwenye hilo shirika la kwanza. My sister do that hapo ni barua tu kutoka shirikani then unapewa chako #KakaKiiza


      Nimetafuta Kazi,
      Nimepata Kazi,
      Sitaona Kazi,
      Kufanya Kazi


    4. #3
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,651
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Mashirika ya mifuko ya Jamii....Nikupe!!Mnanyonya wanancha na kujinufaisha wenyewe!!

      Nchi itajengwa na wenye moyo italiwa na wenye Meno na ambao sikuhizi ukiwagusa utasikia wananionea mimi kwa sababu mimi ni....... kuhalalisha Ubadhilifu wao,

    5. #4
      rodrick alexander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 702
      Rep Power : 507
      Likes Received
      170
      Likes Given
      333

      Default Re: Mashirika ya mifuko ya Jamii.... Ni kupe! Mnanyonya wananchi na kujinufaisha wenyewe!!

      Kwa NSSF kuna riba ya 1.8% kwa mwaka ambayo unatakiwa ulipe
      Kwanza hawatangazi hiyo riba mimi nilipata baada ya kuwafatilia kwa karibu lakini watu wengi hawajui kama wanapaswa kulipwa hiyo riba
      Kama wanachama wengi hawalipwi hiyo pesa inaenda wapi
      Hiyo riba ni ndoigo kulinganisha na riba za kibenki kama wanawekeza pesa yako na hawakupi hisa kwanini watoe riba ndogo namna hiyo
      shirikisho la wafanyakazi pamoja na kuwa na mwakilishi kwenye bodi za mifuko hifadhi ya jamii lakini hawajahi kutoa tamko llolote badala yake wamekuwa weakipiga kelele za kuongezwa mishahara bila ya kulinda maslahi ya wafanyakazi
      unapoenda kuchukua pesa yako hawakupi kwa wakati,jeuri njoo kesho nyingi na kumbukumbu zao hazipo sahihi

    6. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...