Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Serikali imetoa tamko na dodoso ambayo itatumika kukusanya sensa ya watu na makazi kuwa vipengere vya Ukabila na Udini havitakuwepo kwa sababu havisaidii katika swala la kimaendeleo na kijamii kwa Mtanzania.

      Wakati huo huo Sheik Mponda akiitaka serikali iunde tume huru itakayo jumuisha wakristo, waislam na wapagani ili waweze kutekeleza kipendele cha dini katika kuhesabu idadi ya waislam, Wakristo na wapagani wa nchi hii.


      Source: Mwananchi

      My concern
      Sasa hapa sijui watagoma kama walivyosema

    2. Miaka 50

    3. #2
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,357
      Rep Power : 18617
      Likes Received
      3518
      Likes Given
      1689

      Default re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      They never rest! Period!

    4. #3
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,065
      Rep Power : 922
      Likes Received
      835
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By PakaJimmy
      Kwanini Waislam hawataki amani ya hii nchi?
      _mahakama ya kadhii
      _sensa ya kiislamu
      _Ndalichako wa kiislamu
      _misikiti iwepo mashuleni
      _benki za kiislamu
      _makanisa yachome, ibaki misikiti
      Hakika wenzetu nyie mmedeka sana hadi kinyaa. kwanini msitumie msikiti kuhesabu waislamu?
      Ongezea
      -Tanzania Kujiunga na OIC
      - Mfumo Kiristu
      - Hospitali za Mission (DDHs) kupewa ruzuku na serikali (MoU)
      - Ijumaa iwe siku ya mapumziko
      - Mabucha ya nguruwe, baa za pombe (bia) kuchomwa moto (ref. ZNZ, Mwembechai)

    5. #4
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Sheik Ponda...what a sheikh! Kazi ipo maana sijui anafikiria nini huyu bwana kuhusu uwepo wa watu wenye dini nyingine.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    6. #5
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Quote By Bobuk
      Ongezea
      -Tanzania Kujiunga na OIC
      - Mfumo Kiristu
      - Hospitali za Mission (DDHs) kupewa ruzuku na serikali (MoU)
      - Ijumaa iwe siku ya mapumziko
      - Mabucha ya nguruwe, baa za pombe (bia) kuchomwa moto (ref. ZNZ, Mwembechai)
      Rais si muislamu, kwanini msimshauri aondoe hizo ruzuku kwenye mahospitali? Tunaongea ongea tu mara nyingine. Hospitali za serikali ziko ngapi na zinawafikia wananchi kwa kiasi gani? A wishful thinking
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Andrew Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2008
      Posts : 1,449
      Rep Power : 0
      Likes Received
      358
      Likes Given
      0

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Sheikh Ponda anasema hataki Waislamu wahesabiwe. Ni bora watu wasiingilie sensa. Labda tunahitaji lecture khsu sensa kama Prof. Shivji anavyotoa lecture kuhusu katiba. 'Msemaji' gani wa Serikali anayeweza kusema kwamba hakuna Serikali duniani inayohitaji kujua wananchi wake wana dini gani? From which school of government did he learn government? Maneno kama haya ndiyo yanayofanya watu wafiikirie kwamba viongozi wetu ni feki,viongozi wa dini pamoja na serikali,na kwamba maybe it is better if we take things into our hands. Ni kazi ya sensa kuwasaidia watu kujua demographics. Sheikh Issa Ponda anaweza vipi kufikiria kwamba kuhesabiwa Waislamu kutahatarisha maisha yake? Halafu wanaifanya kuwa ugomvi kati ya Wakristu na Waislamu;kwamba Wakristu wanataka waumini wa dini tofauti wahesabiwe,na Waislamu hawataki,wakati haya ni mambo ya sensa ambayo yanafanyika duniani kote;kama kuna kuna sensa,kihesabike kila kitu kinachoweza kuhesabika,sensa ndio hiyo,itumike vizuri,yasitokee majuto baadaye. Leo hii ukitazama katika mtandao utaona demographics za kila pahali duniani. Wangefahamu vipi bila sensa? Hizo data za kabila na dini zinaweza kuamua watu wanapiga kura vipi katika Uchaguzi wa 2015,kwa hiyo it is of interest to political scientists.
      Matatizo ya Waislamu nafahamu[buti I don't want to say],ni kwamba there are some misguided folks there ambao wanataka kuanzisha Taifa la Kiislamu,bila kujali kwamba idadi ya Waislamu Tanzania siyo kubwa kuhalalisha jambo kama hilo, kwa hiyo naturally,hawataki kujua Wakristu wako wangapi,na Waislamu wako wangapi.

    9. #7
      Mashamba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Location : HAITI
      Posts : 92
      Rep Power : 408
      Likes Received
      25
      Likes Given
      52

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      we are not Sister faith ...Nimewachoka hata sitaki kuwasikia hao waliozaliwa kulalamika!
      Hapa hawajamaliza kipindi chao wanaleta kelele,subiria after 2015,utawasikia vizuri.

    10. #8
      Swts's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Atlanta Georgia
      Posts : 1,725
      Rep Power : 713
      Likes Received
      558
      Likes Given
      265

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Shindwaa kabisa pepo la uchonganishi na uvunjifu wa amani...shindwaaaaaaaa
      Ndahani likes this.
      IF U HAVE TO DO IT EVERYDAY.....LEARN TO DO IT BETTER

    11. #9
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,744
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      721
      Likes Given
      147

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Mimi nataka tuhesabiwa na tujulikane kwa makabila,dini zetu na hata koo zetu kila kitu bwana sensa si ndio hii serikali kwa nini haitaki najua idadi ya wakristo inajulikana kwa sababu wanautaratibu wakuandikisha wakristo kwa mifumo mbalimbali ukijumlisha nchi nzima kufuatana na madhehebu yao idadi itajulikana tuu,waislamu nao idadi yao inajulikana kutokana na madhehebu yao sasa iwekwe kitakwimu kwenye sensa ya taifa period

    12. #10
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,225
      Rep Power : 1275
      Likes Received
      535
      Likes Given
      405

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Quote By dosama
      Serikali imetoa tamko na dodoso ambayo itatumika kukusanya sensa ya watu na makazi kuwa vipengere vya Ukabila na Udini havitakuwepo kwa sababu havisaidii katika swala la kimaendeleo na kijamii kwa Mtanzania.

      Wakati huo huo Sheik Mponda akiitaka serikali iunde tume huru itakayo jumuisha wakristo, waislam na wapagani ili waweze kutekeleza kipendele cha dini katika kuhesabu idadi ya waislam, Wakristo na wapagani wa nchi hii.


      Source: Mwananchi

      My concern
      Sasa hapa sijui watagoma kama walivyosema
      Huyu Sheikh Ponda....anamatatizo sana...

      !!!!!!!!!!!!!!
      Ukweli ni maji ya chumvi unayotakiwa kuyaoga, ukiona mahali panawasha usiyachukie hayo maji....jua hapo pana jeraha pafanyie kazi.

    13. #11
      doup's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : N/A
      Posts : 697
      Rep Power : 661
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Unajua kuna watu ndivyo walivyo, hana jema hana baya, ilimradi yeye ni kulalamika tu.
      hata uumpe nini yeye ni lawama tu. Huyu Sheikh, nafikiri hata akifika kwa mola, akapewa pepo atalalamika mbona mimi nik wakati wenzangu wako jehanamu!!?
      Ndahani likes this.
      Arusha ni mwanga wa TUMAINI jipya

    14. #12
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,573
      Rep Power : 946
      Likes Received
      691
      Likes Given
      131

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Some simple questions cannot be sovled by nice talks around the table. Mbakora tu wakawaoneshe wake zao.
      Hawa wanataka kufanya Tanganyika yao hii.
      Mtu ukikosa kazi ya kufanya madhara yake ndo haya.

    15. #13
      EDOMU's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      6

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Alafu ukijua kuna waislamu kadhaaaa,what next!!!!kama mtu anania ya kujua idadi ya waumini wake si afanye sensa za kidini .jamani tuacheni utegemezi kila kitu kufanyiwe du!!!

    16. #14
      Jabulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2009
      Location : Kituo cha Polisi Jamii
      Posts : 2,973
      Rep Power : 1370
      Likes Received
      821
      Likes Given
      254

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Quote By MESTOD
      .... Kama wanataka waitishe sensa misikitini wajue wapo wangapi.
      Wanataka sensa ya waisilamu misikitini igharamiwe na serikali.

      Kamanda wa Polisi Jamii - Kanda Maalumu

    17. #15
      petrol's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 439
      Likes Received
      45
      Likes Given
      0

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      Quote By Andrew Nyerere
      Sheikh Ponda anasema hataki Waislamu wahesabiwe. Ni bora watu wasiingilie sensa. Labda tunahitaji lecture khsu sensa kama Prof. Shivji anavyotoa lecture kuhusu katiba. 'Msemaji' gani wa Serikali anayeweza kusema kwamba hakuna Serikali duniani inayohitaji kujua wananchi wake wana dini gani? From which school of government did he learn government? Maneno kama haya ndiyo yanayofanya watu wafiikirie kwamba viongozi wetu ni feki,viongozi wa dini pamoja na serikali,na kwamba maybe it is better if we take things into our hands. Ni kazi ya sensa kuwasaidia watu kujua demographics. Sheikh Issa Ponda anaweza vipi kufikiria kwamba kuhesabiwa Waislamu kutahatarisha maisha yake? Halafu wanaifanya kuwa ugomvi kati ya Wakristu na Waislamu;kwamba Wakristu wanataka waumini wa dini tofauti wahesabiwe,na Waislamu hawataki,wakati haya ni mambo ya sensa ambayo yanafanyika duniani kote;kama kuna kuna sensa,kihesabike kila kitu kinachoweza kuhesabika,sensa ndio hiyo,itumike vizuri,yasitokee majuto baadaye. Leo hii ukitazama katika mtandao utaona demographics za kila pahali duniani. Wangefahamu vipi bila sensa? Hizo data za kabila na dini zinaweza kuamua watu wanapiga kura vipi katika Uchaguzi wa 2015,kwa hiyo it is of interest to political scientists.
      Matatizo ya Waislamu nafahamu[buti I don't want to say],ni kwamba there are some misguided folks there ambao wanataka kuanzisha Taifa la Kiislamu,bila kujali kwamba idadi ya Waislamu Tanzania siyo kubwa kuhalalisha jambo kama hilo, kwa hiyo naturally,hawataki kujua Wakristu wako wangapi,na Waislamu wako wangapi.
      Andrew, una wazo zuri. Bahati mbaya kama taifa tumefikia mahali ambapo hatuamini takwimu. kukubali kujua idadi ya waislamu, wakristo n.k. pamoja na makabila kutasababisha malumbano ambayo hayatakuwa na mwisho. Tutaanza kwa kusema wengi wa waliohesabu watu walikuwa wakristu au waislamu, au kabila fulani ni hivyo kupendelea upande unaowahusu. Umeyaona ya NECTA wakati Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu wakitoka dhehebu moja. Upande mmoja hauna imani na viongozi hao. Ajabu ni nini mtoto wa kiislamu kushindwa somo la kiislamu? Wako Wakiristu wengi wanaoshindwa vibaya somo la bible knowledge. Hata huko Uingereza au Marekani wapo wanafunzi wengi tu wazawa wanaoshindwa vibaya somo la kiingereza. Mtihani ni kitu kingine bwana. Sioni ajabu katika hili. Badala ya kutafuta kiini cha kushindwa tunaelekeza nguvu zetu kutafuta mchawi. sisi watu au taifa la ajabu sana. sijui tunajenga maadili ya namna gani. Kulalamika katika kila kitu.

      Pia kumbuka matatizo ya kisiasa na hata usalama huko Nigeria yalianza na nini. Hadi leo Nigeria haijui ina watu wangapi, ni makisio mtindo mmoja. Kwa nini. kwa sababu raslimali za taifa zinagawanywa kwa msingi wa idadi ya watu katika kila jimbo. Mwingereza aliwaacha na majimbo matatu. Katika busara zao wakaona afadhali kuyaongeza ili kupunguza nguvu na ushawishi wa kijimbo. Haikusaidia. Wakaanzisha utaratibu wa kuwa na mzungumzo katika kukalia kiti cha Urais. Haijasaidia sana. sasa tunasikia Boko Haramu na vitimbwi vyao. Hoja yangu ni kwamba tujaribu kujenga misingi ya kuaminiana. na hili linawezekana katika kuweka misingi mizuri ya ugawaji wa keki ya taifa. viinginevyo malalamiko na shutuma kavitakoma.

    18. #16
      Olaigwanani lang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2012
      Posts : 337
      Rep Power : 818
      Likes Received
      52
      Likes Given
      374

      Default Re: Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

      hivi mtu kuwa shekhe unaitaji kuwa na elimu gani...?maana qualifications lazima iwepo.....,
      ebu nisaidieni wenzangu....!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...