Dear wapendwa
nimempoteza mama yangu kipenzi usiku huu
naomba maombi yenu
more inf to mex
Dear wapendwa
nimempoteza mama yangu kipenzi usiku huu
naomba maombi yenu
more inf to mex
Pole sana mkuu.
Tuko pamoja katika kumwombea
PKA mama
Sent from my Nokia rinGo using JamiiForums
Pole sana mpendwa.....Mungu akupe nguvu katika hili.....
Pole sana......
Life is too short to waste time hating anyone.........
Mwenyezi awape nguvu na mioyo yenye uvumilivu wa kuhimili msiba huu!
Amiin
pole sana mkuu wewe ulimpenda mama
ila mungu kampenda zaidi
akusimamie katika kipindi hiki kigumu sana kwako
polee
Never hate people who are jealous of you,
Instead love them because they're the ones,
who think you are better than them…
Mungu akutieni nguvu katika kipindi hiki kigumu. Pumzika kwa amani Mama!
pole sana mkuu,p.diddy
CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:
Pole sana Pdidy , MUNGU akupe faraja .
Pole sana ndugu!
"Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki
pole sana.Mungu akutie nguvu
Pole sana! mwenyezi Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki cha majonzi... Bwana ametoa bwana ametwaa jina labwaba lihimidiwe
"DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"
P.K.A mama.
Pole sana chifu.
Pole sana Pdidy, RIP our Mama.
pole sana kamanda.... ukipata muda sikiliza wimbo wa Remmy Ongala KIFO. Mugu awatangulie katika kipindi hiki kigumu
"Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.
Mungu awape Moyo wa ustahimilivu familia yote ya Pdidy ktk kipindi hiki kigumu! R. I. P our Mama,
Pole sana mkuu
Mwenyezi Mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki kigumu!
Pole sana Mkuu!
Tunamwombea marehemu mama Mungu amlaze mahali pema na nyiyi wafiwa awape nguvu na subira.
"JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"
I lost my mother in 13yrs ago but ,I know for certain that we never lose the people we love, even to death. They continue to participate in every act, thought and decision we make. Their love leaves an indelible imprint in our memories. We find comfort in knowing that our lives have been enriched by having shared their love. -pole mkuu pdidy MAY OUR MOTHER R.I.P
Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.
Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu,"Mshukuru Mungu kwa kila jamb"
Pole sana Mungu akutie nguvu.
Mungu akujalie nguvu wkt huu mgumu kwako
mama katangulia tu nasi tutamfuata baadae.
cha kujiuliza na kujifariji ni malezi mema alokupa.
You may know me but you have no Idea who I am !
Follow Us Here