Dear wapendwa
nimempoteza mama yangu kipenzi usiku huu
naomba maombi yenu
more inf to mex
Dear wapendwa
nimempoteza mama yangu kipenzi usiku huu
naomba maombi yenu
more inf to mex
Pole sana mkuu, yote ni majaaliwa ya mwenyezi mungu. Sote tunamuomba ampunzishe mama kwa amani, awape moyo wa ustahamilivu katika wakati huu. Tupo pamoja kataika maombolezo
Pole sana pdidy.... your charm in JF makes me believe that your mom loved you alot and you probably inherited a few daily brightening qualities from her
may her good soul RIP
....Time is the wisest counselor!!!
Ooh pole sana,
Hiyo ni kazi ya Mungu, haina makosa,
Akupe nguvu na ujasiri kipindi hiki kigumu,
RIP Mama!
pole sana mkuu
inauma sana...lakini binadamu pumzi hii sio yetu!
RIP dear mama!
kiongozi jipe moyo na MUNGU akusaidie.
pole sana mkuu, mungu akupe wepesi.
Pole sana kijana. I lost mine a year and a half ago. And I know inafeel'aje. Be strong man. Prayers kwa sana
"Smile though your heart is aching"...Me says
Pole sana Mdau.RIP Mum
A man's character may be learned from the adjectives which he habitually uses in conversation.
Pole sana mkuu...
Pole sana Pdidy. Mungu amlaze mama mahali alipo mpangia kwa huruma na matendo yake.
Japo hujasema msiba uko wapi, umetokea wapi na mazishi yanafanyikia wapi? Ungeweka wazi mkuu tushiriki pamoja katika kipindi hiki kigumu, huenda kuna wanajf walioko karibu na wewe.
Naomba namba yako mkuu nikutumie ubani wangu.
Pole sana,Mungu ampumzishe kwa amani na awafariji wote kwa upendo wake,
pole kaka mama ananafasi kwa Mungu
Pdidy Pole sana na msiba, Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa mama yako kipenzi............
Bwana alitoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe amen, apate pumziko la milele na poleni sana!
pole sana mkuu
CHADEMA mwendo mdundo - T 2015 CDM
Rip mama,shuguli inafanyikia wapi toa location jf ipo tz kote kamanda kama si mimi kunamwingne anaweza attend
Pole Diddy! Tupo pa1
Follow Us Here