Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      Nyundo Kavu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Locker Up
      Posts : 108
      Rep Power : 398
      Likes Received
      20
      Likes Given
      35

      Default blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Wadau, kumekuwa na uanzishwaji wa bloggs ambazo kwa kweli nyengine sioni hata sababu kuu ya kuwepo wadhamini {tena wakubwa} kuzipa udhamini. Kwa mfano; utakuta blog inazaminiwa na kampuni kubwa tuu maarufu lakini katika blog hiyo kuna picha na majitambo ya mwenye blog kujisifu tu.

      1. Je, unafikiri blog site gani ingestahili udhamini? Na unafikiri blog site gani unapoitembelea unapata positive information?

      2. Blog site gani haikuridhishi?

    2. Miaka 50

    3. #2
      yaser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 634
      Likes Received
      137
      Likes Given
      2

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      nyundokavublogspot haina maadili kwa jamii

    4. #3
      Goodrich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 621
      Likes Received
      217
      Likes Given
      29

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Topic ni nzuri !
      Kuna blog inaitwa Full Shangwe. Hii nadhani wabadilishe jina.
      Maana wakati mwingine inakuwa habari za huzuni lakini jina linaharibu.
      Mfano;
      Full Shangwe: Saitoti Afariki nk
      ... our Conflict has never been about the establishment of a Palestinian state, it's always been about the existence of the Jewish state. - Benjamin Netanyahu.

    5. #4
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Wadau mimi si mtembeleaji wa BLOGS,,,,yaan hapa(jf) ndio huwa napitapita sana

    6. #5
      SIMBA WA TARANGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Location : Kapugi-Tukuyu
      Posts : 976
      Rep Power : 562
      Likes Received
      209
      Likes Given
      150

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Michizi blog! Ooops sorry michuuzi blog!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,908
      Rep Power : 5059
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Blog ya Dj choka ipo safi sana na blog ya millard ayo,dj fetty safi!! Ya pretty sintah inaitaji permanent ban!!

    9. #7
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By King Kong III
      Blog ya Dj choka ipo safi sana na blog ya millard ayo,dj fetty safi!! Ya pretty sintah inaitaji permanent ban!!
      mrs necha?????

    10. #8
      Nyundo Kavu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Locker Up
      Posts : 108
      Rep Power : 398
      Likes Received
      20
      Likes Given
      35

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Quote By Goodrich
      Topic ni nzuri !
      Kuna blog inaitwa Full Shangwe. Hii nadhani wabadilishe jina.
      Maana wakati mwingine inakuwa habari za huzuni lakini jina linaharibu.
      Mfano;
      Full Shangwe: Saitoti Afariki nk
      duuh!...!

    11. #9
      Nyundo Kavu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Locker Up
      Posts : 108
      Rep Power : 398
      Likes Received
      20
      Likes Given
      35

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Quote By King Kong III
      Blog ya Dj choka ipo safi sana na blog ya millard ayo,dj fetty safi!! Ya pretty sintah inaitaji permanent ban!!
      U turn Blog... hapa kuna matatizo na ajabu voda n castle light wanazamini....

    12. #10
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 1,762
      Rep Power : 4576
      Likes Received
      566
      Likes Given
      385

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Quote By King Kong III
      Blog ya Dj choka ipo safi sana na blog ya millard ayo,dj fetty safi!! Ya pretty sintah inaitaji permanent ban!!

      Blogu ya DJ choka ni choka kama yeye mwenyewe. Yeye siku zote huweka wapuuzi wenzake tu (wanna bees) na hakuna cha maana cha kuelimisha zaidi ya kuona vijana wakiuza sura na nyimbo zisizokuwa na maadili katika jamii yetu. Millard Ayo kidogo ila nimeacha kuipitia kutokana na mambo yale yale ya kijinga ya kuzishi. Cintah, 8020 fashions, U-turn, Mtaa kwa mtaa, michuzi jr, na za wasanii wengi tu zinafaa kufutwa kwani hazina maana zaidi ya kuuza sura. Blogs safi ni Mjengwa na kwanza jamii then Michuzi. Ila katika yote, napenda JF kwani ni Chuo Kikuu na shahada yake inatambulika duniani kote.
      Last edited by Mkereketwa_Huyu; 12th June 2012 at 08:41.
      Nyundo Kavu likes this.

    13. #11
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,908
      Rep Power : 5059
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default

      Quote By Mkereketwa_Huyu
      Blogu ya DJ choka ni choka kama yeye mwenyewe. Yeye siku zote huweka wapuuzi wenzake tu (wanna bees) na hakuna cha maana cha kuelimisha zaidi ya kuona vijana wakiuza sura na nyimbo zisizokuwa na maadili katika jamii yetu. Millard Ayo kidogo ila nimeacha kuipitia kutokana na mambo yale yale ya kijinga ya kuzishi. Cintah, 8020 fashions, U-turn, Mtaa kwa mtaa, michuzi jr, na za wasanii wengi tu zinafaa kufutwa kwani hazina maana zaidi ya kuuza sura. Blogs safi ni Mjengwa na kwanza jamii then Michuzi.
      True dat! Roger dat!

    14. #12
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,908
      Rep Power : 5059
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default

      Quote By Nyundo Kavu
      U turn Blog... hapa kuna matatizo na ajabu voda n castle light wanazamini....
      Hahahahahahahahaaaaa
      Nyundo Kavu likes this.

    15. #13
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,908
      Rep Power : 5059
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default

      Quote By Bajabiri
      mrs necha?????
      Yap yap huyo huyo!

    16. #14
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,366
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Msiongelee JAMII FORUMS humu coz hii sio BLOG

    17. #15
      Bushbaby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 1,461
      Rep Power : 721
      Likes Received
      283
      Likes Given
      148

      Default Re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Quote By Nyundo Kavu
      U turn Blog... hapa kuna matatizo na ajabu voda n castle light wanazamini....
      Niliposoma maelezo yako nilijua moja kwa moja una maanisha Blog gani...ulipoona watu hawaitaji ukaamua kuitaja mwenye....huenda hujui ni kwanini Voda na Castle wameamua kudhamini U-turn..... angalia ni watu wangapi wanaitembelea....kwa siku..hasa kina dada.... na ndio maana wadhamini ni Castle Lite..!! na sio Konyagi!! hiyo ni akili ya biashara....nao wao wapo kibiashara zaidi..bila kujali ndani kuna nini!!!
      Nyundo Kavu likes this.
      Never Judge any one because you never know how their life is and what they are going through

    18. #16
      Money stunna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Location : BeechGrove City,Indianapolis
      Posts : 2,802
      Rep Power : 954
      Likes Received
      812
      Likes Given
      520

      Default Re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      kitu blog yangu bana! frank johnson jokes/ ENJOY JOKES

    19. #17
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,111
      Rep Power : 6360
      Likes Received
      1469
      Likes Given
      409

      Default Re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Na ile Blog ya Ben Kinyaiya imekaa KiCameroon zaidi!
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    20. #18
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 1,762
      Rep Power : 4576
      Likes Received
      566
      Likes Given
      385

      Default Re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Quote By Ndallo
      Na ile Blog ya Ben Kinyaiya imekaa KiCameroon zaidi!

      Hiyo blogu ya Kinyaiya ina mashaka saaana. Kwanza mwangalie mwenyewe Ben jinsi alivyo, yaani sijuwi ni transgender au vipi kwani hawa watu daima huwa wana mawazo finyu na hupenda kulazimisha vitu visivyolazimishwa ili vikubalike na jamii, na ndiyo maana ana vitu vya kustajabisha daima. Ila pole kwa kupitia blogu yake.

    21. #19
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 1,762
      Rep Power : 4576
      Likes Received
      566
      Likes Given
      385

      Default Re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Quote By Biohazard
      Msiongelee JAMII FORUMS humu coz hii sio BLOG

      Sidhani kama kuna aliyesema JF ni blogu. Kama umeninukuu mimi basi hujaelewa point yangu vizuri. Niliongelea kuhusu blogs siziso na msingi na zisizofaa na zinazofaa, then nikasema ila katika yote haya napenda JF kwani ni chuo kikuu cha jamii na shahada yake utambulika dunia nzima. Labda sikuwa sahihi lakini nilimaanisha kuwa JF ni tofauti na ya kipekee na siyo blogu.

    22. #20
      Nyundo Kavu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Location : Locker Up
      Posts : 108
      Rep Power : 398
      Likes Received
      20
      Likes Given
      35

      Default Re: blogs na sites za sasa na wanaozidhamini...

      Quote By Bushbaby
      Niliposoma maelezo yako nilijua moja kwa moja una maanisha Blog gani...ulipoona watu hawaitaji ukaamua kuitaja mwenye....huenda hujui ni kwanini Voda na Castle wameamua kudhamini U-turn..... angalia ni watu wangapi wanaitembelea....kwa siku..hasa kina dada.... na ndio maana wadhamini ni Castle Lite..!! na sio Konyagi!! hiyo ni akili ya biashara....nao wao wapo kibiashara zaidi..bila kujali ndani kuna nini!!!
      Mkuu, shukrani kwa kunifumbua macho... usemayo ni kweli kabisa... kampuni zengine zipo kibiashara zaidi... kwa hiyo hata kama itakuwa mhusika wa blog anaweka picha zinazomuhusu yeye na ukoo wake ilimradi inatembelewa sana then ni sehemu muhimu kutegesha biashara bila kujali nn kinasaidia kupitia blog husika

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...