Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. #1
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,834
      Rep Power : 17962
      Likes Received
      1619
      Likes Given
      1562

      Default Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Kipindi cha kuelekea kuanza kwa mashindano ya Uero 2012 StarTimes walikuwa wanatoa matangazo kwamba kupitia kwenye king'amuzi cha Startimes.. watakuwa wanaonyesha moja kwa moja fainali hizo kupitia UBC.. Cha ajabu na kushangaza ni baada ya kuonyesha mechi moja ya ufunguzi jana.. wameshindwa kuonyesha mechi nyingine iliofuata ya Russia vs Check.. za leo Holland vs Denmark na Portugal vs Germany.. Kinachouma ni kitendo cha kwenda kununua voucher ya Startimes kwa ajili ya kuangalia fainali ambazo sasa hazionyeshwi tena.. Nikalalamike wapi..?
      Kweli ambao hatuna hata hivi vidogo vitachukuliwa...

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      N-handsome's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,859
      Rep Power : 950
      Likes Received
      91
      Likes Given
      476

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Kaka Startimes ya kichina toka lini Chinese can be reliable?hawana tofauti na magambaz

    4. #3
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,623
      Rep Power : 818
      Likes Received
      255
      Likes Given
      459

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Hata mie wameniboa kinoma yani. F...uk em chinese burgers
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    5. #4
      Master jay's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 146
      Rep Power : 381
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Nilitaka kulipia kesho, bora mmetujuza mapema. Hawa ma'yutong' ni w..zi.

    6. #5
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Na nyie bana, UBC ni free to air. Startimes do not have control of what UBC does or doesn't. Wabongo wana tabia ya kushawishika kirahisi hata kwa vitu visivyo na mantiki.
      Moola's the motive

    7. Miaka 50

    8. #6
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5406
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Quote By Abdulhalim
      Na nyie bana, UBC ni free to air. Startimes do not have control of what UBC does or doesn't. Wabongo wana tabia ya kushawishika kirahisi hata kwa vitu visivyo na mantiki.
      ni kweli hata walipodanganywa kuwa uamsho walichoma makanisa wakanywa kila kitu bila kuichunguza serikali ya CCM na manyago yake
      Last edited by kwamwewe; 10th June 2012 at 12:42.
      Abdulhalim likes this.

    9. #7
      Mutta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 103
      Rep Power : 434
      Likes Received
      10
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By sosoliso
      Kipindi cha kuelekea kuanza kwa mashindano ya Uero 2012 StarTimes walikuwa wanatoa matangazo kwamba kupitia kwenye king'amuzi cha Startimes.. watakuwa wanaonyesha moja kwa moja fainali hizo kupitia UBC.. Cha ajabu na kushangaza ni baada ya kuonyesha mechi moja ya ufunguzi jana.. wameshindwa kuonyesha mechi nyingine iliofuata ya Russia vs Check.. za leo Holland vs Denmark na Portugal vs Germany.. Kinachouma ni kitendo cha kwenda kununua voucher ya Startimes kwa ajili ya kuangalia fainali ambazo sasa hazionyeshwi tena.. Nikalalamike wapi..?
      Kweli ambao hatuna hata hivi vidogo vitachukuliwa...
      Huo ni wizi,kwa nini watangaze na watu walipie sh 18000 alafu wasioneshe bila taarifa?Tuandamdne tukawadai hela zetu.Mimi nililipia ijumaa.Kama hawakuwa na control na UBC kwa nini walitangaza?

    10. #8
      Mpigaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2011
      Posts : 381
      Rep Power : 496
      Likes Received
      39
      Likes Given
      2

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Mjinga huamini kila neno!

    11. #9
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Quote By Mutta
      Huo ni wizi,kwa nini watangaze na watu walipie sh 18000 alafu wasioneshe bila taarifa?Tuandamdne tukawadai hela zetu.Mimi nililipia ijumaa.Kama hawakuwa na control na UBC kwa nini walitangaza?
      hata wangekupa taarifa isingesaidia, 'chinese model' hiyo babake.
      tungekua na serikali makini ingeshawafurusha hawa wababaishaji.
      Moola's the motive

    12. #10
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Quote By Mpigaji
      Mjinga huamini kila neno!
      it is partly tamaa ya sisi wapenda dezo na dishonesty ya hawa chongchung uchwara. it seems huku africa ndio wameona ni 'soko-mjinga' ambako hakuna regulation wala monitoring, ukimhonga ***** mmoja basi unavuna tu shamba la bibi-style. majuzi niliona waarabu fulani wanataka kucompete na hii blind bidding dhidi ya Skysports kuhusu rights za EPL baada ya mkataba wa sasa kuisha, Sky wenyewe matumbo joto maana maarab washaanza kuuza sports package as low as $ 10 in France. Sasa ktk hali kaa hiyo haingii akilini DSTV kutulipisha $ 80 kwa kuunga package zote hata kama huna interest nazo, huu ni unyonyaji na sadly hakuna wa kuukemea.
      Moola's the motive

    13. #11
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,952
      Rep Power : 754
      Likes Received
      281
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By Abdulhalim
      it is partly tamaa ya
      sisi wapenda dezo na dishonesty ya hawa chongchung uchwara. it seems
      huku africa ndio wameona ni 'soko-mjinga' ambako hakuna regulation wala
      monitoring, ukimhonga ***** mmoja basi unavuna tu shamba la bibi-style.
      majuzi niliona waarabu fulani wanataka kucompete na hii blind bidding
      dhidi ya Skysports kuhusu rights za EPL baada ya mkataba wa sasa kuisha,
      Sky wenyewe matumbo joto maana maarab washaanza kuuza sports package as
      low as $ 10 in France. Sasa ktk hali kaa hiyo haingii akilini DSTV
      kutulipisha $ 80 kwa kuunga package zote hata kama huna interest nazo,
      huu ni unyonyaji na sadly hakuna wa kuukemea.
      dawa ni kuleta ushindani.

    14. #12
      Alwayz on top's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 317
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      chezea mchina wewe kwao kila kitu feki mpaka decoder so mchezo jaman inakuaje wale Ting nao wanahuduma nzur? au ndo bongo land ye2? hao star times kama nimestuka cjalipia.

    15. #13
      Mopalmo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 425
      Rep Power : 518
      Likes Received
      51
      Likes Given
      43

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      kuna watu wanachangia hapa kama watumwa,hivi unawezaje kusema mtu anapenda dezo wakati analipia,hata kama ni kidogo anastahili apate kile alichoahidiwa,ni wengi wamenunua vin'gamuzi ili waangalie euro,halafu star times wameaminika kwa kua wako ubia na TBC kumbe hamna chochote ni ubabaishaji tu,mi bado nafikiria ninunua kin'gamuzi gani maana bado sijaona,ina maana gani ununue king'amuzi halafu mechi za maana kama za euro hupati?

    16. #14
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,834
      Rep Power : 17962
      Likes Received
      1619
      Likes Given
      1562

      Default

      Quote By Mpigaji
      Mjinga huamini kila neno!
      Mkuu kama angekuwa ametangaza Nape habari hizi nicingeamini hata kidogo.. Bt hawa waliotangaza ni wafanya biashara ambao tuliingia nao mkataba kihalali na serikali kupitia TCRA wanalijua hilo..

    17. #15
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1218
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      Kazi kweli kweli

    18. #16
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,834
      Rep Power : 17962
      Likes Received
      1619
      Likes Given
      1562

      Default

      Quote By kookolikoo
      dawa ni kuleta ushindani.
      Mkuu ilikuja GTv hapa.. Gharama zao zilikuwa zaidi ya nusu ya gharama za DSTV.. Bahati mbaya ikawa mhanga wa anguko la uchumi.. Ninachokiona ni ushirikiano mchafu kati DSTV (multchoice) na viongozi wetu hapa.. Haingii akilini TBC kushindwa kuonyesha mashindano makubwa wakati television za nchi nyingine zinarusha matangazo..

    19. #17
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,964
      Rep Power : 2370
      Likes Received
      962
      Likes Given
      172

      Default

      Hehehe... makuburu siku zote watakuwa makaburu

    20. #18
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,834
      Rep Power : 17962
      Likes Received
      1619
      Likes Given
      1562

      Default

      Quote By Mopalmo
      kuna watu wanachangia hapa kama watumwa,hivi unawezaje kusema mtu anapenda dezo wakati analipia,hata kama ni kidogo anastahili apate kile alichoahidiwa,ni wengi wamenunua vin'gamuzi ili waangalie euro,halafu star times wameaminika kwa kua wako ubia na TBC kumbe hamna chochote ni ubabaishaji tu,mi bado nafikiria ninunua kin'gamuzi gani maana bado sijaona,ina maana gani ununue king'amuzi halafu mechi za maana kama za euro hupati?
      Halafu kinachouma Mkuu nimepiga namba zao za customer care wamenisubirisha mpaka cimu ikakata.. Kuja kuangalia salio limeisha.. Yaani salio la shs elfu 4 na ushee limeisha kwa kuwapigia wao.. Huu ni wizi wa saa sita mchana.. May their souls rest in hell wakifa.. Damn dem..

    21. #19
      Mawenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 713
      Rep Power : 582
      Likes Received
      144
      Likes Given
      817

      Default Re: Star Times na utapeli/uongo wa kushindwa kuonyesha fainali Euro 2012..

      What is UBC, pls????

    22. #20
      M-bongotz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Location : Kwa Mtogole
      Posts : 1,522
      Rep Power : 781
      Likes Received
      245
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Mawenzi
      What is UBC, pls????
      UBC ni TBC ya Uganda

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...