Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtoto anusulika kuliwa na Simba bahari zoo Dar es Salaam

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 64
    1. #1
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default Mtoto anusulika kuliwa na Simba bahari zoo Dar es Salaam

      Habari wakuu,
      leo nimeshuhidia tukio la kutisha na kusikitisha ambapo mtoto mwenye umri upatao miaka sita hivi amedakwa na simba wakati akiwa zoo.

      inaonekana mtoto huyo alipenya kwenye fensi ndogo na kujikuta akiwa karibu kabisa na fensi kubwa yenye matundu makubwa na hatimaye kudakwa. kilichofuata hapo ni sisi kuanza kuwashambulia simba hao kwa mawe na hatimaye walimuachia mtoto huyo huku uso ukiwa umejaa damu na nyama za mapaja zikiwa zinaning'inia.

      SOURCE: mimi mwenyewe, ninaishi karibu kabisa na eneo hilo.

      Simba hao hapo pichani ndio waliotaka kukatisha maisha ya kiumbe huyo, sikuweza kupata picha ya tukio hilo kutokana na mshituko niliokuwa nao (lakini picha hii imepigwa mara baada ya tukio). Mama mtoto alizimia kwa muda, mtoto amechukuliwa kupelekwa hospitali.
      Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name:	simba.JPG 
Views:	0 
Size:	97.4 KB 
ID:	55878  
      Mahmood and Ngambo Ngali like this.
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION


    2. #2
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,365
      Rep Power : 5155
      Likes Received
      3336
      Likes Given
      2738

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Mkuu unafanya promo ya hiyo zoo au? Mbona picha ya huyo mtoto hakuna wakati umeshuhudia tukio zima?
      MziziMkavu likes this.

    3. #3
      mboghambi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 368
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      hivi huyo amepenya wapi hapo?

    4. #4
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,861
      Rep Power : 23488
      Likes Received
      1525
      Likes Given
      638

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Ungetupia na picha ya mtoto ingekuwa poa sana!

      Na ulivyomtazama mtoto kwa haraka haraka atapona?

    5. #5
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By King Kong III View Post
      Mkuu unafanya promo ya hiyo zoo au? Mbona picha ya huyo mtoto hakuna wakati umeshuhudia tukio zima?
      King Kong hata ningefanya promo isingekuwa kwa mtindo huu, muda ambao ningetumia kupiga picha ndio niliotumia kumuokoa mtoto huyo nikiwa na watu wengine kama wawili au watatu.
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION


    6. #6
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By LiverpoolFC View Post
      Ungetupia na picha ya mtoto ingekuwa poa sana!

      Na ulivyomtazama mtoto kwa haraka haraka atapona?

      Mtoto ameumia zaidi mapaja (kama nilivyosema nyama zilikuwa zinaning'inia na usoni kuna damu nyingi maana walimshika uso kwa hiyo kuna michubuko ya kucha za simba usoni kwake. lakini naona atapona.
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION

    7. #7
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 4,094
      Rep Power : 7083
      Likes Received
      2232
      Likes Given
      1700

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Kuna haja ya watu kupata elimu ya namna ya kutembelea hizo Zoo, sasa huyo mama alikuwa mjinga kiasi gani hata asimwangalie mtoto wake anafanya nini? NIngekuwepo ningemkata vibao mamake wa huyo mtoto.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    8. #8
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By mboghambi View Post
      hivi huyo amepenya wapi hapo?
      Mtoto alikuwa kwa nje ya fensi unayoiona pichani simba walikuwa wakijaribu kumvuta ndani, na kwa kweli tumefanya kazi ya ziada mpaka mtoto huyo kuachiwa maana pamoja na kutumia mawe mawe mazito kuwapiga simba hao ilichukuwa muda kidogo mpka kumuachia mtoto huyo.
      Mahmood likes this.
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION

    9. #9
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,025
      Rep Power : 643
      Likes Received
      233
      Likes Given
      1273

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Nina wasiwasi na wewe kutaka hiyo Zoo isitembelewe na watu waogope kupeleka watoto wao! tuoneshe picha maana umeshamaliza kupigana na Simba, vinginevo nitakuona wewe ni mzushi!

    10. #10
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,310
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      433

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By mboghambi View Post
      hivi huyo amepenya wapi hapo?

      mkuu hayo matundu yanatosha kupita mtoto
      I'm Naturaly Evasive..

    11. #11
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,052
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      222
      Likes Given
      761

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Hao simba hawana hata damu!!!! Du!!! Anyway PICHA ILIPIGWA KABLA. YA TUKIO

    12. #12
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Lukansola,

      Anusurika sio "anusulika"
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    13. #13
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,751
      Rep Power : 3269
      Likes Received
      992
      Likes Given
      785

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Hao simba wenyewe wanaonekana wana njaa kwelikweli. Huyo mwenye zoo anawapatia chakula cha kutosha kweli!
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    14. #14
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,861
      Rep Power : 23488
      Likes Received
      1525
      Likes Given
      638

      Default

      Quote By Lukansola View Post
      Mtoto ameumia zaidi mapaja (kama nilivyosema nyama zilikuwa zinaning'inia na usoni kuna damu nyingi maana walimshika uso kwa hiyo kuna michubuko ya kucha za simba usoni kwake. lakini naona atapona.


      Umesomeka Kamanda! Ila ungeweka picha ya mtoto ingeboresha thread hii.

    15. #15
      chakarikamkopo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 370
      Likes Received
      31
      Likes Given
      22

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Lukansola,
      Asante kwa taarifa, pole kwa kushuhudia tukio la kusikitisha, asante kwa kuokoa maisha ya mtoto. Wanaotaka picha ni maajenti wa ibilisi walitaka ikutokee kama ile ya Mohamed Amin? wakati ule Ethiopia
      Shakazulu likes this.

    16. #16
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default

      Quote By mkomatembo View Post
      Nina wasiwasi na wewe kutaka hiyo Zoo isitembelewe na watu waogope kupeleka watoto wao! tuoneshe picha maana umeshamaliza kupigana na Simba, vinginevo nitakuona wewe ni mzushi!
      that is the news babaa, you can either take it or f**k it. kwa hiyo ningeacha kumuokoa mtoto ili kukuletea picha wewe?
      Shakazulu and Mahmood like this.

    17. #17
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default

      Quote By Mahesabu View Post
      Hao simba hawana hata damu!!!! Du!!! Anyway PICHA ILIPIGWA KABLA. YA TUKIO
      picha imepigwa mara baada ya tukio.

    18. #18
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default

      Quote By Edson View Post
      mkuu hayo matundu yanatosha kupita mtoto
      mtoto alisogea karibu kiasi cha simba kuweza kumdaka kupitia matundu hayo, mtoto alikuwa nje simba ndani.

    19. #19
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      dah pole yake huyo mtoto..mimi nachukulia kama bahati mbaya tuu..

    20. #20
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,336
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      755
      Likes Given
      1005

      Default

      Quote By chakarikamkopo View Post
      Lukansola,
      Asante kwa taarifa, pole kwa kushuhudia tukio la kusikitisha, asante kwa kuokoa maisha ya mtoto. Wanaotaka picha ni maajenti wa ibilisi walitaka ikutokee kama ile ya Mohamed Amin? wakati ule Ethiopia
      asante chakarikamkopo, kweli hii ni contradiction, (when does the news become news)

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...