Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtoto anusulika kuliwa na Simba bahari zoo Dar es Salaam

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 64
    1. #1
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default Mtoto anusulika kuliwa na Simba bahari zoo Dar es Salaam

      Habari wakuu,
      leo nimeshuhidia tukio la kutisha na kusikitisha ambapo mtoto mwenye umri upatao miaka sita hivi amedakwa na simba wakati akiwa zoo.

      inaonekana mtoto huyo alipenya kwenye fensi ndogo na kujikuta akiwa karibu kabisa na fensi kubwa yenye matundu makubwa na hatimaye kudakwa. kilichofuata hapo ni sisi kuanza kuwashambulia simba hao kwa mawe na hatimaye walimuachia mtoto huyo huku uso ukiwa umejaa damu na nyama za mapaja zikiwa zinaning'inia.

      SOURCE: mimi mwenyewe, ninaishi karibu kabisa na eneo hilo.

      Simba hao hapo pichani ndio waliotaka kukatisha maisha ya kiumbe huyo, sikuweza kupata picha ya tukio hilo kutokana na mshituko niliokuwa nao (lakini picha hii imepigwa mara baada ya tukio). Mama mtoto alizimia kwa muda, mtoto amechukuliwa kupelekwa hospitali.
      Mahmood and Ngambo Ngali like this.
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      poleni sana,niliwahi kutembelea kule dah simba wakikuona wanakumeze mate yaani wanatamani kama udumbukie ndani mwao wafutulu

    4. #42
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By kijana wa leo
      Anafikiri wana JF wajinga ameshindwaje kupiga picha hata sehemu mtoto alipokua anavutwa.kaangalia taarifa ya habari anajidai alikuwepo.!
      kijana wa leo, sijawahi kufikiri wana jf ni wajinga maana na mimi ni mmoja wao ila nimegundua wewe ni mjinga tena sana tu.
      Last edited by Lukansola; 11th June 2012 at 09:48.

    5. #43
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By HYGEIA
      Jamani! Picha ya mtoto aliyeraruliwa na simba ina raha gani kuwekwa hapa? Hata hivyo mleta thread kajieleza vya kutosha kwamba muda aliokuwa nao aliutumia kumwokoa mtoto na si kupiga picha. Hongera Lukansola kwa kumwokoa mtoto badala ya kupiga picha.
      asante sana, kwa ufafanuzi pia.

    6. #44
      Mahmood's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2008
      Posts : 4,413
      Rep Power : 1466
      Likes Received
      280
      Likes Given
      625

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By Edson
      mkuu hayo matundu yanatosha kupita mtoto
      Inaweza kuwa matundu hayo hayatoshi kupita mtoto lakini simba walidhania kuwa mtoto huyo anaweza kupenya katika matundu hayo au walitaka kumla hivyo hivyo (vipande vya nyama yake vinaweza kupenya katika tundu hilo).
      Last edited by Mahmood; 11th June 2012 at 05:10.

    7. #45
      Mahmood's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2008
      Posts : 4,413
      Rep Power : 1466
      Likes Received
      280
      Likes Given
      625

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By Ruhazwe JR
      poleni sana,niliwahi kutembelea kule dah simba wakikuona wanakumeze mate yaani wanatamani kama udumbukie ndani mwao wafutulu
      Sio wafutulu, wafuturu.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,569
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      530
      Likes Given
      398

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By HYGEIA
      Jamani! Picha ya mtoto aliyeraruliwa na simba ina raha gani kuwekwa hapa? Hata hivyo mleta thread kajieleza vya kutosha kwamba muda aliokuwa nao aliutumia kumwokoa mtoto na si kupiga picha. Hongera Lukansola kwa kumwokoa mtoto badala ya kupiga picha.
      Kuna mpiga picha mmoja alipiga picha ya mtoto huko Ethiopia akitaka kuliwa na tai kwa alishindwa kukimbia shauri ya njaa.

      Dunia ilimlaumu sana huyo mpiga picha mpaka mpiga picha akajiua kwa stress.

      Ulifanya kilichobora under the circumstances. Hongera Lukansola.
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    10. #47
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Mahmood
      Inaweza kuwa matundu hayo hayatoshi kupita mtoto lakini simba walidhania kuwa mtoto huyo anaweza kupenya katika matundu hayo au walitaka kumla hivyo hivyo (vipande vya nyama yake vinaweza kupenya katika tundu hilo).

      thats correct great thinker, wengine ni wavivu wa kufikiri, au kila kitu wanachukulia mzaha.
      Mahmood likes this.

    11. #48
      lumimwandelile's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 78
      Rep Power : 432
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By King Kong III
      Mkuu unafanya promo ya hiyo zoo au? Mbona picha ya huyo mtoto hakuna wakati umeshuhudia tukio zima?
      tukio ni la kweli na lilioneshwa na ITV kwenye taarifa ya habari, acha ubishi
      Mahmood likes this.

    12. #49
      bigbumper's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 56
      Rep Power : 422
      Likes Received
      7
      Likes Given
      1

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Duh hi ni hatar last week nilikua TEGETA PALE JIRANI KUNA ZOO WALE SIMBA WANAVO UNGURUMA KAMA MUOGA HULALI MANA UNAWEZA HISI WAPO DIRISHANI

    13. #50
      M-bongotz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Location : Kwa Mtogole
      Posts : 1,521
      Rep Power : 780
      Likes Received
      245
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Lukansola
      King Kong hata ningefanya promo isingekuwa kwa mtindo huu, muda ambao ningetumia kupiga picha ndio niliotumia kumuokoa mtoto huyo nikiwa na watu wengine kama wawili au watatu.
      Hongera shujaa.."Lukansola ampiga simba"

    14. #51
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Ngambo Ngali
      Kuna mpiga picha mmoja alipiga picha ya mtoto huko Ethiopia akitaka kuliwa na tai kwa alishindwa kukimbia shauri ya njaa.

      Dunia ilimlaumu sana huyo mpiga picha mpaka mpiga picha akajiua kwa stress.

      Ulifanya kilichobora under the circumstances. Hongera Lukansola.
      nadhani hata wengine wangenishangaa, maana tulikuwa kama watatu tu hivi.

    15. #52
      Mfuatiliaji's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th June 2008
      Posts : 135
      Rep Power : 586
      Likes Received
      15
      Likes Given
      6

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      hii habari ni kweli jana nimeona kwenye TV wamemuonyesha mtoto .ila kilicho niuzi ni mwenye zoo kutoa lawama kwa mzazi wa mtoto wakati wao wanajukumu la kutoa ulinzi inamana angetokea kichaa na kufungua mlango simba au chui watoke na kukimbilie mtaani lawama ni za nani.

      inabidi hio zoo ingaramie gharama zote za mtoto mpaka apone na waombe radhi kwa wateja wao . mtoto amekamatwa na simba amesaidiwa na watazamaji wengine wala sio asikari wao walio pale. au mtaalamu wa wanyama pori.

      pamoja na mzazi kuwa responsible na mtoto wake ila ile zoo inatakiwa kuwa responsible na wanyama wake wasiwadhuru wateja
      Mahmood likes this.

    16. #53
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By Mfuatiliaji
      hii habari ni kweli jana nimeona kwenye TV wamemuonyesha mtoto .ila kilicho niuzi ni mwenye zoo kutoa lawama kwa mzazi wa mtoto wakati wao wanajukumu la kutoa ulinzi inamana angetokea kichaa na kufungua mlango simba au chui watoke na kukimbilie mtaani lawama ni za nani.

      inabidi hio zoo ingaramie gharama zote za mtoto mpaka apone na waombe radhi kwa wateja wao . mtoto amekamatwa na simba amesaidiwa na watazamaji wengine wala sio asikari wao walio pale. au mtaalamu wa wanyama pori.

      pamoja na mzazi kuwa responsible na mtoto wake ila ile zoo inatakiwa kuwa responsible na wanyama wake wasiwadhuru wateja
      pale zoo kuna msichana mmoja ambaye ndie kama mwangalizi, siku hiyo kazi yake ilikuwa ni kupiga mayowe na kukimbia ovyo kama mwehu.

    17. #54
      sambestman's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 380
      Likes Received
      16
      Likes Given
      2

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      hii ni kweli kabisa mi niliiona kwenye taarifa ya habari jumamosi mtoto alijeruhiwa sana

    18. #55
      sakapal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 1,161
      Rep Power : 3644
      Likes Received
      763
      Likes Given
      2321

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      niliiona hii itv kweli katoto kalikuwa na majereha usoni tumboni na miguuni kwene majapa inasikitisha
      mama wa mtoto alijieleza kwamba alienda chooni na kumuacha mtoto reception baada ya kulipia matokeo yake katoto kakaanza survey alone na maza kutoka maliwatoni anakutana na simba wanajisevia mishkaki ya mwanae akazimahapohapo kuamka wote wako hosp na mtoto anaendelea fresh tuu. Ufoo saro aliripoti hii

    19. #56
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,252
      Rep Power : 2622
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      834

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Hili tukio limeshathibitishwa. Kwa waliokuwa wanadai picha, kweli ni maadili? Mtu analiwa na mnyama na wewe unapiga picha? Majuzi nilishuhudia ajali mbele yangu na jamaa kamwagwa ubongo wote. Nilitaka kuchukua picha nikasita
      Beware of a sucker punch

    20. ADK
      #57
      ADK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 495
      Rep Power : 470
      Likes Received
      36
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By king kong iii
      mkuu unafanya promo ya hiyo zoo au? Mbona picha ya huyo mtoto hakuna wakati umeshuhudia tukio zima?
      soma tread kwa umakini na uache kukurupuka

    21. #58
      Mahmood's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2008
      Posts : 4,413
      Rep Power : 1466
      Likes Received
      280
      Likes Given
      625

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By Mfuatiliaji
      hii habari ni kweli jana nimeona kwenye TV wamemuonyesha mtoto .ila kilicho niuzi ni mwenye zoo kutoa lawama kwa mzazi wa mtoto wakati wao wanajukumu la kutoa ulinzi inamana angetokea kichaa na kufungua mlango simba au chui watoke na kukimbilie mtaani lawama ni za nani.

      inabidi hio zoo ingaramie gharama zote za mtoto mpaka apone na waombe radhi kwa wateja wao . mtoto amekamatwa na simba amesaidiwa na watazamaji wengine wala sio asikari wao walio pale. au mtaalamu wa wanyama pori.

      pamoja na mzazi kuwa responsible na mtoto wake ila ile zoo inatakiwa kuwa responsible na wanyama wake wasiwadhuru wateja
      Sawa kabisa Bro. Mwenye Zoo inabidi achukuliwe hatua (kama anashindwa kuwaangalia wanyama hao bora awaachie huru).
      Sema ukweli hata kama ni chungu.

    22. #59
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Lukansola
      pale zoo kuna msichana mmoja ambaye ndie kama mwangalizi, siku hiyo kazi yake ilikuwa ni kupiga mayowe na kukimbia ovyo kama mwehu.
      utakuta kasichana kenyewe kana afya mgogoro, na Silaha kaliyoshika mkononi ni kafimbo,halafu wanasema wanamlinzi wa simba. Pumbaf kabisa hao

    23. #60
      gmosha48's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 805
      Rep Power : 597
      Likes Received
      245
      Likes Given
      474

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By Lukansola
      mtoto alisogea karibu kiasi cha simba kuweza kumdaka kupitia matundu hayo, mtoto alikuwa nje simba ndani.

      Yaani mlikuwa fasta sana. Yale mawe makubwa mliyokuwa mmewatupia simba iliwamwachie mtoto mbona hayaonekani? Au mliyaondoa ili yasiharibu picha?
      Ngo'ng'o

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...