Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtoto anusulika kuliwa na Simba bahari zoo Dar es Salaam

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 64
    1. #1
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default Mtoto anusulika kuliwa na Simba bahari zoo Dar es Salaam

      Habari wakuu,
      leo nimeshuhidia tukio la kutisha na kusikitisha ambapo mtoto mwenye umri upatao miaka sita hivi amedakwa na simba wakati akiwa zoo.

      inaonekana mtoto huyo alipenya kwenye fensi ndogo na kujikuta akiwa karibu kabisa na fensi kubwa yenye matundu makubwa na hatimaye kudakwa. kilichofuata hapo ni sisi kuanza kuwashambulia simba hao kwa mawe na hatimaye walimuachia mtoto huyo huku uso ukiwa umejaa damu na nyama za mapaja zikiwa zinaning'inia.

      SOURCE: mimi mwenyewe, ninaishi karibu kabisa na eneo hilo.

      Simba hao hapo pichani ndio waliotaka kukatisha maisha ya kiumbe huyo, sikuweza kupata picha ya tukio hilo kutokana na mshituko niliokuwa nao (lakini picha hii imepigwa mara baada ya tukio). Mama mtoto alizimia kwa muda, mtoto amechukuliwa kupelekwa hospitali.
      Mahmood and Ngambo Ngali like this.
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By zomba
      Lukansola,

      Anusurika sio "anusulika"
      asante zomba
      zomba likes this.

    4. #22
      Mchwechwele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 1,116
      Rep Power : 647
      Likes Received
      316
      Likes Given
      82

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Uzembe wa mzazi alikuwa wapi mpaka mtoto apenye kwenye fensi?
      Shakazulu likes this.
      Maskini hana Mpambe

    5. #23
      TROJUN's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 13
      Rep Power : 382
      Likes Received
      2
      Likes Given
      6

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      kwan mkuu mbona kajieleza vizur kuwa kutokana na mishe mishe zilizokuwapo hakufanikiwa kupata picture.......jamaa hana professional ya uandish wa habar coz angekuwa nayo inamaana angeacha pia mawe simba na angekuwa anakomaa tu na camera yake na hatimaye pengine jiwe lake ndo limemwwondoa simba bila yeye pengine mtoto angeliwa kabisa!!!
      Mahmood and Lukansola like this.

    6. #24
      silent lion's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 402
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mkomatembo
      Nina wasiwasi na wewe kutaka hiyo Zoo isitembelewe na watu waogope kupeleka watoto wao! tuoneshe picha maana umeshamaliza kupigana na Simba, vinginevo nitakuona wewe ni mzushi!
      Mkuu hii habari imethibitishwa na ITV kwenye kipindi cha Jiji Letu cha saa kumi na mbili
      Mahmood and Lukansola like this.

    7. #25
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,594
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      1378
      Likes Given
      1527

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      waliokua na mtoto wanatakiwa kutandikwa bakosa
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    8. Study Abroad

    9. #26
      Bosco Ntaganda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : DRC- MSITUNI
      Posts : 489
      Rep Power : 466
      Likes Received
      64
      Likes Given
      63

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Kaka hongera sana kwa kupigana na simba
      Mahmood and Lukansola like this.

    10. #27
      Rebel volcano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 404
      Rep Power : 431
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      naona kiza tu,habari hizi bila kithibitisho ni bila bila.

    11. #28
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,087
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3980
      Likes Given
      3246

      Default

      Quote By Lukansola
      Habari wakuu,
      leo nimeshuhidia tukio la kutisha na kusikitisha ambapo mtoto mwenye umri upatao miaka sita hivi amedakwa na simba wakati akiwa zoo.


      inaonekana mtoto huyo alipenya kwenye fensi ndogo na kujikuta akiwa karibu kabisa na fensi kubwa yenye matundu makubwa na hatimaye kudakwa. kilichofuata hapo ni sisi kuanza kuwashambulia simba hao kwa mawe na hatimaye walimuachia mtoto huyo huku uso ukiwa umejaa damu na nyama za mapaja zikiwa zinaning'inia.

      SOURCE: mimi mwenyewe, ninaishi karibu kabisa na eneo hilo.

      Simba hao hapo pichani ndio waliotaka kukatisha maisha ya kiumbe huyo, sikuweza kupata picha ya tukio hilo kutokana na mshituko niliokuwa nao (lakini picha hii imepigwa mara baada ya tukio). Mama mtoto alizimia kwa muda, mtoto amechukuliwa kupelekwa hospitali.
      Good job for saving a Life,God bless you.
      Mahmood and Lukansola like this.

    12. #29
      Nyati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2009
      Posts : 633
      Rep Power : 646
      Likes Received
      141
      Likes Given
      48

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By Janjaweed
      waliokua na mtoto wanatakiwa kutandikwa bakosa
      Acha kabisa mzee mtoto anaweza kukutoka ndani ya sekunde ukakuta mambo mengi hata hivyo sifagilii uzembe wowote ule
      I am not the same person today as I was 10, 20, or 30 years ago, for I have welcomed life's changes on my heart, face, and mind.

    13. #30
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default

      Quote By kichuki
      Kaka hongera sana kwa kupigana na simba
      teh he he he... sikupigana na simba, nimempiga simba mawe.
      asante lakini teh he he...
      Mahmood likes this.

    14. #31
      Anheuser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 1,295
      Rep Power : 672
      Likes Received
      335
      Likes Given
      135

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By Lukolo
      sasa huyo mama alikuwa mjinga kiasi gani hata asimwangalie mtoto wake anafanya nini? NIngekuwepo ningemkata vibao mamake wa huyo mtoto.
      Tatizo sio Mama mtoto peke yake. Haiwezekani viewers wawe na access mpaka kugusa hiyo fencing ya cage. Hiyo zoo/hoteli tayari ina safety issues. Kwanza wanashindwa hata kuwatunza hao wanyama, Simba wana starvishwa mpaka vimekuwa kama vi mbwa koko vya uswahilini vinavyojitegemea? Simba gani hao wamedaka mtu halafu eti wakapigwa jiwe na mleta mada wakamtema mtoto!? Give me a break. Simba kakung'ang'ania umpige jiwe akuchunie, kawa mbwa?


    15. #32
      HYGEIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Location : Moshi
      Posts : 1,436
      Rep Power : 4493
      Likes Received
      632
      Likes Given
      643

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By LiverpoolFC
      Umesomeka Kamanda! Ila ungeweka picha ya mtoto ingeboresha thread hii.
      Jamani! Picha ya mtoto aliyeraruliwa na simba ina raha gani kuwekwa hapa? Hata hivyo mleta thread kajieleza vya kutosha kwamba muda aliokuwa nao aliutumia kumwokoa mtoto na si kupiga picha. Hongera Lukansola kwa kumwokoa mtoto badala ya kupiga picha.
      Mahmood and Lukansola like this.
      MGENI RASMI: CCM OYEEEEEE!
      WANANCHI: HAITOKIIIII. HAITOKI!
      (Kwa Hisani ya Wanamtwara)

    16. #33
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,800
      Rep Power : 11185
      Likes Received
      6989
      Likes Given
      5169

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Uli mudesi bee
      Quote By Lukansola
      Habari wakuu,
      leo nimeshuhidia tukio la kutisha na kusikitisha ambapo mtoto mwenye umri upatao miaka sita hivi amedakwa na simba wakati akiwa zoo.

      inaonekana mtoto huyo alipenya kwenye fensi ndogo na kujikuta akiwa karibu kabisa na fensi kubwa yenye matundu makubwa na hatimaye kudakwa. kilichofuata hapo ni sisi kuanza kuwashambulia simba hao kwa mawe na hatimaye walimuachia mtoto huyo huku uso ukiwa umejaa damu na nyama za mapaja zikiwa zinaning'inia.

      SOURCE: mimi mwenyewe, ninaishi karibu kabisa na eneo hilo.

      Simba hao hapo pichani ndio waliotaka kukatisha maisha ya kiumbe huyo, sikuweza kupata picha ya tukio hilo kutokana na mshituko niliokuwa nao (lakini picha hii imepigwa mara baada ya tukio). Mama mtoto alizimia kwa muda, mtoto amechukuliwa kupelekwa hospitali.
      Lukansola likes this.
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    17. #34
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,569
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      530
      Likes Given
      398

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Nimeona Jana kwenye TV Kama kuna Mtu anabisha shauri lake. Kuna vitu vingi vya muhimu tunapuuzia, unaenda na mtoto zoo halafu anaachwa unattended. Na zoo nayo kwa Nini eneo ambalo kuna simba wanaliacha bila mfanyakazi wao, kulinda both simba na binadamu wazembe Kama huyo mama.

      Kwa Nini simba aliweza kumyakua mtoto aliyekuwa hajaingia kwenye cage?

      Tunachukulia kila kitu kirahihirahisi tu sisi ni watu wa namna gani jamani.
      Mahmood and Lukansola like this.
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    18. #35
      kasimba123's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2010
      Posts : 1,055
      Rep Power : 673
      Likes Received
      152
      Likes Given
      56

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Hakuna kitu ninachochukia kama hili neno bahati au angekufa tungesema Mungu kampenda zaidi. Huu ni uzembe wa zoo na huyo mama. Ingekuwa nchi za wenzetu mwenye zoo maisha yangekuwa magumu kwake kwa kupelekwa mahakani na kulipa fidia

    19. #36
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 597
      Rep Power : 479
      Likes Received
      144
      Likes Given
      288

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      ndugu watoto wa siku hizi hawatabiriki kirahisi,dakika moja tu ,inamtosha kukutoroka!watoto wa siku hizi wadadisi sana.
      Quote By Lukolo
      Kuna haja ya watu kupata elimu ya namna ya kutembelea hizo Zoo, sasa huyo mama alikuwa mjinga kiasi gani hata asimwangalie mtoto wake anafanya nini? NIngekuwepo ningemkata vibao mamake wa huyo mtoto.

    20. #37
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 597
      Rep Power : 479
      Likes Received
      144
      Likes Given
      288

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      pole sana kwa mtoto aliyejeruhiwa,na pole sana kwa mama mtoto,tunamuombea kwa mungu mtoto apone haraka.na pia hongereni wale wote mlioshiriki kuokoa maisha ya huyo mtoto!mtoto wa mwenzio ni wako!
      Mahmood and Lukansola like this.

    21. #38
      kijana wa leo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th November 2011
      Posts : 14
      Rep Power : 379
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Quote By Mahesabu
      Hao simba hawana hata damu!!!! Du!!! Anyway PICHA ILIPIGWA KABLA. YA TUKIO
      Anafikiri wana JF wajinga ameshindwaje kupiga picha hata sehemu mtoto alipokua anavutwa.kaangalia taarifa ya habari anajidai alikuwepo.!

    22. #39
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,885
      Rep Power : 5055
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      2627

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Yap niliona jana hii habari ITV ikitangazwa na ufo saroo,uzembe wa mama na mwenye zoo unahusika hapo!! Sehemu kama hyo lazima kuwe na supervision ya kutosha.
      Mahmood and Lukansola like this.

    23. #40
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,188
      Rep Power : 12562
      Likes Received
      5752
      Likes Given
      748

      Default Re: mtoto anusulika kuliwa na simba bahari zoo dar es salaam

      Nimeona hii ITV.

    24. Miaka 50
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...