Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Nimesubiri miaka 4, walituzuia kujenga nyumba kwenye maeneo/viwanja vyetu ati kuna mradi wa kuiendeleza Kigamboni . Wamepita na kuchukua majina kwa ajili ya tathmini lkn majina yetu wengine hayakutoka. Wakatuambia tupeleke majina na picha lkn bado hakuna kilichofanyika. Ukizingatia si wote ni tunaishi Dar na utendaji mbovu wa watendaji serikalini, kufuatilia kila wakati inakuwa ngumu sana.
      Sasa najitoa muhanga, nimeamua kujenga vivyo hivyo, LIWALO NA LIWE, TUTAJUANA SIKU WAKIJA KUTUBOMOLEA NYUMBA ZETU.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3141
      Likes Given
      4053

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      kigamboni wapi huko kibada ,mjimwema .gezaulole,kibaoni ,ungindoni,mikwambe,where esle we we ni wapi

    4. #3
      oyaoya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 194
      Rep Power : 402
      Likes Received
      32
      Likes Given
      15

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Hela hakuna man, mradi bado! Ila Karibu gizani, umeme ni imbombo inkafu k'mboni, hv nnavoongea washauchkua!

    5. #4
      REMSA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 1,490
      Rep Power : 862
      Likes Received
      465
      Likes Given
      757

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Ndugu yangu naomba nikushauri kuwa jenga tena kwa bidii zote,kwani mradi wa ujenzi
      wa mji mpya Kigamboni umekufa,Lakini tatizo nani wa kumfunga paka kengele kutangaza
      hilo ndiyo hakuna,huko wizarani wanahaha wafanye nini ,kwani waliwasimamisha
      wananchi kuendeleza maeneo yao bila kuwalipa na bila idhini yao,sasa mradi unapokufa
      na je wakishtakiwa na wananchi inakuwaje!Hali halisi ndiyo hiyo kwa taarifa za ndani ya
      wizara ya ardhi,hivyo wananchi wa Kigamboni mkae tayari juu ya hilo.

    6. #5
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,731
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      elimu yako ni level gani?
      Janjaweed likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    7. Miaka 50

    8. #6
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,205
      Rep Power : 19214
      Likes Received
      8161
      Likes Given
      26635

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Quote By Ibrah
      Nimesubiri miaka 4, walituzuia kujenga nyumba kwenye maeneo/viwanja vyetu ati kuna mradi wa kuiendeleza Kigamboni . Wamepita na kuchukua majina kwa ajili ya tathmini lkn majina yetu wengine hayakutoka. Wakatuambia tupeleke majina na picha lkn bado hakuna kilichofanyika. Ukizingatia si wote ni tunaishi Dar na utendaji mbovu wa watendaji serikalini, kufuatilia kila wakati inakuwa ngumu sana.
      Sasa najitoa muhanga, nimeamua kujenga vivyo hivyo, LIWALO NA LIWE, TUTAJUANA SIKU WAKIJA KUTUBOMOLEA NYUMBA ZETU.
      Mafisadi watakubolea nyumba yako unayotaka kujenga wewe ngojea mpaka Uchaguzi mkuu ujao wa Mwaka 2015 uishe salama ndio unaweza kujenga usijenge sasa hivi mkuu mimi pia nina kiwanja changu huko sijajenga naogopa Mafisadi wasije kubowa kisha usilipwe chochote kile mkuu kuwa makini sana na hii Serikali............. Ibrah
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    9. #7
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Tibaijuka amesema mradi wa mji wa KG unaanza mara moja..
      source: Mkutano wa CCM Jangwani leo

    10. #8
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By nivea
      kigamboni wapi huko kibada ,mjimwema .gezaulole,kibaoni ,ungindoni,mikwambe,where esle we we ni wapi
      Mjimwema/ Salanga, Mkuu. yaani barabara ndo imenitenganisha na ule mradi wa viwanja elfu ishirini. Kwa hiyo ni jirani kabisa na viwanja vilivyopimwa, wakati wakipima viwanja walimega sehemu ya shamba langu na kupitisha barabara na wakanilipa vizuri tu. Nataka jenga sehemu iliyobakia.

    11. #9
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      elimu yako ni level gani?
      Elimu yangu inahusika vipi hapo Mtakatifu Ivuga?
      Anyway, nina elimu ndogo tu ya degree moja tu degree nyingine ya elimu ya maisha.
      Saint Ivuga likes this.

    12. #10
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5063
      Likes Received
      3200
      Likes Given
      2661

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Jenga tu mkuu usiogope,mradi ushakufa si umeona wanazidi kuipima kigamboni kwa makazi,we jenga tu mie nipo mikwambe na changanyikeni pia nina kiwanja kibada na toangoma vyote vinne vya kupimwa!!!

    13. #11
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5063
      Likes Received
      3200
      Likes Given
      2661

      Default

      Quote By nivea
      kigamboni wapi huko kibada ,mjimwema .gezaulole,kibaoni ,ungindoni,mikwambe,where esle we we ni wapi
      Ni PM nivea nahisi wewe ni jirani yangu!!!

    14. #12
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By MziziMkavu
      Mafisadi watakubolea nyumba yako unayotaka kujenga wewe ngojea mpaka Uchaguzi mkuu ujao wa Mwaka 2015 uishe salama ndio unaweza kujenga usijenge sasa hivi mkuu mimi pia nina kiwanja changu huko sijajenga naogopa Mafisadi wasije kubowa kisha usilipwe chochote kile mkuu kuwa makini sana na hii Serikali.............
      Nimeamua kujilipua Mkuu, nasikia hata benki sasa wanakopesha kwa wenye hati za viwanja Kigaomboni. Na bado watu wengi wameamua kujenga kwenye mashamba yao.

    15. #13
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 630
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Ni lazima kujenga kigamboni?, utabomolewa nyumba na sheria itakubana. Mahakama ndio utakapokimbilia na wao hawaangalii swala la kuchelewa au kuwahi utekelezaji wa mradi. Kitakachoangaliwa ni kama utaratibu ulifuatwa kukuzuia kujenga na kama ulifuata utaratibu wa sheria kujenga.

      Kama umejiridhisha hutavunja sheria, endelea. Vinginevyo, tutakuona unalia bara barani kama wazee wa Africa Mashariki au wale watu wa Kipawa.
      mansakankanmusa likes this.

    16. #14
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,181
      Rep Power : 667
      Likes Received
      305
      Likes Given
      167

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Hata hivyo viwanja vinavyouzwa na manispaa naogopa kununua
      mji wa bush,lazima tahadhari

    17. #15
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,731
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Quote By Ibrah
      Elimu yangu inahusika vipi hapo Mtakatifu Ivuga?
      Anyway, nina elimu ndogo tu ya degree moja tu degree nyingine ya elimu ya maisha.
      basi nakushauri utafute kiwanja sehemu nyingine.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    18. #16
      SIMBA WA TARANGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Location : Kapugi-Tukuyu
      Posts : 976
      Rep Power : 562
      Likes Received
      209
      Likes Given
      150

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      Maamuzi magumu, ALL THE BEST.

    19. #17
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      basi nakushauri utafute kiwanja sehemu nyingine.
      St. Ivuga, wanaotulazimnisha kutojenga ndio wanatakiwa watupatie viwanja vingine. Kama waliwapa viwanja wakazi wa Jangwani kwa dharura baada ya mafuriko, sisi wanatusubirisha miaka 4 kivipi?
      Huu mradi utawatokea puani CCM 2015, hata wachakachue kivipi itawagharimu tu, labda wawategee wana Kigamboni hadi uchaguzi wa 2015 ndio watukurupushe tena.

    20. #18
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By ndenga
      Tibaijuka amesema mradi wa mji wa KG unaanza mara moja..
      source: Mkutano wa CCM Jangwani leo
      Alikuwa akifanyia marketing CCM, hakujua kama kuna wengi kutoka Kigamboni ambao hawakufurahia hiyo kauli.
      Natamani Mbunge wa Kigamboni atake kauli ya Waziri Mkuu wakati wa kikao cha bajeti kuhusu mradi huu.

    21. #19
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,585
      Rep Power : 5620
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2288

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      wewe jenga tu, viwanja vyevyewe wakipima wanajigaia wenyewe, mfano hivi viwanja 1800 vya gezaulole si wangewapatia? Lakini utashangaa vyote wanapewa mawaziri na wachache watakaofanikiwa kuoenyeza kitu kidogo....

    22. #20
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Najitoa mhanga, najenga Kigamboni liwalo na liwe!

      uSIJENGE WANGU SUBIRI UPEPO CZ MWISHO WA CKU HASARA KWAKO..Dnt say i didnt warn u/ u werent warned.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...