Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 37 of 37
    1. #1
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,356
      Rep Power : 1062
      Likes Received
      590
      Likes Given
      43

      Default IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania,Nauliza Huyu Mama Vicky ambaye ni mfanyakazi wa wizara ya fedha tarehe 26 mwezi uliopita Alikodisha vijana na kumpiga na kumuua kijana aliejulikana kwa jina la ONESMO MYUKA awali alikuwa mtumishi wake wa kazi ndani,baada ya kuacha kazi kwake kama mwaka 1 na miezi 7 aliondoshwa bila kulipwa ujira wake.
      Tarehe 25 usiku alienda kudai fedha zake mbezi beach na ndipo huyu mama na Watu wake walimshambulia mpaka kifo na mpaka sasa hajakamatwa wala vijana wake aliowakodi.Na yeye kwa kupoteza ushaidi akachukua kisu na kujichuna chuna mkononi,Mbali ya hapo huyu mama Ni mlokole tena Shemasi wa Kanisa la PAG KINONDONI.
      Kuna watu hapa Tz wanaogopeka namna hii.
      IGP mnamwogopa Huyo Mama.
      Last edited by zubedayo_mchuzi; 9th June 2012 at 08:12.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,358
      Rep Power : 859
      Likes Received
      684
      Likes Given
      73

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By zubedayo_mchuzi
      ishu ilikuwa hivi kijana onesmo alikuwa akidai hela zake muda mrefu mpk mauti inamfika ilikuwa jioni baada ya kmaliza shughuli zake na kwenda kudai huo ujira wake...kwa huyo mama...alipofika ndipo alipoitiwa mwizi lakni hakuna jirani hata mmoja aliempiga kama mwizi baada ya kuonekana kulikuwa na watu spesho waliompa kipigo...huyo ana nyumba ya ghorofa...dogo alikmbia ghorofani na kujifungia lakini walibomoa na kumpiga mpk mauti na ukumbuke kuwa huyo kijana kafanya kazi kwa huyo mama muda mrefu so wanafahamiana...na huyo mama hana watoto wala mume....
      Zubedayo ebu funguka zaidi, enhee, kwa hiyo wakati huyu kijana anafanya kazi kwa huyu mama walikuwa wanaishi hapo kwenye hilo ghorofa wao wawili tu????? Kuna mengi yako nyuma ya pazia, labda kuuawa kwake kuna mengi nyuma yake, Zubedayo fafanua ......
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    4. #22
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,454
      Rep Power : 1126
      Likes Received
      639
      Likes Given
      829

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Ulivyojitolea inatosha watakuua bure hao hakuna Mlokole hapo njia fupi sasa peleka barua kwa IGP na DCI halafu kwa msisitizo nakala wape Said Mwema na ingine mpe Manumba hapo umemsaidua marehemu Onesmo sana

    5. #23
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,356
      Rep Power : 1062
      Likes Received
      590
      Likes Given
      43

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By paesulta
      Huy ndio yule dogo wa Makoka?Alikuwa akiuza duka la jumla la vinywaji huku Makoka.Tumepitishiwa mchango kijiweni kumchangia dogo asafirishwe akazikwe kwao.
      Kwani si nilisikia kuwa yule mama alikamatwa,au kaachiwa tena..!
      mama hajakamatwa wala hata kuhojiwa....

    6. #24
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,356
      Rep Power : 1062
      Likes Received
      590
      Likes Given
      43

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By August
      inaonekana ulikuwepo au ulipanga pamoja na marehemu kwenda sehemu hiyo la tukio, maana unataarifa nyingi za kumuhusu marehemu, aliyekwenda kudai chake , kwa mwajiri wake mwaka moja na miezi saba baada ya kudhulumiwa mishahara yake au mshahara wake. Sasa sijui alihusisha mamlaka yoyote katika kudai chake mfano mahakama ya kazi, au polisi ? au hata kuandika barua kwa mtuhumiwa kwamba uliponifukuza kazi hukunilipa mishahara yangu au mshahara wangu.
      Maana naona Polisi wanashindwa kuendelea vizuri na upelelezi wao kwa kukosa watu kama wewe.
      Wewe nenda tu pale kwa IGP ofisini kwake na vielelezo uone kama IGP ana muogopa huyo Afisa wa Serikali.
      Hao unasema wanakosa watu ni uongo..polisi wana wapelelezi wao..wamewasomesha...wanawalip a mishahara na posho zao...wao wana teknik za kipelelezi.Na taarifa wanayo...ila kwasabb mama ana mihela ndio mana hawamchukulii hatua kama wanao iba kuku,simu,baiskeli etc......
      kila kitu malipo hapa duniani.
      Mzee wao wanajua kazi zao....naona wewe upo hapa kutetea huu unyama wa huyo mama ndugu yako sasa wapelekee taarifa hao waliokutuma.
      OVER

    7. #25
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,356
      Rep Power : 1062
      Likes Received
      590
      Likes Given
      43

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By Mama Mdogo
      Zubedayo ebu funguka zaidi, enhee, kwa hiyo wakati huyu kijana anafanya kazi kwa huyu mama walikuwa wanaishi hapo kwenye hilo ghorofa wao wawili tu????? Kuna mengi yako nyuma ya pazia, labda kuuawa kwake kuna mengi nyuma yake, Zubedayo fafanua ......
      Mama mdogo kwa taarifa ndo hizo...walikuwa wanakaa wawili hayo mengine ya nyuma ya pazia mi sijui....ila isue ndo iko hivyo

    8. Miaka 50

    9. #26
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By zubedayo_mchuzi
      Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania,Nauliza Huyu Mama Vicky ambaye ni mfanyakazi wa wizara ya fedha tarehe 26 mwezi uliopita Alikodisha vijana na kumpiga na kumuua kijana aliejulikana kwa jina la ONESMO MYUKA awali alikuwa mtumishi wake wa kazi ndani,baada ya kuacha kazi kwake kama mwaka 1 na miezi 7 aliondoshwa bila kulipwa ujira wake.
      Tarehe 25 usiku alienda kudai fedha zake mbezi beach na ndipo huyu mama na Watu wake walimshambulia mpaka kifo na mpaka sasa hajakamatwa wala vijana wake aliowakodi.Na yeye kwa kupoteza ushaidi akachukua kisu na kujichuna chuna mkononi,Mbali ya hapo huyu mama Ni mlokole tena Shemasi wa Kanisa la PAG KINONDONI.
      Kuna watu hapa Tz wanaogopeka namna hii.
      IGP mnamwogopa Huyo Mama.
      Ndugu Zubedayo, nchi hii ina double standard sana, lakini usikate tamaa, kama una uhakika na unachokisema tafadhari nenda kwa watu wa human rights (LHR?) watakusaidia. Au unaweza kuwashauri ndugu wa marehemu wawaone hao watu watawasaidia.

      That is only I can advise you.

    10. #27
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,356
      Rep Power : 1062
      Likes Received
      590
      Likes Given
      43

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By Bobuk
      Ndugu Zubedayo, nchi hii ina double standard sana, lakini usikate tamaa, kama una uhakika na unachokisema tafadhari nenda kwa watu wa human rights (LHR?) watakusaidia. Au unaweza kuwashauri ndugu wa marehemu wawaone hao watu watawasaidia.

      That is only I can advise you.
      Mhusika hajakamtwa then upepelezi unaendelea....

    11. #28
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By zubedayo_mchuzi
      Mhusika hajakamtwa then upepelezi unaendelea....
      Mbona na wewe huelewi nimekushauri kama unaona Polisi hawatebndi haki nenda ukawaone watu wa LHR? au Msaada wa sheria wa chuo kikuu, hawa hawadai malipo watakusaidia bure? Wewe umekazana na polisi kumkamata huyo mama? Whats up?

    12. #29
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,356
      Rep Power : 1062
      Likes Received
      590
      Likes Given
      43

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By Bobuk
      Mbona na wewe huelewi nimekushauri kama unaona Polisi hawatebndi haki nenda ukawaone watu wa LHR? au Msaada wa sheria wa chuo kikuu, hawa hawadai malipo watakusaidia bure? Wewe umekazana na polisi kumkamata huyo mama? Whats up?
      umeshaeleweka kijana vipi.....

    13. #30
      mariavictima's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2010
      Posts : 180
      Rep Power : 487
      Likes Received
      38
      Likes Given
      15

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By zubedayo_mchuzi
      Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania,Nauliza Huyu Mama Vicky ambaye ni mfanyakazi wa wizara ya fedha tarehe 26 mwezi uliopita Alikodisha vijana na kumpiga na kumuua kijana aliejulikana kwa jina la ONESMO MYUKA awali alikuwa mtumishi wake wa kazi ndani,baada ya kuacha kazi kwake kama mwaka 1 na miezi 7 aliondoshwa bila kulipwa ujira wake.
      Tarehe 25 usiku alienda kudai fedha zake mbezi beach na ndipo huyu mama na Watu wake walimshambulia mpaka kifo na mpaka sasa hajakamatwa wala vijana wake aliowakodi.Na yeye kwa kupoteza ushaidi akachukua kisu na kujichuna chuna mkononi,Mbali ya hapo huyu mama Ni mlokole tena Shemasi wa Kanisa la PAG KINONDONI.
      Kuna watu hapa Tz wanaogopeka namna hii.
      IGP mnamwogopa Huyo Mama.
      Zubedayo acha uongo. Huyu Mama ni jirani yangu na hajaua mtu yeyote. Ni kweli tukio la kifo lilitokea nyumbani kwake. Mimi mwenyewe binafsi nilisikitishwa sana na kifo cha kijana Onesmo, kwa kuwa yeye ni binadamu na alistahili kuishi kama wengine. Ni kweli pia kuwa huyu kijana alikuwa mfanyakazi wa huyu mama kabla ya kuacha kazi. Kama alikuwa anamdai huyu mama mshahara, wao wenyewe ndio wanaojua ukweli wa jambo hili mimi siwezi kubisha. Lakini, ukweli ni kwamba siku ya tukio kijana Onesmo alikwenda nyumbani kwa huyu mama kwa nia mbaya ndiyo maana alikuwa amebeba silaha (kisu). Alipofanikiwa kuingia ndani, alianza kumshambulia huyu mama na katika kujihami baada ya kuzidiwa, Mama wa watu alipiga kelele za mwizi. Kama mnavyojua Tanzania sheria ziko mikononi mwa Raia, hivyo walijitokeza na kumpiga kijana wa watu mpaka akafa. Ieleweke kuwa, kama huyu mama hakupata msaada wa raia basi angeuwawa yeye na huyo kijana.
      Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi.
      Kifimbo Cheza likes this.

    14. #31
      Joyceline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : dar es Saalaam
      Posts : 1,017
      Rep Power : 732
      Likes Received
      120
      Likes Given
      92

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      siyo uongo ni kweli kabisa mimi nasali na dada wa marehemu. Huyo kijana alifanya kwa huyo mama muda mrefu siku moja huyo mama akamwambia nimepigiwa simu uende kwenu haraka mama yako ni mgonjwa akaenda ubungo akampakia basi akaenda kwao njombe kufika akakuta wazazi wake ni wazima akaamua kurudi alipofika akamwambia nimekutafutia sehemu nyingine akampeleka kwa mtu mwingine, ila alimuhaidia atampa hela zake akawa anamzungusha ila siku hiyo akamwambia uje kesho uchukue hela zako alipofika akaingia ndani yule mama akapiga kelele za mwizi, wakaja watu na mawe nondo wakamuua, polisi wanasema tunaogopa kupoteza vibarua vyetu maana analidwa na wakubwa, mimi nilisafiri na huyo dada wa marehemu hadi njombe na wakazika tulipofika tu huko wazee wa huko wanasema sijui watafanya nini cha kimila kama kweli alitaka kumuua huyo mama wafe wao ukoo mzima ila kama huyo mama alimsingizia afe yeye na ukoo wake wote. sisi tuliondoka sijui huko nini kinaendelea, labda dada mtu akirudi atatuambia

    15. #32
      Joyceline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : dar es Saalaam
      Posts : 1,017
      Rep Power : 732
      Likes Received
      120
      Likes Given
      92

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Kuna vijana wako polisi wanaisaidia polisi wanasema wao waliambiwa na bosi wao kuna kazi mahali nendeni ndo wakakuta hiyo kazi ya kumshambulia mwazi that means walikodiwa.

    16. #33
      Kinto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 105
      Rep Power : 655
      Likes Received
      4
      Likes Given
      7

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By Joyceline
      Kuna vijana wako polisi wanaisaidia polisi wanasema wao waliambiwa na bosi wao kuna kazi mahali nendeni ndo wakakuta hiyo kazi ya kumshambulia mwazi that means walikodiwa.
      Ina maana huyu mama alijua kuwa huyu kijana atakuja kudai fedha zake??? Hayo mauaji yalitokea saa ngapi??? Majibu ya maswali haya yanaweza kunipa mwanga kidogo

    17. #34
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,745
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2515

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By zubedayo_mchuzi
      Hao unasema wanakosa watu ni uongo..polisi wana wapelelezi wao..wamewasomesha...wanawalip a mishahara na posho zao...wao wana teknik za kipelelezi.Na taarifa wanayo...ila kwasabb mama ana mihela ndio mana hawamchukulii hatua kama wanao iba kuku,simu,baiskeli etc......
      kila kitu malipo hapa duniani.
      Mzee wao wanajua kazi zao....naona wewe upo hapa kutetea huu unyama wa huyo mama ndugu yako sasa wapelekee taarifa hao waliokutuma.
      OVER
      Unajua wewe unaongelea kwa upande moja ama kwa kusikia au kwa kuwa unashahidi mwingineo, ambo nimekwambia kama unao kama wakutolipwa mishara, kama siku hiyo aliitwa achukue hela ndipo akavamiwa na hao waliokodiwa uupeleke huko kwa IGP,
      Lakini mapungufu ninayo yaona upande wako ni kuongelea kama rafiki au ndugu ya marehemu, na ndio maana unasema wazee wanaenda kuomba miungu yao.
      pili ni jinsi tukio lenyewe lilivyo tokea baada ya marehu kuacha kazi au kuachishwa mwaka moja na miezi kadhaa, sasa cha kujiuliza kama alikuwa anadai mishahara au mshahara kwanini hakwenda polisi? au kwa serikali za mitaa au mahakama ya kazi? kwanini alijichukulia ujasiri wa kwenda mwenyewe tena usiku kama ulivyo andika wewe mwenyewe.
      tatu siku hizi kuna mawasiliano ya simu, basi polisi wana weza kupitia mawasiliano yao kuona kama aliitwa kuchukua hizo pesa/mshahara na kadhalika hata tukiongezea kama kulikuwa na uhusiano wa zaidi. na siku hizi kila mtu ana simu, hivyo nategemea nduguyo alikuwa nayo.
      ama sivyo rafiki yako au nduguyo inaonekana alipapenda saana kwa huyo mwajiri ndio maana roho ilimuuma saana kuachishwa na ndio maana akarudi kwa hiyo njia ya kudai chake? na ndio maana ukipitia maelezo ya Joyceline ana sema mwajiri alimrudisha kwao kwa kumwambia anatakiwa huko, alivyo rudo mwajiri alimuhaidi atamtafutia kazi pengine, basi utaona ni jinsi gani mwajiri hakuwa na imani nae, na hivyo alikuwa anatafuta njia za kumuondoa, kumbe rafiki yako au nduguyo hapo aliona ni kama katolewa kwenye machimbo ya dhahabu.

    18. #35
      mark_philipo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 139
      Rep Power : 426
      Likes Received
      15
      Likes Given
      4

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Unajua ndugu zangu haya mambo ya kusikipa pande mbili ambazo nazo zimesikia sehemu kuna hatari ya ku suffex au ku prefex maneno,mimi nashaur kwamba kwakuwa jambo lenyewe ni nzito bas tuachie vyombo vya usalama vifanye kazi yake.maana tukisema mama anahela paka akakod vijana kwanin asitumie izo pesa kulipa den?pia hata kama inavyodaiwa anahonga ni dhair si mbaili angemlipa.lakin pia kama kwel alimtafutia kaz huon alikuwa na roho nzur tu,je kuna uhakika wa ilo den?cid watafanya kaz japo nao sikusikuiz kwakuwa kipato chao finyu maadili yamepungua

    19. #36
      RockyII's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd December 2011
      Posts : 50
      Rep Power : 387
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      mtoa mada nae hana source ya ukwl we mtu ajekudai ela usiku na usiku uo uo mtuhumiwa akodi vijana tena ilkua ni usiku wa manane sasa cjui apo kakodish vip..
      Kama huna details za ukwel nyamaza kabisa.
      Uyo mama vicky aliingiliwa na uyo houseboy wke usiku na kumewka kwny chumba cha kusomea akimtesa kwa mda mrefu, ndo alimkata kidole kimoja na kumkata kata mikono.
      Hiyo nyumba anaisha na mdgo ake na rafik wa mdgo ake ambye ndo altoka na kupga kelele na watu kuja kutoa msaada kwa kupitia njia ya juu ya dali ya nyumba na alipigiwa kwa kuchukuliwa kama jambaz lakin co kama unavyosema ww..
      We umtu ajikate kate mpka vidole vishindwi kufanyakaz kisa house boy..
      Mbona wizi alikua anaufanya house kwa uyo mama ujausma na je kumtoa polis kwa zaman apo mbona ujasma wee wasma eti kamuua kwa kukodi saa ngap ao vijana.
      Kua na uhakika na unacho kisema sio umesma magazeti ya udaku ndo waja na habar zako.

    20. #37
      mmteule's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 241
      Rep Power : 434
      Likes Received
      55
      Likes Given
      4

      Default Re: IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

      Quote By mariavictima
      Zubedayo acha uongo. Huyu Mama ni jirani yangu na hajaua mtu yeyote. Ni kweli tukio la kifo lilitokea nyumbani kwake. Mimi mwenyewe binafsi nilisikitishwa sana na kifo cha kijana Onesmo, kwa kuwa yeye ni binadamu na alistahili kuishi kama wengine. Ni kweli pia kuwa huyu kijana alikuwa mfanyakazi wa huyu mama kabla ya kuacha kazi. Kama alikuwa anamdai huyu mama mshahara, wao wenyewe ndio wanaojua ukweli wa jambo hili mimi siwezi kubisha. Lakini, ukweli ni kwamba siku ya tukio kijana Onesmo alikwenda nyumbani kwa huyu mama kwa nia mbaya ndiyo maana alikuwa amebeba silaha (kisu). Alipofanikiwa kuingia ndani, alianza kumshambulia huyu mama na katika kujihami baada ya kuzidiwa, Mama wa watu alipiga kelele za mwizi. Kama mnavyojua Tanzania sheria ziko mikononi mwa Raia, hivyo walijitokeza na kumpiga kijana wa watu mpaka akafa. Ieleweke kuwa, kama huyu mama hakupata msaada wa raia basi angeuwawa yeye na huyo kijana.
      Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi.
      acha kutetea maovu....acha kushuhudia uongo... tena nakwambia siku siyo si nyingi yatakupata hunijui nami sikujui ila nimesema kutoka moyoni kwa vile unaonekana kusema uongo wakati majirani wanajua ukweli ni kama ulivyosemwa na mtoa mada, hajakosea wala kuongeza chumvi...wenye nazo wamekuwa miungu watu, noti zinaongea, hata mimi nimeshuhudia jirani yangu akimbambika ng,ombe boy wake kesi ya kubaka binti yake baada ya kudaiwa mshahara wa miaka mitatu....niliumia sanaaaa...nilisimamia suala lile kiume mpaka leo hatuangaliani na yule jirani yangu kwa vile amaeshajua mimi ni simba mtu hana hamu akiniona lazima abadili njia. nakusihi sana kaka mtoa mada simamia haki ya marehemu onesmo mapka kieleweke...rip onesmo.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...