akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.
Mithali 17:20
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;
Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.
Mithali 17:20
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;
Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Comrade si kila maombi Mungu huyasikliza Kwani Maombi ya wanafiki (CCM) nI sawa na kelele mbele zaMungu bali maombi ya wenye haki(.......) ni manukato mbele ya Mungu
hawa watoto wa vigogo walio kulia nje ya nchi unapozungumzia maisha magumu kwao huwa ni KUKOSA HELA YA KUBADILI LOSHENI ya kupaka usoni..au kunywa chai isiyo na maziwa hasubui asubuhi ...
hawajui kuwa kuna mtu huwa anakosa hata buku mbili ya kung'oa jino hospitali inabidi akimbilie kanisani akaomewe
SHAME ON THEM
Hana lolote, mtoto wa Fisadi tu. Atueleze zile hela BABA yake alichukua pale Benki kuu kwenye SMEs Guarantee scheme akawekeza kiwanda cha nyama alirejesha? Au kwa kuwa alijua serikali imeweka dhamana kwa hiyo akichukua akisepa deni litalipwa? Nyamaza huko, nyie ndo wale wale tu hamjui kuwa kuna mtanzania hajui kesho atakula nini, atavaa nini, atasoma wapi, atatibiwa wapi, atapata wapi maji, atataaaaaaaaaaaaa...... mpaka karne hana jibu la uhakika wa matatizo yake.
"Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"
Hana mpya!!ni uzao wa mfumo wa chama tawala!amekuwa hapo alipo sbb ya CCM!Kuiponda CCM ni kuponda sehemu inayompa ujanja wa kukaa mjini!alifikili akitumia kiswahili cha kisister-du ndo atawavutia watu!!Mi nipo mtaa wa Mabibo..balozi katupitia anasema sehemu ya kukusanyika kupanda basi itakuwa Makuburi-Shuleni
wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani .
Si kila sehemu duniani ina Gold, Tanzanite, Diamond, Nickel, Uranium, gas, oil, misitu, Mbuga za wanyama, bahari, maziwa, mito, Mt Kilimanjaro, arable land. Si kila sehmu duniani utakuta serikali yake inatumia 38% ya National budget kununulia magari ya kifahari kwa ajili ya wakubwa wachache! Si kila sehemu duniani utakuta serikali inafanya mazungumzo na wezi - grand thefts! Si kila mahali.
VIOLET MZINDAKAYA ni nani na ana wadhifa gani katika nchi yetu?
Ni mtoto wa FISADI Chrisantus Mzindakaya, yule mbunge aliyekuwa mchawi sana kiasi kwamba hakuna mtu alikuwa anasubutu kugombea Ubunge. Yule ambaye ili kuwaonesha wapiga kuwa kuwa ana nguvu za kichawi alitundika koti hewani. Hebu funga macho halafu uone ni kwa jinsi gani unaweza rusha koti hewani likabaki limening'ia!!! Nafikie pia alitumika kupata ile juju uliyommaliza yule mtu alikuwa anapinga masuala fulani na akafa na tukasikitika wengi!!!!!!!! So sad!!! Ukimwoa huyu umeoa uchawi!!
akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.
Mithali 17:20
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;
Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
huyu kachaguliwa chama na baba yake, sisi tuko na fikra huru that why tumechagua upande mzuri wa historia.
Follow Us Here