Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: violet mzindakaya mwepeeeeesi

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. #1
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default violet mzindakaya mwepeeeeesi

      akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.

      Mithali 17:20
      Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;
      Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,199
      Rep Power : 609
      Likes Received
      326
      Likes Given
      32

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Uswe
      akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.

      Mithali 17:20
      Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;
      Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
      Comrade si kila maombi Mungu huyasikliza Kwani Maombi ya wanafiki (CCM) nI sawa na kelele mbele zaMungu bali maombi ya wenye haki(.......) ni manukato mbele ya Mungu
      Elli likes this.
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    4. #3
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Huyu dada.....mmmh let me have my glass of kiroba puliiiiz

    5. #4
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      hawa watoto wa vigogo walio kulia nje ya nchi unapozungumzia maisha magumu kwao huwa ni KUKOSA HELA YA KUBADILI LOSHENI ya kupaka usoni..au kunywa chai isiyo na maziwa hasubui asubuhi ...

      hawajui kuwa kuna mtu huwa anakosa hata buku mbili ya kung'oa jino hospitali inabidi akimbilie kanisani akaomewe
      SHAME ON THEM
      BIG Banned likes this.

    6. #5
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,990
      Rep Power : 6480
      Likes Received
      1203
      Likes Given
      508

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Hana lolote, mtoto wa Fisadi tu. Atueleze zile hela BABA yake alichukua pale Benki kuu kwenye SMEs Guarantee scheme akawekeza kiwanda cha nyama alirejesha? Au kwa kuwa alijua serikali imeweka dhamana kwa hiyo akichukua akisepa deni litalipwa? Nyamaza huko, nyie ndo wale wale tu hamjui kuwa kuna mtanzania hajui kesho atakula nini, atavaa nini, atasoma wapi, atatibiwa wapi, atapata wapi maji, atataaaaaaaaaaaaa...... mpaka karne hana jibu la uhakika wa matatizo yake.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    7. Miaka 50

    8. #6
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,659
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Hivi huyu Binti si ndo baba yake kakatalia bwawa wananchi wasitumie kule sumbawanga! kweli nimeamizi Uzao wa Gamba Umezaa MAGAMBA
      Daudi Mchambuzi and Ponera like this.

    9. #7
      Ngaliba Dume's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 764
      Rep Power : 590
      Likes Received
      283
      Likes Given
      14

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Hana mpya!!ni uzao wa mfumo wa chama tawala!amekuwa hapo alipo sbb ya CCM!Kuiponda CCM ni kuponda sehemu inayompa ujanja wa kukaa mjini!alifikili akitumia kiswahili cha kisister-du ndo atawavutia watu!!Mi nipo mtaa wa Mabibo..balozi katupitia anasema sehemu ya kukusanyika kupanda basi itakuwa Makuburi-Shuleni
      Daudi Mchambuzi likes this.

    10. #8
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      kinachokera ni vile alivyokua anaongea utafikiri mtoto wa miaka 17
      Daudi Mchambuzi likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    11. #9
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,834
      Rep Power : 2969
      Likes Received
      2446
      Likes Given
      3518

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      ..aache uongo!!

      ..sisi tuliokula chumvi tunajua uongo na visingizio vya CCM tangu zamani.

      ..kwanza walikuwa wanasingizia kuvunjika kwa jumuiya ya afrika mashariki.

      ..baadaye wakaja na visingizio vya vita vya Kagera.

      ..wakasema kuna wahujumu uchumi na walanguzi.

      ..baadaye wakadai hakuna fedha za kigeni.

      ..wakaja wakadai ni masharti magumu ya IMF na WB.

      ..kupanda kwa bei ya mafuta ktk soko la dunia.

      ..wakasema tunafunga mikanda kulipa madeni ya nje.

      ..halafu ukaja mtikisiko wa uchumi wa dunia.

      ..TANGU CCM IANZISHWE IMEKUWA NI VISINGIZIO TU. SASA TUMEAMUA KUWATOA MADARAKANI.
      Malila, Ngongo, Matola and 7 others like this.

    12. #10
      tatanyengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 599
      Likes Received
      220
      Likes Given
      186

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      VIOLET MZINDAKAYA ni nani na ana wadhifa gani katika nchi yetu?
      Daudi Mchambuzi likes this.
      'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama

    13. #11
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By JokaKuu
      ..aache uongo!!

      ..sisi tuliokula chumvi tunajua uongo na visingizio vya CCM tangu zamani.

      ..kwanza walikuwa wanasingizia kuvunjika kwa jumuiya ya afrika mashariki.

      ..baadaye wakaja na visingizio vya vita vya Kagera.

      ..wakasema kuna wahujumu uchumi na walanguzi.

      ..baadaye wakadai hakuna fedha za kigeni.

      ..wakaja wakadai ni masharti magumu ya IMF na WB.

      ..kupanda kwa bei ya mafuta ktk soko la dunia.

      ..wakasema tunafunga mikanda kulipa madeni ya nje.

      ..halafu ukaja mtikisiko wa uchumi wa dunia.

      ..TANGU CCM IANZISHWE IMEKUWA NI VISINGIZIO TU. SASA TUMEAMUA KUWATOA MADARAKANI.
      hii nimeipenda, tukiwaonea aibu watakuja na sababu ingine. . . ooh tulikua tunavua magamba!
      Bicha and Daudi Mchambuzi like this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    14. FJM
      #12
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5327
      Likes Given
      4587

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Uswe
      wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani .
      Si kila sehemu duniani ina Gold, Tanzanite, Diamond, Nickel, Uranium, gas, oil, misitu, Mbuga za wanyama, bahari, maziwa, mito, Mt Kilimanjaro, arable land. Si kila sehmu duniani utakuta serikali yake inatumia 38% ya National budget kununulia magari ya kifahari kwa ajili ya wakubwa wachache! Si kila sehemu duniani utakuta serikali inafanya mazungumzo na wezi - grand thefts! Si kila mahali.
      BabaDesi, Tiba and Daudi Mchambuzi like this.

    15. #13
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,527
      Rep Power : 2542
      Likes Received
      2113
      Likes Given
      1840

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      yaani kama wanafunzi wa UDSM watahudhuria basi ntawaona ni wajinga kuliko chochote kile
      Daudi Mchambuzi likes this.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    16. #14
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,990
      Rep Power : 6480
      Likes Received
      1203
      Likes Given
      508

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By tatanyengo
      VIOLET MZINDAKAYA ni nani na ana wadhifa gani katika nchi yetu?
      Ni mtoto wa FISADI Chrisantus Mzindakaya, yule mbunge aliyekuwa mchawi sana kiasi kwamba hakuna mtu alikuwa anasubutu kugombea Ubunge. Yule ambaye ili kuwaonesha wapiga kuwa kuwa ana nguvu za kichawi alitundika koti hewani. Hebu funga macho halafu uone ni kwa jinsi gani unaweza rusha koti hewani likabaki limening'ia!!! Nafikie pia alitumika kupata ile juju uliyommaliza yule mtu alikuwa anapinga masuala fulani na akafa na tukasikitika wengi!!!!!!!! So sad!!! Ukimwoa huyu umeoa uchawi!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    17. #15
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      afu ni mama mtu mzima sasa kuongea utafikiri ni limbukeni flani inakera sana
      Daudi Mchambuzi likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    18. #16
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,189
      Rep Power : 1953
      Likes Received
      2996
      Likes Given
      13635

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      the last kick of dying donkey.
      Uswe and Chilipamwao like this.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    19. #17
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,617
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      1390
      Likes Given
      1538

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      kuzungumzia hiyo takataka (Violet) ni kuidhalilisha jf
      Last edited by Janjaweed; 9th June 2012 at 06:33.

    20. #18
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,189
      Rep Power : 1953
      Likes Received
      2996
      Likes Given
      13635

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Uswe
      akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.

      Mithali 17:20
      Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;
      Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
      huyu kachaguliwa chama na baba yake, sisi tuko na fikra huru that why tumechagua upande mzuri wa historia.
      Uswe likes this.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    21. #19
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Daudi mchambuzi
      huyu kachaguliwa chama na baba yake, sisi tuko na fikra huru that why tumechagua upande mzuri wa historia.
      afu kajisahau kwamba keshakua mama mtu mzima
      Daudi Mchambuzi likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    22. #20
      bumes's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 363
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      nani amedanganywa anafikiri wa tanzania hatuna macho, aende zake huko alikuwa
      Daudi Mchambuzi likes this.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...