Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: violet mzindakaya mwepeeeeesi

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 66
    1. #1
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default violet mzindakaya mwepeeeeesi

      akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.

      Mithali 17:20
      Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima;
      Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,195
      Rep Power : 1955
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13642

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Uswe
      afu kajisahau kwamba keshakua mama mtu mzima
      ccm wanakua kimwili tu, akili zimedumaa.
      Uswe likes this.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    4. #22
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Daudi mchambuzi
      ccm wanakua kimwili tu, akili zimedumaa.
      hahahaaaaa
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    5. #23
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,964
      Rep Power : 2370
      Likes Received
      961
      Likes Given
      172

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Elli
      yaani kama wanafunzi wa UDSM watahudhuria basi ntawaona ni wajinga kuliko chochote kile
      kwanini wasihudhurie ..?
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    6. #24
      Ndumbayeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2009
      Posts : 1,069
      Rep Power : 738
      Likes Received
      98
      Likes Given
      807

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      [QUOTE=Uswe;4019411]akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.

      hapo mkuu umenifurahisha sana
      Uswe likes this.

    7. #25
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By Gwankaja Gwakilingo
      Comrade si kila maombi Mungu huyasikliza Kwani Maombi ya wanafiki (CCM) nI sawa na kelele mbele zaMungu bali maombi ya wenye haki(.......) ni manukato mbele ya Mungu
      Mwenye haki ni yule ambae anatembea na mke wa mtu kinyume na mafundisho ya Mungu wa kitabu chochote kile?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    8. Miaka 50

    9. #26
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,367
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By tatanyengo
      VIOLET MZINDAKAYA ni nani na ana wadhifa gani katika nchi yetu?

      Violet ni Mtangazaji wa redio ya Chama, redio Uhuru.

    10. #27
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      [QUOTE=Ndumbayeye;4020762]
      Quote By Uswe
      akiongea kwa kiswanglish cha ki-teenager, (si unajua namna huwa wanatamka L zao) violet mzindakaya ameweka wazi vitu wanakavyoviongea kesho Jangwani amesema watanzania kwa muda mrefu wamekua wakidanganywa kwamba wao ndio wana maisha magumu wakati dunia nzima hali ya uchumi ni ngumu, sasa wanataka kutumia nafasi ya mkutano wa kesho kuwaambia watanzania ukweli, wanataka watanzania watambue hali ya maisha ni ngumu si tu tanzania ila hata sehemu nyingine duniani tofauti na wanavyodanganywa na wapinzani hasa CHADEMA.

      hapo mkuu umenifurahisha sana
      unajua huyu ni mama mtu mzima kama unamfahamu, kwa kumuangalia tu, ni mtu above 33, sasa anapoongea utafikiri wale wanaogombea u-miss kwenye vitongoji, ambao wengi huwa below 20, wakianza tu kujinadi utasikia 'kwanza najiamini' anakera sana

      Mtu mwenye zaidi ya miaka 33 anategemewa awe amekua na anaongea vizuri kwa busara, hategemewi atumie lugha kama, wapinzani wasituletee usharo au twitter kuiita twila
      BIG Banned likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    11. #28
      KALABASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2011
      Posts : 340
      Rep Power : 490
      Likes Received
      93
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By FJM
      Si kila sehemu duniani ina Gold, Tanzanite, Diamond, Nickel, Uranium, gas, oil, misitu, Mbuga za wanyama, bahari, maziwa, mito, Mt Kilimanjaro, arable land. Si kila sehmu duniani utakuta serikali yake inatumia 38% ya National budget kununulia magari ya kifahari kwa ajili ya wakubwa wachache! Si kila sehemu duniani utakuta serikali inafanya mazungumzo na wezi - grand thefts! Si kila mahali.
      FJM-GREAT THINKING FROM A GREAT THINKER. Nimehifadhi katika kitabu changu cha kumbukumbu ya mambo muhimu hizo rasilimali na utajiri wa kutisha wa nchi yetu ulizozitaja. Kwa namna ya kushangaza watawala wetu huwa hawapendi wa Tz wafahamu kuwa nchi yao ni tajiri kwa kiwango cha namna hiyo.
      FJM likes this.

    12. #29
      Eng. Y. Bihagaze's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Czech(but now in DAR)
      Posts : 769
      Rep Power : 5117
      Likes Received
      584
      Likes Given
      111

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Baba akiwa Mwizi kwani wewe nawe unalazimishwa kuwa Mwizi?!! CCM sio damu damu yenu kuendekeza uongozi wa Kifalme
      WA-UKENYENGE likes this.

    13. #30
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By SALMA2015
      Baba akiwa Mwizi kwani wewe nawe unalazimishwa kuwa Mwizi?!! CCM sio damu damu yenu kuendekeza uongozi wa Kifalme
      i like this salma
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    14. #31
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,216
      Rep Power : 28909
      Likes Received
      11699
      Likes Given
      4819

      Default

      Duh! Umenigusa!
      Kuna mtu anashindwa kununua dawa ya tsh 200 yaani!
      Quote By asigwa

      hawajui kuwa kuna mtu huwa anakosa hata buku mbili ya kung'oa jino hospitali inabidi akimbilie kanisani akaomewe
      SHAME ON THEM

    15. #32
      utantambua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 1,272
      Rep Power : 649
      Likes Received
      272
      Likes Given
      752

      Default

      [QUOTE=Uswe;4020799]
      Quote By Ndumbayeye

      unajua huyu ni mama mtu mzima kama unamfahamu, kwa kumuangalia tu, ni mtu above 33, sasa anapoongea utafikiri wale wanaogombea u-miss kwenye vitongoji, ambao wengi huwa below 20, wakianza tu kujinadi utasikia 'kwanza najiamini' anakera sana

      Mtu mwenye zaidi ya miaka 33 anategemewa awe amekua na anaongea vizuri kwa busara, hategemewi atumie lugha kama, wapinzani wasituletee usharo au twitter kuiita twila
      Hataki kukua eeee. Atajikuta anafikisha miaka 50 na kiswahili cha "ki-twila"

    16. #33
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,216
      Rep Power : 28909
      Likes Received
      11699
      Likes Given
      4819

      Default

      Si bora hao watu wazima wana maamuzi yao binafsi. Unajua braza mukulu anawaingiza watu wa rika gani pale Serena hotel? Siasa za maji taka hazitatufikisha popote ndugu. Tuongee vyenye manufaa!
      Quote By zomba
      Mwenye haki ni yule ambae anatembea na mke wa mtu kinyume na mafundisho ya Mungu wa kitabu chochote kile?

    17. #34
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 591
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By SALMA2015
      Baba akiwa Mwizi kwani wewe nawe unalazimishwa kuwa Mwizi?!! CCM sio damu damu yenu kuendekeza uongozi wa Kifalme
      Tutakapofikia kujitoa kupambana ndo mana tunaskia wanajeshi waasi wamebaka sasa ndo kama hivi nji ikiingia machafukoni hawa watabeba mimba zetu waacheni wajambemaputo

    18. #35
      bullet's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2009
      Location : East London
      Posts : 366
      Rep Power : 563
      Likes Received
      117
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By JokaKuu
      ..aache uongo!!

      ..sisi tuliokula chumvi tunajua uongo na visingizio vya CCM tangu zamani.

      ..kwanza walikuwa wanasingizia kuvunjika kwa jumuiya ya afrika mashariki.

      ..baadaye wakaja na visingizio vya vita vya Kagera.

      ..wakasema kuna wahujumu uchumi na walanguzi.

      ..baadaye wakadai hakuna fedha za kigeni.

      ..wakaja wakadai ni masharti magumu ya IMF na WB.

      ..kupanda kwa bei ya mafuta ktk soko la dunia.

      ..wakasema tunafunga mikanda kulipa madeni ya nje.

      ..halafu ukaja mtikisiko wa uchumi wa dunia.

      ..TANGU CCM IANZISHWE IMEKUWA NI VISINGIZIO TU. SASA TUMEAMUA KUWATOA MADARAKANI.
      Mara bei ya mafuta imepanda soko la dunia! Lakini yakishuka bei hatuambiwi! Mfano ukiangalia bei ya mafuta sasa hivi katika soko la dunia imeshuka ila sikiliza leo jangwani utaambiwa bei iko juu!
      Tuliambiwa "bulky procuament" itashusha bei ya mafuta kwa karibu 20% sasa tuambiwe kwa nini imeongezeka!

    19. #36
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,896
      Rep Power : 30221
      Likes Received
      4711
      Likes Given
      3477

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Mweee! Hawajifunzi tu hawa nyinyiem? Kweli sikio la dawa haliskii kufa

    20. #37
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Quote By King'asti
      Si bora hao watu wazima wana maamuzi yao binafsi. Unajua braza mukulu anawaingiza watu wa rika gani pale Serena hotel? Siasa za maji taka hazitatufikisha popote ndugu. Tuongee vyenye manufaa!
      Weka ushahidi na wataje. Kama huwezi kaa kimya, usipakaze pasipo pakazika.

      Ya wengine yako wazi kazi kabisa, wameshindwa kuchunga kondoo waliopotea sasa wao ndio wamekuwa kondoo waliopotea.

      Hakuna cha maamuzi mabaya ya mtu mzima yakahalilishwa, tena bora yakiwa ya mtoto mdogo, tutasema ni mtoto mdogo. Halafu mtu mzima mwenye akili yako kumfata mtu aliyepotea halafu ukamfanya awe kiongozi wako ina maana nawe umepotea "hatua za shetani hufatwa na shetani". Ukitetea maovu nawe ni muovu.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #38
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5447
      Likes Given
      3641

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      Kama mlikuwa mnadhani kuna kijana mwenye akili timamu bado yupo CCM basi mmekosea sana. Angalieni jinga lingine hili hapa.

      Cyprian Majura Musiba


      KESHO CCM JANGWANI KUWAONYESHA WATAALAM WA KUPOTOSHA CHADEMA KWAMBA BILA CCM NCHI ITAYUMBA..KWENYE MSAFARA WA MAMBA HATA KENGE WAMO..

      KENGE NI VYAMA VYA SIASA KIKIWEMO CHADEMA
      CHADEMA WATASHANGAA UWANJA WA NYUMBANI WA CCM JANGWANI UTAKAVYOFURIKA

      VUA GAMBA,VUA GWANDA..VAAAAAA UZALENDO HALISI

      ATAKUWEPO MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI AMBAYE PIA NI RAIS WA TANZANIA MHE.JAKAYA MRISHO KIKWETE.

      WATAKUWEPO MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI

      DK SLAA KURUDI CCM RASMI KESHO KWA KISHINDO JANGWANI BAADA YA KUSHINDWA KUELEWANA NA MWENYEKITI WAKE FREEMAN MBOWE KWA MUDA SASA.

      DK SLAA ATAAMBATANA NA VIONGOZI KADHAA WAANDAMIZI WA CHADEMA


      Uswe likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    22. #39
      Tewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2008
      Posts : 453
      Rep Power : 670
      Likes Received
      64
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Uswe
      hii nimeipenda, tukiwaonea aibu watakuja na sababu ingine. . . ooh tulikua tunavua magamba!
      Ukitaka kuua nyani usimuangalie usoni, hizo ni hekima za wahenga

    23. #40
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: violet mzindakaya mwepeeeeesi

      cyprian musiba anaonekana ana akili kweli don't judge a book by its cover
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...